Je, mamlaka husika zinatoa majibu ya uongo kwa wanaopima Covid 19?

Je, mamlaka husika zinatoa majibu ya uongo kwa wanaopima Covid 19?

Hizi tuhuma zimekuwepo kwa muda mrefu kuwa watanzanzania au raia wa nje wanapotaka kwenda nje hutakiwa kupima Covid-19 na kupatiwa cheti kuonyesha kuwa hawana maambukizi.

Lakini kumekuwa na na tetezi zinazogaa mitandaoni kuwa mamlaka husika hapa Tanzania hazitoi majibu sahihi. Na mara zote watu wakipima wanaambiwa hawana maambukizi. Ila wakienda nje ya nchi wanapopimwa wanakutwa na maambukizi.

Hivi mamlaka husika mnaficha ili iweje? Kwamba Tanzania kutokuwa na maambukizi ndio sifa?

Leo hii kuna watanzania watatu huko Angola wameonekana na maambukizi,ina maana hapo maabara kwenu hamkugundua? Au mnataka kusema maabukizi wameyapata huko Angola?

Mnadhani UK ilikosea bahati mbaya kupiga marufuku watanzania kuingia huko kwao?

Kuweni wakweli maana mmeanza kuaibika.
Ulaghai ni ugonjwa usio na tiba, uchaguzi, uchumi, elimu, afya nk yote jiwe anatumia ulaghai. Ni asili yake
 
Sitoshangaa kama kuna kofoji majibu ili ku clear jina la nchi. ila sasa down the road itaonyesha mamlaka zetu haziko serious.. hii itatuchafua zaid kimataida.

Just praying hizi tuhuma si za ukweli?
Nimewahi kwenda kupima mara nne pale Mabibo lakini watu wote hakuna hata mmoja aliyewahi kutwa na Corona. Kumbuka ni zaidi ya watu 200 kwa siku moja hii ikijumisha na wageni ila achilia mbali wale ambao sampo zao zinaletwa bila wao kufika sehemu husika (Maabara kuu). Angalizo hii ilikuwa mwaka jana December, kwa sasa sijui mana nasikia na cost imepanda mpaka $100.
 
Nimewahi kwenda kupima mara nne pale Mabibo lakini watu wote hakuna hata mmoja aliyewahi kutwa na Corona. Kumbuka ni zaidi ya watu 200 kwa siku moja hii ikijumisha na wageni ila achilia mbali wale ambao sampo zao zinaletwa bila wao kufika sehemu husika (Maabara kuu). Angalizo hii ilikuwa mwaka jana December, kwa sasa sijui mana nasikia na cost imepanda mpaka $100.
Kuna agizo majibu yawe negative,lakini sasa wanaanza kuumbuka.
 
Inaweza kuwa ni combination ya sababu nyingi.
1. Upimaji wetu siyo makini eg hawana ujuzi au ni wazembe (note maabara zetu haziaminiki sana)
2. Wamepewa maelekezo maalum ili tusionekane tuna maambukizo. (fikiria implication za watalii wamekuja wazima halafu wakati wa kurudi waambiwe wana virus)
3. Corruption inahusika. Samples hazipelekwi kupimwa kunakohusika ili wapate nafasi ya kupiga dola 100 zinazochajiwa kwa kila mtu. Kumbuka chances za mtu kukutwa ni positive ni ndogo hivyo it worth to risk.
Point ya mwisho siyo kweli, kwani lazima upate cheti na ukifika Airport kinakuwa verified. Yaani lazima information zako ziwe kule NIMR ikiwa ni pamoja na Passport yako pamoja na vitu vingine vingi, zamani ilikuwa rahis kufoji na Wakenya walifanya sana fojing.
 
Kama viongozi tu wanaongea uongo majukwaani mchana kweupe...

Watu wa maabara watashindwa nini kubumba matokeo ili kumfurahisha kaisari na mitazamo yake hasi kuhusu nchi wahisani..?
 
Kipimo sahihi ni kile kinachotoka china, kwahiyo wasafiri mjiandae kisaikolojia.
 
Hizi tuhuma zimekuwepo kwa muda mrefu kuwa watanzanzania au raia wa nje wanapotaka kwenda nje hutakiwa kupima Covid-19 na kupatiwa cheti kuonyesha kuwa hawana maambukizi.

Lakini kumekuwa na na tetezi zinazogaa mitandaoni kuwa mamlaka husika hapa Tanzania hazitoi majibu sahihi. Na mara zote watu wakipima wanaambiwa hawana maambukizi. Ila wakienda nje ya nchi wanapopimwa wanakutwa na maambukizi.

Hivi mamlaka husika mnaficha ili iweje? Kwamba Tanzania kutokuwa na maambukizi ndio sifa?

Leo hii kuna watanzania watatu huko Angola wameonekana na maambukizi,ina maana hapo maabara kwenu hamkugundua? Au mnataka kusema maabukizi wameyapata huko Angola?

Mnadhani UK ilikosea bahati mbaya kupiga marufuku watanzania kuingia huko kwao?

Kuweni wakweli maana mmeanza kuaibika.
Mbona unauliza majibu ?
 
Utaamini watu walioshawahi kusema walipima Oil ikapatikana na Corona ?..., Sasa kama walikosea / vipimo vilikosea then...., kwanini uamini now ?
 
Hizi tuhuma zimekuwepo kwa muda mrefu kuwa watanzanzania au raia wa nje wanapotaka kwenda nje hutakiwa kupima Covid-19 na kupatiwa cheti kuonyesha kuwa hawana maambukizi.

Lakini kumekuwa na na tetezi zinazogaa mitandaoni kuwa mamlaka husika hapa Tanzania hazitoi majibu sahihi. Na mara zote watu wakipima wanaambiwa hawana maambukizi. Ila wakienda nje ya nchi wanapopimwa wanakutwa na maambukizi.

Hivi mamlaka husika mnaficha ili iweje? Kwamba Tanzania kutokuwa na maambukizi ndio sifa?

Leo hii kuna watanzania watatu huko Angola wameonekana na maambukizi,ina maana hapo maabara kwenu hamkugundua? Au mnataka kusema maabukizi wameyapata huko Angola?

Mnadhani UK ilikosea bahati mbaya kupiga marufuku watanzania kuingia huko kwao?

Kuweni wakweli maana mmeanza kuaibika.
Iliwahi kuwa hivyo, hasa enzi zile za mipakani na madereva wa malori.

Hiyo ilikuwa enzi hizo, sidhani enzi hizi hilo linawezekana tena!

Taasisi kama Muhimbili ikubali kuchafuka kwa sababu tu za kisiasa? Ni vigumu kuamini.

Kwanza tafuta ni nani wanaopima, halafu wachunguze kwa makini. Ni nadra sana taasisi za aina hiyo kufanya mambo kinyume na taratibu za kitaaluma.
Kuna mengi yanayotokana na kujiharibia jina kimataifa kwa sababu za kijingajinga tu zinazosimamiwa kisiasa.

Kwa mfano: Maabara Muhimbili hawawezi kukata kona na kufanya vipimo kivingine mbali ya njia zinazotakiwa ili yapatikane matokeo wanayoyataka wanasiasa; na hawawezi kutoa cheti kinachoonyesha matokeo tofauti na yale yaliyoonyeshwa na vipimo vyao.

Kwa ufupi ni hivi: kutakuwa na mambo tusiyoyajua yaliyofanyika juu ya vipimo vya hao waliogundulika kuwa wana maambukizi. Ni maabara zipi zilizopima na kutoa majibu? Maabara hizi ziko 'certified' kufanya kazi hiyo na matokeo ya vipimo vyao kutambulika kimataifa?
 
Iliwahi kuwa hivyo, hasa enzi zile za mipakani na madereva wa malori.

Hiyo ilikuwa enzi hizo, sidhani enzi hizi hilo linawezekana tena!

Taasisi kama Muhimbili ikubali kuchafuka kwa sababu tu za kisiasa? Ni vigumu kuamini.

Kwanza tafuta ni nani wanaopima, halafu wachunguze kwa makini. Ni nadra sana taasisi za aina hiyo kufanya mambo kinyume na taratibu za kitaaluma.
Kuna mengi yanayotokana na kujiharibia jina kimataifa kwa sababu za kijingajinga tu zinazosimamiwa kisiasa.

Kwa mfano: Maabara Muhimbili hawawezi kukata kona na kufanya vipimo kivingine mbali ya njia zinazotakiwa ili yapatikane matokeo wanayoyataka wanasiasa; na hawawezi kutoa cheti kinachoonyesha matokeo tofauti na yale yaliyoonyeshwa na vipimo vyao.

Kwa ufupi ni hivi: kutakuwa na mambo tusiyoyajua yaliyofanyika juu ya vipimo vya hao waliogundulika kuwa wana maambukizi. Ni maabara zipi zilizopima na kutoa majibu? Maabara hizi ziko 'certified' kufanya kazi hiyo na matokeo ya vipimo vyao kutambulika kimataifa?
Hivi una akili kichwani? Maabara kuwa certified ndio sababu ya kutotoa majibu ya uongo?
 
Kwa mfano: Maabara Muhimbili hawawezi kukata kona na kufanya vipimo kivingine mbali ya njia zinazotakiwa ili yapatikane matokeo wanayoyataka wanasiasa; na hawawezi kutoa cheti kinachoonyesha matokeo tofauti na yale yaliyoonyeshwa na vipimo vyao.
Hata hivyo, ninajishangaa sana kuandika niliyoandika kwenye mistari hii miwili, nikielewa enzi hizi zilivyo!
Lakini bado naamini, bado kuna heshima ndani ya taaluma isiyoweza kuvunjwa kirahisirahisi.
 
Walipima papai wakalikuta na korona. Inawezekana wapimaji, kifaa au waandika majibu mmoja anasema uongo...
 
Jibu swali we mburula, maabara kuwa certified ndio haiwezi kudanganya?
Hujui maana ya kuwa 'cerified' ndiyo maana unahangaika hivi; na wala hujui taratibu zinazotakiwa kutimizwa ili maabara ziwe 'certified'..

Nikuonye kwa mara ya mwisho. Usitake nikutolee uvivu hapa.

Inaelekea hata ulichokiandika kwenye mada huna ufahamu nacho, na unaposoma wachangiaji wengine huelewi unachosoma.

Kwa mfano, soma mchango #25; na umetoa 'like' pale, sijui kwa sababu zipi!

Nadhani hukuelewa alichoandika mkuu 'Alleny'.
 
Corona hamna lkn wanatumia corona Kama chanzo cha mapato.Kwann upimwa kitu ambacho akipo.Pesa ni muhimu kuliko uhai.Tunamdanganya nani
unaposema corona hamna. uweke na scientific evidence vikiendana na research za ugonwa huo.
otherwise ni story za vijiweni tu
 
mmetaka kupimwa, sasa mnachagua matokeo.

mkiambiwa mna corona zitazuka kelele nyingine tena, kwamba wanawabania msiende nje maana ccm haipendi mkahangaikie maisha abroad.
 
Back
Top Bottom