Je, mamlaka husika zinatoa majibu ya uongo kwa wanaopima Covid 19?

Je, mamlaka husika zinatoa majibu ya uongo kwa wanaopima Covid 19?

Mnakumbuka hili suala mwaka jana lilileta sintofahamu kubwa na Kenya? Madereva walikuwa wanapimwa Tanzania wanaambiwa hawana virus wakitaka kuingia Kenya wakipimwa mpakani wanakutwa na virus. Nchi ya masongombwingo!
kenya ni small part tu. hofu yangu nikuwa. after mataifa yote almost jirani zetu kutake measures za kupambana na huu ugonjwa. watakuwa certified na free ku travel nchi zingine.

what about us? utuliokataa measure yoyote ya kudhibiti huu ugonjwa? na tukihisifu live kuwa ugonjqa haupo? tutakuwa red flagged.
nchi zingine hazitotuamini au hazitoamini raia wa nchi yetu.
still jina la nchi litakuwa limechafuka kutokana na siasa chafu
 
mmetaka kupimwa, sasa mnachagua matokeo.

mkiambiwa mna corona zitazuka kelele nyingine tena, kwamba wanawabania msiende nje maana ccm haipendi mkahangaikie maisha abroad.
Tumia akili we mburula,kama upo positive alafu wakakudanganya ukienda nchi za wajanja lazima ujulikane.
 
Hujui maana ya kuwa 'cerified' ndiyo maana unahangaika hivi; na wala hujui taratibu zinazotakiwa kutimizwa ili maabara ziwe 'certified'..

Nikuonye kwa mara ya mwisho. Usitake nikutolee uvivu hapa.

Inaelekea hata ulichokiandika kwenye mada huna ufahamu nacho, na unaposoma wachangiaji wengine huelewi unachosoma.

Kwa mfano, soma mchango #25; na umetoa 'like' pale, sijui kwa sababu zipi!

Nadhani hukuelewa alichoandika mkuu 'Alleny'.
Hivi una akili wewe bwege? Kuwa verified au certified ndio sababu ya watu kutochakachua matokeo?
 
Mie nafurahi leo nimepata chanjo ya korona “Astra Zeneca” Free.Nasubiria Booster. Nipo nje ya Bongolala.
Kwa hiyo umeamini kwamba umekingwa na kifo kwa kuchoma dawa ambayo bado ipo kwenye majaribio, umeona fahari kwa kufanywa panya wa majaribio!? kubeba kichwa kisicho na ufahamu ni changamoto zaidi ya ile ya kupumua...
 
Tumia akili we mburula,kama upo positive alafu wakakudanganya ukienda nchi za wajanja lazima ujulikane.
umeshaaambiwa chukua tahadhali, na ukihisi dalili chukua hatua 1,2,3.

anyway huko kwa watu mnapewa dawa gani baada ya kugundulika???
 
Tumia akili we mburula,kama upo positive alafu wakakudanganya ukienda nchi za wajanja lazima ujulikane.
Hakuna haja ya kutolea ukali. Infact kupata negative wakati mtu ni positive inaweza kutokea hata nchi za Ulaya. Nimekutana na cases nyingi tu za watu wametoka nchi moja kwenda nyingine na wakati wanatoka nchi ya kwanza wakawa na negative na wakifika nchi nyingine wakakuta positive. Tena kwenye safari ya masaa mawili tu. Huko ni Ulaya. Inategemea na vipimo vinavyotumika vile vile.
 
Iliwahi kuwa hivyo, hasa enzi zile za mipakani na madereva wa malori.

Hiyo ilikuwa enzi hizo, sidhani enzi hizi hilo linawezekana tena!

Taasisi kama Muhimbili ikubali kuchafuka kwa sababu tu za kisiasa? Ni vigumu kuamini.

Kwanza tafuta ni nani wanaopima, halafu wachunguze kwa makini. Ni nadra sana taasisi za aina hiyo kufanya mambo kinyume na taratibu za kitaaluma.
Kuna mengi yanayotokana na kujiharibia jina kimataifa kwa sababu za kijingajinga tu zinazosimamiwa kisiasa.

Kwa mfano: Maabara Muhimbili hawawezi kukata kona na kufanya vipimo kivingine mbali ya njia zinazotakiwa ili yapatikane matokeo wanayoyataka wanasiasa; na hawawezi kutoa cheti kinachoonyesha matokeo tofauti na yale yaliyoonyeshwa na vipimo vyao.

Kwa ufupi ni hivi: kutakuwa na mambo tusiyoyajua yaliyofanyika juu ya vipimo vya hao waliogundulika kuwa wana maambukizi. Ni maabara zipi zilizopima na kutoa majibu? Maabara hizi ziko 'certified' kufanya kazi hiyo na matokeo ya vipimo vyao kutambulika kimataifa?
Pia tujuwe: Kusema mtu ni negative wakati ni positive hutokea hata kwa nchi zilizoendelea. Huwa siyo lazima iwe uzembe au hujuma bali ni aina vya vipimo vinavyotumika na mambo mengine ya kitaalam. Nimeshasoma cases nyingi tu tena kwa nchi ambazo ziko makini kweli kweli. Shida inakuja kama idadi ya watu wanaokosewa ni kubwa. Kwenye ku-diagnosis magonjwa siyo mara zote majibu yanakuwa correct. Kunaweza kuwa na errors na mistakes za hapa na pale hasa kwa ugonjwa mpya kama huu. Ndiyo maana bwana mzee alipoamua yapimwe mapapai na makorokocho mengine na vipimo vikashindwa kuhimili ile ''comedy'' watu wenye utaalam hawakuona ni ajabu. Tatizo ni pale rate ya makosa inapokuwa kubwa.
 
Hakuna haja ya kutolea ukali. Infact kupata negative wakati mtu ni positive inaweza kutokea hata nchi za Ulaya. Nimekutana na cases nyingi tu za watu wametoka nchi moja kwenda nyingine na wakati wanatoka nchi ya kwanza wakawa na negative na wakifika nchi nyingine wakakuta positive. Tena kwenye safari ya masaa mawili tu. Huko ni Ulaya. Inategemea na vipimo vinavyotumika vile vile.
Sijatolea ukali,ila namuweka sawa atumie akili aache kuwa mburula. Maana anasema watu wanachagua majibu. Mtu kuwa negative akiwa nchi flani kisha akakutwa positive akiwa nchi nyingine inategemea na maambukizi na kinga ya mtu maana kuna watu ni hawaonyeshi dalili wakati wana virusi vya corona.
 
Pia tujuwe: Kusema mtu ni negative wakati ni positive hutokea hata kwa nchi zilizoendelea. Huwa siyo lazima iwe uzembe au hujuma bali ni aina vya vipimo vinavyotumika na mambo mengine ya kitaalam. Nimeshasoma cases nyingi tu tena kwa nchi ambazo ziko makini kweli kweli. Shida inakuja kama idadi ya watu wanaokosewa ni kubwa. Kwenye ku-diagnosis magonjwa siyo mara zote majibu yanakuwa correct. Kunaweza kuwa na errors na mistakes za hapa na pale hasa kwa ugonjwa mpya kama huu. Ndiyo maana bwana mzee alipoamua yapimwe mapapai na makorokocho mengine na vipimo vikashindwa kuhimili ile ''comedy'' watu wenye utaalam hawakuona ni ajabu. Tatizo ni pale rate ya makosa inapokuwa kubwa.
Hoja hapa ni kuwa kunaudanganyifu juu ya matokeo hapo kwenye maabara ya taifa. Maana kama kila mtu anayepima ni negative alafu wakienda nje ni positive hili ni tatizo.
 
Pia tujuwe: Kusema mtu ni negative wakati ni positive hutokea hata kwa nchi zilizoendelea. Huwa siyo lazima iwe uzembe au hujuma bali ni aina vya vipimo vinavyotumika na mambo mengine ya kitaalam. Nimeshasoma cases nyingi tu tena kwa nchi ambazo ziko makini kweli kweli. Shida inakuja kama idadi ya watu wanaokosewa ni kubwa. Kwenye ku-diagnosis magonjwa siyo mara zote majibu yanakuwa correct. Kunaweza kuwa na errors na mistakes za hapa na pale hasa kwa ugonjwa mpya kama huu. Ndiyo maana bwana mzee alipoamua yapimwe mapapai na makorokocho mengine na vipimo vikashindwa kuhimili ile ''comedy'' watu wenye utaalam hawakuona ni ajabu. Tatizo ni pale rate ya makosa inapokuwa kubwa.
Kifupi ni kwamba, hata katika sayansi bado kuna "confounding results", matokeo yasiyoelezeka/tegemewa. Hakuna 'fullproof' ya jambo lolote.

Lakini kiujumla, kama maabara iko'accredited' kimataifa, mategemeo ni kwamba wanajua na kufuata taratibu za kazi zao. Ni aibu kubwa sana, na aibu hii inaonekana hata kwa wataalam kwenye maabara hizi ikibainika kulifanyika chochote kinachoweza kusababisha matokeo ya kazi zao kutiliwa mashaka wakati wowote ule.

Hata hapa Tanzania katika hali yetu hii ya kisiasa, bado haiwezekani maabara wapindishe matokeo kwa maagizo ya kisiasa.
 
what about us? utuliokataa measure yoyote ya kudhibiti huu ugonjwa? na tukihisifu live kuwa ugonjqa haupo? tutakuwa red flagged.
nchi zingine hazitotuamini au hazitoamini raia wa nchi yetu.
still jina la nchi litakuwa limechafuka kutokana na siasa chafu
Usiwe na hofu mkuu, tumekwishaanza kulainika, hatutafika huko kwa kutengwa na wengine.

Wewe huoni lugha ilivyoanza kubadilika sasa?

Kitakachofuata sasa ni kusafisha uchafu kitaalam, ili mkuu asionekane ni mchafu.

Ninakuhakikishia hutasikia tena zile stori za 'mabeberu' wanaotafuta kutumaliza ili wabebe utajiri wetu.
 
Hizi tuhuma zimekuwepo kwa muda mrefu kuwa watanzanzania au raia wa nje wanapotaka kwenda nje hutakiwa kupima Covid-19 na kupatiwa cheti kuonyesha kuwa hawana maambukizi.

Lakini kumekuwa na na tetezi zinazogaa mitandaoni kuwa mamlaka husika hapa Tanzania hazitoi majibu sahihi. Na mara zote watu wakipima wanaambiwa hawana maambukizi. Ila wakienda nje ya nchi wanapopimwa wanakutwa na maambukizi.

Hivi mamlaka husika mnaficha ili iweje? Kwamba Tanzania kutokuwa na maambukizi ndio sifa?

Leo hii kuna watanzania watatu huko Angola wameonekana na maambukizi,ina maana hapo maabara kwenu hamkugundua? Au mnataka kusema maabukizi wameyapata huko Angola?

Mnadhani UK ilikosea bahati mbaya kupiga marufuku watanzania kuingia huko kwao?

Kuweni wakweli maana mmeanza kuaibika.
Umesoma hii Multibillion rail project connecting SGR to Uganda border approved
 
Je, maabara ikiwa certified na watalaamu wanaokubalika haiwezi kuchakachua matokeo?
Ukitulia nitakujibu na kukupa darasa. Majibu ya maabara yanakuwa 'certified'; maabara inakuwa 'Accredited'.

Jibu hapa ni kuwa HAIWEZI.

Utaratibu hauruhusu. Labda uchakachuaji ufanyike nje ya maabara.
 
Ukitulia nitakujibu na kukupa darasa. Majibu ya maabara yanakuwa 'certified'; maabara inakuwa 'Accredited'.

Jibu hapa ni kuwa HAIWEZI.

Utaratibu hauruhusu. Labda uchakachuaji ufanyike nje ya maabara.
Akili yako ni -1
 
Akili yako ni -1
Mpumbavu mkubwa wewe. Huu ulionao wewe sio ujinga.

Hata hayo machache niliyokuandikia hapo hukuambulia chochote?

Maana yake ni kwamba hata ule msingi mdogo wa kuanzia kuelewa haya mambo wewe huna!

Basi nakuacha uendelee kuwa mpumbavu.
 
Back
Top Bottom