Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Mpinga kristo!!!
 

Attachments

  • TAMU.mp4
    3.8 MB
Una kifungu chochote kuwa quran isiharibiwe kwa sababu Muhammad ni mtume wa mwisho.

Vitabu vyote vya mwenyezi Mungu kabla ya mtume viharibiwe hadi atakapokuja mtume.

Umeandika uongo mkubwa sana ambao hata mtume akisimama na wewe mbele ya kiti cha hukumu cha Yesu atakukana.

Wakati mtume anatokewa na jibril pangoni alipelekwa kwa Waraqa. Hadith sahih Bukhari imeweka wazi kuwa huyu Waraqa alikuwa anatafsiri injil. Maana take hadi mtume anapata huo unaoitwa utume injil ilikuwepo.

Katika nguzo za uislam, zinawataka waamini vitabu vya mwenyezi Mungu yaani Injil, Zabur na taurat. Sasa mnanguzo ya uongo. Maana Imani chanzo chake ni kusikia neno la Mungu, sasa utasikiaje kitu ambacho hakipo.

Umeandika contradictions
 
Imekopi mambo mengi kimakosa inaonekana lengo ni kukifanya kionekane kitabu hicho kinauhusiano na Mungu wa kwenye agano la kale na jipya ili kiwe na sura ya udini. Vibginevyo kingekuwa kama vitabu vya kihindu.

Lengo kuu inaonekana ni kumuhafifisha Yesu na wokovu aliouleta, ili wanaoufuata uislam wakose matumaini maana hata wanaomfuata hana uhakika na hatma yake.

Kile kitabu kimekaa kimtego sana, inahitaji akili kubwa kujua kinaweza kuwa kimefunga watu mamilioni wasione mpango wa Mungu wa kumrejeza mwanadamu katika hadhi aliyomkusudia kabla ya kudanganywa eden.
 
Kati ya Biblia na Quran ipi ilianza?
Acha kupotosha watu ndugu.
 
Wakristo hawamtumbui Issa bali wanamtambua Yesu kristo aliyesurubiwa msalabani na siku ya tatu akafufuka na hana uhusiano wowote na Issa.
Ila waislamu wanamtambua Issa wakimaanisha Yesu. Ukimuuliza muislam yoyote kuhusu Issa atakuambia ndiye Yesu wa kwenye Biblia.
Quran imenukuu kutoka kwenye biblia
 

Ni kweli sisi waislamu tunaamini Injili, Zaburi na Taurati ni vitabu vya Mwenyezi Mungu vilivyoteremshwa kwa Mitume tofauti kwa zama zao, ila sasa kuna kitabu cha nne ambacho ni Quran kilicho teremshwa kwa Mtume wa sasa ambaye ni wa mwisho ambaye ni Muhammad (SAW).

Hivyo vitabu vyote vilivyotangulia kama mikono ya waandishi haikuharibu maneno yao yangekuwa sawa sawa na Quran tu kwa sababu vitabu vyote vimeteremshwa na Mungu huyo huyo mmoja. Hizi tofauti zimeletwa na wafuasi wa Mitume waliopita ambao ndio walibadilisha baadhi ya maneno kwenye vitabu vya zamani.

Quran haijawahi na haiwezi kubadilishwa mpaka mwisho wa dahari. Ni ahadi ambayo Mwenyezi you ameahidi na ndio mana hadi leo miaka 1400 bado ipo vile vile.
 
Hivyo vitabu vyote vilivyotangulia kama mikono ya waandishi haikuharibu maneno yao yangekuwa sawa sawa na Quran tu kwa sababu vitabu vyote vimeteremshwa na Mungu huyo huyo mmoja.
Allah alikuwa wapi waandishi wakiharibu vitabu vyake ?

Na toka kitabu chake Cha mwisho kiharibiwe ilimchukua mda gani kuleta kingine?
 
Kwa nini vitabu vyoote vipqkaziwe kuharibiwa na waandishi, wakati mfumo wa Mungu kabla ya quran alikuwa anawaagiza watu wake waandike.

Mungu huyu Allah yeye inaonekana ni mpya maana haamini katika kuandika (permanent storage).
1: Hakuwahi Kuagiza kitabu cha Quran kiandikwe.
2: Hata Mohammad mwenyewe hakuwahi kumuagiza mtu yeyote aandike hicho kitabu.
3: Aliagiza watu wakariri. Wakitunze kichwani (Temporary storage) inaonekana hayo maneno yalikuwa ninya muda mfupi tu, alafu yale ya mitume na manabii kabla ya huyu unayemtetea ndio yalikuwa yakudumu ndio maana yapo hadi kesho licha ya kupakaziwa kuchakachuliwa.

Nani aliagiza Quran au Mushaf uandikwe.
1: Ni kiongozi wa Kisiasa rafiki yake mtume Caliph Uthman.

Lini?
Karibu miaka 20 baada ya kifo cha Mohammad mwaka 650BK.

Calif abubakar hakufanya hivyo.
Calif Umar hakufanya hivyo.
Hii inakifanya kuwa kitabu cha kutiliwa shaka sana kuliko vitabu vyote vya kidini maana baada ya kufanya hivyo kinyume na maagizo ya Allah wala Mohammed aliagiza manuscripts ambazo zilitumika kukitengeneza (Yale magombo waliyokuwa wanatumia kuandika ili wakariri) aliagiza yachomwe moto.

Quran ndio kitabu pekee cha kidini ambacho huwezi kwenda uarabuni ukafanya excavation ukakutana na ushahidi hata wa ngozi au jiwe au kipande cha katatasi za zamani ambazo ukizisoma zinamaneno yanafanana angalau na hicho kilichomo kwenye hii compilation ya Kiongozi wa wa kisiasa na kidini Caliph Umar wa Islamic Calphate ya wakati wake.

Wakati makusanyo ya kitabu vya biblia, Juzijuzi tu wamekuta kwenye vyungu katika kuchimba kuna karatasi za karne ya kwanza zenye makusanyo karibu yote ya hiki tunachokiita agano jipya leo (Sinai Manuscripts).
Dead sea scrolls nyingi za kale zanachimbuliwa kila leo wanakutana na magombo ya kale hata kabla ya Yesu yenye maandishi ambayo ukifungua kwenye biblia inayotumika leo unayakuta yanafanana.

Mkuu haya mambo nje ya JF huwezi kuyasikia msikitini.

Ndio maana ili kuficha hizi siri, Quran imewekwa katika mfumo wa viapo. Kila sentensi ni kama kiapo havina ushahidi na hauhitaji kuhoji.
 
Malaika wako tu wanawacheki watu walivyo na mhaho mazee mungu yupo [emoji120]
 
Kwanini waliamua kuanzisha uislam badala ya kusambaza injili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…