Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Kwa hiyo waarabu kabla ya mohammad au ulumwengu wote haukuwa unatumia nini au ulikuwa unasubiri ujio wa Mohammad.
Je Mohammad aiiona hiyo injili ya Isa aliookuja au alise.a tu nimeisitisha nimekuja na joja mpya.
Waisrael walijua Kuna nabii atakuja,ndiyo maana walimuuliza yesu ikiwa yeye ndiye nabii yule,yesu akasema hapana,atakuja yeye asiyesema kwa mapenzi yake Bali ya baba,yaani Muhammad hakusema Bali Yale aliyoteremshiwa,kuhusu wakati usihofu,Pana wakati mrefu Sana baina ya Musa na yesu,Ibrahim na Musa, Ibrahim na Muhammad
 
Unamaanisha Musa alimuita Mungu Allah sw!?..ni yuleyule,je walimwitaje kwa lugha zao!?..je tuiamini biblia katika Hilo!?
Hakumuita Allah alimuita YHWH, Mungu ni cheo, ila jina lake halisi la Mungu wa Musa ni YHWH ambalo si jina la cheo. Kumbuka Allah maana yake ni Mungu ambalo kwa Mungu wa Musa ni cheo tu.

Wayahudi wengi walikuwa wanaita watoto wao majina ya kuwakumbusha Mungu wa Musa, mfano Yahushua/Yesu(YHWH anaokoa), EliYahu/ELIYA(YHWH ni Mungu), Yehoshapati(YHWH ni Hakimu).
 
Hakumuita Allah alimuita YHWH, Mungu ni cheo, ila jina lake halisi la Mungu wa Musa ni YHWH ambalo si jina la cheo. Kumbuka Allah maana yake ni Mungu ambalo kwa Mungu wa Musa ni cheo tu.

Wayahudi wengi walikuwa wanaita watoto wao majina ya kuwakumbusha Mungu wa Musa, mfano Yahushua/Yesu(YHWH anaokoa), EliYahu/ELIYA(YHWH ni Mungu), Yehoshapati(YHWH ni Hakimu).
Mungu yuleyule,majina kwa lugha zao manabii husika,Ila sifa zake ukiwauliza ni zilezile
 
Yap huwa narudi kwenye maana za asili kigiriki na kiebrania ili nielewe kina. Kama ambavyo nafanya kwenye version za quran. Narudi kwenye kiarabu ikiwezekana kiarabu cha kale naangalia tafsiri pana za neno au hoja ninayotaka kuielewa.

Unaweza kujikita kwenye mada sasa.
Nipo kwenye mada, Kwanza tuyakinishe ukweli wa maandiko yako, sawa?

Kajisome paragraph yako ya kwanza halafu nioneshe katika biblia zote ulizozisoma ni ipi hiyo ambayo ina miaka "zaidi ya 1000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.".

Halafu unaongelea "mtume" yupi wa Waislam? Kwa sababu Waislam tuna mitume mingi iliyotajwa kwa majina katika Qur'an.
 
Waisrael walijua Kuna nabii atakuja,ndiyo maana walimuuliza yesu ikiwa yeye ndiye nabii yule,yesu akasema hapana,atakuja yeye asiyesema kwa mapenzi yake Bali ya baba,yaani Muhammad hakusema Bali Yale aliyoteremshiwa,kuhusu wakati usihofu,Pana wakati mrefu Sana baina ya Musa na yesu,Ibrahim na Musa, Ibrahim na Muhammad
Unaomstari wowote kutoka kwenye injili ya isa kwa wayahudi isa akiandika kuwa kuna mtume mpya atakuja. Kama huna hayo maneno umeyatolea wapi. Maana hayo maneno unayosema yanaonyesha ni kabla ya ujio wa Mohammad SAW.
 
Unataka reference iwe Qur'an tu!?
iwe quruani tu ndiyo......nakuwekea hapa ushahid wa biblia kuwa ibrahim alikuwa mwebrania na aliongea kiebrania kama ilivyo kwa musa na wayahudi wote
 

Attachments

  • 20230911_203846.jpg
    20230911_203846.jpg
    92 KB · Views: 1
1. Kwanini biblia itaje na kuandika stori zilizokuwepo kwenye vitabu vya kiyaudi ambavyo vilikuwepo miaka zaidi ya 2000 ?

2. Unaweza kunitajia Hud , qaarun, idrisa, samiry, dhurqalnain, luqman, haman, swaleh ,abraha, dhu nuwas, uzair, zayd bin haritha na wengineo wengi waliotajwa kwenye quran wanapatika ukurasa upi wa kwenye biblia?

3. Labda nikwambie ukweli mchungu ambao ninyi wakristo hamuutaki na ndo reality hamuwezi kuibadili hauwezi kufanya mchana kuwa usiku kwa kufumba macho , ni hivi isa bin maryam(peace be upon him) mnayemwita yesu alikuwa ni mtu na mtume wa Allah( the almighty) na alipewa kitabu cha injil ambacho kina ujumbe wa tawhid na sheria mpya za Allah(the almighty) kwa wana wa israel ila waliomwamini ni wachache na majority ya waisrael wakataka kumwua hivyo Allah(the almighty) akamuepusha na njama zao na akamuhifadhi mpaka muda maalum atarudi ikiwa ni ishara ya siku za mwishi atamalizia umri wake duniani ataoa atakufa atazikwa karibu na mtume muhammad ( peace be upon him) .

Sasa alivyoondoshwa na kuhifadhiwa na Allah( the almighty) aliacha kitabu cha mwenyezi mungu (injil) ambapo walibakia nacho wale walioamini ikiwa ni pamoja na swahaba zake (hawariyun)miaka ilivyokwenda waisrael wakawa wana ki edit kwa kuondoa baadhi ya makatazo na amri na kuweka za kwao mwisho wa siku wakaja watu kama wakina paulo wakaanzisha ukristo warumi waka adopt dini hii mpya wakaendelea pale waliopoishia wayahudi kwa kuongeza maneno yao kwenye hichi kitabu kipya cha biblia wakatengeneza dini mpya ya mseto yenye mafundisho ya kipagani na baadhi ya kiyahudi wakapata Roman catholic.

Masahihisho
Isa bin maryam(peace be upon him) alikuwepo miaka 560 kabla ya kuzaliwa kipenzi cha Allah ( the almighty ) bwana mtume muhammad (peace be upon him).

Tupe basi hicho kitabu Og,achana na hichi kilichochakachuliwa. Kwa mujibu wa maelezo yako.
 
Biblia ipi unayoisoma, ya lugha gani? Na iliandikwa lini?
Samahani, swali juu ya swali!

1) Quran iliandikwa lini?

2) Iliwekwa kwenye mfumo wa maandishi lini?

3) Nani aliiweka kwenye mfumo wa maandishi?

4) Je, Allah alihusika kwenye huo mfumo wa maandishi au mwanadamu?
 
iwe quruani tu ndiyo......nakuwekea hapa ushahid wa biblia kuwa ibrahim alikuwa mwebrania na aliongea kiebrania kama ilivyo kwa musa na wayahudi wote
Wewe kiingereza huongei,ni muingereza!?.. waisrael wakati wa yesu hawakuongea kirumi,walikua warumi!?..
 
Unaushahidi wowote wa uwepo wa kitabu kinachoitwa injili kilichoandikwa na nabii Yesu. Unahata aya moja kutoka kwenye hicho kitabu unitumie.
Hapa. Kama huna usikizungumzie mkuu.

Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kukutaza kuxungumzia vitabu ambavyo unaamini vipo lakini hujawahi kuviona wala huna aya zake.
Injili ni Nini kwanza wakuu.

Tusiminyane tu
 
Quran imetaja majina ya watu ambao tayari biblia ilishawataja zamani miaka zaidi ya 1000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Quran imetaja story zinazofanana na story za kwenye biblia au maandiko ya kiyahudi yaliyokuwepo miaka zaidi ya 2000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Nini chanzo cha hizi story kuonekana humo?. Najiuliza. Kama mwenyezi Mungu alisahau kitu huko nyumq kwa nini asingeleta story na mambo mapya ili yaonekane ni mbadala wa yale yaliyokuwepo?

Je hizi ni moja ya sababu?

1: Kwa sababu ukristo ulikuwepo uarabuni zaidi ya miaka 600 kabla ya kuzaliwa Mtume wa waislam, basi zilichanganywa ili kuvuta wafuasi.

2: Kwa sababu Mtume wa waislam alipotokewa na kitu asichokifahamu, mkewe mkubwa alimpeleka kwa mkristo ili amsaidia ndugu Waraqa. Na kazi ya huyu waraqa ilikuwa ni kutafsiri maandiko ya biblia kwa kiarabu, basi kuishi hapo ambapo alitabiriwa utume alipata ideas mbili tatu kuhusu mambo yaliyokuwemo kwenye maandiko ya wakristo na wayahudi.

3: Kile kilichomtokea pangoni ndio kilimpa hayo maagizo na kumpa tips zinazoendana na maandiko kabla yake ila zikiwa zimechanganywa ili kuleta utofauti.

4: Au yale yalikuwa ni maelekezo ya Allah ambayo hayatakiwi kuhojiwa wala kuzungumziwa wala kulinganishwa na chochote.


Wajuvi mtujuze sisi wenye akili viherehere tusiona mipaka kujifunza mambo.

Comments ziheshimu imani za watu.
1 and 2 are true...
 
Nipo kwenye mada, Kwanza tuyakinishe ukweli wa maandiko yako, sawa?

Kajisome paragraph yako ya kwanza halafu nioneshe katika biblia zote ulizozisoma ni ipi hiyo ambayo ina miaka "zaidi ya 1000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.".

Halafu unaongelea "mtume" yupi wa Waislam? Kwa sababu Waislam tuna mitume mingi iliyotajwa kwa majina katika Qur'an.
Mtume wa waislam mimi ninayemfaham ni Mohammad ambaye anaushahidi kwa kitabu alichotuletea. Kutaja wengine kabla yake kuwa wanauhusiano naye sio ushahidi. Ushahidi ni angalau wao wenyewe au wenzao wa wakati huo kuwataja kwenye vitabu vitakatifu nje ya Quran. Je unaushahidi huo nje ya quran?

Para ya kwanza haisemi biblia inazaidi ya miaka 1000, ila vinavyotajwa nani ya biblia vina zaidi ya miaka 3000 kqbla ya quran. Ila hata ukitakq hivyo pia bado para iko sawa. Bibliq ni makusanyo yq vitabu vitakatifu. Hii kazi imeanza miaka mingi kabla ya Yesu sio tu Mohammad.
Aliafnya ezra na nehemia baada ya kutoka utumwani babeli na yakakusanywa na kusomwa mbele za watu. Wakati huo kulikuwa na torah na baadhi ya vitabu vya waflme na manabii.
 
Injili ni Nini kwanza wakuu.

Tusiminyane tu
Ijil ni habari njema. Goodnews.
Ni habari njemq yenye uwezo wa kuketa wakovu kwa kila aiaminiye hii ndio kaleta Yesu. Ila Quran inahabari njema nyingi ila hazina ushahidi wa kuwa na nguvu ya kumuokoa anayezifuatilia.
 
Wewe kiingereza huongei,ni muingereza!?.. waisrael wakati wa yesu hawakuongea kirumi,walikua warumi!?..
ndugu alikuwa mwebrania wa kuzaliwa soma andiko vizuri ( ibrahimu huyo mwebrania) ...na enzi za ibrahimu waarabu hawakuwepo duniani....bado nasubiri ushahid wa kwenye quruani tukufu wa ibrahim kuwa mwarabu
 
Qorsn ni plagiarism ya bible
Bible Mungu alishuka usiku mnene,akabondwa na yakobo mpaka ambariki,akambariki yakobo ndo akamwachia arudi mbinguni asionwe na watu,huwezi Kuta hizo kufru kwenye QUR'AN,kusema Qur'an ni desa la bible ni kutovijua vitabu vyote
 
ndugu alikuwa mwebrania wa kuzaliwa soma andiko vizuri ( ibrahimu huyo mwebrania) ...na enzi za ibrahimu waarabu hawakuwepo duniani....bado nasubiri ushahid wa kwenye quruani tukufu wa ibrahim kuwa mwarabu
Mwebrania aliyehamia siyo!?...
 
Back
Top Bottom