Kama sijaona mtu aliyetekwa, utaniaminisha vipi kwamba watu wanatekwa. Vile vile Kuna uthibitisho wowote kwamba hayati Magufuli aliteka watu. Na kutekwa kwa watu Kuna uhusiano gani na fani yake ya mziki. Kwanini mlazimishe akili zifananeHajakatazwa kuwa mwanaccm , alichotakiwa kujiongeza nacho ni kupiga watu kurundikwa kwenye viroba na maiti kuokotwa ufukweni , watu kutekwa
Ana elimu ya form four lakini amewaajiri watu wengi wenye degree. Vile vile akili na elimu ni vitu viwili tofauti. Kwahiyo naweza kusema Mondi ana akili sana ndo maana amefanikiwaana elimu gani ? kwa sababu mafunzo huyapata wenye akili
Wanaharakati ni wale waliokua wanasema ATCL haina faida bali ina hasara,waliokua wanatupasha habari juu ya maiti zilikua zinaokotwa kwenye fujo za koko bichi zikiwa kwenye viroba,waliokua wanasema SHUJAA ni mgonjwa na nyie mkawa mnapinga hao ndio wanaharakati niliowakusudiaHao "wanaharakati" waliosimama upande wa haki ni akina nani? Wako wapi? Lissu alipoitisha maandamano hayo pichani walitokea? View attachment 1811498
Ni jukumu la kila mtuDiamond ni mwanamziki na anafanya Kazi ya mziki, hizo haki watazisimamia wengine.
Hata firaauni PHARAOH aliijenga misri lakini alikua dhalimuHao wadhalimu ndio walitumia nguvu na akili zao katika kuijenga Tanzania. Haiwezekani asilimia pana ya walichokifanya kikawa ni udhalimu tu.
Mwanamuziki ni mtu mdogo sana kuweza kuuweka hadharani huo udhalimu halafu akaendelea kuwa na urafiki na uongozi wa juu wa watuhumiwa wa udhalimu.
Tanzania watu 60M, ukimuondoa diamond na Magufuli watabaki 60M . Sasa Kuna haja gani kutaka kurudisha maendeleo ya mtu nyuma kisa tu mlitofautiana mitazamo. Kwa point kama hizi hayati Magufuli huwa anatumia kwa kusema wapinzani wanakwamisha maendeleoNi jukumu la kila mtu
Kumtukana mpishi huku ukiendelea kula chakula alichopika ni upumbavuHata firaauni PHARAOH aliijenga misri lakini alikua dhalimu
Pingamizi dhidi ya diamond ni kwa sababu ya kutosimama upande wa haki kwa mujibu wa hao wanaharakatiAsante kwa maoni yako lakini kwa nini isiwe hasara iliyopatikana kutokana na matendo yake?
haya ni mambo mawili yasiyo fanana kabisa soma vizuri pingamizi lote kwa nini Diamond anashutumiwa.
Kuchagua au kuchaguliwa ni haki ya kila raia. Yeye kasimamia haki yake ya kuchagua upande anaoupenda. Hapo shida iko wapiPingamizi dhidi ya diamond ni kwa sababu ya kutosimama upande wa haki kwa mujibu wa hao wanaharakati
Lakini yeye mwenyewe amesema hakuna wa kuweza kumshusha,means kwamba hakuna wa kumkwamisha mambo yakeTanzania watu 60M, ukimuondoa diamond na Magufuli watabaki 60M . Sasa Kuna haja gani kutaka kurudisha maendeleo ya mtu nyuma kisa tu mlitofautiana mitazamo. Kwa point kama hizi hayati Magufuli huwa anatumia kwa kusema wapinzani wanakwamisha maendeleo
Sasa na wanaharakati wamechagua kuwasemea watu,sasa wakisema kwa BET kua msanii kwenye kinyang'anyiro chao ana support udhalimu Kuna shida ganiKuchagua au kuchaguliwa ni haki ya kila raia. Yeye kasimamia haki yake ya kuchagua upande anaoupenda. Hapo shida iko wapi
Ni wajinga sana hawa wanaokuja na hii kitu wanakiita petitionDiamond ni mwanamziki na anafanya Kazi ya mziki, hizo haki watazisimamia wengine.
Ccm Ni wachache Sana kwa wanigeriaCcm wote wakiungana kumpigia kura lzm atashinda
Kumbe ukiwa msanii huruhusuwi kuwa mwanachama wa chama siasa?Hujaelewa au huelewi kabisa...
Kumbuka ulivyofundishwa shuleni kwenye somo la FASIHI kuwa, MSANII yeyote kama alivyo KIONGOZI yeyote ni KIOO CHA JAMII...
Kioo hakioneshi kisichoonekana. Jamii inatazama kile msanii anachofanya hadharani na kuonekana na kila mtu. Jamii ndiyo inayotoa hukumu ya kile msanii au kiongozi afanyacho..
Hayo ya kupewa milioni 100 unayajua wewe na yamefanyika sirini huko. Jamii haijishughulishi nayo hayo. Tunataka kumhukumu kwa kile anachokisambaza ktk jamii kupitia usanii wake. Kizuri au kibaya. Hapo kila mtu atajaji kivyake...
By the way, siyo kila sehemu/mahali palipo na pesa utakwenda kuchukua pesa hizo hata kama itabidi "uvuje jacho" kuzipata eti tu kwa sababu untafuta pesa...!
Alichofanya Diamond Platnumz na kujipatia hizo usemazo milioni 100 huko sirini ni ujambazi tu dhidi ya utu na haki za raia kwa kutumiwa na utawala katili wa CCM kwa jina la "kutoa burudani...."
Hapa ndipo lilipo tatizo ndugu. Fungua macho yako ya ndani uone. Acha kutazama kwa juu juu tu bila kutafakari...
The guy doesn't deserve any international recognition under this circumstances and we are going to make sure that is happening...!!
Sio wanakukataa Ila Wana ku disapprove hiyo ni kitu tofautiHoja ni kwamba anafatitiliwa na watu wengi sana. Hiyo 25000 ni watu na milioni 10 ni watu pia sasa 25000 wakikukataa wakati unakubalika na watu m. 10 huoni kama ni move ya kutafuta sehemu ya kutolea machungu. Kusaini kuna ugumu gani?
Sio hivyo Bali aliungana na watesi wa watu hicho ndio kinamkostiKumbe ukiwa msanii huruhusuwi kuwa mwanachama wa chama siasa?
Watu hawaelewi ishu ya kuvunja haki za binadamu ni mziki unao weza kumkosti mtu hadi dunia mzima ikamchukiaHajakatazwa kuwa mwanaccm , alichotakiwa kujiongeza nacho ni kupiga watu kurundikwa kwenye viroba na maiti kuokotwa ufukweni , watu kutekwa
Umeisoma? Bado imetafsiliwa kiswahili lakini bado huelewi,ok subiri tafasiri ya kiyunani unakuja kesho huenda utaelewa.Ni wajinga sana hawa wanaokuja na hii kitu wanakiita petition
Watamtupa nje ya kinyang'anyilo.Sasa na wanaharakati wamechagua kuwasemea watu,sasa wakisema kwa BET kua msanii kwenye kinyang'anyiro chao ana support udhalimu Kuna shida gani