Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Nimekumbuka kuna picha Mange alimpost mama yake, i think walikuwa Airport. Mange amefanana sana na mama yake; na hata kwenye picha yule mama hakuonekana kuwa mwenye shida/maskini.
Sasa mbona huwa kama hana interest nae asee[emoji848]
 
Kama ni hivyo mbona alishindwa kesi ya mirathi na mke wa mzee.
Na angekua wa halali asingeacha kuandika historia yake hii mnayoipamba mitandaoni.

Mbona ameshawahi kuiandika na kuclarify hilo, wewe kutoiona haimaanishi haipo!

Halafu Mange hajashindwa mirathi bwana, wamegawiwa mali wote. Sources zako mbona hazina facts mama?

Usigubikwe na chuki, najua Mange kachafua wengi mjini hapa tena sometimes kwa kufabricate uongo mbaya sana ila usilipe ubaya kwa ubaya!
 
Nimekumbuka kuna picha Mange alimpost mama yake, i think walikuwa Airport. Mange amefanana sana na mama yake; na hata kwenye picha yule mama hakuonekana kuwa mwenye shida/maskini.
Hata mimi naikumbuka hiyo picha,na alielezea kwa uwazi kabisa bila kuficha hata mvutano kati ya Wazazi wake wa Custody ya Mange hadi Baba akafaulu kupewa haki ya kumlea.Nashangaa watu wanavyosema alikuwa anamficha Mama yake
 
Bora na wewe umesema,yani mtu anapindisha ukweli kisa kujifurahisha nafsi yake.Mange alisema hawezi badili uraia wa Tanzania maana akifanya hivyo tu atakosa haki ya kurithi ardhi Tanzania ambapo ana plots Mbweni ikiwa sehemu ya urithi wake kutoka kwa Baba yake.
 
Duh[emoji849][emoji848]
 
Exactly
Hata mimi naikumbuka hiyo picha,na alielezea kwa uwazi kabisa bila kuficha hata mvutano kati ya Wazazi wake wa Custody ya Mange hadi Baba akafaulu kupewa haki ya kumlea.Nashangaa watu wanavyosema alikuwa anamficha Mama yake
 
Duuh umenikumbusha enzi za U-turn

Sent using Jamii Forums mobile app
We acha tu,Enzi za "Mashauzi yanataka pesa au Muke ya Muzungu" 😄 ilikuwa ni moto.Mange ana mapungufu yake mengi tu lakini inapokuja swala la kuweka wazi mambo yake inapohitajika huwa hafichi kitu,iwe mazuri au mabaya.Inaonekana wengi wameanza kumjulia Instagram ndiyo maana wanakuja na story za uongo za mambo ambayo enzi za u-turn tayari yalishawekwa wazi.
 
Kama kipindi kile cha "DEEP MAWAZU"
 
Kutwa midomo mireeefu ndo nimeshaandika hivyo inawauma mezeni wembe
 
Msukule naona unataka kulia jamani poleee toto ya sidechick,toto ya hawara.

Yeah JF kiboko ya waongo toto ya hawara ilikuja kubisha hapa haijaachika ikaumbuliwa na kukimbia ID yake
Mange sio mtoto wa sidechick, Mange hajashindwa kesi ya mirathi. Kama hutaki basi ila hutokuja kutudanganya hapa!

JF kiboko ya waongo na wanaodandia matreni kwa mbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…