Je, marekani itaweka zuio kwa kampuni ya China ya AI [Deepseek] ili kulinda makampuni yake ya ndani ya Artifical Intelligence[AI]

Je, marekani itaweka zuio kwa kampuni ya China ya AI [Deepseek] ili kulinda makampuni yake ya ndani ya Artifical Intelligence[AI]

Hapa Mchina kapiga kata funua knockout blow, kitakachowagharimu Wachina ni serikali ya Kikomunisti ya CCP kuwa na mkono mrefu kwenye AI zao.
Wanasema kwenye hii AI ukiuliza maswali negative kumuhusu Xi Jinping haikupi majibu au inatoa majibu fyongo, mara iji autocorrect.
shida ipo wap?? mbona ma AI ya huko kwa z
wazungu yapo monitoring
 
Back
Top Bottom