Hapa Mchina kapiga kata funua knockout blow, kitakachowagharimu Wachina ni serikali ya Kikomunisti ya CCP kuwa na mkono mrefu kwenye AI zao.
Wanasema kwenye hii AI ukiuliza maswali negative kumuhusu Xi Jinping haikupi majibu au inatoa majibu fyongo, mara iji autocorrect.