Je, Master J huwa anampiga Shaa?

Je, Master J huwa anampiga Shaa?

Sijawai kupiga mwanamke na uhenda inaweza isitokee kabisa mimi kumpiga mwanamke.

Lakini wanawake wana midomo sana na wabinafsi sometimes unawaelewa wanaopiga mwanamke.

Mimi demu akizingua na makelele yake au mawivu najikataa kimya kimya atashangaa tu eeeh hivi kumbe mapenzi yashaisha.... ikitokea kwa mke sijui itakuwaje wanawake punguzeni midomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi akinizingua tuu,nawasha gari,huyooo naenda National Park yeyote ile kwa wiki bila ya kumwambia nipo wapi wala kuwasiliana naye wala watu wake wa karibu.
 
Ulivyojiweka ndivyo utakavyofanywa.
Kama unajibiwa vibaya, ivyo ndivyo ulivyojiweka.
By the way..
Kwa mkono wangu huu, mmh..!! Sijuiii...

Nitapiga vipigo vya kisaikolojia maana mimi mkono wangu ni mzito sana, nikiushusha mara moja tuu kila kilicho chini ya nkono kinakua chapati na sijui kukadiria kipigo cha mwanamke wala mwanaume wala cha mbwa, nikipiga nimepiga.

Lakini Grace wawatu mpaka nimpige amefanya nini jamani. Mtoto wa watu very innocent. Yani hata nikitamani mabinti huko duniani, nikikumbuka innocence yake tuu habari inaishia hapo hapo
 
Sasa mke yupo ndani utajikataje kimya kimya? Utakimbia nyumbani kwako?
Ndio sijui itakuwaje maana sipendi mwanamke mwenye kelele yani mimi mwanamke akitaka nimkinai mapema aanze mdomo na kutaka kunipanda kichwani fasta tunamalizana.
Uwa naomba huu mtihani usinikute kwenye ndoa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] safi sister angu baby wake alikuwaga anampiga hata akiwa na mimba siku hyo acha amvute dudu Hadi kazimia mpaka Leo amekoma, hii tabia ya kupigana sio nzuri
Angeuaaa uwiii[emoji119][emoji119]
 
Kweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
Huyu hana akili...anakataaje kumnyonuesha mtoto...yni mi navyopenda wanangu kuliko kula eeeh...
 
Juzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo.

Akaniandikia meseji ya ajabu Hadi sn "yaani wewe mwanaume Hadi mshahara uishe ndy utatulia nyumbani,sasa hivi ushaenda Kwa michepuko yako". Isivyo bahati meseji inaingia nami ndy nafika nyumbani,nikaweka mzigo wake mezani akachezea vibao kadhaa kisha akaniomba msamaha kwamba hakujua km nimeenda huko

Kwa wale wenye kukaa na wanawake wanaelewa kbs jinsi wanawake wanavyozingua,Mimi simlaumu kbs master J km anampiga mkewe,maana kauli umetoka upande mmoja wa mwanamke,ingawa naye hayupo direct
Unampiga Samia?
 
Kweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi ujanja wangu wote mwanaume akiwa karibu sigombani,sibishi,situtakani mqqna najua kabisa kibongobongo kifuatacho ITV ....[emoji1][emoji1][emoji1]sijawahi hata kutiwa singi,Mimi hua nikiona hapa pamekaa vibaya naomba msamaha au nakaa kimya baasi!
Jeuri tukiwa mbali mbali
 
Dada yangu,usiombe mwanaume akupige na umuvizie umpige! Hua naona mara nyingi, mwanaume akimpiga mke wake na mke akawa Cool,hua hakuna ugomvi zaidi,ila sasa mwanaume akupige kofi halafu urudishe,na maneno mengi sijui,nipige sasa,nasema nipige?? Nakuambia unaweza shangaa umepaa kama ndege! Utakua mtama huo,kabla hujatua chini,unakula kerebu! Ukija fika chini,mchuzi unamwagika tu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hata simjibishi nakuwa kimya nafanya yameisha huku naanda rungu navunja mguu nasepa zangu mie[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
'I took it like a champ'

Ni kosa la nani kuiaminisha jamii kwamba kupigwa ni kipimo cha upendo? Kwamba wivu ni namna ya kuexpress unavyompenda mtu? Kwamba ukipigwa ukavumilia "You are a champ"?

Wanawake wamekua programmed kua victims since birth no wonder mwanamke atapigwa na partner wake atalia atanyamaza na atajiona yeye ndiye kisababishi cha kupigwa.

Kama uhusiano wako upo hivi tafadhali jua upo kwenye uhusiano na manipulator. Atapindua maneno kukufanya uone wewe ndiye mwenye makosa, atakufanya uhisi bila yeye hauwezi.

Na jamii inachukulia kupigana ni sehemu ya maisha ya ndoa, hili swala linaonekana la kawaida kiasi kwamba Shaa yuko proud to take a beating.

'I took it like a champ'

Beaten by somebody you believe you love each other. Ni upuuzi.
 
Juzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo.

Akaniandikia meseji ya ajabu Hadi sn "yaani wewe mwanaume Hadi mshahara uishe ndy utatulia nyumbani,sasa hivi ushaenda Kwa michepuko yako". Isivyo bahati meseji inaingia nami ndy nafika nyumbani,nikaweka mzigo wake mezani akachezea vibao kadhaa kisha akaniomba msamaha kwamba hakujua km nimeenda huko

Kwa wale wenye kukaa na wanawake wanaelewa kbs jinsi wanawake wanavyozingua,Mimi simlaumu kbs master J km anampiga mkewe,maana kauli umetoka upande mmoja wa mwanamke,ingawa naye hayupo direct

Ukamchezesha...reset [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom