Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Mtu ukinunua valuer ni lazima uwe na matatizo?
Valuer ni takataka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ukinunua valuer ni lazima uwe na matatizo?
Tena upumbavu uliopitiliza'I took it like a champ'
Ni kosa la nani kuiaminisha jamii kwamba kupigwa ni kipimo cha upendo? Kwamba wivu ni namna ya kuexpress unavyompenda mtu? Kwamba ukipigwa ukavumilia "You are a champ"?
Wanawake wamekua programmed kua victims since birth no wonder mwanamke atapigwa na partner wake atalia atanyamaza na atajiona yeye ndiye kisababishi cha kupigwa.
Kama uhusiano wako upo hivi tafadhali jua upo kwenye uhusiano na manipulator. Atapindua maneno kukufanya uone wewe ndiye mwenye makosa, atakufanya uhisi bila yeye hauwezi.
Na jamii inachukulia kupigana ni sehemu ya maisha ya ndoa, hili swala linaonekana la kawaida kiasi kwamba Shaa yuko proud to take a beating.
'I took it like a champ'
Beaten by somebody you believe you love each other. Ni upuuzi.
Kuna muda unajikuta huna jinsi mkuu [emoji16]Ukamchezesha...reset [emoji23][emoji23]
Hawa watu basi tu kuishi nao inataka moyo wa chuma...ndo maana wanaume wenye mioyo mwepesi ndoa zinawashinda mapema sanaKweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
Mkuu km unaishi na mwanamke unaweza kujua ni jinsi gani wanazingua..bahati mbaya Mimi sijui kuongea nikiwa na hasiraKwa msg hiyo mjomba, sijaona sababu ya kumpiga. Labda ulirundika visa then hiyo ikawa sababu.
Tena maneno mbofumbofu kabisaKuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka
Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
Hili ni kweli kabisa, kuna mzee aliwahi kusema pia.Ukiona mwanaume ameachana na mkewe wa ujana mukimbie Mita 1000 mbali kwa usalama wengi huwa na matatizo na hamna mwanamke anayependa kukimbia ndoa yake, Sasa wanawake wanaotaka ndoa huamini wataweza ishi naye kumbe ndio kutafta majanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana hii mambo ya zana za kivita[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] duh! Kuna siku tulizinguana na wife,nimeenda kupiga story na masela, narudi home,kaficha dhana zote zakivita,chumbani hua kuna panga,sime,rungu,shoka na mshale kwa ajiri ya vibaka pindi wakileta usumbufu,sasa nimerudi home sizioni na wife yuko zake kimya sebuleni ana cheki tv,nikasema kumbe anaogopa selikali ya Taliban huyu,kwamba hizi dhana zinaweza kua fimbo kwake!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Na wanawake huwa hatusikii wala mtu aliyeachana na mke ni nadra kudumu hata na ndoa ya piliHili ni kweli kabisa, kuna mzee aliwahi kusema pia.
Mkuu huyo wife ungempa nyongeza ya konzi moja hatari sanaa...Kweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
Mkuu uwezo wa kupopoa mawe au kilicho mbele yako si kupigwaaa huko ni kupapaswaUkinipiga lazima nikupopoe mawe tu...kama hamna mawe basi kilichopo mbele yangu halali yako
Yaani jana kidogo nikosee.Hawa watu kwakweli kuna muda wana maudhi ya ulimwengu mzimaKuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka
Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
Ulitaka kumpa kerbu😅Yaani jana kidogo nikosee.Hawa watu kwakweli kuna muda wana maudhi ya ulimwengu mzima
Habari imeongelea wakati uliopita...haijataja when exactly...
Anaweza akawa anaongelewa ex hapo...