Je, Master J huwa anampiga Shaa?

Tena upumbavu uliopitiliza
 
Kweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
Hawa watu basi tu kuishi nao inataka moyo wa chuma...ndo maana wanaume wenye mioyo mwepesi ndoa zinawashinda mapema sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana hii mambo ya zana za kivita
 
Ukinipiga lazima nikupopoe mawe tu...kama hamna mawe basi kilichopo mbele yangu halali yako
Mkuu uwezo wa kupopoa mawe au kilicho mbele yako si kupigwaaa huko ni kupapaswa
Unapigwa una sawajika vema mpaka nywele kichwani zinatoka
Sasa uwezo huo wa kupopoa mawe upo
Zaidi ni hospital na bed rest juu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka

Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
Yaani jana kidogo nikosee.Hawa watu kwakweli kuna muda wana maudhi ya ulimwengu mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…