Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahhh- mateso yatia mzuka hahahahahahComte ni chizi kweli ukishashikwa na polisi inakua sio polisi nidola hivyo unatulia unawasikiliza swla la mateso ni unateswa wapi kwani hauwi kwenye mapigano kinachotakiwa na kustahimili hayo mateso ......inakuonyesha unaishi bado kwamama ako na baba ako
Na ndio maana mchizi yule sijui ling'w ama adamooo aliruka kichura chura kupunguza maumivu afterwards wakati mwili ukiwa mbichi na maumivu, angekua mtoa maada kwa kile kipondo na teso walichopitia hata mahakamani asingefikaIsije kuwa wewe ndiye badluck, unakuja kupima upepo hapa, tofautisha mafunzo na mateso ya kipangiliwa. Mafunzo yanataratibu zake
.
Sidhani kama uko sahihi sana nadhani your myopicArgument ya kijinga
Mafunzo yanakuandaa kukutana na mazingira tofauti tofauti. Y ao wanayosema ni mateso kutoka kwa polisi hayalingani na ambayo wangepata wangetekwa na adui- kumbe Adamoo angeuza nchiMafunzo siyo Mateso , halafu ulichokuwa hujui ni hiki , hawa walitakiwa kuuawa siyo kuteswa , ni bahati mbaya tu kwamba hawakufa
japo anaweza tu kuvumiliaUnaamini story za Vijiweni za Commando 1 sawa na Askari 100!?
Conando naye ni Binadamu, anasikia Maumivu Kama wewe, japo anaweza tu kuvumilia!
Adamoo alipitia haya na akafaulu
Special Forces Selection is the toughest testing platform in the Military – a twelve-month process that 85 percent of candidates fail. It’s designed to break you.
There are only three options on selection: You quit, you get injured, or you outlast. The human body is built for survival and will adapt to better handle cold, heat, stress, pain and just about anything you can throw at it.
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.
Wale siyo makomando ni walevi wa madawa ya kulevya walifukuzwa jeshini kwa hiyo ni Unfit. Msituzalilize sisi makomando wa kweli jamani.Adamoo na wenzake ni makomandoo waliohitimu. Kwa taarifa zilizopo mafunzo ya ukomandoo siyo mchezo.
Ilikuwaje wakanyong'onyezwa na mateso ya polisi yakiwemo kunyimwa chakula, kufungwa kitambaa machoni na kutishwa na bastola iliyoko kiunoni mwa polisi mpaka wakasema wasiyopaswa kusema.
Kama polisi wanawagwaya askari jeshi wa kawaida hawa makomandoo kulikoni?
Komando hatakiwi kutoa siri kama kuawawa auwawe tu ndiyo wanavyofundishwa achana na hao watumia madawa ya kulevya! Kwa hiyo ingekuwa wako vitani wanaweza kuiuza kombania nzima kwa adui!!?Mateso yana vary lakin hakuna mahali wame state mateso fulani ndio yatumike na mengine yasitumike. Vyombo husika vina green light kutumia kila amount ya mateso makali kuliko ili wakufanye uongee. Haijalishi una mafunzo ama lah.
Ukomando haukufanyi kiwa immune to pain,mateso. Remember wale bado ni binadami, na kila binadam ana breaking point.
unakomaa sio unafinywa kidogo unataja michepuko yote yababa ako kwa mama ako..kaza ndo displine ya ukomando na ukakamavu ...hahahahahahahhh- mateso yatia mzuka hahahahahah
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.Mleta mada kwa upande wangu we ni KIAZI. elimu yako niya vyeti tu.
Na umri wako wote huo unaleta mada kama hii, harafu ujiite greatthinker !.
Mafunzo n'a mateso unaona kama jambo moja !?.
WE NIMBURULA.
povu ruksa, maana sijakukopesha.
Siku nyingine utumie akili.
Nyie ndo mmeifikisha hali hii hapa.
Kama hujui kutofautisha MATESO NA MAFUNZO hivyo hunatofauti na Maiti.
Sorry sihitaji kujua wanatumia madawa au lah.Komando hatakiwi kutoa siri kama kuawawa auwawe tu ndiyo wanavyofundishwa achana na hao watumia madawa ya kulevya! Kwa hiyo ingekuwa wako vitani wanaweza kuiuza kombania nzima kwa adui!!?
Una reasoning ya kitoto kabisa.Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.
sasa walipata mafunzo wakayatumie wapi? Hayo yanayosemekana ni mateso ya polisi ndiyo mazingira muafaka kwa kukabili kutokana na mafunzo yao.
Sasa Mbowe alikuwa anawatafuta wa nini kama ni walaini kiasi hicho. LAZIMA KULIKUWA NA KITU NA KITU HICHO SI KINGINE ISIPOKUWA NJAMA ZA UGAIDI
Siri gani upumbavu ?!. Siri zipo za kulindwa si ubambikaji [emoji107]Komando hatakiwi kutoa siri kama kuawawa auwawe tu ndiyo wanavyofundishwa achana na hao watumia madawa ya kulevya! Kwa hiyo ingekuwa wako vitani wanaweza kuiuza kombania nzima kwa adui!!?
Kuvumilia kuna limitation? Unaweza vumilia mfupa kusagwa bila ganzi wewe? Unaweza vumilia kukatwa kiungo cha mwili.. nazungumzia kitenganishwe huku ukiwa macho?japo anaweza tu kuvumilia
sasa adamoo alishindwa kuvumilia au anatafuta huruma ya mahakama?
Ulitakaje kwa mfano?!Special Forces Selection is the toughest testing platform in the Military – a twelve-month process that 85 percent of candidates fail. It’s designed to break you.
There are only three options on selection: You quit, you get injured, or you outlast. The human body is built for survival and will adapt to better handle cold, heat, stress, pain and just about anything you can throw at it.
Special Forces training is designed to test you physically, mentally and emotionally to build your mental strength. Personally, when it comes to mental strength, I believe you need to increase your body’s ability to withstand pain and getting comfortable being uncomfortable.