Je, Matibabu ya saratani na kisukari kwa tiba mbadala ni uhalisia?

Je, Matibabu ya saratani na kisukari kwa tiba mbadala ni uhalisia?

Shida ya waAfrica ndio ipo hapo madawa mengi mazuri yamepotea Kwa sababu hakuna kumbumbu
So sad. Serikali ingefuatilia haya Mambo. Wanalo Baraza la tiba asilia. Tungeweza kuongeza pato la taifa kupitia medical tourism. Imagine hiyo dawa ingekuwa approved na taasisi za serikali si kungekuwa na mafuriko ya watalii mpaka tukose pa kuwalaza!
 
Nina mgonjwa wa saratani. Imemchukua miezi sita kuanza kupata tiba kuanzia Muhimbili miezi 4 ya nenda rudi na ocean Road miezi 2.

Mgonjwa mwenye saratani hadi stage 2 hupona au kuongeza siku za kuishi.

Mgonjwa wangu baada ya ya kupata mionzi sasa hapati maumivu tena ktk ujumbe wa saratani. Bali kwasasa anauguq maumivu ya mwili mzima imunatokana na miozi yenyewe
Huwa najiuliza mionzi Ni salama? Haiathiri deli na tissue zilizo jirani na uvimbe?
 
Huwa najiuliza mionzi Ni salama? Haiathiri deli na tissue zilizo jirani na uvimbe?
Ndio tiba inayofaa kwa sasa.

Kazi ya mionzi ni kuuw wadudu wa kansa kutoendelea kukua na kuzaikina.

Mafanikio ya mionzi ni kutoendelea kupata maumivu na kuongezeka kwa uvimbe wa saratani.

Ni heri mionzi kuliko tiba yyt MBADALA kwasasa.
Mgonjwa walio alikuwa ni muoga wa mionzi. Ilipofika ktkt ya tiba nilimjaribu na kumwambia tuachane ya tiba ya mionzi. Walikataa. Akisema imemsaidia sana
 
Mshua toka 2007 anaumwaga vidonda vya tumbo hakuna hospital na clinic hajakajaga dawa za miti shamba uliweka ndani utazan mganga muda wote huwa anaendelea kula omeplazole toka miaka hiyo mwaka huu amekataa kutumia dawa aina yeyote anadai amechoka but cha ajabu afya inaimalika toka kaacha dawa hadi nashindwa kuelewa

Chinno wana man
Duuh...ale Hindi changa asubuhi na jioni kwa siku tatu, au juice ya majani ya mshika nguo kwa wiki moja asubuhi na jioni
 
Ndio tiba inayofaa kwa sasa.

Kazi ya mionzi ni kuuw wadudu wa kansa kutoendelea kukua na kuzaikina.

Mafanikio ya mionzi ni kutoendelea kupata maumivu na kuongezeka kwa uvimbe wa saratani.

Ni heri mionzi kuliko tiba yyt MBADALA kwasasa.
Mgonjwa walio alikuwa ni muoga wa mionzi. Ilipofika ktkt ya tiba nilimjaribu na kumwambia tuachane ya tiba ya mionzi. Walikataa. Akisema imemsaidia sana
Mionzi sio tiba nzuri ya kutibu maradhi ya Saratani Mionzi ina madhara makubwa ukitumia kuliko hata kuponya hayo maradhi yako.
 
Kuna madai mengi kutoka hizi sanitarium clinics kwamba wanaweza kutibu kansa aina zote na kisukari aina zote Ila binafsi simfahamu mtu yeyote aliyekuwa na magonjwa haya akatibiwa akapona. Mwenye ushahidi atusaidie tuweze kuamini kwani kuna watu wengi wanasumbuliwa na haya maradhi duniani kote.
Dawa ya kisukari ni kuacha wanga na sukari
 
Juice kipimo gani na iandaliwe vipi??
Unaponda ponda yale majani unachanganya na maji then unapata glass asubuhi na jioni.
Njia nyingine unachuma Yale majani kiasi cha kiganja cha mkono halafu unayatumbukiza katika kikombe chenye maji ya moto kwa muda wa dakika 3-5 maji yata badilika rangi utayanywa na utatafuna kiasi kidogo cha hayo majani na kumeza...asubuhi na jioni kwa week...
Usaidie na wengine wapone kwa kuwapa ushuhuda huko ulipo.
 
hawa wahuni nakumbuka nlpokuwa form six bukoba miaka hiyo nkatembelea samaritan kutibiwa nliishia kushikishwa kifaa mkonon eti kinapima magonjwa yote nkaishia kuambiwa nna vidonda vya tumbo nkapewa majivu eti niwe nachanganya na maji nlivorudi nyumban bi mkubwa akanikataza lakin hadi leo sina dalili zozote za vidonda vya tumbo asee tutibiwe hospitali achaneni na hizo mambo
 
kwenye hizi good samaritan kuna kifaa chao cha kushika mkononi wanadai kinapima mwili mzima kitu ambacho hakipo duniani kinachoshangaza wadau wameteka sawa wazazi wetu wanawazungusha kwa magonjwa wasiyoweza kutibu kuja kwenda hospitali ugonjwa ushafika kwenye terminal stage
 
Mshua toka 2007 anaumwaga vidonda vya tumbo hakuna hospital na clinic hajakajaga dawa za miti shamba uliweka ndani utazan mganga muda wote huwa anaendelea kula omeplazole toka miaka hiyo mwaka huu amekataa kutumia dawa aina yeyote anadai amechoka but cha ajabu afya inaimalika toka kaacha dawa hadi nashindwa kuelewa

Chinno wana man
hili la ulcers nakumbuka kuna rafiki yangu mmoja nilisoma nae isipokuwa yeye alikuwa anaishi dsm,ikawa ananilalamikia sana vidonda vya tumbo vinamsumbua sana kama nitasikia dawa nzuri huku nilipo nimsaidie maana katumia dawa nyingi mpaka amechoka,ilitokea siku nikapita sehemu nikamkuta mama mmoja anatangaza dawa za asili na akataja kuwa anayo dawa ya tatizo lile niliingiwa na shauku ya kumuuliza na nikamnunulia jamaa yangu maana yule mama aliniaminisha sana,jamaa alitumia chupa mbili na alinihakikishia amepona kabisa na mpka sasa hajawahi kusumbuliwa tena na ulcers.hivyo dawa inaonekana zipo ila tatizo kuzijua ndio shida maana wauzaji nao wamekuwa engi siku izi.
 
Back
Top Bottom