Je, Matibabu ya saratani na kisukari kwa tiba mbadala ni uhalisia?

Je, Matibabu ya saratani na kisukari kwa tiba mbadala ni uhalisia?

Interesting,cancer haiwezi kupona kwa tiba mbadala. Tunachokosea pia ni kwamba hawa watu wa tiba mbadala wanaichukulia cancer kama ugonjwa wa malaria vile.

Cancer zipo za aina nyingi,how come wao wanatibu zote bila hata kuzitambua kwanza? Cancer ya ziwa zipo za aina kibao (aggressive na non aggressive),ndiyo maana wengine wanakufa faster,wengine na survive,wengine wanapona kabisa. Najiuliza kama mganga anatibu cancer ni ya aina gani?

Serikali inatakiwa iingilie Kati,watu wanadanganywa na kushauriwa kuacha matibabu ya hospitali. Steve Jobs wa apple 🍎 alikufa kwa cance ya kongosho,mwanzo alikomaa na tiba mbadala za kishindo,kichina Hali ikawa tete. Alivyorudi hospitali kwa kuchelewa at least aliboreka kidogo na kuishi miaka ya nyongeza.

Cancer ya kongosho ipo kwenye top 3 ya cancer zenye survival rate ndogo sana,ikiwa pamoja na cancer ya mapafu,ubongo .
 
Wanatuibia tu, na kwa sababu ya ugonjwa inabidi kujaribu, ila suala kupona hiyo ni kitu kingine bib mkubwa anaumwa preassure kila siku tunajaribu , lakini ki ukweli bado tusikie shuhuda zingine
Kabla ya kuja watu weupe! Waafrika walikuwa wana jitibu na dawa toka nchi gani??Au Wadhungu walikuja Africa na Magonjwa na dawa zake?
 
Kuna madai mengi kutoka hizi sanitarium clinics kwamba wanaweza kutibu kansa aina zote na kisukari aina zote Ila binafsi simfahamu mtu yeyote aliyekuwa na magonjwa haya akatibiwa akapona. Mwenye ushahidi atusaidie tuweze kuamini kwani kuna watu wengi wanasumbuliwa na haya maradhi duniani kote.
Africa tuna Dawa zetu Bora na za uhakika kuliko hizo za Wazungu. India na China zinafuata nyuma ya Africa


View: https://twitter.com/shokojr_/status/1553404848984530944?lang=fa

 
Nina mgonjwa wa saratani. Imemchukua miezi sita kuanza kupata tiba kuanzia Muhimbili miezi 4 ya nenda rudi na ocean Road miezi 2.

Mgonjwa mwenye saratani hadi stage 2 hupona au kuongeza siku za kuishi.

Mgonjwa wangu baada ya ya kupata mionzi sasa hapati maumivu tena ktk ujumbe wa saratani. Bali kwasasa anauguq maumivu ya mwili mzima imunatokana na miozi yenyewe
Vipi hali ya mgonjwa ndugu, nina mgonjwa hapa kwakweli nimekata tamaa.
 
Vipi hali ya mgonjwa ndugu, nina mgonjwa hapa kwakweli nimekata tamaa.
Pole sana mkuu,cancer sehemu pekee yenye huduma ya uhakika kwa Tanzania ni hospital ya ocean road tu. Usiende kwa watu wa tiba mbadala au waganga wa kienyeji.
 
Ndio tiba inayofaa kwa sasa.

Kazi ya mionzi ni kuuw wadudu wa kansa kutoendelea kukua na kuzaikina.

Mafanikio ya mionzi ni kutoendelea kupata maumivu na kuongezeka kwa uvimbe wa saratani.

Ni heri mionzi kuliko tiba yyt MBADALA kwasasa.
Mgonjwa walio alikuwa ni muoga wa mionzi. Ilipofika ktkt ya tiba nilimjaribu na kumwambia tuachane ya tiba ya mionzi. Walikataa. Akisema imemsaidia sana
WE NI MUUAJI.
 
Vipi hali ya mgonjwa ndugu, nina mgonjwa hapa kwakweli nimekata tamaa.
Mgonjwa wangu anaimarika kidogo kidogo. Kapungua sana lkn vipimo vya mwisho hajaonekana na kansa.

Lkn anaendelea kujiuguza kidonda kinachotokana na operation ya kuondolewa uvimbe aliokuwa nao.

But kimechukua muda mrefu kidonda kupona.
 
Wanatuibia tu, na kwa sababu ya ugonjwa inabidi kujaribu, ila suala kupona hiyo ni kitu kingine bib mkubwa anaumwa preassure kila siku tunajaribu , lakini ki ukweli bado tusikie shuhuda zingine
Mkuu pole kwa mama yako kuumwa na maradhi ya presha hebu nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kumtibia mama yako hayo maradhi yake ya Presha ili aweze kupona maradhi yake.
 
Tiba nzuri ni kutumia dawa za asili zinaponyesha kabisa ukiweza kuzipata na kuzitumia.
Tunazo hizo tiba. Kuwa muwazi watu wanataabika.

Nina mgonjwa mwengine ana kansa ya utumbo mkubwa.

Nambie kama zipo dawa za kutibu tatizo hilo.

Huyu naogopa hata kumwanzishia mionzi. Kwa yuko stage ya 3
 
Niletee kwangu Mimi sitaki malipo mradi atumie dawa Kwa usahihi gharama ya kunnua dawa ni ya kwako lakini..utaleta matokeo humu Kwa uwezo Wa Mungu
Shidaa Watu wamekua matapeli SIKU hizi na wengi hawaamini tiba asilia ila zipo na wanapona Watu kabisaa
Siwezi SEMA humu ila dawa zipo
Habari yako.....nina mgonjwa anateseka sana na haya mardh samahan naomba uni dm mawasiliano yako kuweza kupata msaada tafadhali.
 
Kuna madai mengi kutoka hizi sanitarium clinics kwamba wanaweza kutibu kansa aina zote na kisukari aina zote Ila binafsi simfahamu mtu yeyote aliyekuwa na magonjwa haya akatibiwa akapona. Mwenye ushahidi atusaidie tuweze kuamini kwani kuna watu wengi wanasumbuliwa na haya maradhi duniani kote.
Kuna Dawa za asili zinatibu Kisukari na kansa. Ikumbukwe kuwa haya Magonjwa yalikuwepo Africa ata kabla ya Watu weupe kufika Barani Africa. Je Babu zetu walijitibu na nini???.....China mpaka leo zipo hospital 100% zinatibu kwa miti shamba. India pia wana official Taasisi ya madawa ya kienyeji.Kwenye Miti kuna kila aina ya Dawa kwa tiba ya matatizo yote na Tanzania tumebarikiwa kuwa na mita Dawa mingi. Tuna kitengo cha dawa asili , Wizara ya Afya wana Mahabara pale Muhimbili fika hapo wana certified Miti shamba kwa ajili ya HIV,Kisukari na kansa.Majumbani mwetu wengi kuna mti unaitwa Mwarobahini-- from India (wengi wanasema hunatibu magonjwa 40.
 
Kuna Dawa za asili zinatibu Kisukari na kansa. Ikumbukwe kuwa haya Magonjwa yalikuwepo Africa ata kabla ya Watu weupe kufika Barani Africa. Je Babu zetu walijitibu na nini???.....China mpaka leo zipo hospital 100% zinatibu kwa miti shamba. India pia wana official Taasisi ya madawa ya kienyeji.Kwenye Miti kuna kila aina ya Dawa kwa tiba ya matatizo yote na Tanzania tumebarikiwa kuwa na mita Dawa mingi. Tuna kitengo cha dawa asili , Wizara ya Afya wana Mahabara pale Muhimbili fika hapo wana certified Miti shamba kwa ajili ya HIV,Kisukari na kansa.Majumbani mwetu wengi kuna mti unaitwa Mwarobahini-- from India (wengi wanasema hunatibu magonjwa 40.
Shida ni kwamba hata hao wenye maradhi wameaminishwa kutokupona jambo ambalo si kweli.Kwa hiyo hata kama utamweleza kuwa nitakutibu na utapona anaweza asikuelewe! Lakini wapo wachache wanaojitoa mhanga na kuamua kutibiwa wanapona na kurejesha afya zao.Kupanga ni kuchagua amini kutokupona uendelee kuugua au amini kutibiwa upone na pengine ukapona kweli.Mungu aliweka kila kitu kwenye mimea wala usidanganywe na mtu,hata hizi dawa nyingi za hosp ni mimea ingawa si zote.
Tunashukuru kwa sasa Wizara ya afya imetoa kibali kupitia baraza la tiba asili/mbadala hosp zote za rufaa zina kitengi cha tiba asili/mbadala.
Huku kwetu utapona moyo,lakini hosp utameza dawa maisha yako yote,huku kwetu utapona ulcers,lakini hosp utameza dawa siku zote,huku kwetu utapona bawasiri na tezi dume bila upasuaji lakini,hosp utafanyiwa operation....! Kwa hiyo kupanga ni kuchagua.
 
Shida ni kwamba hata hao wenye maradhi wameaminishwa kutokupona jambo ambalo si kweli.Kwa hiyo hata kama utamweleza kuwa nitakutibu na utapona anaweza asikuelewe! Lakini wapo wachache wanaojitoa mhanga na kuamua kutibiwa wanapona na kurejesha afya zao.Kupanga ni kuchagua amini kutokupona uendelee kuugua au amini kutibiwa upone na pengine ukapona kweli.Mungu aliweka kila kitu kwenye mimea wala usidanganywe na mtu,hata hizi dawa nyingi za hosp ni mimea ingawa si zote.
Tunashukuru kwa sasa Wizara ya afya imetoa kibali kupitia baraza la tiba asili/mbadala hosp zote za rufaa zina kitengi cha tiba asili/mbadala.
Huku kwetu utapona moyo,lakini hosp utameza dawa maisha yako yote,huku kwetu utapona ulcers,lakini hosp utameza dawa siku zote,huku kwetu utapona bawasiri na tezi dume bila upasuaji lakini,hosp utafanyiwa operation....! Kwa hiyo kupanga ni kuchagua.
Kweli kabisa upo sahihi- Dawa za asili zina ponya kabisa na sio Kutuliza kama hizi za Wazungu. Mfano kuna mti mmoja unarudisha nguvu za Kiume baada ya matumizi ya mwezi mmoja na anakuwa sawa kwa miaka mingi mbeleni. Lakini Wazungu wana promote Viagra ambazo mtu akitumia kwa muda fulani tatizo linakuwa kubwa
 
Kuna tibabu mmoja hapa ARUSHA ameniambia anatibu Kisukari kwa nusu milioni , maanina zake , matapeli hawa watu ,
 
Back
Top Bottom