Je, Messi akikosa Kombe La Dunia Atakua Juu ya Cristiano Ronaldo?

Je, Messi akikosa Kombe La Dunia Atakua Juu ya Cristiano Ronaldo?

France angekuwa hajabeba World Cup hivi karibuni ningesema Game ya leo anaweza akambania Argentina asibebe.

Mbape amenyanyua kwapa kubeba hili kombe 2018 pamoja na wenzie, wao pia ni wanadamu. Hawawezi kukaza mshipa kumbania Messi akiyepambana ktk carrier yake kwa zaidi ya miaka 18 pasipo World Cup.
Haya haya mambo ndiyo yamempa baadhi ya ballon 'dor ambazo hakustahili.

Ni mchezaji mzuri ndio ila anatengenezewa tuzo ili kuweka kumbu kumbu tu nyingine hakustahili kabisa.Bibadamu wakilewa ujinga huwa wapuuzi sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
JamiiForums781607235.jpg
 
Messi ameshamuacha Ronaldo kitambo sana, na hii wala sio mada tena. Messi ana Ballon 7, Ronaldo 5. Messi anachokitafuta kwa sasa ni yeye kuwa mchezaji bora wa muda wote.

Hata wachezaji wa ufaransa wenyewe wanatamani kumuona Messi akitunza hii heshima yake. Argentina anabeba hili kombe leo.
Messi ana Magoli Mangapi??
 
Hata akipata hawezi kuwa juu, washambuliaji hupimwa kwa kufunga kwao, sasa kati ya eashambuliaji hawa nani ana magoli mengi.Ubishi wa ngomani muachage.Kwamba mmakonde akitania sana atamzidi mngoni.WASHAMBULIAJI HUPIMWA KWA IDADI YA MAGOLI.
 
Hata akipata hawezi kuwa juu, washambuliaji hupimwa kwa kufunga kwao, sasa kati ya eashambuliaji hawa nani ana magoli mengi.Ubishi wa ngomani muachage.Kwamba mmakonde akitania sana atamzidi mngoni.WASHAMBULIAJI HUPIMWA KWA IDADI YA MAGOLI.
Mkuu wacha tutulie maana tumesemwa sana
 
Habarani Wapenda Michezo.

Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.

Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.

Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.

Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
Bado Ronaldo atabaki na deni la kuipatia timu yake medali ya kombe la dunia.
 
Peter Crouch na Podcast yake, anasema mtu anayemchagua CR7 na kumuacha MESSI,anamtazama marambili na kushuku uwezo na ufahamu wake wa kandanda.! Hii battle ya hawa jamaa nilifanya uamuzi sahihi mwaka 2010,Nikawa na wa enjoy wote bila taabu yoyote.
 
Peter Crouch na Podcast yake, anasema mtu anayemchagua CR7 na kumuacha MESSI,anamtazama marambili na kushuku uwezo na ufahamu wake wa kandanda.! Hii battle ya hawa jamaa nilifanya uamuzi sahihi mwaka 2010,Nikawa na wa enjoy wote bila taabu yoyote.
Viumbe kutoka sayari Nyingine kabisa
 
Messi akishinda Leo atakuwa sawa na Maradona na Pele wakati ufaransa akishinda Leo itakuwa timu bora Kama Brazil ya 1962 na mbape atakuwa Kama pele .
Kwahio Tusubiri Rekodi
 
Messi akishinda Leo atakuwa sawa na Maradona na Pele wakati ufaransa akishinda Leo itakuwa timu bora Kama Brazil ya 1962 na mbape atakuwa Kama pele .
Kwahio Tusubiri Rekodi
Siku ya rekodi
 
Back
Top Bottom