ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Mesii yupo juu ya ronaldo jana leo kesho na hata milele
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini naamini watoto wako unawafundisha au utawafundisha kua na Moyo wa Upambanaji kama RonaldoMesii yupo juu ya ronaldo jana leo kesho na hata milele
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sio juu ya ronaldo tu atakua juu ya maradona may be na pele kwa kifupi messi kabakiwa na hii mechi moja tu ya leo hili aandike historia ya mchezaji bora kuwahi kutokea hapa dunianiHabarani Wapenda Michezo.
Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.
Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.
Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.
Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
Tuwe wakweli hizi tuzo kwa miaka kadhaa hizi tuzo zilikua za kisiasa.. zile 4 mfululizo pale kulikua na tuzo moja ya xavi, moja ya inoesta na moja ya sneidjerMpaka Sasa Messi yupo juu ya Ronaldo, ushahidi ni hizi tuzo za mchezaji bora wa dunia tuangalie kila mmoja anazo ngapi.
View attachment 2450370
Akose tuuHabarani Wapenda Michezo.
Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.
Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.
Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.
Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
Kwamba ufaransa watalegeza au sio? Hakuna kitu kama hicho mzeeFrance angekuwa hajabeba World Cup hivi karibuni ningesema Game ya leo anaweza akambania Argentina asibebe.
Mbape amenyanyua kwapa kubeba hili kombe 2018 pamoja na wenzie, wao pia ni wanadamu. Hawawezi kukaza mshipa kumbania Messi akiyepambana ktk carrier yake kwa zaidi ya miaka 18 pasipo World Cup.
Ebu lete fully takwamu za watu hao wawili then tuchambue ubora waoHabarani Wapenda Michezo.
Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.
Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.
Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.
Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
2026 Mesi ana nafasi kubwa sana ya kushiriki kombe la dunia kuliko Penaldo.Keep Alive nakuombea see you 2026
Juu ya pele kwa kipi?Sio juu ya ronaldo tu atakua juu ya maradona may be na pele kwa kifupi messi kabakiwa na hii mechi moja tu ya leo hili aandike historia ya mchezaji bora kuwahi kutokea hapa duniani
Next time mkuuEbu lete fully takwamu za watu hao wawili then tuchambue ubora wao
Nimesema may be.. unajua pele pamoja na ubora wake ikumbukwe hakucheza ulaya ambapo kuna ushindani mkubwa pia magori yake amefunga kipindi ambacho sheria ya offside ilikua dhaifu sana sio kama sasa hivi kuna VAR timu ya taifa brazil alizungukwa na mafundi wengi sana hii ilichangia kuonekana ni bora yaani kama pedro wakati wa barca ya gadiora alizungukwa na wachezaji mahiri wengi akaonekana bora ila baada ya kuondoka barca hakuwa na maajabu yoyote maana hakuzungukwa na wachezaji wenye ubora mkubwa kama alipotoka world cup 3 alizochukua pele ilikua ni zamani sana timu nyingi dhaifu na ikumbukwe world cup moja alikua bado mdogo sana akiwa na miaka 17 tu ni sawa na kusema alienda kutalii tu hakuwa na mchango wowote uenda pele na messi wangecheza mpira kizazi kimoja messi angekua juu ya peleJuu ya pele kwa kipi?
Kabxa mkuu..Mess amepambana sanaa..ila kwel Mungu anajibu kila ombi la mja wakeKila mpenda football anatamani kumuona Messi akibeba hili kombe. Leo Messi anakwenda kutengeneza Historia mpya ya maisha yake ktk futbol.
Sitaki kuamini
ImetimiaSio juu ya ronaldo tu atakua juu ya maradona may be na pele kwa kifupi messi kabakiwa na hii mechi moja tu ya leo hili aandike historia ya mchezaji bora kuwahi kutokea hapa duniani
Sio juu ya ronaldo tu atakua juu ya maradona may be na pele kwa kifupi messi kabakiwa na hii mechi moja tu ya leo hili aandike historia ya mchezaji bora kuwahi kutokea hapa duniani
Ni kweli mkuu na ugumu wa kulinganisha ndo unakuja hapo sasa wamecheza kwenye vizazi tofauti je messi angeweza kuwafunika hao watu kama angecheza kwenye zama zao? Vipi pele na maradona wangeweza kumfunika messi kama wangecheza kwenye zama zake? Ni mjadala mgumu sanaRespect legend kina maradona na pele, messi kachukua once yes he is best in this erra lakin before yeye kulikuwa na legends before him they did more kuliko messi.
Moyo wa upambanaji nadhani sasa umeuonaLakini naamini watoto wako unawafundisha au utawafundisha kua na Moyo wa Upambanaji kama Ronaldo
Hii inakusaidia na kutusaidia nini? Miswahili bwana, hovyoLoser!😎