Je, Messi akikosa Kombe La Dunia Atakua Juu ya Cristiano Ronaldo?

Je, Messi akikosa Kombe La Dunia Atakua Juu ya Cristiano Ronaldo?

Habarani Wapenda Michezo.

Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.

Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.

Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.

Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
Sio juu ya ronaldo tu atakua juu ya maradona may be na pele kwa kifupi messi kabakiwa na hii mechi moja tu ya leo hili aandike historia ya mchezaji bora kuwahi kutokea hapa duniani
 
Habarani Wapenda Michezo.

Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.

Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.

Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.

Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
Akose tuu
 
France angekuwa hajabeba World Cup hivi karibuni ningesema Game ya leo anaweza akambania Argentina asibebe.

Mbape amenyanyua kwapa kubeba hili kombe 2018 pamoja na wenzie, wao pia ni wanadamu. Hawawezi kukaza mshipa kumbania Messi akiyepambana ktk carrier yake kwa zaidi ya miaka 18 pasipo World Cup.
Kwamba ufaransa watalegeza au sio? Hakuna kitu kama hicho mzee
 
Habarani Wapenda Michezo.

Naomba niseme mapema mimi ni shabiki wa Ronaldo the Boy from Madeira CR7 shabiki Kufakufa. Hio haimanishi siwez kusema mazuri ya Messi NO, MESSI is so F*ck*ng Talented Kabisa.

Nirud kwenye Mada. Leo ndio ndio ile siku Maalum. Macho Mengi yapo kwa Messi. Dua Nyingi zipo kwa Messi,
Watu wanataka Messi ashinde Hii World Cup na wengi wanataka watumie hii Cup kama kumaliza Mjadala wa Who is a GOAT? Ambao umetawala Kwa Miaka Mingi.

Na Currently baada ya Ronaldo kutolewa na Team yake ya Taifa Watu walianza The Debate is Over,MESSI is a GOAT na sisi Mashabiki wa CR7 tumekaa Kimya hatuwez kujibu hadi iishe hii world Cup Maana tulupigwa na Kitu kizito.

Sasa Naomba niulize ikitokea Messi na Argentina wakafungwa Match ya Leo Messi atakua Juu ya Ronaldo??
Na Kwa Kipi?
Ebu lete fully takwamu za watu hao wawili then tuchambue ubora wao
 
Juu ya pele kwa kipi?
Nimesema may be.. unajua pele pamoja na ubora wake ikumbukwe hakucheza ulaya ambapo kuna ushindani mkubwa pia magori yake amefunga kipindi ambacho sheria ya offside ilikua dhaifu sana sio kama sasa hivi kuna VAR timu ya taifa brazil alizungukwa na mafundi wengi sana hii ilichangia kuonekana ni bora yaani kama pedro wakati wa barca ya gadiora alizungukwa na wachezaji mahiri wengi akaonekana bora ila baada ya kuondoka barca hakuwa na maajabu yoyote maana hakuzungukwa na wachezaji wenye ubora mkubwa kama alipotoka world cup 3 alizochukua pele ilikua ni zamani sana timu nyingi dhaifu na ikumbukwe world cup moja alikua bado mdogo sana akiwa na miaka 17 tu ni sawa na kusema alienda kutalii tu hakuwa na mchango wowote uenda pele na messi wangecheza mpira kizazi kimoja messi angekua juu ya pele
 
JamiiForums781607235.jpg
 
Kab
Kila mpenda football anatamani kumuona Messi akibeba hili kombe. Leo Messi anakwenda kutengeneza Historia mpya ya maisha yake ktk futbol.
Kabxa mkuu..Mess amepambana sanaa..ila kwel Mungu anajibu kila ombi la mja wake
 
Sio juu ya ronaldo tu atakua juu ya maradona may be na pele kwa kifupi messi kabakiwa na hii mechi moja tu ya leo hili aandike historia ya mchezaji bora kuwahi kutokea hapa duniani

Respect legend kina maradona na pele, messi kachukua once yes he is best in this erra lakin before yeye kulikuwa na legends before him they did more kuliko messi.
 
Respect legend kina maradona na pele, messi kachukua once yes he is best in this erra lakin before yeye kulikuwa na legends before him they did more kuliko messi.
Ni kweli mkuu na ugumu wa kulinganisha ndo unakuja hapo sasa wamecheza kwenye vizazi tofauti je messi angeweza kuwafunika hao watu kama angecheza kwenye zama zao? Vipi pele na maradona wangeweza kumfunika messi kama wangecheza kwenye zama zake? Ni mjadala mgumu sana
 
Back
Top Bottom