Je, milioni 35 nizi-invest katika biashara ipi kati ya hizi?

Je, milioni 35 nizi-invest katika biashara ipi kati ya hizi?

Mkuu pharmacy zimeharibiwa Sana na maduka yanayouza Dawa baridi za mitaani. Dawa ambazo inabidi ziuzwe na pharmacy Kuna watu sio waaminifu kwenye hayo maduka wanaziuza pia. Kuna mengi ya kuandika unaweza kutafuta Uzi wa biashara ya pharmacy uko humu. Sio kwamba ni biashara mbovu inalipa ila jipe miaka kuanzia 3-5 uanze kuona faida nzuri.


Spare parts au hardware. Point kubwa ni location location. Poteza muda wako kutafuta maeneo yenye muingiliano wa watu.
Ahsante boss.. thank u for ur time.. hapo hardware kwa ushauri yako nifungue ya aina gani
 
Hello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.

Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.

1: HARDWARE YA FOUNDATION & FINISHING- nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)


Karibuni..
Ibetie mkuu jumapili anacheza man city na man u mpe man u win alafu weka hela yote.
 
Kila biashara inalipa......... ukisimuliwa
Sio kila la kuambiwa unabeba, changanya akili zako na za kuambiwa, pili hakuna mlima wa kuteremka tu,changamoto ziko kila mahala.

Mara nyingi siri ya biashara(fursa) wengi hawasemi, ukiambiwa ni aidha huyo ni mtu wako wa dhati kabisa hajaona haja ya kukuficha au la kuna fursa za kupigwa.

Katika hizi za biashara ya pharmacy inalipa huo ndio uhalisia, hii haijalishi saana location, ila ukipata location nzuri inapendeza zaidi. Ninaishi na watu ambao wanaishi kwa pharmacy na hardware pia, ninachokizungumza nakijua kiasi chake.


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Usingetambua thamani ya icho kitu. Ungeona kawaida. Yaani ili uitwe mzuri inabidi mbaya awepo. Ama uitwe tajiri masikini lazima awepo. Sasa wote matajiri hakuna Mana ya utajiri. Do you get me or the concept my dear
Dear!!! Aisee wewe tunaitanaje dear, we ni me au ke..

Joke, [emoji23] yenye kaukweli ndani yake.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ushauri wangu,
Uza vifaa vya umeme na hardware.

Hardware usiiogope Sana mpaka ukajicomplicate Kwenye madaraja ya foundation, tools &finishing.

Huo mtaji wako wa mil.35 unatosha kabisa kwa kuanza.
(Mimi nilianza na mil.25 TU, nna miaka 18 Kwenye hii biashara)

Wewe Uza materia&tools zile zinazotoka Sana kulingana na Hali ya uchumi wa Sasa.

Zile material high class achana nazo, kikubwa uwe na sampo TU afu wakihitaji unaleta kwa Oda maalum.
 
Kwa ushauri wangu,
Uza vifaa vya umeme na hardware.

Hardware usiiogope Sana mpaka ukajicomplicate Kwenye madaraja ya foundation, tools &finishing.

Huo mtaji wako wa mil.35 unatosha kabisa kwa kuanza.
(Mimi nilianza na mil.25 TU, nna miaka 18 Kwenye hii biashara)

Wewe Uza materia&tools zile zinazotoka Sana kulingana na Hali ya uchumi wa Sasa.

Zile material high class achana nazo, kikubwa uwe na sampo TU afu wakihitaji unaleta kwa Oda maalum.
Ahsante mkuu..so kwa ushauri wako, nianze kwa kuchanganya materials na tools kwa uchache zile zinatoka kwa saana
 
Kwa ushauri wangu,
Uza vifaa vya umeme na hardware.

Hardware usiiogope Sana mpaka ukajicomplicate Kwenye madaraja ya foundation, tools &finishing.

Huo mtaji wako wa mil.35 unatosha kabisa kwa kuanza.
(Mimi nilianza na mil.25 TU, nna miaka 18 Kwenye hii biashara)

Wewe Uza materia&tools zile zinazotoka Sana kulingana na Hali ya uchumi wa Sasa.

Zile material high class achana nazo, kikubwa uwe na sampo TU afu wakihitaji unaleta kwa Oda maalum.
Hongera for 18 years mkuu.
 
Hello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.

Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.

1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)

2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)

3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.

4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.

5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)

6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).

7: Vituo tano vya mobile money na uwakala wa pesa

8: barbershop nne za kisasa
Karibuni..
Wewe kumbe ndio Financial Analyst ?au sijaelewa hapa
 
Hello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.

Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.

1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)

2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)

3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.

4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.

5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)

6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).

7: Vituo tano vya mobile money na uwakala wa pesa

8: barbershop nne za kisasa
Karibuni..
Wekeza kwny biashara ambayo una ujuzi nayo, that will be enough. Mambo mengine tunajifunza mbele ya safari
 
Hello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.

Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.

1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)

2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)

3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.

4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.

5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)

6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).

7: Vituo tano vya mobile money na uwakala wa pesa

8: barbershop nne za kisasa
Karibuni..
Kama umeamua kufanya biashara halali kabisa. Nenda kwenye biashara ya Pharmacy...

Hakikisha unafuata masharti na vigezo vyote... utafurahia thamani ya uwekezaji wako.

Cha muhimu biashara uitegeshe sehemu muafaka
 
Hahahaa Baba, naomnba nikopeshe dawa....Dah nimekumbuka a very sad story, mwaka jana October 2020 nilikua Njombe kwa kazi fulani, sasa kuna Kijana akawa amesafiri akaniachia geto lake, nikatoka Lodge nikaenda kupunguza gharama za accomodation kwake....



Umenikumbusha mbali
Safi Sana Mkuu,Ukimsaidia mhitaji MUNGU anakulipa mara mia.
 
Naongezea wazo langu kwako.

Go for Mobile Money kama Mpesa, airtel Money, NMB WAKALA, CRDB, hii haina ku expire mkuu.

HAPA NI PESA INALETA PESA KILA SIKU.

9. Fanya biashara Ya mazao mkuu hautojutia. Chukua milioni 6-8 utafurahia faida yako.

nina kaka yangu yeye kila wiki anaingiza laki 5 kwenye mchele. Mtaji wake unakimbilia 10 mil. Kukunja laki 5 mpaka milioni 1 per week ni kitu ya kawaida



Nb: research ni muhimu kwa kila biashara
Kwenye biashara ya mchele alianza na mtaji wa Shilingi ngapi?
 
inategemeana na namna ya biashara unavyotaka kuifanya.

mfano biashara ya MPUNGA/MCHELE. kuna watu wananunua mchele huko vijijini wanakuja kuuza mashineni (pale pale mpunga unapokobolewa)

wengine wananunua mpunga vijijini wanakuja wanakoboa na kuuza hapo hapi mashineni (hii ndio common).
Faida (net profit) kwa gunia inaanzia 10,000 - 15,000

Upande wa mazao mengine sasa ni wewe kujiongeza. buy at a low price and sell in a big price.

BIASHARA NYINGINE NZURI NI YA NG'OMBE
hii biashara bwana inalipa sana asikwambie mtu.
kuna watu wananunua ng'ombe waliokondoena kwa laki 2 mpaka 2.5 kisha wanakuja kuwanenepesha kwa miezi miwili mitatu wanakuja kuwauza laki 5 mpaka zaidi.

Ukienda shinyanga kipindi cha kiangazi ndio utazipata kwa hizo bei ndogo sana, ama miezi ile ya watoto wanaenda shule mifugo inashuka sana bei.
Yaa kitaaluma tunaita Feedlot system.
 
Back
Top Bottom