Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Una Uaminifu asilimia ngapi?, Maana usije ukamliza ndugu yetu bure.Financial Analyst kikubwa nachoomba mm ni ajira tu pale utakapoanza project
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una Uaminifu asilimia ngapi?, Maana usije ukamliza ndugu yetu bure.Financial Analyst kikubwa nachoomba mm ni ajira tu pale utakapoanza project
Uaminifu ndio mtaji wangu, ikipotea ni Sawa na nimekula mtajiUna Uaminifu asilimia ngapi?, Maana usije ukamliza ndugu yetu bure.
alianza na laki 7, long time agoKwenye biashara ya mchele alianza na mtaji wa Shilingi ngapi?
Reference ya mtu anayeingiza laki 5 kwa week huenda ana more than 15 yrs biasharani!alianza na laki 7, long time ago
Yeah maanReference ya mtu anayeingiza laki 5 kwa week huenda ana more than 15 yrs biasharani!
Hapo sawa MkuuUaminifu ndio mtaji wangu, ikipotea ni Sawa na nimekula mtaji
Ok!!!,Umeni inspire sana aise.alianza na laki 7, long time ago
Ndugu aspirin niambie hizo sehemu muafaka tafadhaliKama umeamua kufanya biashara halali kabisa. Nenda kwenye biashara ya Pharmacy...
Hakikisha unafuata masharti na vigezo vyote... utafurahia thamani ya uwekezaji wako.
Cha muhimu biashara uitegeshe sehemu muafaka
SureWekeza kwny biashara ambayo una ujuzi nayo, that will be enough. Mambo mengine tunajifunza mbele ya safari
Umewahi fanya biashara?Sure
Vp kama nikitumbukia ninunue hata ardhi au nikodishe then nilime mpunga wa kutosha...mengine niyatunze..mengine nisambaze mwenyewe...mikoani? Hhii si itanitoaUmewahi fanya biashara?
Kama hapana basi usiwwkeze hela yote kwenye biashara,
Swali la pili utasimamia mwenyewe? Kama hapana, basi waweza gawa hiyo fedha kwa ajili ya biashara na ununue heka kadhaa za shamba ufanye kilimo.
Ukitaka kuingia kwenye kilimo!Vp kama nikitumbukia ninunue hata ardhi au nikodishe then nilime mpunga wa kutosha...mengine niyatunze..mengine nisambaze mwenyewe...mikoani? Hhii si itanitoa
Chukua hiace/daladala bosi dereva niko hapaHello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.
Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.
1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)
2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)
3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.
4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.
5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)
6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).
7: Vituo tano vya mobile money na uwakala benki wa pesa
8: Barbershop nne za kisasa
9: Nitenge 25m nitafute fremu Sinza madukani, niagize mikoba kutoka China nifungue duka la mikoba tu. Jumla na reja reja ( niuze physical na mtandaoni ).
10: Ninunue ardhi kijijini nilime mpunga na niwe nauza mchele kwa jumla hadi mikoani.
Utanipa ngapi kwa siku
Lala wewe na uache kukooloma usiku.Hakuna mfanyabiashara serious aliyewahi kufanikiwa kwa namna hiyo, eti nina mtaji wa kiasi kadhaa nifanye biashara gani inayolipa? haijawahi kutokea ,biashara ni commitment ya muhusika na nafsi yake ,mfanyabiashara wa kweli hajitangazi eti nina mtaji wa kiasi kadhaa naanzisha biashara, mtaji, uendeshaji ,mafanikio, utajiri ni Siri ya muhusika
Muombe Mungu akupe wazo lako la biashara... Watu wengi hawafanikiwi kwasababu wana iga mawazo ya biashara ya watu copy and pest... Angalia all bilioneas wana vitu y unique. ... Muangalie Bill. Elon, Jeff nkHello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.
Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.
1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)
2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)
3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.
4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.
5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)
6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).
7: Vituo tano vya mobile money na uwakala benki wa pesa
8: Barbershop nne za kisasa
9: Nitenge 25m nitafute fremu Sinza madukani, niagize mikoba kutoka China nifungue duka la mikoba tu. Jumla na reja reja ( niuze physical na mtandaoni ).
10: Ninunue ardhi kijijini nilime mpunga na niwe nauza mchele kwa jumla hadi mikoani.
Endeleeni na ndoto hewa unamzootaLala wewe na uache kukooloma usiku.
Kesho ukumbuke kufuta searching history kwenye google chrome yako kwa maana imejaa xvideos na uzi wa "special thread: wanawake wakali world wide"
We mzee toa 1M kwanza ukatulize kichwa ... Hauwezi kuwa mipango yooote hiyo tengemeza priorities na interest zako 2_4 zifanyie kazi .mawazo 10 hizo akili za JpmHello wadau, mazingira nayotaka kuinvest ni miji inayokuwa kwa kasi.
Nitafurahi kupata maoni na miongozo yenu kati ya hizi ideas.
1: Nifungue Hardware (nianze na cement, nondo, misumari, g.boards, g.powder, tiles na rangi)
2: Ni-specialize katika Plumbing and sanitary system (Bomba aina zote, sinks za choo, sinks za kunawa, bidets etc)
3: Nifungue Pharmacy ya kisasa.
4: Nitafute uwakala wa vinywaji Azam na ninunue bajaji used kwa ajili ya kusambaza mzigo.
5: Nifungue hardware iliyospecialize katika material za finishing tu (nianze na g.boards, g.powder, tiles, paints, pvc boards, white cement, sinks)
6: Nitenge 25 million tu nifungue Hardware yenye vifaa vidogo vidogo vya ujenzi kama nyundo, bisi bisi, vijiko vya uenzi, misumari, andika screws..etc).
7: Vituo tano vya mobile money na uwakala benki wa pesa
8: Barbershop nne za kisasa
9: Nitenge 25m nitafute fremu Sinza madukani, niagize mikoba kutoka China nifungue duka la mikoba tu. Jumla na reja reja ( niuze physical na mtandaoni ).
10: Ninunue ardhi kijijini nilime mpunga na niwe nauza mchele kwa jumla hadi mikoani.