Nadhani msingi wa swali upo hapo kwenye bold. Una maana kila kiasi cha units tunazonunua kina corresponding numeral arrangement?
Kama haina mawasiliano na Tanesco, vipi kuhusu ukataji wa ile asilimia ya service charge na makato mengine ya kila mwezi, inatambuaje na kuyakata?
Logic :
Kaka hii kitu inawezekana. Kusafirisha ectric signal mbili tofauti katika transmission media moja (wire). Hii inawezakana kwa kutumia concept za filters na combiners. Lakini sharti la kuwezesha hiki kitu kitokee ni lazima signal hizo ziwe na frequency mbili tofauti. As long as sote tunajua kuwa frequency ya umeme wa majumbani kwa Tanzania ni 50 Hz, then hiyo signal nyingine unayotaka isafirisha katika waya mmoja inabidi uisafirishe kwa kutumia frequency nyingine.
Kinachofanyika :
Katika upande wa transmission signal zinakuwa combined/superimposed kwa kutumia combiner na katika reception end zinatengwa kwa kutumia filters(high pass or low pass filter) na further reconstruction processes ya data signal inafuatia.
But hiki kitu sicho kifanyikacho katika issue ya ununuaji wa LUKU. Kama ulivyosema, Katika ununuaji wa luku concept inayotumika ni kutumia meter namba kugenerate code ambayo inapoingizwa kwenye luku huenda kureset counters zilizo katika meter.
Thats it brother...!
Wanajuaje huo wastani wakati ni 'pre-paid'? Unaingizwaje kwenye tariff ya watumiaji wakubwa au wadogo wakati wewe ni pre-paid, yaani unalipa kabla ya kutumia? Watajuaje kama utatumia kiasi kikubwa au kidogo?...
Tukirudi kwa tanesco, hesabu za kuwa unatumia unit ngapi kwa mwezi hupigwa automatically na utambuzi wa kuwa wewe ni mteja mkubwa ama mdogo hufanywa kwa kuangalia wastani wa unit unazotumia kwa siku.
Nashukuru kwa ufafanuzi, sijuhi kama hapa Tanzania full duplex trasmission inatumika kwenye media za waya za Tanesco i.e kwa wateja, ingekuwa hivyo basi wateja wasingekuwa na sababu ya kwenda kununua vocha/kadi, mita zao zingekuwa set remotely baada ya malipo - sasa zoezi la wateje kwenda kwa wakala kununua umeme ina maana teknolojia hiyo haja hota mizizi hapa Tanzania, teknolojia hiyo niliona kwa wenzetu wanao tumia HT wires kupitishia mawasiliano ya Video na internet nk. Tukija kwenye METER za LUKU kinacho fanyika pale ni count down inapofikia zero basi umeme unakatika kwa hiyo saula la ku-reset alipo unless sijui maana ya ku-reset - samahani lakini. Najua kuna meters za Wateja wakumbwa sinasomwa na Tanesco remotely - nina hakika pale wanatumia aidha GSM au Wi-Fi sio waya za Tanesco.
Tanesco wanatumia hii teknolojia ya kupitisha data kwenye nyaya za umeme kwa matumizi yao binafsi na si kwa ajili ya wateja. Wanatumia hii teknolojia katika mawasiliano ya wao kwa wao. And mostly ni kutoka katika HEP power plants na remote office za Tanesco.
Wanajuaje huo wastani wakati ni 'pre-paid'? Unaingizwaje kwenye tariff ya watumiaji wakubwa au wadogo wakati wewe ni pre-paid, yaani unalipa kabla ya kutumia? Watajuaje kama utatumia kiasi kikubwa au kidogo?
Hujanielewa mahali fulani. Kwa mfano ninanunua umeme wa unit 40 tarehe 3/10/2013. Sasa kwa nini wananiuzia kwa tariff ya watumiaji wadogo wakati hawajui labda baada ya siku nne nitakuwa nimeumaliza na hivyo kukosa sifa za mtumiaji mdogo huku nikiwa tayari nimeununua kwa tariff ya watumiaji wadogo? Msingi wa swali langu ni kwamba huo wastani wanaukokotoa baada ya matumizi au kabla ya matumizi? Kama ni baada ya matumizi, ilikuwaje waniuzie kwa bei ya tariff ya watumiaji wadogo? Kama ni kabla, watajuaje kama nataka nizitumie hizo units kwa siku chache au nyingi?Records zako za manunuzi ya umeme kwa mwezi zinabakia katika database ya tanesco. Hivyo kujua wastani wa matumizi yako ni kwamba mwisho wa mwezi watachukua jumla ya UNIT walizokuuzia, watagawanya zimelast kwa muda gani mpaka wewe ulipoenda kununua tena umeme.
Spot on mkuu Mkwawa, LUKU haiwasiliani na Tanesco isipokuwa mashine za mawakala ndio zinawasiliana na servers za Tanesco kupitia Wi-Fis/Wireless link, nafikili kila mita ya luku uniyo uzwa ina specific specs zinazo saidiana na aligorithms za ku-generate specific key per meter - kwa maoni yangu. Ujanja huu tunautumia sana katika ku-generate Product Key ya OS za William Gates aaah!
Luku yoyote kabla yakufungiwa mteja inakuwa programed na imeingizwa kwenye database system ya tanesco ndiyo maana mwanzo ilikuwa vigumu kununu nje ya wilaya yako ila kwa sasa unanunua hata mkoani kwakuwa wamecentraliz hivyo ukiingiza no ta luku jwa venda kutokana na software waliyomuwekea yenye data za luku zote Ikiingizwa no ya luku inagenerate unit kwakuwa inadata za luku yako iko programedSo zile code unazopewa baada ya kununua units zinaenda kutafsiriwa na luku ni units ngapi, na si kwamba unapo ziingiza zile code zinatumwa Tanesco kuwa verfied
Kwamaana hiyo LUKU haiwasiliani na server za Tanesco
Hujaitendea haki post yako kakaLuku yoyote kabla yakufungiwa mteja inakuwa programed na imeingizwa kwenye database system ya tanesco ndiyo maana mwanzo ilikuwa vigumu kununu nje ya wilaya yako ila kwa sasa unanunua hata mkoani kwakuwa wamecentraliz hivyo ukiingiza no ta luku jwa venda kutokana na software waliyomuwekea yenye data za luku zote Ikiingizwa no ya luku inagenerate unit kwakuwa inadata za luku yako iko programed
Hujanielewa mahali fulani. Kwa mfano ninanunua umeme wa unit 40 tarehe 3/10/2013. Sasa kwa nini wananiuzia kwa tariff ya watumiaji wadogo wakati hawajui labda baada ya siku nne nitakuwa nimeumaliza na hivyo kukosa sifa za mtumiaji mdogo huku nikiwa tayari nimeununua kwa tariff ya watumiaji wadogo? Msingi wa swali langu ni kwamba huo wastani wanaukokotoa baada ya matumizi au kabla ya matumizi? Kama ni baada ya matumizi, ilikuwaje waniuzie kwa bei ya tariff ya watumiaji wadogo? Kama ni kabla, watajuaje kama nataka nizitumie hizo units kwa siku chache au nyingi?
Kwa hiyo nikiendelea na matumizi madogo kama awali watanibadilishia tena? Hapa naona tunahitaji mtu wa Tanescoinawezekana uliponunua mara ya kwanza ulinunua kwa tariff ya wadogo lakini baada ya miezi mitambo inaonyesha wewe ni mtumiaji mkubwa kwa kurecod matumizi makubwa ya units kwa mwezi ndio maana ukabadilishiwa tariff
Hujanielewa mahali fulani. Kwa mfano ninanunua umeme wa unit 40 tarehe 3/10/2013. Sasa kwa nini wananiuzia kwa tariff ya watumiaji wadogo wakati hawajui labda baada ya siku nne nitakuwa nimeumaliza na hivyo kukosa sifa za mtumiaji mdogo huku nikiwa tayari nimeununua kwa tariff ya watumiaji wadogo? Msingi wa swali langu ni kwamba huo wastani wanaukokotoa baada ya matumizi au kabla ya matumizi? Kama ni baada ya matumizi, ilikuwaje waniuzie kwa bei ya tariff ya watumiaji wadogo? Kama ni kabla, watajuaje kama nataka nizitumie hizo units kwa siku chache au nyingi?
Kama ulivyoelezea kaka mkubwa ni kweli kuwa mita za LUKU huwa hazina mawasiliano na ofisi au mtambo wowote toka TANESCO.
Utaratibu wa mita hizi huwa unaitwa "Pay As You Go" ambapo sisi tumetohoa na kuita "Lipa Umeme Kadiri Unavyotumia"...ni utaratibu ambao ni "Pre Paid" na sio "Post Paid" kama zile mita za zamani.
Utaratibu huu hutumia Smartcard au Token Key.
Unapoenda kununua umeme kwenye kituo cha mauzo, kawaida huwa unapaswa utaje nambari ya mita halafu unalipia na baadaye unapewa stakabadhi yenye tarakimu kadhaa utazohitajika kuingiza kwenye mita.
Kwa mfumo wa kielektroniki, mita hizi zimetengenezwa kubadili tarakimu unazoingiza kwenda katika mita na kuzalisha tarakimu umeme "electric unit", na hapo ndipo a reverse count inapoanza kwa kadiri utavyotumia umeme.
NB:
Umuhimu wa nambari ya mita ni kwa vile hatuna kitu kama smartcard (wale wanaonunua gas huko ughaibuni wanazijua hizi au wanaopanda zile BRT's) ambapo ingetumika kwenye topping up, ndio maana tunaitaja kwa wauzaji ili ku-bind umeme tunao nunua na mita zetu.
Hujanielewa mahali fulani. Kwa mfano ninanunua umeme wa unit 40 tarehe 3/10/2013. Sasa kwa nini wananiuzia kwa tariff ya watumiaji wadogo wakati hawajui labda baada ya siku nne nitakuwa nimeumaliza na hivyo kukosa sifa za mtumiaji mdogo huku nikiwa tayari nimeununua kwa tariff ya watumiaji wadogo? Msingi wa swali langu ni kwamba huo wastani wanaukokotoa baada ya matumizi au kabla ya matumizi? Kama ni baada ya matumizi, ilikuwaje waniuzie kwa bei ya tariff ya watumiaji wadogo? Kama ni kabla, watajuaje kama nataka nizitumie hizo units kwa siku chache au nyingi?
Kwenye mita karibu zote kwenye ile screen display zinakuwa na symbol ya network kama zile za kwenye simu, kwa maana hiyo nadhani kutakuwa na mawasiliano na Tanesco. Na kama sio za network zina maanisha nini?Mkuu nafikiri jamaa alikuwa anauliza jinzi namba zinavyo kuwa generated, tukija kwenye mawasiliano - kila mita iliyo fungwa kwa wateja, hapo hakuna mawasiliano ya moja kwa moja kati ya mita ya LUKU na Tanesco, mawasiliano yapo kati ya wakala na Tanesco. Unapo fungiwa mita specification zake, wilaya na mji ilipofungwa, tarrif(bracket) na jina la mteja vyote hivyo vinakuwa fed kwenye database, sasa ukienda kwa wakala unapashwa kwenda na namba ya mita yako - wakala ndiye mwenye mawasiliano ya moja kwa moja na Tanesco Servers hapo ndio unapata KWhr yako kutegemea na malipo na kama kuna madeni yanakatwa; baada ya kuridhika na data integrity ndio inatoa namba za kuhingiza kwenye LUKU, kuhusu jinsi namba zinavyo zalishwa nimejaribu kueleza hapo juu, hapa naona mkuu Mkwawa anaweza kuongezea kidogo.