Mita za Tanesco wadau zinamawasiliano na server za Tanesco kabisa. Isipokuwa zimewekewa mfumo wa kugenerate units kutokana na namba za vocha utakazonunua. Mf. kwenye mita za sasa za Luku kuna Camera maalum ambazo zinadetect mtu anayeichezea mita na kupiga picha then kutuma kwenye server ya Tanesco ambapo wao watajua eneo ilipomita hiyo na kuja haraka. Afisa Uhusiano wa Tanesco Badra Masud alilisema pia hili huko nyuma na niukweli. Uncle wng ni Afisa wa Tanesco.
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.
Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.
mi binafsi nimeangalia kipindi maalum cha tanesco wakionyesha jinsi wanavyoweza kuaccess taarifa zako za matumizi ya umeme na hata kukukatia umeme wakiwa ofisini, ukiwa unachakachua wanafahamu, mechanism sifahamu, ila luku zinamifumo ya data, huamini uliza tanesco
So zile code unazopewa baada ya kununua units zinaenda kutafsiriwa na luku ni units ngapi, na si kwamba unapo ziingiza zile code zinatumwa Tanesco kuwa verfied
Kwamaana hiyo LUKU haiwasiliani na server za Tanesco
Nadhani msingi wa swali upo hapo kwenye bold. Una maana kila kiasi cha units tunazonunua kina corresponding numeral arrangement?
Wadau,mita za luku haziwasiliani na server. Mita za AmR ndo pekee zina chip ya mawasiliano na mita hyo authorized staf anaweza kukata na kuunga umeme remotely. mita hz kwa saśa zipo Tanesco na zimewashika watu kibao! mita ukifungua hata mlango inaalarm kwenye pc center huko!,Mita za kisasa zaidi,na zipo za 3phase tu tanesco.
wote mna bashiri na
kubisha tu , MJIMPYA ..ANAVYOSEMA NI kweli kabisa unaponunua umeme kwa
njia ya luku unauziwa umeme(token maalumu kwa ajili ya mita no husika)na
ndio maana ni rahisi kwa tanesko kukata deni lao mita yako....zile
token haziwezi kutumiwa na mita namba nyingine yoyote na mawasiliano
kati ya mita na tanesco hawatumii netiwork nyingine yoyote zaidi ya
nyaya zao....pia mawasiliano ya transforma shot..au tatizo lolote la
kiufundi..hufanya mawasiliano au kujua tatizo lipo wapi kwa kupitia
nyaya zao..ukibisha bado utauwa unabisha pasipo kukjua
hapo ktk red, nakupa pole sana.
Nadhani wana mita pia zenye gprsMkuu upo sawa kiaina. Ila pia tanesco wanauwezo wa kukukatia umeme au mtaa flani wakiwa ofisini. Inakuaje apo.
Nadhani wana mita pia zenye gprs
Nadhani hili ndo jibu.
Ivi inakuaje ma-eng wa tanesco hawajibu hili swali humu?
Kama line zako ni 3 phase moja kwa moja wewe ni mtumiaji mkubwa lakini km single phase ujue upo kundi la pili.Hujanielewa mahali fulani. Kwa mfano ninanunua umeme wa unit 40 tarehe 3/10/2013. Sasa kwa nini wananiuzia kwa tariff ya watumiaji wadogo wakati hawajui labda baada ya siku nne nitakuwa nimeumaliza na hivyo kukosa sifa za mtumiaji mdogo huku nikiwa tayari nimeununua kwa tariff ya watumiaji wadogo? Msingi wa swali langu ni kwamba huo wastani wanaukokotoa baada ya matumizi au kabla ya matumizi? Kama ni baada ya matumizi, ilikuwaje waniuzie kwa bei ya tariff ya watumiaji wadogo? Kama ni kabla, watajuaje kama nataka nizitumie hizo units kwa siku chache au nyingi?
Kama ulivyoelezea kaka mkubwa ni kweli kuwa mita za LUKU huwa hazina mawasiliano na ofisi au mtambo wowote toka TANESCO.
Utaratibu wa mita hizi huwa unaitwa "Pay As You Go" ambapo sisi tumetohoa na kuita "Lipa Umeme Kadiri Unavyotumia"...ni utaratibu ambao ni "Pre Paid" na sio "Post Paid" kama zile mita za zamani.
Utaratibu huu hutumia Smartcard au Token Key.
Unapoenda kununua umeme kwenye kituo cha mauzo, kawaida huwa unapaswa utaje nambari ya mita halafu unalipia na baadaye unapewa stakabadhi yenye tarakimu kadhaa utazohitajika kuingiza kwenye mita.
Kwa mfumo wa kielektroniki, mita hizi zimetengenezwa kubadili tarakimu unazoingiza kwenda katika mita na kuzalisha tarakimu umeme "electric unit", na hapo ndipo a reverse count inapoanza kwa kadiri utavyotumia umeme.
NB:
Umuhimu wa nambari ya mita ni kwa vile hatuna kitu kama smartcard (wale wanaonunua gas huko ughaibuni wanazijua hizi au wanaopanda zile BRT's) ambapo ingetumika kwenye topping up, ndio maana tunaitaja kwa wauzaji ili ku-bind umeme tunao nunua na mita zetu.