Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 342
Kwahiyo hitimisho ni Mita za LUKU hazina mawasiliano ya moja kwa moja na mitambo ya tanesco kwenye swala la kuverfy vocha
Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.
Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.
Unaandika kwa makini utadhani unasema ukweli !
Acha kudanganya na kupotosha watu.
Mita zinawasiliana na server za tanesco km ilivyo kwa mpesa, simbanking, paypoints nk.
Mawasiliano ni kupitia hizohizo nyaya za umeme.
Ndio maana wale wateja wapya huwa wanaenda tanesco ku activate mita zao kupitia computer.
kaka sababu unaulizwa namba ya mita kila ukinunua vocha za luku mi naweza kusema luku haiwasiliani na tanesco.
itakua kuna mashine inagenerate key kutokana na mita yako, halafu luku ndo inatambua.
tuchukulie mfano wa software unakuta kampuni inauZA software na wanagenerate key kutokana na email basi ukieka email na key zinazoendana unaheasabika kama umenunua software ile,
huu ni muono wangu
HATA MIMI NAJIULIZAGA SANA KWANZA, NAMBA YAKO YA LUKU INAOPERATE KTK MITA YAKO TU,MEAN UKINUNUA HUWEZI FEED MITA YYT,TOFAUTI NA VOCHA ZA SIMU KABISA,WANA UWEZO WAKUKUKATIA UMEME WAKIWA MAOFISINI LAZIMA ZITAKUWA NA MATIRIO KAMA <EDF>THAT MEAN ILE METER INA CHIP AMBAYO INA WORK KAMA CELL MOBILE WITH SPECIFIC No.
Kama haina mawasiliano na Tanesco, vipi kuhusu ukataji wa ile asilimia ya service charge na makato mengine ya kila mwezi, inatambuaje na kuyakata?
Majibu kwa wote..ndani ya hiyo meter ya luku kuna line (simcard) ya mtandao wa vodacom. Line hiyo ndo uwa inafanya mawasiliano na server ya vodacom kwenda tanesco.
Nashukuru kwa ufafanuzi, sijuhi kama hapa Tanzania full duplex trasmission inatumika kwenye media za waya za Tanesco i.e kwa wateja, ingekuwa hivyo basi wateja wasingekuwa na sababu ya kwenda kununua vocha/kadi, mita zao zingekuwa set remotely baada ya malipo - sasa zoezi la wateje kwenda kwa wakala kununua umeme ina maana teknolojia hiyo haja hota mizizi hapa Tanzania, teknolojia hiyo niliona kwa wenzetu wanao tumia HT wires kupitishia mawasiliano ya Video na internet nk. Tukija kwenye METER za LUKU kinacho fanyika pale ni count down inapofikia zero basi umeme unakatika kwa hiyo saula la ku-reset alipo unless sijui maana ya ku-reset - samahani lakini. Najua kuna meters za Wateja wakumbwa sinasomwa na Tanesco remotely - nina hakika pale wanatumia aidha GSM au Wi-Fi sio waya za Tanesco.
Nyaya za umeme wa tanesco zina uwezo wa kusafirisha mawimbi ya umeme na data. Vipo vifaa maalumu vya ki electronic vimefungwa katika vituo vya tanesco kwa ajili ya ku separate umeme na data ndio maana tanesco sehemu nyingine hutumia nyaya zao kama nyaya za simu na hutumia kupiga simu zao za ndani badala ya TTCL.
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.
Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.
Nyaya za umeme wa tanesco zina uwezo wa kusafirisha mawimbi ya umeme na data. Vipo vifaa maalumu vya ki electronic vimefungwa katika vituo vya tanesco kwa ajili ya ku separate umeme na data ndio maana tanesco sehemu nyingine hutumia nyaya zao kama nyaya za simu na hutumia kupiga simu zao za ndani badala ya TTCL.