Je, mita za LUKU zinawasilianaje na server za TANESCO?

Na pia ukienda tanesco utakuta data zako zote jinsi unavyoweka na kutumia umeme.

Hivyo mita zina mawasiliano na server kupitia nyaya hizohizo za umeme.
 
Kwahiyo hitimisho ni Mita za LUKU hazina mawasiliano ya moja kwa moja na mitambo ya tanesco kwenye swala la kuverfy vocha


Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.
 

kweli kabisa
 
bado watu wanajiuliza


HOW TO HACK LUKU
 

Wewe ndio bure kabisa. Mita zinawasiliana kupitia nyaya za Tanesco.?
 
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.

Hawana uwezo wa Kukata umeme wakiwa ofisini kwa mteja mmojammoja. Wana uwezo wa kukata umeme mwisho kwenye transformer, lakini katika supply ya umeme mtaani bado hawana uwezo huo
 
Mkuu Tanesco wanauwezo wa kukata umeme wakiwa ofisini, vilevile wana hizi mita mpya ambazo unaweza kununua umeme kwenye simu na units zikaongezeka bila ya wewe kwenda na vocha.

Mkuu hebu nijuze vizuri hilo la kununua umeme kwenye simu.
 

Mkuu mi lidhani unaenda ku activate ili mashine za kuuzia luku ziongeze data base ya acc yako ya luku?

Yaani kama luku haijanunuliwa mashine zinakua hazina kikokotozi cha luku ambayo haijauzwa
So unaponunua luku inabidi mashine za kuuza luku ziwe activated ili ziweze kukokotoa units za mita yako
 


that's right mkuu ila kwa kuongezea ni kwamba hapa masuala ya programming and digital electronics yamehusika kwa sana hizo mita zinakua na microcontroller chips ambazo zimekua pre-programmed kung'amua na ku run input transactions kwa usahihi kulingana na mahitaji yaliyokusudiwa ziko intelligent kiasi cha kufanya input validations kwa mfano token imeshatumika lazima itagoma au token ina units ngapi na pia programming commands na functions zinazozuia power supply ktk nyumba endapo salio la units limeisha au kuruhusu power supply kama salio limewekwa yote haya yanafanyika automatically bila kuhitaji external control as long as umeme upo ila nchi zilizoendelea wanatumia mita zilizokua connected na servers za makampuni ya umeme.
 

tanesco hawana uwezo wa kuzima umeme nyumba individually wakiwa ofisini ila wanaweza kuzima line moja yenye nyumba kadhaa wakiwa ofisini au substation sababu kila line ina switch switch yake,hakuna mawasiliano direct kati ya mita yako na tanesco nchi zilizoendea ndo wana system hizo mita ku communicate directly na server za kampuni husika ya umeme.
 
Kama haina mawasiliano na Tanesco, vipi kuhusu ukataji wa ile asilimia ya service charge na makato mengine ya kila mwezi, inatambuaje na kuyakata?

kila mita na detail zake zote muhimu iko registered ktk unique profile katika database na kila transaction inayofanyika ktk mita husika inakua recorded so monitoring na masuala kama service charge yanafanyika automatically ktk program maalum (information system) kupitia transactions unazofanya.Kwa kuhitimisha tanesco wanapata information ya transactions zako kupitia agency unayotumia kununua umeme either mpesa,tigopesa etc.
 

full duplex kwa bongo ikiletwa itagharimu nyaya na mita mpya zinazosupport full duplex transmission.
 

Kitambo kidogo home tulikua na simu unachomeka kwenye umeme then mnawasiliana ndan ya nyumba. Ni kichwa tu na uwepo wa umeme unawafanya muwasiliane.
Note: kama ndan ya nyumba kwa maana ya eneo moja mnaweza kuwasiliana kwa kutumia umeme itashindikana mawasiliano kutoka nje ya eneo hilo?
 
mawasiliano yanapita kwenye nyaya hizo hizo za umeme.

Niliambiwa Tanesco wana uwezo wa kuwasiliana kupitia nyaya zao za umeme na ni kwa kasi na usikivu uliotulia.


We usidanganye watu. Mawasiliano ya mita za umeme na server s=za kampuni ya umeme (PLC - power line carrier ) hayawezekani bongo kwa kuangalia tu ubora wa nyaya za kusambaza umeme. kwanza umeme wenyewe mwingi unapotea kutokanana na ubovu wa mfumo wa usambazasi sembuse mawasiliano ya PLC. Pia nchi nyingine hutumia wireless technology kama 3G na zingine maalum kwaajili ya miter za umeme ambazo zote ni gharara sana kwa ka kampuni kama Tanesco. Kwa kifupi hakuna mawasiliano yoyote kati yamita za luku na server za Tanesco
 
Kila mtu anasema lake! Mengine yanaonekana ya kweli mengine mmh! Hata yanayoonekana ya kweli anakuja mjuzi zaidi anasema siyo ya kweli anamwaga ujuzi wake.

KWANINI ASIJITOKEZE MTAALAMU KABISA NA AJITAMBULISHE ILI TUJUE UKWELI NI UPI??

Wataalamu wa TANESCO hampo humu???
 
nmejulishwa kidog kwenye hz meter za viwandani hzi zifugwazo kwenye nguzo huwa kuna wakat husimama huwa wanapewa kama offer so hyo access inatoka wap au zko auto
 

yaan umetumia maneno mengi kuongea uongo usio na kichwa wala miguu.... zile ni waya za umeme tu hamna waya za data kwenye line za tanesco.... simple physics ya o level kaka!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…