Kwa ubishani wa hivi 2022 itatukuta bado tunabishana tu. Elewa mfano nilotoa. Mtu amenunua gb4 kabakiwa na vocha kwenye simu akatumia internet akapata ujumbe kuwa ameishiwa kifurushi. Anaangalia salio anakuta bado ana gb3 balance ya kifurushi ila vocha ilokuwa imebakia kwenye simu imeliwa.dakika moja ya 4k video youtube ni around 300mb, unahitaji dakika 12 tu kumaliza kifurushi cha 4gb ukiwa na simu yenye 4k na mtandao wa 4g.
na zikiisha hizo gb frasturation zote unazimalizia kwenye mtandao wa simu.
Mkuu kwa mtaji huo hizo android tv hazina mpango huko TZ,dk 1 mb 300!!mkuu [emoji23]dakika moja ya 4k video youtube ni around 300mb, unahitaji dakika 12 tu kumaliza kifurushi cha 4gb ukiwa na simu yenye 4k na mtandao wa 4g.
na zikiisha hizo gb frasturation zote unazimalizia kwenye mtandao wa simu.
4k streaming unahitaji unlimited internet kama zuku, otherwise uangalie tu 480p tena kimachale.Mkuu kwa mtaji huo hizo android tv hazina mpango huko TZ,dk 1 mb 300!!mkuu [emoji23]
stil haimaanishi kama ameibiwa, wabongo hawa hawa wanaodaiwa vitu kibao na mitandao ya simu? akiambiwa bonyeza hivi anabonyeza, tuma namba hii anatuma, ame subscribe service kibao, kuna uwezekano salio kuenda bila hata kutumika na net.Kwa ubishani wa hivi 2022 itatukuta bado tunabishana tu. Elewa mfano nilotoa. Mtu amenunua gb4 kabakiwa na vocha kwenye simu akatumia internet akapata ujumbe kuwa ameishiwa kifurushi. Anaangalia salio anakuta bado ana gb3 balance ya kifurushi ila vocha ilokuwa imebakia kwenye simu imeliwa.
ukitaka kujua story za matajiri....ulizia masikiniRostam alishauza share zake za voda zamani akachukua mkwanja wake akasepa!
Na huo wa bonyeza hivi weka hivi nao wizi. Unajua kiswahili kina maneno mengi ila mwisho ni wizi. Kuna kujipatia pesa kwa njia ya ulaghai, kujipatia pesa kwa njia ya utapeli, kujipatia pesa kwa udanganyifu, kujipatia pesa kiujanjaujanja tu zote ni kutumia undue influence kujitwalia mali.stil haimaanishi kama ameibiwa, wabongo hawa hawa wanaodaiwa vitu kibao na mitandao ya simu? akiambiwa bonyeza hivi anabonyeza, tuma namba hii anatuma, ame subscribe service kibao, kuna uwezekano salio kuenda bila hata kutumika na net.
Hivi zuku network coverage yao inafika nje ya mji?4k streaming unahitaji unlimited internet kama zuku, otherwise uangalie tu 480p tena kimachale.
kuna codecs mpya za Av1 zitapunguza punguza ulaji bundle.
Mjini tu, ama upate bahati Raha uwe karibu na hoteli ama jengo maarufu ambalo limevuta fiber/wifi.Hivi zuku network coverage yao inafika nje ya mji?
Nina laini yao Safaricom, Aisee kweli asikwambie mtu bando bei ni mkasi sana heri ndugu zao wa hapa nchini voda...mkuu mimi ni kati ya watu waliopata bahati kushuhudia revolution ya mobile data hapa Tanzania, tunadekezwa sana mpaka tunajisahau...
Mkuu huu wizi wa tigo wa kula salio ilihal mtu una bando la internet na umeset ile huduma ya kuzuia salio kuliwa bila ruhusa nmewalalamikia na kuwatusi mpaka walifikia uamuzi wa kuniondolea vifurushi vyao vyote kwenye laini zangu 2 yaani sijui wamenikoma au wanajidanganya tu uhalisia ni wezi sana tigo.Umegeneralize. Kuna watu wanalalamika kuibiwa na hata PC hawana. Hebu fikiria scenario hii...
Sasa ununue ya voda south ndio utaelewa vzr. Huwa haya makampuni yanapofanya pricing yanakokotoa total direct cost ya kutoa 1 sec of airtime ama 1kb of data then wanapanga bei ya kuuzia hiyo 1sec of airtime ama 1kb of data.Nina laini yao Safaricom, Aisee kweli asikwambie mtu bando bei ni mkasi sana heri ndugu zao wa hapa nchini voda...
moja ya vitu ambavyo vinauzwa kwa bei kubwa zaidi bongo ni data.Sasa ununue ya voda south ndio utaelewa vzr. Huwa haya makampuni yanapofanya pricing yanakokotoa total direct cost ya kutoa 1 sec of airtime ama 1kb of data then wanapanga bei ya kuuzia hiyo 1sec of airtime ama 1kb of data...
Data packages/bundles sio offers ni mfumo wa kuuziana data upo nchi kibao ikiwemo chinamoja ya vitu ambavyo vinauzwa kwa bei kubwa zaidi bongo ni data.
usiingize offa hizi tunazopewa.
1gb data ni $5 yaani nje ya virushi.
sasa sijajua hoja yako hii ambayo ni kweli kabisa,inafit vipi hapo.
Ivi modem ya smile siwezi kuchajachuwa nikatumia kwa line ya mitandao mingine?
Nipe mchongo, Yangu ni ile Franklininawezekana
Mabishano yenu yananikumbusha miaka ya nyumba mtu ananifanyia interview akaniambia nimueleze kwa uelewa bts ilivyo... ss mimi nikamuelezea inavotakiwa kuwa (ambapo za gsm na cdma zinakidhi) akaniambia nimueleze na zilivyo kiuhalisia...ss mm nlijifunzia sana za cdma ambazo ni current(wakat huo) nlipomueleza wakaanistopisha kwa kebehi wakisema mi sijui kitu nawadanganya...... sasa kwa kuwa wao ni mainjinia pale wakaninyima kazi.Chief kwenye marketing skuizi (waulize walosoma kuanzia miaka ya 2015) BBA na MBA kama ulisoma zamani sana mkuu, FMCG ina apply na upande wa services na wapo wanaoiita FMCG na wengine wanaiita FMCS.
All in all skuizi inatumika zaidi FMCP yaani Fast Moving Consumer Product ili kucover both sides kama vile ilivyo chairperson imechukua hatamamu badala ha chairman mana hii chairman ilikuwa gender biased.
Kuhusu Rostam kuuza hisa alikuwa na 35% ya voda akauza 2014 akabakiwa na 18% ambayo ndio aliiuza kipindi hiki cha kulazimishwa telecoms kuwa listed.
Ila ilikuwa miongoni mwa vitajirishi vyake vikubwa. Najua ningetaja recent businesses zake ungesema hazina muda haziwezi kuwa zimemtajirisha ndio mana nikataja voda ambayo ndio imempa utajiri mkubwa pamoja na real estate huko UAE.
My point is:
Ili mtu afanikiwe kwenye FMCG/FMCS/FMCP lazima awekeze zaidi kwenye mass market. Sasa smile wali relax hata minara ya kukodi walijisahau. Towers ni kama delivery vans kwa upande wa telecoms sasa wao kwenye delivery vans zero, kwenye product pricing zero, kwenye pitching zero. Hata kutafuta mtaji imewashinda na ni kampuni kubwa yenye asset base of billions. Dah
Nipe mchongo, Yangu ni ile Franklin