Kazi gani za maana zinapatikana facebook wewe? Labda ma stripper....na ma model na mambo mengine ya burudani...
JK anashinda mwakani 2010.
Kazi gani za maana zinapatikana facebook wewe? Labda ma stripper....na ma model na mambo mengine ya burudani...
Kwahiyo hilo ni andiko kuwa lazima jk ahsindwe 2010?....unajua mkisema na itakuwa kweli lakini kama mna nia ya change!...sidhani kama atashinda....
Kwahiyo hilo ni andiko kuwa lazima jk ahsindwe 2010?....unajua mkisema na itakuwa kweli lakini kama mna nia ya change!...sidhani kama atashinda....
Hmmm siasa za Tanzania unazijua ama unazisikia? Mpaka sasa sijaona mpinzani wa kusimama na JK na kumshinda pamoja na madudu yote yaliyotokea katika kipindi cha uongozi wake.
Inaelekea unashinda JF na zeutamu hivyo unapitwa....Makampuni yana recruit facebook sikuhizi fuatilia wewe.
hahahahah!...uwiiii hivi upo dunia ya ngapi?
Kunishangaa mimi hakujibu swali.....ni swali rahisi tu hilo.....haya lijibuni swali basi
Hili sali lipo direct kwa nani?mimi au jmushi? maana you quoted both of us...be specific ghost
Kelly!
Ni hali halisi hiyo lazima atapita tu JF ukiacha matatizo yote! Sidhani kama jamii nzima ina uelewa jinsi nchi ipo kwenye hali gani mfano fisadiz and such.
Mwanamke bado kuanza mwakani,ni vyema tumkapenie 2015! Au unasemaje?
Wewe si umemuunga mkono Mangi...au hujui ulichokuwa unakiunga mkono kighosti Kelly?
of course najua nilichomuunga mkono Jmushi ni kutokana na ufinyu wako wa kutojua kuwa networking siyo necessarily kwa mambo ya uchafu a lot fo people wanatumia kwa mambo mengi proffesional wise...got it Ghosti!
Wewe si umemuunga mkono Mangi...au hujui ulichokuwa unakiunga mkono kighosti Kelly?
... ufinyu wako wa kutojua kuwa networking siyo necessarily kwa mambo ya uchafu ...got it Ghosti!
Sidhani Hillary aliangushwa na wanawake wenzake. Obama proved to be simply the best candidate of them all, claims of his inexperience notwithstanding.
Uncle I
This is stereotype kind of thinking....sijawahi ona Raisi hopeless kama tulienaye na bado tunaamni atashida tena 2010? hakuna haja basi ya kupiga kura.....Madagascar wametuonyesha njia...unafikiri tukiamua tunashindwa mtoa huyu Muungwana?
Sasa si muamue mumtoe ebo, tangu mwaka 1995 mpaka leo story ni zile zile wagombeaji ni wale wale what does that tell you kuhusu siasa zetu?