F16 Falcon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 750
- 1,645
Huyo si mtoto wa kijakazi na umesema kuwa uislam unaharamisha mtoto wa nje kuitwa ubin wa baba yake?Ubin WA Ibrahim
Chief hapa kuna uelewa mbaya Sana juu ya hawa watotoDini inawatambua kama haramu…sasa yanini kujipendekeza kwa watu wasiokuona wathamani?
Nilikuwa nakusubir Kwanza ucheke hlf nilijua utakuja TuHuyo si mtoto wa kijakazi na umesema kuwa uislam unaharamisha mtoto wa nje kuitwa ubin wa baba yake?
Wote tunajua mke halali wa Ibrahimu ni Sara na Hajiri alikuwa kijakazi au dada wa kazi
Wenye dini hiyo ndo hao hao waliomtambua Ismail kuwa mtoto halali wa Ibrahimu. Watoto wote wana haki ya kupata ubini wa baba, kuwajua wazazi wake wote wa kibaolojia pamoja na kuwajua ndugu zake wote. Period.Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Mkuu mimi sio mpenzi wa mabishano ila ninachokijua ni kuwa Mungu alikuwepo kabla ya ujio wa hizi dini na ninachoamini ni kuwa kuwa mtu wa Mungu ni matendo mema na kuamini uwepo wake.Tatizo ninaliona Kwa baadhi yetu ni kwamba hatumuamini Mungu na tunaona hizi Dini zimetungwa na watu ambao wamejiamulia mambo Yao.
Kwa mtazamo huu bado kuna kazi kubwa ya kumjua Mungu na sishangai kuona watu wanachukulia mambo kirahisirahisi Tu.
Tunahitaji kumjua Mungu kwanza
Sawa period Kwako wewe chiefWenye dini hiyo ndo hao hao waliomtambua Ismail kuwa mtoto halali wa Ibrahimu. Watoto wote wana haki ya kupata ubini wa baba, kuwajua wazazi wake wote wa kibaolojia pamoja na kuwajua ndugu zake wote. Period.
Sawa nimekuelewa vizur Sana, je point yako ni ipi katika hili swalaMkuu mimi sio mpenzi wa mabishano ila ninachokijua ni kuwa Mungu alikuwepo kabla ya ujio wa hizi dini na ninachoamini ni kuwa kuwa mtu wa Mungu ni matendo mema na kuamini uwepo wake.
Hivyo dini ni sehemu tu ya kutafuta njia sahihi ya kumjua/ kumfuata Mungu. Kwa hiyo hata bila dini mwanadamu anayetenda mema na kumtegemea Mungu katika maisha yake huyo ni mtu wa Mungu. La sivyo kusingekuwepo dini nyingi na bado zote zikajinadi kuwa ndio zilizo sahihi.
Kwanza nikuwepe Sawa hakuna mtoto wa haramu Sawa?Kwa ufupi hamna mtoto haramu wala wa nje. wote ni watoto kama ilivyo kwa PERESI (Babu wa Daudi), Suleiman (toka kwa mke wa Uria), Ismail-toka kwa hajira, Yesu-toka kwa baba anayemjua Mariamu n.k
TakatakaKwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Asante kwa kunisubiri sasa niambie ni wapi manabii walipewa hiyo privilege na ni wapi watoto "wa nje" wameharamishwa kutumia majiba ya baba zaoNilikuwa nakusubir Kwanza ucheke hlf nilijua utakuja Tu
Chief Manabii na Mitume walipewa privilege ambazo Mimi na wewe hatuna,kwahiyo kwao wao p
Nilikuwa nakusubir Kwanza ucheke hlf nilijua utakuja Tu
Chief Manabii na Mitume walipewa privilege ambazo Mimi na wewe hatuna,kwahiyo kwao wao ilikuwa ni sahihi na hakuna ubaya wowote na hata hiyo sheria ilikuwa bado haijaletwa
Karibu sana
ilikuwa ni sahihi na hakuna ubaya wowote na hata hiyo sheria ilikuwa bado haijaletwa
Karibu sana
Katika Qur'an watoto wa nje ya ndoa wameharamishwa kuitwa majina ya Baba zaoAsante kwa kunisubiri sasa niambie ni wapi manabii walipewa hiyo privilege na ni wapi watoto "wa nje" wameharamishwa kutumia majiba ya baba zao
Kwenye hio Qur'an nani aliharamisha? Dini iliyotokana na ukoo wa mtoto wa kambo leo inakataa asili yake 🤣🤣🤣🤣Katika Qur'an watoto wa nje ya ndoa wameharamishwa kuitwa majina ya Baba zao
Kwa asili kitu chochote ni halali mpaka kiharamishwe,kwahiyo maadam enzi za Manabii na Mitume hakukuwa na hizo sheria basi ilikuwa ni halali.
Naona unajitekenya mwenyewe halafu unacheka chief.Kwenye hio Qur'an nani aliharamisha? Dini iliyotokana na ukoo wa mtoto wa kambo leo inakataa asili yake 🤣🤣🤣🤣
Kama tunaamini kuwa Ishmael ambaye ni mototo wa kambo kaanzisha uislam vipi mnakuja na vijisheria vya kukataa asili yenuNaona unajitekenya mwenyewe halafu unacheka chief.
Asili gani iliyokatiliwa,kama wewe hutaki kuelewa hoja yangu basi endelea kuamini kile unachoamini
Shukrani
Unahakika Uislamu ulianza na Ismail?Kama tunaamini kuwa Ishmael ambaye ni mototo wa kambo kaanzisha uislam vipi mnakuja na vijisheria vya kukataa asili yenu