Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #301
Huyo unaye dhani unatumia ubin wake eti ni baba yako siyo kweli,baba yako ni mchuuzi wa samaki na mipango yooote mimi ndo nilikuwa mfanikishaji.
Sema jamaa alikupotezea tu,nadhani kwa akili hizi alifanya maamzi sahihi.
Kitu kinacho patikana kwa njia haramu ni haramu.
Aneanzisha sera nae ni matatizo yake,Hayo ni matatizo Yao lkn Dini inasimamia misingi yake.
Kwahiyo wao wakiharibu ndio Dini nzima imeharibika?
ChiefAneanzisha sera nae ni matatizo yake,
Mimi nazungumzia sheria ya dini,usikate moja kwa moja keamba mtotobwa zinaa ni wa mama tu,hili ni suala mtambuka lenye ikhtilaaf za wanazuoni.Kisheria mtoto wa zinaa ni WA mama Tu,tambua au tofautisha juu ya sheria za Dini na nje ya sheria za Dini
Sasa kama unafuata Dini basi tambua mtoto wa zinaa ni WA mama
VizuriKwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Sio kila sheria au sharia zimeanzishwa na Mungu mwenyewe, kuna zengine zinalitishwa tu na watu binafsi kwa malengo binafsi ya kibeberu na wanatumia dini wakijua watu wanahofu ya Mungu tu, kuzaliwa nje ya ndoa hakumfanyi mtu awe haramu, hakuna binadamu haramu, haramu ni huyo shehe alie sema huo utumboChief
Unamaanisha nini?
Bilashaka utakuwa mhanga,pole sanaSio kila sheria au sharia zimeanzishwa na Mungu mwenyewe, kuna zengine zinalitishwa tu na watu binafsi kwa malengo binafsi ya kibeberu na wanatumia dini wakijua watu wanahofu ya Mungu tu, kuzaliwa nje ya ndoa hakumfanyi mtu awe haramu, hakuna binadamu haramu, haramu ni huyo shehe alie sema huo utumbo
Hakuna hitilafu yoyote juu ya Hilo,usijipe moyo chiefMimi nazungumzia sheria ya dini,usikate moja kwa moja keamba mtotobwa zinaa ni wa mama tu,hili ni suala mtambuka lenye ikhtilaaf za wanazuoni.
Usiseme tu kisheria kana kwamba imeisha,by the way mimi naamini kwamba mtotonwa zinaa ni wa baba na mama ambao walizini wakapata mtoto huyo.
Na wala sio wa mama peke yake,lakini pia mpaka sasa naamini kwamba mtoto aliyepatikana kwa zinaa ataitwa kwa jina la baba huyo huyo aliyezini.
Haya ni mambo ya sheria hayakatwi tu bali kila mtu lazima akubali kwamba kuna mtazamo tofauti na wake.
Exactly my father is a bitch, ni mtoto, wake wa kwanza and he left us for dead, anafamilia ingine, thanks to God amenibless i can make 100 times more than he is making for a leaving na ninatumia jina lake kama ubini je ni kosa? Kwa sheria ya dini ipi? Imeandikwa wapi? Comments za post yako hii nyingi zinasema ni haramu ndio mana nika stand againts hizo comments, ok lets says situmii jina lake does it make any different kwamba sio mwanae,? There is no point kwenye hiyo mada yako, na waisilamu ndio wana mada hizo za kisenge sengeBilashaka utakuwa mhanga,pole sana
Nani amekwambia huyo mtoto anaitwa haramu?
Hizo ni tamaduni za waarabu, wewe mweusi zinakuhusu nini?Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Vipi Una tatizo na Hilo chief?Hizo ni tamaduni za waarabu, wewe mweusi zinakuhusu nini?
Exactly my father is a bitch, ni mtoto, wake wa kwanza and he left us for dead, anafamilia ingine, thanks to God amenibless i can make 100 times more than he is making for a leaving na ninatumia jina lake kama ubini je ni kosa? Kwa sheria ya dini ipi? Imeandikwa wapi? Comments za post yako hii nyingi zinasema ni haramu ndio mana nika stand againts hizo comments, ok lets says situmii jina lake does it make any different kwamba sio mwanae,? There is no point kwenye hiyo mada yako, na waisilamu ndio wana mada hizo za kisenge senge
Umeongea vyema na sahihi kabisa ila ukaharibu sehemu ndogo tu ila mbaya sana (kisenge senge).Exactly my father is a bitch, ni mtoto, wake wa kwanza and he left us for dead, anafamilia ingine, thanks to God amenibless i can make 100 times more than he is making for a leaving na ninatumia jina lake kama ubini je ni kosa? Kwa sheria ya dini ipi? Imeandikwa wapi? Comments za post yako hii nyingi zinasema ni haramu ndio mana nika stand againts hizo comments, ok lets says situmii jina lake does it make any different kwamba sio mwanae,? There is no point kwenye hiyo mada yako, na waisilamu ndio wana mada hizo za kisenge senge
Im sorry for that, ila the foolish idea sometimes needs a logical foolish response, siezi ibadili hiyoUmeongea vyema na sahihi kabisa ila ukaharibu sehemu ndogo tu ila mbaya sana (kisenge senge).
Nakuelewa,sema huyu jamaa aache kukaa karibu na nyonga za mama yake,amekua,atafute vyake.Im sorry for that, ila the foolish idea sometimes needs a logical foolish response, siezi ibadili hiyo
Mtoa post mbona nilimwambia mapema tu sema anafikiria vya kurithi badala ya kutafuta vya kwake.
Sasa kwakuwa anajua kuna nduguye kutoka kwa mama mwingine anakuja mbiombio huku JF.
Tafuta pesa kijana,baba yako katimiza wajibu wake mpaka kakufikisha hapo.
Vinginevyo watoto wako utawarithisha MAGONJWA na MADENI.