Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Kisheria mtoto wa zinaa ni WA mama Tu,tambua au tofautisha juu ya sheria za Dini na nje ya sheria za Dini

Sasa kama unafuata Dini basi tambua mtoto wa zinaa ni WA mama
Mimi nazungumzia sheria ya dini,usikate moja kwa moja keamba mtotobwa zinaa ni wa mama tu,hili ni suala mtambuka lenye ikhtilaaf za wanazuoni.

Usiseme tu kisheria kana kwamba imeisha,by the way mimi naamini kwamba mtotonwa zinaa ni wa baba na mama ambao walizini wakapata mtoto huyo.

Na wala sio wa mama peke yake,lakini pia mpaka sasa naamini kwamba mtoto aliyepatikana kwa zinaa ataitwa kwa jina la baba huyo huyo aliyezini.


Haya ni mambo ya sheria hayakatwi tu bali kila mtu lazima akubali kwamba kuna mtazamo tofauti na wake.
 
Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.

Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.

Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.

Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.

Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.

Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.

Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.

Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.

Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.

Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Vizuri
 
Chief

Unamaanisha nini?
Sio kila sheria au sharia zimeanzishwa na Mungu mwenyewe, kuna zengine zinalitishwa tu na watu binafsi kwa malengo binafsi ya kibeberu na wanatumia dini wakijua watu wanahofu ya Mungu tu, kuzaliwa nje ya ndoa hakumfanyi mtu awe haramu, hakuna binadamu haramu, haramu ni huyo shehe alie sema huo utumbo
 
Sio kila sheria au sharia zimeanzishwa na Mungu mwenyewe, kuna zengine zinalitishwa tu na watu binafsi kwa malengo binafsi ya kibeberu na wanatumia dini wakijua watu wanahofu ya Mungu tu, kuzaliwa nje ya ndoa hakumfanyi mtu awe haramu, hakuna binadamu haramu, haramu ni huyo shehe alie sema huo utumbo
Bilashaka utakuwa mhanga,pole sana

Nani amekwambia huyo mtoto anaitwa haramu?
 
Mimi nazungumzia sheria ya dini,usikate moja kwa moja keamba mtotobwa zinaa ni wa mama tu,hili ni suala mtambuka lenye ikhtilaaf za wanazuoni.

Usiseme tu kisheria kana kwamba imeisha,by the way mimi naamini kwamba mtotonwa zinaa ni wa baba na mama ambao walizini wakapata mtoto huyo.

Na wala sio wa mama peke yake,lakini pia mpaka sasa naamini kwamba mtoto aliyepatikana kwa zinaa ataitwa kwa jina la baba huyo huyo aliyezini.


Haya ni mambo ya sheria hayakatwi tu bali kila mtu lazima akubali kwamba kuna mtazamo tofauti na wake.
Hakuna hitilafu yoyote juu ya Hilo,usijipe moyo chief

Haki itabakia kuwa haki siku zote

Ndio nyie mnaozesha watoto wenu WA kike WA nje ya ndoa na dhambi zinakuwa juu yenu
 
Bilashaka utakuwa mhanga,pole sana

Nani amekwambia huyo mtoto anaitwa haramu?
Exactly my father is a bitch, ni mtoto, wake wa kwanza and he left us for dead, anafamilia ingine, thanks to God amenibless i can make 100 times more than he is making for a leaving na ninatumia jina lake kama ubini je ni kosa? Kwa sheria ya dini ipi? Imeandikwa wapi? Comments za post yako hii nyingi zinasema ni haramu ndio mana nika stand againts hizo comments, ok lets says situmii jina lake does it make any different kwamba sio mwanae,? There is no point kwenye hiyo mada yako, na waisilamu ndio wana mada hizo za kisenge senge
 
Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.

Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.

Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.

Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.

Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.

Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.

Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.

Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.

Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.

Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Hizo ni tamaduni za waarabu, wewe mweusi zinakuhusu nini?
 
Exactly my father is a bitch, ni mtoto, wake wa kwanza and he left us for dead, anafamilia ingine, thanks to God amenibless i can make 100 times more than he is making for a leaving na ninatumia jina lake kama ubini je ni kosa? Kwa sheria ya dini ipi? Imeandikwa wapi? Comments za post yako hii nyingi zinasema ni haramu ndio mana nika stand againts hizo comments, ok lets says situmii jina lake does it make any different kwamba sio mwanae,? There is no point kwenye hiyo mada yako, na waisilamu ndio wana mada hizo za kisenge senge

Naelewa machungu yako ya kuachwa na Baba yako,pole Sana, lkn hii haikufanyi uweze kututukana chief.

Unaweza nionyesha sehemu katika comment zangu nimeandika mtoto haramu au neno haramu?

Kama wewe ni muislamu,naamini wewe hujajipa Hilo Jina la ubini Bali umelikuta so sio kosa lako,lkn kama wewe sio muislamu basi usiseme hizo sheria hakuna katika Uislamu unakosea.
 
Exactly my father is a bitch, ni mtoto, wake wa kwanza and he left us for dead, anafamilia ingine, thanks to God amenibless i can make 100 times more than he is making for a leaving na ninatumia jina lake kama ubini je ni kosa? Kwa sheria ya dini ipi? Imeandikwa wapi? Comments za post yako hii nyingi zinasema ni haramu ndio mana nika stand againts hizo comments, ok lets says situmii jina lake does it make any different kwamba sio mwanae,? There is no point kwenye hiyo mada yako, na waisilamu ndio wana mada hizo za kisenge senge
Umeongea vyema na sahihi kabisa ila ukaharibu sehemu ndogo tu ila mbaya sana (kisenge senge).
 
Mtoa post mbona nilimwambia mapema tu sema anafikiria vya kurithi badala ya kutafuta vya kwake.
Sasa kwakuwa anajua kuna nduguye kutoka kwa mama mwingine anakuja mbiombio huku JF.

Tafuta pesa kijana,baba yako katimiza wajibu wake mpaka kakufikisha hapo.
Vinginevyo watoto wako utawarithisha MAGONJWA na MADENI.
 
Mtoa post mbona nilimwambia mapema tu sema anafikiria vya kurithi badala ya kutafuta vya kwake.
Sasa kwakuwa anajua kuna nduguye kutoka kwa mama mwingine anakuja mbiombio huku JF.

Tafuta pesa kijana,baba yako katimiza wajibu wake mpaka kakufikisha hapo.
Vinginevyo watoto wako utawarithisha MAGONJWA na MADENI.

Ni wapuuzi kama wewe Tu mnaweza kuwaza mambo kama hayo.

Hapa nazungumzia sheria za Dini ya kiislamu,kuwazindua waislamu wenzangu wasifanye makosa na kufuata haki,hlf wewe unakuja na mambo ya urithi na upuuzi kama huo?

Post nyingine ima soma kimya na tembea au achana kabisa, Linda heshima yako hata kama Una utambulisho bandia
 
Haramu ni haramu uwezi ita jina la ubini wa kao baba kwa mtoto haramu uyo anapewa majina ya kwao mama yake sAbu mama yake tyr kashakua haramu
 
Sasa hii dini ya HAKI mbona inakinzana na haki za mtoto kwa makosa ya wazazi wao
 
Back
Top Bottom