Kasongo Yeyee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2019
- 281
- 406
Wazee wanafahamu wa pande zote mbili. Na ndio maana wanasema kitanda hakizai haramu na maadamu kazaliwa ndani ya ndoa ni wake. Kwa mila zetu za kiafrika mtoto akizaliwa ndani ya ndoa ana haki zote za urithi kutoka kwa baba yake.
Apo uyo mtoto hapati kitu .