Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

Abuu hanifa

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2021
Posts
256
Reaction score
275
Ubaguzi mwengine wizara ya Afya.

Nina jirani yangu kapatikana na kansa. Tiba yake kaambiwa ajiandae na zaidi ya sh mil 5 cash.

Kaulizia iwapo akikata bima kama ataweza kupata tiba. Kaambiwa so ya private; labda apatikane mfanyakazi aliyeajiriwa hivi karibuni na amwandikishe kama mke wake.

Kakata tamaa; anasubiri kifo kwa sasa. Michango aliyopata kutoka kwa ndugu haizidi sh 500,000/-

Njia ya kumsaidia ni mbili.

1. Huruma za wenye dhima na afya za watz. Nazungumzia Rais Samia au Waziri wa Afya.

2. Kama kuna aliyeajiriwa hivi karibuni amsaidie kwa kumwandika kama mke wake ili apate huduma kwa gharama hizo.

3. Wito kwa watz tumchangie. Ambae atakuwa tayari nitatoa namba ya mgonjwa amsaidie.

Kama huna msaada wowote tafadhalini saidia kupaza sauti ili watendaji wapate aibu na huruma kwa watanzania.

Huenda mchango wako ikawa umemnusuru kwa tiketi hii ya kifo. Kansa
 
Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA. Roho yangu inaniuma ningependa nimpigie waziri nisikie kauli ya serikali. Inakuwaje wenye ukimwi watibiwe bure. Wenye Kansa wajilipie tens matibabu ghali huku ugonjwa wenyewe hajajitakia

Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA
 
Kansa ni kweli haina tiba?? Mbona yule sebastian haller wa dotmond alipona na karudi mazoezini
 
Kansa ni kweli haina tiba?? Mbona yule sebastian haller wa dotmond alipona na karudi mazoezini
sio kila kansa haina tiba zingne zinatibika pia inategemeana iko stage gani na ni kansa ya aina gani mfano kansa ya kidole si bora ukatwe kidole tu
 
Ubaguzi mwengine wizara ya Afya.

Nina jirani yangu kapatikana na kansa. Tiba yake kaambiwa ajiandae na zaidi ya sh mil 5 cash.

Kaulizia iwapo akikata bima kama ataweza kupata tiba. Kaambiwa so ya private; labda apatikane mfanyakazi aliyeajitiwa hivi karibuni na amwandikishe kama mke wake.

Kakata tamaa; anasubiri kifo kwa sasa. Michango aliyopata kutoka kwa ndugu haizidi sh 500,000/-

Njia ya kumsaidia ni mbili.

1. Huruma za wenye dhima na afya za watz. Nazungumzia Rais Samia au Waziri wa Afya.

2. Kama kuna aliyeajiriwa hivi karibuni amsaidie kwa kumwandika kama mke wake ili apate huduma kwa gharama hizo.

3. Wito kwa watz tumachangie. Ambae atakuwa tayari nitatoa namba ya mgonjwa amsaidie.

Kama huma msaada wowote tafadhalini saidia kupaza sauti ili watendaji wapate aibu na huruma kwa watz
Kuna magonjwa mawili kwa sasa ni magonjwa dume yawezekana Africa au Tanzania
1. Kansa
2. Figo
Nayaongelea haya kwa sasa maana yapo kwenye familia yangu na yametufanya tumekuwa maskini wa kutupwa
bima haisaidii lolote na wa figo ana bima NHIF haikidhi viwango kila uchao tunazidi kukata tamaa
Nb;serikali iingilie hii kitu kama kweli wanahitaji usawa
HIV iwe bure
FIGO iwe bure
KANSA iwe bure
NAWAKILISHA
 
Kuna magonjwa mawili kwa sasa ni magonjwa dume yawezekana Africa au Tanzania
1. Kansa
2. Figo
Nayaongelea haya kwa sasa maana yapo kwenye familia yangu na yametufanya tumekuwa maskini wa kutupwa
bima haisaidii lolote na wa figo ana bima NHIF haikidhi viwango kila uchao tunazidi kukata tamaa
Nb;serikali iingilie hii kitu kama kweli wanahitaji usawa
HIV iwe bure
FIGO iwe bure
KANSA iwe bure
NAWAKILISHA
Hapa umeongea ukweli mtupu. Mungu akubariki sana kwa kupaza sauti kwenye hayo magonjwa mawili.
 
Kwanini hyo laki 5 asiazie matibabu na hapo hospitali kuna wadau wanaweza msaidia asikate tamaa ugonjwa utazidi.
 
Kuna magonjwa mawili kwa sasa ni magonjwa dume yawezekana Africa au Tanzania
1. Kansa
2. Figo
Nayaongelea haya kwa sasa maana yapo kwenye familia yangu na yametufanya tumekuwa maskini wa kutupwa
bima haisaidii lolote na wa figo ana bima NHIF haikidhi viwango kila uchao tunazidi kukata tamaa
Nb;serikali iingilie hii kitu kama kweli wanahitaji usawa
HIV iwe bure
FIGO iwe bure
KANSA iwe bure
NAWAKILISHA
Na yana tesa sana.
 
Ubaguzi mwengine wizara ya Afya.

Nina jirani yangu kapatikana na kansa. Tiba yake kaambiwa ajiandae na zaidi ya sh mil 5 cash.

Kaulizia iwapo akikata bima kama ataweza kupata tiba. Kaambiwa so ya private; labda apatikane mfanyakazi aliyeajitiwa hivi karibuni na amwandikishe kama mke wake.

Kakata tamaa; anasubiri kifo kwa sasa. Michango aliyopata kutoka kwa ndugu haizidi sh 500,000/-

Njia ya kumsaidia ni mbili.

1. Huruma za wenye dhima na afya za watz. Nazungumzia Rais Samia au Waziri wa Afya.

2. Kama kuna aliyeajiriwa hivi karibuni amsaidie kwa kumwandika kama mke wake ili apate huduma kwa gharama hizo.

3. Wito kwa watz tumachangie. Ambae atakuwa tayari nitatoa namba ya mgonjwa amsaidie.

Kama huma msaada wowote tafadhalini saidia kupaza sauti ili watendaji wapate aibu na huruma kwa watz
Mkuu ukweli ni kwamba bima hukati ukiumwa, ndio maana ukikata kwa mara ya kwanza unapita muda kabla ya kuanza kuitumua ili usiwe umeikata wakati unaumwa.
Yani ni sawa huwezi kata bima ya kulipwa gari baada ya gari kupata ajali.
 
Yaani unatangaza kabisa kuwa kama kuna mtu anaweza kumuandika kama mkewe, haujui hiyo ni kinyume na sheria na kanuni za bima?!

Hayo mambo hufanywa kwa usiri sana na sio ya kutangaza. Kwanza hata mimi kukuonya hapa hadharani ninafanya makosa. Ikigundulika TIRA wanakufutia hiyo bima, na hospital walioprocess hiyo bima wanafutiwa kutoa huduma kwa Bima pia ofisa aliyehusika anasimamishwa na kufutwa kazi pamoja na kushitakiwa kwa uhujumu.

Next time tumia akili unapotafuta mbinu za kumsaidia mtu mwenye majanga kwa kutumia njia za panya. Sio unakuja kubwabwaja hadharani as if ni utaratibu halali na unakubalika kisheria.
 
Yaani unatangaza kabisa kuwa kama kuna mtu anaweza kumuandika kama mkewe, haujui hiyo ni kinyume na sheria na kanuni za bima?!

Hayo mambo hufanywa kwa usiri sana na sio ya kutangaza. Kwanza hata mimi kukuonya hapa hadharani ninafanya makosa. Ikigundulika TIRA wanakufutia hiyo bima, na hospital walioprocess hiyo bima wanafutiwa kutoa huduma kwa Bima pia ofisa aliyehusika anasimamishwa na kufutwa kazi pamoja na kushitakiwa kwa uhujumu.

Next time tumia akili unapotafuta mbinu za kumsaidia mtu mwenye majanga kwa kutumia njia za panya. Sio unakuja kubwabwaja hadharani as if ni utaratibu halali na unakubalika kisheria.
Tujiunge pamoja kupogania hali za wagonjwa wa magonjwa haya yanayoleta umasikini kwa familia kwa kuiambia serikali. Au kuntafutia suluhisho mgonjwa.

Nadhani ungesema tu kuwa kupata bima kutoka kwa mtz usiyemjua ni vigumu kukubali akuandikishe kama mkewe na akubali kutengeza cheti cha ndoa feki.
 
Ubaguzi mwengine wizara ya Afya.

Nina jirani yangu kapatikana na kansa. Tiba yake kaambiwa ajiandae na zaidi ya sh mil 5 cash.

Kaulizia iwapo akikata bima kama ataweza kupata tiba. Kaambiwa so ya private; labda apatikane mfanyakazi aliyeajitiwa hivi karibuni na amwandikishe kama mke wake.

Kakata tamaa; anasubiri kifo kwa sasa. Michango aliyopata kutoka kwa ndugu haizidi sh 500,000/-

Njia ya kumsaidia ni mbili.

1. Huruma za wenye dhima na afya za watz. Nazungumzia Rais Samia au Waziri wa Afya.

2. Kama kuna aliyeajiriwa hivi karibuni amsaidie kwa kumwandika kama mke wake ili apate huduma kwa gharama hizo.

3. Wito kwa watz tumachangie. Ambae atakuwa tayari nitatoa namba ya mgonjwa amsaidie.

Kama huma msaada wowote tafadhalini saidia kupaza sauti ili watendaji wapate aibu na huruma kwa watz
Watanzania tunafeli sana, yeye hakuwa na bima hadi alipogunduliwa ugonjwa ndio anataka kukata! Mbaya zaidi hata akikata haitamsaidia kwenye ugonjwa wake kwa mujibu wa maelezo yako mtoa mada hadi aolewe sijui na mwenye bima
 
Mkuu ukweli ni kwamba bima hukati ukiumwa, ndio maana ukikata kwa mara ya kwanza unapita muda kabla ya kuanza kuitumua ili usiwe umeikata wakati unaumwa.
Yani ni sawa huwezi kata bima ya kulipwa gari baada ya gari kupata ajali.
Japan ukikata bima wanakupima kwanza kabla hujaanza kuzitumia hiyo bima, màgonjwa yote watakayokukuta nayo hasa Yale ya muda mrefu hayataingia kwenye bima, pili ukiwa kwenye bima huwa wanakushauri jinsi ya kuishi ili usipate màgonjwa kwahiyo wao gharama zao sanasana wanazitumia kuwashauri watu jinsi ya kuishi na sio kutibu, kimsingi gharama za kutibu ni kubwa kuliko kushauri
 
Ubaguzi mwengine wizara ya Afya.

Nina jirani yangu kapatikana na kansa. Tiba yake kaambiwa ajiandae na zaidi ya sh mil 5 cash.

Kaulizia iwapo akikata bima kama ataweza kupata tiba. Kaambiwa so ya private; labda apatikane mfanyakazi aliyeajitiwa hivi karibuni na amwandikishe kama mke wake.

Kakata tamaa; anasubiri kifo kwa sasa. Michango aliyopata kutoka kwa ndugu haizidi sh 500,000/-

Njia ya kumsaidia ni mbili.

1. Huruma za wenye dhima na afya za watz. Nazungumzia Rais Samia au Waziri wa Afya.

2. Kama kuna aliyeajiriwa hivi karibuni amsaidie kwa kumwandika kama mke wake ili apate huduma kwa gharama hizo.

3. Wito kwa watz tumachangie. Ambae atakuwa tayari nitatoa namba ya mgonjwa amsaidie.

Kama huma msaada wowote tafadhalini saidia kupaza sauti ili watendaji wapate aibu na huruma kwa watz
Bima ni nini? Tukipata jibu hapa ndo tuendelee yaani upate ajali gari ndo ukate bima kweli?
 
Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA. Roho yangu inaniuma ningependa nimpigie waziri nisikie kauli ya serikali. Inakuwaje wenye ukimwi watibiwe bure. Wenye Kansa wajilipie tens matibabu ghali huku ugonjwa wenyewe hajajitakia

Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA
Serikali ya TZ haiwatibu bure wenye VVU, ule ni msaada kutoka nje siku wakikatiza huo msaada sidhani kama serikali itaweza kuendelea kugharamikia matibabu yao.
 
Back
Top Bottom