Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

Watanzania tunafeli sana, yeye hakuwa na bima hadi alipogunduliwa ugonjwa ndio anataka kukata! Mbaya zaidi hata akikata haitamsaidia kwenye ugonjwa wake kwa mujibu wa maelezo yako mtoa mada hadi aolewe sijui na mwenye bima
Samahan iko kwenye stage gani? Na pia nadhan hiyo bima ya NHIF kwenye cancer kuna vitu hailipii.

Kuna mzee alipata stage ya kwanza ya shingo afanyiwa Chemotherapy ila alitoa milion 5 pamoja na kuwa ana bima na amestaafu.

Ni miaka minne imepita na amepona anaendelea na miradi yake.
 
Ila elimu inahitajika sana kwenye hii issue ya bima.

Mtu anasubiri gari lipate ajali ndiyo anahaha kwenda kukata bima.

Na kwa jinsi ofisi za umma zilivyo,kama hali yake ni tete anaweza poteza maisha akisubiri mchakato wa kupatiwa kadi/ID yake ya NHIF!
 
Bima ni nini? Tukipata jibu hapa ndo tuendelee yaani upate ajali gari ndo ukate bima kweli?
What if umekata bima kabla ya ajali. Na ilipotokea ajali ukaambiwa hutolipwa kwa kuwa bima yako i binafsi. Tunalipa wale waliokata kupitia taasisi na mashirika ya umma.
 
Ila elimu inahitajika sana kwenye hii issue ya bima.

Mtu anasubiri gari lipate ajali ndiyo anahaha kwenda kukata bima.

Na kwa jinsi ofisi za umma zilivyo,kama hali yake ni tete anaweza poteza maisha akisubiri mchakato wa kupatiwa kadi/ID yake ya NHIF!
Pamoja na kupata elimu na ukakata bima kabla ya ajali. Ishu hapa ni Serikali haiwahudumii walitopata kansa kwa bima ya binafsi.

Kupata kansa Tanzania ukiwa hujaajiriwa ni tiketi ya kwenda ahera kwa maumivu makali kabisa.

Kuna mfumo wa bima ya kibaguzi
 
Ila elimu inahitajika sana kwenye hii issue ya bima.

Mtu anasubiri gari lipate ajali ndiyo anahaha kwenda kukata bima.

Na kwa jinsi ofisi za umma zilivyo,kama hali yake ni tete anaweza poteza maisha akisubiri mchakato wa kupatiwa kadi/ID yake ya NHIF!
Pamoja na kupata elimu na ukakata bima kabla ya ajali. Ishu hapa ni Serikali haiwahudumii walitopata kansa kwa bima ya binafsi.

Kupata kansa Tanzania ni tiketi ya kwenda ahera kwa maumivu makali
Japan ukikata bima wanakupima kwanza kabla hujaanza kuzitumia hiyo bima, màgonjwa yote watakayokukuta nayo hasa Yale ya muda mrefu hayataingia kwenye bima, pili ukiwa kwenye bima huwa wanakushauri jinsi ya kuishi ili usipate màgonjwa kwahiyo wao gharama zao sanasana wanazitumia kuwashauri watu jinsi ya kuishi na sio kutibu, kimsingi gharama za kutibu ni kubwa kuliko kushauri
Hebu tupatie data kwa wagonjwa was Kansas was Japan wanaoshindwa kupata huduma kwa kukosa pesa za kujitibia.

Japan hii inayotoa misaada kwa nchi ishinfwe kumhudumia mgonjwa kwa kuwa alipakata bima baada ya kupata maradhi.

Usitulishe matango poli.
 
Watanzania tunafeli sana, yeye hakuwa na bima hadi alipogunduliwa ugonjwa ndio anataka kukata! Mbaya zaidi hata akikata haitamsaidia kwenye ugonjwa wake kwa mujibu wa maelezo yako mtoa mada hadi aolewe sijui na mwenye bima
Bila shaka unaongea ukiwa umeshiba. Hujui hali ya watz. Wastani wa bima tz unapaswa kulipia 30,000 hadi 50,000 kwa mwezi. Huna kazi unategemea upike mama lishe ndipo uweze kupata pesa ya kula na kumpa motto ya shule. VP utawaza pesa ya bima.

Bila ya shaka uchumi ukitengemaa hakuna atakaekuwa tayari kuishi bila ya kuwa na bima
 
Bila shaka unaongea ukiwa umeshiba. Hujui hali ya watz. Wastani wa bima tz unapaswa kulipia 30,000 hadi 50,000 kwa mwezi. Huna kazi unategemea upike mama lishe ndipo uweze kupata pesa ya kula na kumpa motto ya shule. VP utawaza pesa ya bima.

Bila ya shaka uchumi ukitengemaa hakuna atakaekuwa tayari kuishi bila ya kuwa na bima
Sasahivi anavyotaka kukata hela anatoa wapi mkuu?
 
Pamoja na kupata elimu na ukakata bima kabla ya ajali. Ishu hapa ni Serikali haiwahudumii walitopata kansa kwa bima ya binafsi.

Kupata kansa Tanzania ni tiketi ya kwenda ahera kwa maumivu makali

Hebu tupatie data kwa wagonjwa was Kansas was Japan wanaoshindwa kupata huduma kwa kukosa pesa za kujitibia.

Japan hii inayotoa misaada kwa nchi ishinfwe kumhudumia mgonjwa kwa kuwa alipakata bima baada ya kupata maradhi.

Usitulishe matango poli.
Hata sijakuelewa mkuu
 
KWA UFUPI WEKA NAMBA YAKE TUNGANGE ILI KILA ANAYEGUSWA ACHANGE.
MILION 5 KWA IDADI YETU HATA TUKICHANGA ELFU 10 MATHALAN MBONA TUTAIPATA TU ILI MGONJWA APONE
 
Huyu an
Nina magape mawili kwenye bima. Umri wake tafadhali niangalie namweka nafasi ipi.
Na miaka 44.

Kwa yyt atakaeguswa amchangie sawa na nafasi aliyonayo.

Zinahitajika kati ya sh 3m na 5m

3m pekee ni Tiba ya mionzi kwa Siku 28 mfululizo.

2m ni gharama za dawa na gharama nyingine


Huenda mchango wako ikawa umemnusuru kwa tiketi hii ya kifo. Kansa

shukran kwa kuonyesha nia
 
KWA UFUPI WEKA NAMBA YAKE TUNGANGE ILI KILA ANAYEGUSWA ACHANGE.
MILION 5 KWA IDADI YETU HATA TUKICHANGA ELFU 10 MATHALAN MBONA TUTAIPATA TU ILI MGONJWA APONE
Kwa atakaeguswa tutamshukuru
 
Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA. Roho yangu inaniuma ningependa nimpigie waziri nisikie kauli ya serikali. Inakuwaje wenye ukimwi watibiwe bure. Wenye Kansa wajilipie tens matibabu ghali huku ugonjwa wenyewe hajajitakia

Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA
Mtafute Twitter kwenye page yake, huwa anajibu kero mbalimbali...
 
Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA. Roho yangu inaniuma ningependa nimpigie waziri nisikie kauli ya serikali. Inakuwaje wenye ukimwi watibiwe bure. Wenye Kansa wajilipie tens matibabu ghali huku ugonjwa wenyewe hajajitakia

Naomba mwenye namba ya WAZIRI WA AFYA
Una hoja mkuu wale waliupata ugonjwa kwa nyege zao wanatibiwa bure kwa sababu mzungu kawaonea huruma ina maana serikali yetu haiwezi kuwaonea huruma wenye magonjwa kama haya ya Kansa mpaka tusubiri huruma ya wazungu. inauma sana.
 
Back
Top Bottom