Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

Sasahivi anavyotaka kukata hela anatoa wapi mkuu?
Hata akipata hawezi kupata Tiba ni bima ya kibaguzi sana. Wanaopata tiba ni wale wamekatiwa na mashirika au taaaisi za umma.

Njia nyepesi ni pale wakijitokeza wadhamini.

1. Walio ktk taasisi wamuandikishe kama mke na watenfeze cheti cha ndoa feki. Au

Kwa yyt atakaeguswa amchangie.

Zinahitajika kati ya sh 3m na 5m

3m pekee ni Tina ya mionzi kwa Siku 28 mfululozi.
2m ni gharama za dawa na gharama nyingine


Huenda mchango wako ikawa umemnusuru kwa tiketi hii ya kifo. #Kansa
 
Kuna magonjwa mawili kwa sasa ni magonjwa dume yawezekana Africa au Tanzania
1. Kansa
2. Figo
Nayaongelea haya kwa sasa maana yapo kwenye familia yangu na yametufanya tumekuwa maskini wa kutupwa
bima haisaidii lolote na wa figo ana bima NHIF haikidhi viwango kila uchao tunazidi kukata tamaa
Nb;serikali iingilie hii kitu kama kweli wanahitaji usawa
HIV iwe bure
FIGO iwe bure
KANSA iwe bure
NAWAKILISHA
Pole sana mkuu, uko sahihi kabisa...
 
Kuna kitu kina itwa pre existing conditions kwenye BIMA zote ulimwenguni, huwezi tibiwa na BIMA. Cha msingi ambacho watanzania wengi hatutaki ni kuungia wengi kwenye BIMA ya Afya ili mfuko uwe mkubwa magonjwa makubwa kama hayo yawe inclusive. Kuwa na universal health care ni ngumu kwa nnchi kama yetu sasa hivi na hali ya uchumi, marekani wenyewe hii ni topic kubwa wakati wa uchaguzi, walikua wana kataa Obamacare kwa kuwa blacks na hispanic wanataka kutibiwa bure bila kufanya kazi na kuchangia hizi BIMA
 
Mkuu ukweli ni kwamba bima hukati ukiumwa, ndio maana ukikata kwa mara ya kwanza unapita muda kabla ya kuanza kuitumua ili usiwe umeikata wakati unaumwa.
Yani ni sawa huwezi kata bima ya kulipwa gari baada ya gari kupata ajali.
Unaweza kata ila hatatibiwa hadi achangie mara 3, maana yake miaka 3
 
Japan ukikata bima wanakupima kwanza kabla hujaanza kuzitumia hiyo bima, màgonjwa yote watakayokukuta nayo hasa Yale ya muda mrefu hayataingia kwenye bima, pili ukiwa kwenye bima huwa wanakushauri jinsi ya kuishi ili usipate màgonjwa kwahiyo wao gharama zao sanasana wanazitumia kuwashauri watu jinsi ya kuishi na sio kutibu, kimsingi gharama za kutibu ni kubwa kuliko kushauri
Bima nyingi watu wanajiunga wakiwa wagonjwa
 
Bila shaka unaongea ukiwa umeshiba. Hujui hali ya watz. Wastani wa bima tz unapaswa kulipia 30,000 hadi 50,000 kwa mwezi. Huna kazi unategemea upike mama lishe ndipo uweze kupata pesa ya kula na kumpa motto ya shule. VP utawaza pesa ya bima.

Bila ya shaka uchumi ukitengemaa hakuna atakaekuwa tayari kuishi bila ya kuwa na bima
Sasa hapo unailaumu serikali au ujilaumu wewe kutotimiza sehemu yako?
 
Wengi hawajui Bima sio msaada ni biashara! Biashara ya bima ni biashara ya risk. Bima wanakupangia gharama za kulipa baada ya kupima risk watayobeba ili wapate faida. Mfano huwezi kukata bima baada ya ajali! Hiyo sio bima tena!

Hata bima ya afya wana take risk ya uwezekano wa wewe kuugua na kama una maradhi ya kudumu lazima wajue ili wakupe gharama ambayo inawapa nafasi ya uwezekano wa kupata faida.

Ukishakuwa na umri mkubwa kampuni nyingi hazikupi bima maana risk ni kubwa pia. Lakini pia kuna baadhi ya maradhi kupata bima ni ngumu sababu kufanya analysis ya risk kupata gharama halisia za kulipa ni ngumu na hata ikitokea wakakupa itakuwa bei ghali sana.

Mgonjwa kama huyo ni familia na wasamaria wema kujitokeza kumchangia. Poleni sana

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wengi hawajui Bima sio msaada ni biashara! Biashara ya bima ni biashara ya risk. Bima wanakupangia gharama za kulipa baada ya kupima risk watayobeba ili wapate faida. Mfano huwezi kukata bima baada ya ajali! Hiyo sio bima tena!

Hata bima ya afya wana take risk ya uwezekano wa wewe kuugua na kama una maradhi ya kudumu lazima wajue ili wakupe gharama ambayo inawapa nafasi ya uwezekano wa kupata faida.

Ukishakuwa na umri mkubwa kampuni nyingi hazikupi bima maana risk ni kubwa pia. Lakini pia kuna baadhi ya maradhi kupata bima ni ngumu sababu kufanya analysis ya risk kupata gharama halisia za kulipa ni ngumu na hata ikitokea wakakupa itakuwa bei ghali sana.

Mgonjwa kama huyo ni familia na wasamaria wema kujitokeza kumchangia. Poleni sana

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu hivi ni serikali nayo hufanya biashara kwa afya za watu.

Wao huchukua kodi.

Wao huacha soko huru bidhaa zisizo na viwango huingizwa nchini.

Halafu wanaleta bima ya kibaguzi.

Waia wa daraja LA kwanza ndio watibiwe. RAIA daraja la pili hata ukikata bima unaambiwa huwezi kupata tiba zaidi ya vipimo tu.

Tukisema watendaji wameshindwa tutakosea?!?

Basi ukiwa na mchango wako plz support mgonjwa.

Watendaji wana mipango yao sio kutibu masikini.

Zinahitajika kati ya sh 3m na 5m

3m pekee ni Tiba ya mionzi kwa Siku 28 mfululizo.
2m ni gharama za dawa na gharama nyingine


Huenda mchango wako ikawa umemnusuru kwa tiketi hii ya kifo. Kansa
 
Wengi hawajui Bima sio msaada ni biashara! Biashara ya bima ni biashara ya risk. Bima wanakupangia gharama za kulipa baada ya kupima risk watayobeba ili wapate faida. Mfano huwezi kukata bima baada ya ajali! Hiyo sio bima tena!

Hata bima ya afya wana take risk ya uwezekano wa wewe kuugua na kama una maradhi ya kudumu lazima wajue ili wakupe gharama ambayo inawapa nafasi ya uwezekano wa kupata faida.

Ukishakuwa na umri mkubwa kampuni nyingi hazikupi bima maana risk ni kubwa pia. Lakini pia kuna baadhi ya maradhi kupata bima ni ngumu sababu kufanya analysis ya risk kupata gharama halisia za kulipa ni ngumu na hata ikitokea wakakupa itakuwa bei ghali sana.

Mgonjwa kama huyo ni familia na wasamaria wema kujitokeza kumchangia. Poleni sana

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Na hili suala ndilo linanifanya bima niione kama upuuzi fulani tu
Wengine wanaambiwa walipe 30k kwa mwaka ikijumuisha na watu wengine wa5
Sasa 30k kwa mwaka kwa watu wa 5 kuna huduma kweli mtakuwa mnapata hapo au bora liende tu
 
Ukiiwahi haina shida na inatibika kabisa. Ubaya wa huu ugonjwa unakuwa nao lakini hujui kama unao dalili zinatokea wakati imeisha kuathiri kwa sana.
Kansa ni kweli haina tiba?? Mbona yule sebastian haller wa dotmond alipona na karudi mazoezini
 
Back
Top Bottom