Shalom Brother huko unapomwambia ni mbali sana hawezi kumjua bado bwana yesuUTATIMIA BIBLIA yenu ya mchongo au BIBLIA halisi?π
Mungu akubariki sanaRoho mtakatifu ni ROHO wa Yesu.
Mungu ni MMOJA NAFSI Moja.
Akiwa Mbinguni ni Baba,
Alipokuja katika mwili wa mwanadamu aliitwa mwana,
Aishipo ndani ya WANADAMU wote Kwa wakati mmoja, anaitwa Roho mtakatifu, au Roho wa Yesu.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Unasoma biblia na unaielewa ila huiamini,mungu alijiumba kwanza kwakujipunguza ukubwa wakeMkuu mm ni mkristo na Biblia sio tu naisoma Bali naielewa,kama una mda soma Methali/Mithali 8:22-31 halafu unaambie aliyezungumziwa hapo ni nani,kama haitoshi soma pia Wakolosai1:15,16. Yesu aliumbwa na Mungu(Yehova) kabla ya chochote kile mbinguni na duniani,na ni yeye pekee aliyeumbwa na Mungu moja kwa moja ndiyosababu anaitwa Mwana wa pekee,lakini Yesu pia alikuwa anamsaidia Mungu katika kazi ya kuumba vitu vingine,soma Methali/Mithali8:30"Wakati huo nilikuwa kando yake nikiwa mfanyakazi stadi," Mkuu Yesu ana mwanzo,lakini Mungu Hana mwanzo na hawezi kufa kama ambavyo Yesu alikufa siku3
Hallelujah hallelujah mjoli mwa minifuNdo nakwambia,
Kuprove Jina YEHOVA, kemea Pepo Kwa Jina la YEHOVA Kisha uje kuleta majibu hapa.
YEHOVA ni sawa na kusema MWENYEZI MUNGU. Bado hujalitaja Jina lake.
Watu walikuwa na Mungu kabla msingi wa ulimwengu.Niliokoka kitambo sana,yaani kiufupi Mimi nilikua wa Mungu since nazaliwa hata makuzi yangu ni religion boy,
Ila nilitoka huko kutokana na mapokeo ya church sababu yanapingana na uhalisia wa Uungu na hayamfungui mtu zaidi ya kumfanya slave,
Nikaanza battle personal na ndio yule Mwendawazimu niliyekua nachallenge masuala ya dini na siamini katika hizo,
Ila kiuhalisia hii ni fake I'd kumbuka tu!ππ
True yaani hata ufanyaje kama ulishachaguliwa hata ufanye vituko atakupata tuWatu walikuwa na Mungu kabla msingi wa ulimwengu.
PembaTrue yaani hata ufanyaje kama ulishachaguliwa hata ufanye vituko atakupata tu
Ndio lile andiko la kondoo mmoja akipotea ataacha 99 na kumtafuta na akimpata atafanya sherehe!π
Just imagine huo upendo yani,
Watu wengi hawajui hii siri ya Ufalme wa Mungu!
Kuna shida hapo....?? maana yake akapewa jina kuwakilisha U- mungu MTU wake?? mbona unakichwa ngumu weweMalaika Gabriel alimwambia Bikira maria mtoto atapewa Jina gani kama hua unasoma kweli?
Barikiwa mtumishi. AmenHallelujah hallelujah mjoli mwa minifu
Wewe jamaa tatizo bible unasomewa na padre ndio maana hata huelewi Bible code,Kuna shida hapo....?? maana yake akapewa jina kuwakilisha U- mungu MTU wake?? mbona unakichwa ngumu wewe
Mikael ni Malaika mkuu,Shalom Brother huko unapomwambia ni mbali sana hawezi kumjua bado bwana yesu
Mikael Gabriel yote ni mavazi ya Bwana Yesu kristo .
Sasa hujajua tu kuwa yesu ni nani, kwaio haina mana kukueleza kua yeye pia ni mkuu wa jeshi la mbinguni na ndie aliemshusha shetani chini.
Alikuwa mungu mwenyewe katika vazi la vita yaani mikael
Huamini katika Dini lakini yesu unamuita LordNiliokoka kitambo sana,yaani kiufupi Mimi nilikua wa Mungu since nazaliwa hata makuzi yangu ni religion boy,
Ila nilitoka huko kutokana na mapokeo ya church sababu yanapingana na uhalisia wa Uungu na hayamfungui mtu zaidi ya kumfanya slave,
Nikaanza battle personal na ndio yule Mwendawazimu niliyekua nachallenge masuala ya dini na siamini katika hizo,
Ila kiuhalisia hii ni fake I'd kumbuka tu!ππ
Yes Yesu hakuleta Dini mkuu alileta wokovu wafuasi wake baadae wakaleta dini dini ni mpango wa wanadamu kumtafuta Mungu bali wokovu ni mpango wa Mungu kuwatafuta wanadamu,Huamini katika Dini lakini yesu unamuita Lord
Mungu, God, Jah, Alah Ingurubi, Kyala, Yehova you can name it anayo mengiSalaam, Shalom!!
Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani.
Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi?
Jina la Mungu ni nani?
Karibuni π
Yesu ni mchizi flan ivi influencerYes Yesu hakuleta Dini mkuu alileta wokovu wafuasi wake baadae wakaleta dini dini ni mpango wa wanadamu kumtafuta Mungu bali wokovu ni mpango wa Mungu kuwatafuta wanadamu,
Unaweza ukapata wokovu bila dini na unaweza ukapata dini bila wokovu! Saad30
Vyovyote umwonavyo ndivyo alivyo,Yesu ni mchizi flan ivi influencer
Alijulikana kwa Ibrahimu kama Mungu Mwenyezi, kwa Musa alijiulikana kwa Jina la Yehova, katika Agano Jipya amejifunua kama Yesu KristoSalaam, Shalom!!
Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani.
Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi?
Jina la Mungu ni nani?
Karibuni π
Nisome vizuri unielewe namaanisha niniKama ni mamlaka toa pepo kwa jina lako
Imo nguvu katika jina lake
Mapepo wanalijua
Ila huwezi kulitumia kama humuamini na wala yeye hakutambui