Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Wachawi wote wanaujua uungu wa Yesu,wameapizwa wasikiri.

Mapepo na majini, mashetani wote wanaujua uungu wa Yesu ila wameapizwa wasikiri.

Wasiojua ni WANADAMU WALIOFUNGWA katika vifungo mbalimbali vya dhambi.

Mimi pia nilitaabika sana kumjua Hasa Yesu ni nani,

Namshukuru Mungu alinipa neema kumjua.

Kamwe sitamwacha Yesu, My Lord my God.

Amen
Yaliyokukuta madogo mimi nilikua nimeshaanza kua Senior Atheist
Ndugu yangu acha kabisa sijui nini kilinitokea mkuu,
Nilichomolewa within a point haaaa heeee aisee
God power through Lord Jesus Christ ni habari nyingine kabisa hii ni mada kabisa mkuu yaani huwezi amini nilipotea hapa JF Mwaka mzima now nimerudi kwa u turn ya nguvu angalia mada zangu za nyuma ni full kufuru now naziona vichekesho tu😁😁
 
Yaliyokukuta madogo mimi nilikua nimeshaanza kua Senior Atheist
Ndugu yangu acha kabisa sijui nini kilinitokea mkuu,
Nilichomolewa within a point haaaa heeee aisee
God power through Lord Jesus Christ ni habari nyingine kabisa hii ni mada kabisa mkuu yaani huwezi amini nilipotea hapa JF Mwaka mzima now nimerudi kwa u turn ya nguvu angalia mada zangu za nyuma ni full kufuru now naziona vichekesho tu😁😁
Nakumbuka uliyokuwa ukipinga katika mada ya Live Kutoka kuzimu.

Mungu Huwa anajitetea,

Namshukuru Mungu Kwa ajili Yako.

Ubarikiwe 🙏
 
Nakumbuka uliyokuwa ukipinga katika mada ya Live Kutoka kuzimu.

Mungu Huwa anajitetea,

Namshukuru Mungu Kwa ajili Yako.

Ubarikiwe 🙏
Mungu akitaka kukuchomoa mahali hua anaanzia mbali sana kiufupi nilianza kujifunza mambo mazito mazito since nipo young sana,halafu kinamna nilikua vizuri sana kimaandiko since nikiwa mdogo yaani Sunday school nilikua kiongozi wa kwaya yetu na nilizingatia sana mambo ya Mungu,nikapata kipaimara nikiwa form one na nikipafomu A mitihani yote guess what kufika form two nikaanza kuignore dogmas za kanisa hii ni baada ya kusoma deep bible na kujua Injili ile Bwana Yesu haifundishwi ila watu wanafuata mapokeo tu nikapotezea kabisaa maswala ya Dini na tangu hapo mpaka leo siamini dini yoyote ila naamini Wokovu kwa njia ya Imani kwa Bwana Yesu kipindi cha mpito nilikataa kila kitu ingawa nilivutwa ila ukaidi sana na kufuru nyingi,
Ila nikaja jua Mungu ananipenda licha ya kua na sarakasi nyingi 😁
Kumbe alikua ananizoom tu nijichanganye kondoo wake nimerudi zizini bila jasho ingawa Father anajua kabisa na kaniwezesha kua free Minded bado na challenge flani tuvumiliane napenda kufukunyua vitu ili nipate vitu 😁
Hata siku ile kwenye ile mada Yako nilikua na challenge tu kunogesha mada usipaniki mkuu sometimes,
mimi ni Mwana wa ufalme kabisa ila ni wale wasumbufu kama prince Harry wa Birmingham!
😁😁
 
Yaliyokukuta madogo mimi nilikua nimeshaanza kua Senior Atheist
Ndugu yangu acha kabisa sijui nini kilinitokea mkuu,
Nilichomolewa within a point haaaa heeee aisee
God power through Lord Jesus Christ ni habari nyingine kabisa hii ni mada kabisa mkuu yaani huwezi amini nilipotea hapa JF Mwaka mzima now nimerudi kwa u turn ya nguvu angalia mada zangu za nyuma ni full kufuru now naziona vichekesho tu😁😁
Kijana umeamua kuokoka
 
Umefanikiwa kummaliza form 4 kweli??? Mungu alijifanya MTU, akaja duniani...Mungu MTU Lazima awe na jina kama watu wengine...ndio wazazi wake wakampa jina Yesu....
Wewe jamaa kilaza kweli Jina Yesu hakupewa na wazazi wake hili Jina ni order kutoka Ulimwengu wa Roho,
Malaika Gabriel alimwambia Bikira maria mtoto atapewa Jina gani kama hua unasoma kweli?
 
Kijana umeamua kuokoka
Niliokoka kitambo sana,yaani kiufupi Mimi nilikua wa Mungu since nazaliwa hata makuzi yangu ni religion boy,
Ila nilitoka huko kutokana na mapokeo ya church sababu yanapingana na uhalisia wa Uungu na hayamfungui mtu zaidi ya kumfanya slave,

Nikaanza battle personal na ndio yule Mwendawazimu niliyekua nachallenge masuala ya dini na siamini katika hizo,
Ila kiuhalisia hii ni fake I'd kumbuka tu!😁😁
 
Jina la Mungu ni Bwana yesu
Yehovah moja ya sifa za Mungu
Ila jina lililojuu ya majina yote ni Bwana yesu kristo
Hilo ndio jina la baba ilo ilo la mwana ilo ilo la roho mtakatifu .
Yesu aliwaambia mkabatize kwa jina ambalo ni la baba na ilo ilo la mwana na ilo ilo la roho mtakatifu
Math 28
Alaf mitume wote wakabatiza kwa jina la Bwana yesu.
Maana ndilo jina la baba ilo ilo la mwana ilo pia la roho mtakatifu .

Yesu anasema baba jina lako ulilonipa na mm nawapa.

Mungu miaka yote alilificha jina lake kwa wanadamu,musa alipomuuliza akamwambia jina langu mm niko ambae niko,mara alfa na omega,mara yehova yire na kadhalika
Aliwaficha aliwapa sifa zake na sio jina.
Biblia inasema neema kuu imefunuliwa kwa wanadamu,
Sasa tunaweza kumuita Mungu nae akageuka
 
Umefanikiwa kummaliza form 4 kweli??? Mungu alijifanya MTU, akaja duniani...Mungu MTU Lazima awe na jina kama watu wengine...ndio wazazi wake wakampa jina Yesu....
Elimu ya duniani haina kitu mbele za mungu,
Yesu hakusoma
Petro alikuwa hajui kusoma wala kuandika.
Yohana pia.
Kwaio jua elimu ya wanadamu kwa Mungu ni upuuzi.
Mungu mwenyewe amesema mnazoziita elimu na akili kwangu ni upuuzi
 
Wachawi wote wanaujua uungu wa Yesu,wameapizwa wasikiri.

Mapepo na majini, mashetani wote wanaujua uungu wa Yesu ila wameapizwa wasikiri.

Wasiojua ni WANADAMU WALIOFUNGWA katika vifungo mbalimbali vya dhambi.

Mimi pia nilitaabika sana kumjua Hasa Yesu ni nani,

Namshukuru Mungu alinipa neema kumjua.

Kamwe sitamwacha Yesu, My Lord my God.

Amen
Yesu alisema ukifanikiwa kunijua mm ni nani tu
Unauzima wa milele
 
Sasa nisemeje!!

Mimi na mamangu na family yangu tumepewa kulijua Jina pekee la Mungu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO /YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Amen
Huna haja ya kushindana nao
Biblia inasema kuna nafsi zipo kifungoni haziwezi kamwe kuokolewa
 
Tutofautishe kati ya majina ya cheo na majina ya pekee hivyo Mungu ambaye ni muumba mbingu na nchi ana majina mengi ya cheo kulingana na ukuu wake kwahyo unaweza kumuita Mungu,bwana,mwenza yote,mwenyeenzi kuu, n.k lakini anajina la Pekee ambalo linapatikana Zaburi 83.18 jina hilo ni YEHOVA .jina hili ndo humtofautisha na miungu mingine
Jina la mungu halikujulikana wakati woeote isipokua alipokuja Mungu mwenyewe duniani.
Musa alitamani alijue jina lake lakini alikuwa anafichwa mm nipo ambae niko.

Ibrahim pia na wazee wakale wote mungu aliwaficha.

Jina ni moja tuu
Ambalo ni Yesu
 
We shetani anaogopa mamlaka sio jina. Unaweza tumia jina Yesu shetani asiogope kama huna muunganiko na mamlaka ya kimungu. Atakachofanya ni kukutandika viboko kwa nini umetaja hilo jina.
Ipo hivi, ukiwa na muunganiko (connection) hilo jina linakuwa kama password. Pia ukiwa na muunganiko huo, unaweza tumia mamlaka ya kimungu kumkimbiza shetani kwa kutumia jina la Mungu kwa kutamka hata bila kutamka.
Kwa taarifa yako wapo wanaokimbiza majini kwa kusema toka likatoka. Hii ni baada ya kuwa na kitu kinaitwa connection. Ukiwa nayo wewe utaenda sehemu yenye wachawi wakakukimbia bila hata ya kutamka neno.
Tujifunze zaidi kujua mamlaka ya Mungu ilivyo UKWELI WAKE, MTAIJUA KWELI HIYO NAYO ITAEAEEKA HURU.
Kama ni mamlaka toa pepo kwa jina lako
Imo nguvu katika jina lake
Mapepo wanalijua
Ila huwezi kulitumia kama humuamini na wala yeye hakutambui
 
Alipomtokea Musa kule mlimañi, Musa alimuuliza jina lake, akamjibu "MIMI NIKO AMBAYE NIKO"
 
anyway mimi sijui kushindana!!!!"have a good day sir".........YESU mwenyewe alipoulizwa mwisho wa dunia ni lini alisema"hakika mimi sijui,ila BABA yaani MUNGU ndio ajuae...sasa kama YESU kuna mambo mengine hachunguzi!!! wewe ni nani?
Yesu ni ule mwili aliouvaaa ila kilichomo ndani yake alikuwa mungu yule YEHOVA wa agano la kale aliishi dunian katika vazi la yesu.
Ule mwili haukujua kitu ila kilichopo ndn ya mwili
 
Mungu Baba

Yohana 17:3

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu ni nabii na mtume alitumwa pia na Muumba.
Yesu walimuuliza mbona unaongea sana kwa mafumbo na mifano.
Unajua aliwajibuje ili wakisikia wasielewe wakiona wasitambue
Yohana 14 yesu anasema yeye ndie baba na yeye ndie yule roho mtakatifu .

Yesu ni EMMANUEL Munhu yehova yule wakale pampja na sisi apa duniiani.


MUNGU ALIKUJA DUNIANI AKAISHI LAKINI KATIKA HALI DUNI ALIJICHAGULIA

ALIONA FAHARI ZA MBINGUNI SI KITU .
AKAJA KUKOMBOA.
DENI LILIKUWA KUBWA SANA ASINGEWEZA MWINGINE KULILIPA ILA MUNGU MWENYEWE KATIKA DAMU YA MWILI ALIOUVAAA
 
Jina la Baba ndilo Hilo Jina la YESU.

(Yohana 5:43)

Mimi nimekuja Kwa Jina la BABA yangu, ninyi hamnipokei,

Lakini akija mwingine Kwa Jina lake, mtampokea huyo.

Mungu, Asante Kwa kuja Duniani katika mwili wa mwanadamu na kulifunua Jina lako lililokuwa limefichwa enzi na enzi.

Amen
Bwana yesu kristo akubariki sana
Kama haya yote hawatayaona basi kumbuka
Ni uzao wa kweli wa mungu tu ndio utaomtambua
Hata wale wanaojiita wakristo weng mno hawamjui wanaemshikilia.
Biblia ipo wazi sana ila wamechagua mapokeo na fafanuzi za viongozi wao wadini
 
YAHWEH
YHWH
JEHOVAH

Jehova jireh
Jehova rafah
Jehova shamah
......…
.........
......
Mfano Jehova jireh
Baada ya jamaa kutaka kumtoa mwanae sadaka akaletewa kondoo ndipo akasema Jehova jireh ikiwa na maana Mungu atoaye
Kwahiyo hizo ulizotaja na nyingine nyingi zinaendana na matukio yaliyotokea kwa manabii kuonyesha ukuu wa Mungu lakini siyo jina la moja kwa moja la Mungu
Hayo yote sio jina la Mungu .
Majina ya mungu ni mengi
Ila jina la Mungu ni moja
 
Blessed be you.

Yesu akawauliza, ninyi mwasema Mimi ni nani?

Petro akasema, wewe u Messiah, Mwana wa Mungu aliye hai.

Yesu akasema, Mwili na Damu havikukufunulia haya, Bali Baba yangu aliye Mbinguni.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Praise God hallelujah
 
Back
Top Bottom