Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Sasa nisemeje!!

Mimi na mamangu na family yangu tumepewa kulijua Jina pekee la Mungu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO /YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Amen
Walioandika na kuiandaa biblia hawajui jina la Mungu ije kuwa wewe uliyevimbiwa maharagwe???
 
Walioandika na kuiandaa biblia hawajui jina la Mungu ije kuwa wewe uliyevimbiwa maharagwe???
Unaishi wapi wewe Mungu ana Jina lipitalo majina yote,
Hukusoma Sunday school Jina la
YESU ndio Jina lipitalo majina yote?
Code ndogo tu hii unatoa jasho mkuu😁

Hakuna Jina jingine ambalo wanadamu tupewa liokoalo zaidi ya hilo Jina,
Ni Jina kuu mno lenye mamlaka makubwa na kuogofya,
No more! no more! no more!
 
Kwamba nawe hulijui Jina la Mungu?

Sasa unaabudu usichokijua?
Yaani leo ndio nauona uzi yaani Mamia ya Wakristo hawalijui Jina lipitalo majina yote na hua wanaimba kabisa
🎶Jiiina Yesu lapita majina yoooote🎵
Jina lako ni kuu sanaaaa
Lapita majina yoooteee eeeh🎶

Wakristo wa hovyo hawaaa wanahitaji kuchapwa mboko kabisaa!
 
Unaishi wapi wewe Mungu ana Jina lipitalo majina yote,
Hukusoma Sunday school Jina la
YESU ndio Jina lipitalo majina yote?
Code ndogo tu hii unatoa jasho mkuu😁

Hakuna Jina jingine ambalo wanadamu tupewa liokoalo zaidi ya hilo Jina,
Ni Jina kuu mno lenye mamlaka makubwa na kuogofya,
No more! no more! no more!
Na yeyote anayedai anamjua Mungu Kisha anakana uungu wa Yesu,

Huyo anaongozwa na Roho ya mpinga kristo, Masih jadal.
 
Yaani leo ndio nauona uzi yaani Mamia ya Wakristo hawalijui Jina lipitalo majina yote na hua wanaimba kabisa
🎶Jiiina Yesu lapita majina yoooote🎵
Jina lako ni kuu sanaaaa
Lapita majina yoooteee eeeh🎶

Wakristo wa hovyo hawaaa wanahitaji kuchapwa mboko kabisaa!
Kumjua Siri hiyo ni Hadi ufunuliwe na Roho mtakatifu.

Jina lipitalo Majina yote Mbinguni na duniani,

Hilo ni Jina la Mungu.

Mungu ni MMOJA, na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Na yeyote anayedai anamjua Mungu Kisha anakana uungu wa Yesu,

Huyo anaongozwa na Roho ya mpinga kristo, Masih jadal.
Hakuna Kiumbe yeyote wa zama hizi atamjua Mungu bila Bwana Yesu hakuna na haitakaa itokee milele yote!

Nje ya Bwana Yesu Kristo no salvation,no Holly spirit no spiritual awakening,
No! no! no! no!
 
Kumjua Siri hiyo ni Hadi ufunuliwe na Roho mtakatifu.

Jina lipitalo Majina yote Mbinguni na duniani,

Hilo ni Jina la Mungu.

Mungu ni MMOJA, na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Hii ndio siri kuu ya Uungu,
Watu wasipotambua hili wataendelea kujidanganya na hadith za kufurahisha genge na hawatakaa wapate ukombozi wa Roho na Mwili yaani hao ni slave na lost human being!
 
Hii ndio siri kuu ya Uungu,
Watu wasipotambua hili wataendelea kujidanganya na hadith za kufurahisha genge na hawatakaa wapate ukombozi wa Roho na Mwili yaani hao ni slave na lost human being!
Wachawi wote wanaujua uungu wa Yesu,wameapizwa wasikiri.

Mapepo na majini, mashetani wote wanaujua uungu wa Yesu ila wameapizwa wasikiri.

Wasiojua ni WANADAMU WALIOFUNGWA katika vifungo mbalimbali vya dhambi.

Mimi pia nilitaabika sana kumjua Hasa Yesu ni nani,

Namshukuru Mungu alinipa neema kumjua.

Kamwe sitamwacha Yesu, My Lord my God.

Amen
 
Back
Top Bottom