Je, Mungu ataumba tena binadamu wengine baada ya dunia kufikia mwisho?

Je, Mungu ataumba tena binadamu wengine baada ya dunia kufikia mwisho?

McCollum

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2023
Posts
384
Reaction score
684
Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine baada ya kukifuta hiki kizazi cha tatu? Au baada ya dunia kufikia mwisho na sisi kukutana na doom ambayo Mungu ameipanga mambo ya binadamu ku-exist duniani yatapotea kabisa?

=======================

Salamu kwa wanajukwaa, nawasalimu wote.

Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa kwenye heading, Swali langu lime-base kwa watu wanaoamini katika U-ungu yaani kwamba kuna nguvu moja kubwa ambayo ndio ipo responsible kwa kuwafanya binadamu wa-exist hapa duniani na kwamba hata kupotea kwao (kifo au doom kwa dunia) kupo-controlled na hiyo nguvu ambayo kiurahisi tunaweza kuiita Mungu.

Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine ambao wata-kirithi hichi kizazi cha tatu baada ya dunia kufikia mwisho wake au ndo itakuwa mwisho mazima na mambo ya binadamu ku-exist yatapotea mazima?

Nasubiri maoni yako
 
Mi naamini ndo kawaida yake, kama vile binadamu huzaliwa huishi kisha kufa na kuzaliwa tena basi na dunia nayo taratibu inazeeka na itaisha (itatokea sababu yoyote iteketee) kisha muumbaji ataumba mpya nayo itaisha vile vile kama alivyokusudia (life span) itazeeka (kuisha) kishq atairenew na inavyoonekana kila kinacho exist physically huwa kina mwisho wa matumizi hivyo huenda hata sisi sio dunia ya kwanza kuwepo na huenda dunia ya kwanza mabara hayakuwa hivi yalivyo leo.

Nakumbuka Albert Einstein alisema amafanikiwa kurejesha silaha iliyokuwepo duniani mamilioni ya miaka yaliyopita means hata hii tech tuliyonayo iliwahi kuwepo hivyo hakuna jipya ila maisha ni mzunguko yaani ecosystem.

Yawezekana hata sisi tuliwahi kuwepo hapa duniani ila mwenye uumbaji wake akaturudisha kwa malengo yake anayojua yeye. Hivyo tuishi kuna mengi yapo nje ya uwezo wetu. Kwa kifupi mwenye uwekezaji huu unaouona atafanya (factory reset) yaani kuanza upya kwa mradi wake
 
Mi naamini ndo kawaida yake, kama vile binadamu huzaliwa huishi kisha kufa na kuzaliwa tena basi na dunia nayo taratibu inazeeka na itaisha (itatokea sababu yoyote iteketee) kisha muumbaji ataumba mpya nayo itaisha vile vile kama alivyokusudia (life span) itazeeka (kuisha) kishq atairenew na inavyoonekana kila kinacho exist physically huwa kina mwisho wa matumizi hivyo huenda hata sisi sio dunia ya kwanza kuwepo na huenda dunia ya kwanza mabara hayakuwa hivi yalivyo leo.

Nakumbuka Albert Einstein alisema amafanikiwa kurejesha silaha iliyokuwepo duniani mamilioni ya miaka yaliyopita means hata hii tech tuliyonayo iliwahi kuwepo hivyo hakuna jipya ila maisha ni mzunguko yaani ecosystem.

Yawezekana hata sisi tuliwahi kuwepo hapa duniani ila mwenye uumbaji wake akaturudisha kwa malengo yake anayojua yeye. Hivyo tuishi kuna mengi yapo nje ya uwezo wetu. Kwa kifupi mwenye uwekezaji huu unaouona atafanya (factory reset) yaani kuanza upya kwa mradi wake
Hapo ubaposema itateketea then muumbaji ataumba mpya,hapo umewaza kama vile ulimwengi una dunia(sayari) moja tu wakati zipo matilioni kwa matilioni na zinazidi kuzaliwa kila siku,kwa hiyo labda baada ya kuteketea hii viumbe wengine wataishi kwenye hizo sayari nyingine
 
Hapo ubaposema itateketea then muumbaji ataumba mpya,hapo umewaza kama vile ulimwengi una dunia(sayari) moja tu wakati zipo matilioni kwa matilioni na zinazidi kuzaliwa kila siku,kwa hiyo labda baada ya kuteketea hii viumbe wengine wataishi kwenye hizo sayari nyingine
Yeah, inawezekana kuna nyingine zipo tayari kupokea viumbe wake au zipo na maisha ya kawaida kama haya yanaendelea, na huenda wapo mbele yetu au nyuma yetu kimaendeleo
 
Binadam ndo toleo la mwisho katika uumbaji yaani dampo area ni hii dunia...............
 
Kama ningeweza ningetaka kujua dhana ya uwepo wa Mungu unaielewa kiasi Gani???

Maana Mungu sio nguvu,,,Mungu ni nafsi,,, anaongea,,anatenda,,anawaza na pia ana mipango.

Kuhusu kuumba Tena Hilo jambo halipo Tena maana ndani ya siku Saba hapo mwanzo alimaliza uumbaji..

Kilichopo Sasa hivi ana chagua kondoo miongoni mwa mbuzi wengi,,,na kondoo walio Bora,,,baada ya kuchagua kondoo ambao ndio wataishi baada ya dunia hii kuwa total corrupt kwenye next world unayoitaja...

Mbuzi wote watatupwa kwenye tanuri as a waste for everlasting punishment.
 
Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine baada ya kukifuta hiki kizazi cha tatu? Au baada ya dunia kufikia mwisho na sisi kukutana na doom ambayo Mungu ameipanga mambo ya binadamu ku-exist duniani yatapotea kabisa?

=======================

Salamu kwa wanajukwaa, nawasalimu wote.

Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa kwenye heading, Swali langu lime-base kwa watu wanaoamini katika U-ungu yaani kwamba kuna nguvu moja kubwa ambayo ndio ipo responsible kwa kuwafanya binadamu wa-exist hapa duniani na kwamba hata kupotea kwao (kifo au doom kwa dunia) kupo-controlled na hiyo nguvu ambayo kiurahisi tunaweza kuiita Mungu.

Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine ambao wata-kirithi hichi kizazi cha tatu baada ya dunia kufikia mwisho wake au ndo itakuwa mwisho mazima na mambo ya binadamu ku-exist yatapotea mazima?

Nasubiri maoni yako
WARAKA KWA WARUMI 11

33 Jinsi utajiri wa Mungu ulivyo mkuu! Hekima yake na maarifa yake hayana mwisho. Njia zake na maamuzi yake hayachunguziki!
34 Kwa maana ni nani amepata kufahamu mawazo ya Mungu au kuwa mshauri wake?
35 Au ni nani amewahi kumpa cho chote ili arudishiwe?
36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake na vipo kwa ajili yake na vyote vinadumu kwake. Utukufu ni wake milele.
Amina.
 
Hapo ubaposema itateketea then muumbaji ataumba mpya,hapo umewaza kama vile ulimwengi una dunia(sayari) moja tu wakati zipo matilioni kwa matilioni na zinazidi kuzaliwa kila siku,kwa hiyo labda baada ya kuteketea hii viumbe wengine wataishi kwenye hizo sayari nyingine
Dunia itabaki hii hii, binadamu tutakufa wote, na wanyama wanaotegemea binadamu pia watakufa.
Miaka mamilioni itapita na ndio taratibu binadamu ataanza Tena kutokea ktk ulimwengu wa dunia na atakuta wanyama wengine wapo, hata ktk hayo matrilioni ya sayari za mbali tusizozifahamu Kuna viumbe wengine ambao either wanafanana na sisi, au wanatofautiana na sisi, na wao Wana mfumo wao wa maisha.
 
Dunia itabaki hii hii, binadamu tutakufa wote, na wanyama wanaotegemea binadamu pia watakufa.
Miaka mamilioni itapita na ndio taratibu binadamu ataanza Tena kutokea ktk ulimwengu wa dunia na atakuta wanyama wengine wapo, hata ktk hayo matrilioni ya sayari za mbali tusizozifahamu Kuna viumbe wengine ambao either wanafanana na sisi, au wanatofautiana na sisi, na wao Wana mfumo wao wa maisha.
Hata dunia inawezafanyiwa factory reset, yaweza funikwa na maji kisha akaigawa upya mabara yasiwe kama yalivyo leo
 
Sidhani....Yaan hawez thubutu
Kwanini? Kama unazungumzia katika "angle" ya kiimani zaidi, naomba niku-challenge kwa hii fact ndogo, maovu ambayo yanasambaa kwasasa yalikuwepo tangu zamani na uwenda mambo ya zamani ndio yaliyokuwa yakiogofya zaidi.

Kulikuwa na kizazi cha ma-giant, hawa walikuwa watoto waliotokana na mating kati ya wanawake wa kidunia na malaika ambao waliwatamani, Mungu alishusha gharika akawa-wipe kabisa. Kwakuwa Mungu ni mwenye huruma, na hata hii dunia aliiumba ili ikaliwe na watu nadhani (uhakika wangu ni chini ya 60) Mungu atawaumba binadamu wengine.

Japo, paragraph zangu hazina sehemu ya kusimamia (yaani base) lakini hicho ndicho ninachoamini.
 
Dunia itabaki hii hii, binadamu tutakufa wote, na wanyama wanaotegemea binadamu pia watakufa.
Miaka mamilioni itapita na ndio taratibu binadamu ataanza Tena kutokea ktk ulimwengu wa dunia na atakuta wanyama wengine wapo, hata ktk hayo matrilioni ya sayari za mbali tusizozifahamu Kuna viumbe wengine ambao either wanafanana na sisi, au wanatofautiana na sisi, na wao Wana mfumo wao wa maisha.
I was thinking, hivi haiwezekani hawa wanyama wanaofugika majumbani kwasasa kukimbilia porini na ku-adapt maisha mapya baada ya binadamu kupotea?
 
Mhubiri 1:4:"
DUNIA INADUMU MILELE."

Maandiko mengine yenye hilo wazo kama hilo
Zaburi 78:69
Zaburi 104:5
Zaburi 119:90.
 
Mhubiri 1:4:"
DUNIA INADUMU MILELE."

Maandiko mengine yenye hilo wazo kama hilo
Zaburi 78:69
Zaburi 104:5
Zaburi 119:90.
Naulizia kuhusu binadamu, kuhusu dunia kuwepo au kutokuwepo haina shida
 
Naulizia kuhusu binadamu, kuhusu dunia kuwepo au kutokuwepo haina shida
Pole mkuu nilichanya ila as long as dunia ipo wanadamu wapo
zaburi 37:29:"WAADILIFU WATAIMILIKI DUNIA, NAO WATAISHI HUMO MILELE."
 
Dunia itabaki hii hii, binadamu tutakufa wote, na wanyama wanaotegemea binadamu pia watakufa.
Miaka mamilioni itapita na ndio taratibu binadamu ataanza Tena kutokea ktk ulimwengu wa dunia na atakuta wanyama wengine wapo, hata ktk hayo matrilioni ya sayari za mbali tusizozifahamu Kuna viumbe wengine ambao either wanafanana na sisi, au wanatofautiana na sisi, na wao Wana mfumo wao wa maisha.
hii dunia haitabaki,kila physical object lazima ita depreaciate within time,miaka almost bilioni kumi ijayo jua litapoteza enery yake kwani lina poteza almost 700tonnes za gesi ya hydrogen na hellium kwa sekunde linapofanya neuclear fussion kuproduce light.jua likipoteza nguvu yake lita expand litameza sayari zote zilizo karibu yake na hapo hakutakua na kitu kinaitwa dunia ingawa ulimwengu wala hautajua kama kuna kipunje kimetoweka ,nyota nyingine na sayari nyingine zitaendelea na maisha yake na manyota mengine na masayari mengine yataendelea kujiform kama kawaida
 
Mungu anaweza kuwa disappointed Sana na kizazi hiki kuliko vyote, anaweza akamua kuumba viumbe wengine kama Hawa waliopo lakini akaacha binadam kwanza sidhani kama tuna faida yoyote kwake.
 
Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine baada ya kukifuta hiki kizazi cha tatu? Au baada ya dunia kufikia mwisho na sisi kukutana na doom ambayo Mungu ameipanga mambo ya binadamu ku-exist duniani yatapotea kabisa?

=======================

Salamu kwa wanajukwaa, nawasalimu wote.

Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa kwenye heading, Swali langu lime-base kwa watu wanaoamini katika U-ungu yaani kwamba kuna nguvu moja kubwa ambayo ndio ipo responsible kwa kuwafanya binadamu wa-exist hapa duniani na kwamba hata kupotea kwao (kifo au doom kwa dunia) kupo-controlled na hiyo nguvu ambayo kiurahisi tunaweza kuiita Mungu.

Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine ambao wata-kirithi hichi kizazi cha tatu baada ya dunia kufikia mwisho wake au ndo itakuwa mwisho mazima na mambo ya binadamu ku-exist yatapotea mazima?

Nasubiri maoni yako

Naomba nikujibu swali lako kama ifuatavyo:-

Mosi, kwanza tulishavuka kizazi cha tatu na kuingia cha nne (mwanzo 15:16), ambacho nacho kizazi cha nne tumeshavuka majira yake kama alivyosema Yesu katika (mathayo 24:22) kwamba siku izo zitafupishwa.

Pili, aliyetuumba alikusudia kuishi nasi hapa juu ya nchi majira yake ikifika kama tunavyosoma katika vitabu vifuatavyo;

•Ufunuo 21:3
•Mika 1:2-6
•Isaya 57:15
•Zekaria 14:9

Pia naomba nikupe ufahamu kuwa hakuna doom bali kulikuwa na Mwisho ambao maana yake halisi ni akili ya mwanadamu kufika mwisho ndipo aliyeumba vyote, wote na yote akabidhiwe ufalme, mamlaka, nguvu na utawala maana sharti amiliki yeye kama tunavyosoma katika:-

1Korintho 15:24-28

24 Hapo ndipo Mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana(Yesu) mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.
 
Back
Top Bottom