Je, Mungu huwa anaongea na Wanadamu? Je, kwanini haongei na kila mtu?

Je, Mungu huwa anaongea na Wanadamu? Je, kwanini haongei na kila mtu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Haya maneno Mungu ameniambia, au wakati mwingine nimefunuliwa, yamekuwa maneno ambayo hutumiwa sana na watu kuonyesha wamepata ujumbe kutoka kwa Mungu.

Swali langu, kwanini Mungu haongei na kila mtu?

Wote tuna mahitaji, iweje aongee na watu wachache tu?
 
Haya masuala ya imani hua ni tata sana.

I believe Mungu hua anaongea na kila mtu sema the only difference n kua wengi hawatambui sauti yake maana sidhani kama anapiga mayowe.

I believe God talks in ways za mambo ya kila siku. Kwa mfano mtu unatoka uende kwenye mishe mishe, ghafla umefika getini unakumbuka umesahau kuzima pasi ukutani, so unarudi kurectify.

After hapo ukiwa njiani unakuta ajali ya daladala, kibinadam unawaonea huruma waliomo bila kujua kua mayb na wewe ungekua mmoja wao if usingesahau hyo pasi ukutani.

Kingine ni ile unakuta watu wanaongelea ishu flan inayokugusa bila wao kujua, au unaongea na mshkaji tu anakupa idea au solution ya jambo linalokutatiza. I thnk thats the voice of God indirectly.

Changamoto yetu n kukosa shukrani maana tunaamini kila kitu kizuri n haki yetu while tumepewa kwa rehema tu.

Always mtu unapokua grateful kwa mambo memgi mambo yananyooka zaidi coz Unapata zaidi
 
Njia za Mungu kusema na mtu

1. Kupitia ndoto.

Ayubu 33:14 Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
...... siyo ndoto zote huwa Mungu anasema na mtu kuwa makini.

2. Kupitia Roho mtakatifu.

unaweza ukawa umetulia sehemu ghafula Roho wa Mungu akawa anakuelekeza fanya hiki au hiki au ingia kwenye maombi na ombea hiki na wewe usiwe na shingo ngumu tekeleza kwani uyo ni Mungu.

3.Kupitia mahubiri na mafundisho ya Neno la Mungu
.
yawezekana ni kwenye ibada, redio au mtu anahubiri sehemu yoyote kuhusu neno la Mungu mfano. uokoke, ishi katika utakatifu na nk yawezekana uyo ni Roho wa Mungu anakuambia kaa vizuri na Mungu wako

4. Kupitia kusoma NENO la Mungu.
Kupitia kusoma neno la Mungu
.
Mungu husema nasi hasa kutupa majibu ya maswali yetu au kutuongezea maarifa ya kiroho dhidi ya kupambana na adui.

5. Kupitia manabii na watumishi wa Mungu.

mfano isaya 37:1-8 kwa habari ya Mfalme hezekia na isaya, ili atengeneze njia zake maana yu karibu na kufa, hata leo Mungu hutumia watumishi wake ili kufikisha maagizo na ujumbe wa Mungu kwetu.

Ubarikiwe.
 
Haya masuala ya imani hua ni tata sana.
I believe Mungu hua anaongea na kila mtu sema the only difference n kua wengi hawatambui sauti yake maana sidhani kama anapiga mayowe.
I believe God talks in ways za mambo ya kila siku. Kwa mfano mtu unatoka uende kwenye mishe mishe, ghafla umefika getini unakumbuka umesahau kuzima pasi ukutani, so unarudi kurectify. After hapo ukiwa njiani unakuta ajali ya daladala, kibinadam unawaonea huruma waliomo bila kujua kua mayb na wewe ungekua mmoja wao if usingesahau hyo pasi ukutani.
Kingine ni ile unakuta watu wanaongelea ishu flan inayokugusa bila wao kujua, au unaongea na mshkaji tu anakupa idea au solution ya jambo linalokutatiza. I thnk thats the voice of God indirectly.
Changamoto yetu n kukosa shukrani maana tunaamini kila kitu kizuri n haki yetu while tumepewa kwa rehema tu.
Always mtu unapokua grateful kwa mambo memgi mambo yananyooka zaidi coz Unapata zaidi
Nikupa 👍 thanks
 
Manabii wa uongo ndo janga kubwa sasa hv
Screenshot_20221026-161156_Quora.jpg
 
Mbona kuna raisi mmoja na mawaziri wake na wabunge wake sasa kwanini wote tusiwe raisi au mawaziri au wabunge maana sote tuna ihitaji hiyo nafasi walahi!
Kaaazi kweli kweli walahi!
Binadamu hatufanani kwa kitu chochote kama vile ilivyo DNA
 
Mbona kuna raisi mmoja na mawaziri wake na wabunge wake sasa kwanini wote tusiwe raisi au mawaziri au wabunge maana sote tuna ihitaji hiyo nafasi walahi!
Kaaazi kweli kweli walahi!
Binadamu hatufanani kwa kitu chochote kama vile ilivyo DNA
Word up
 
Back
Top Bottom