Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Hivi mnafikiri kutawaliwa kote tangu karne ya 17, education system walio anzisha kipindi hicho mpaka saivi bado tunaitumia itatufanya vipi kujiendeleza kiteknolojia kama mababu zetu kabla ya wakoloni huh!? education system inayotufunga huwezo wetu wa kufikiri kimantiki na kutufanya tukatae kitu kipya ambacho hakipo kwenye syllabus yao huh?!
 
Kabla ya wazungu kuja Africa tulikuwa na wahandisi wetu walifua vyuma tukapata majembe, visu, mapanga n.k walipotuvamia wazungu waliwaua wote waliokuwa na ujuzi huo tukakwama kuendelea kuhusu madawa na vifaa tiba tulikuwa na dawa zetu nzuri za miti tulitibiwa nazo kuongezeka kwa magonjwa kunatokana na maendeleo ya kisayansi usione kama wao ni wabunifu kwani hata hayo magonjwa wanatengeneza wawo ili wafanye biashara ya dawa magonjwa mengi ni mapya tumeyasikia miaka ya 1980 na kuendelea wazungu na waafrika wote tupo sawa kiakili
Hii ni pointless mkuu magonjwa haya tengenezwi maabara mkuu achana na movie za Hollywood
 
Hii ni pointless mkuu magonjwa haya tengenezwi maabara mkuu achana na movie za Hollywood
Hiyo ata mimi naamini ni kweli mkuu, kama wanauwezo wa kuficha dawa inayokinga na kutibu kikamilifu magonjwa badale yake wakatuletea dawa ambazo ni low quality zenye huwezo wa kutuliza magonjwa kwa mda ili badae ugonjwa urudi wauze dawa tena kwa lengo lao kua mgonjwa kupona kikamilifu ni kupunguza wateja..
kama wanaweza fanya hivo wanawezaje kushindwa kutengeneza ugonjwa ili watengeneze dawa na kuuza huh!!
 
WAPO WANAO UTALAMU WAKUTENGENEZA VYOMBO VYAKURUKA, CHOMBO MAARUFU NI UNGO AU KITU KINAFANANA NA UNGO, MFANO WA "UFO"!!!
AJABU NI WANARUKA NAZO BILA MAFUTA AU MACHINE!!!
LAKINI WANATUMIA BILA KUTAKA WATU WAJUE UTAALAMU WAO.
WENGINE WANAANGUKA NAKUKUTWA ASUBUHI HALI WAKO UCHI NA KATIKA HICHO CHOMBO...
INAWEZEKANA KUEA SABABABU YA KUTOKUENDELEA?!?
NAULIZA TU!!
 
Kama watu wanakimbizana na wanyoa viduku mpaka mwaka 2018, utapata wapi muda wa kugundua hata chanjo ya pepopunda?
Mbona north Korea wako strict kulko hapa ila wanateknolojia kubwa,nuclear ,rockets,na sayansi mbalimbali mkuu....sisi labda kuna kasoro nyngne
 
Afrika tuache kulaumu kila kitu...sisi tumekuwa watu wa kula uni sana..Tufanye kazi, tujitume..,Tuwe waadilifu ...discipline is very important for us,....Waafrika hatujali mda, Tujali mda ...USIPOTEZE MDA WAKO KWA MAMBO YASIYO NA FAIDA KWAKO.,TUCHAGUE VIONGOZI BORA SIYO BORA KIONGOZI...
Viongoz wa Africa n watu wa kung'ang'ania madaraka na wanajitahd sana kwa kuua wapinzani...angalia Uganda,Congo,n k.....cjui roho za ubinafsi tunatoaga wapo
 
Mkuu tukubali tu kwamba jamaa wanatuacha mbali sana katika kila sekta. Ukisema kuuawa wahandisi, vipi kuhusu michezo? Vipi kuhudu siasa? Vipi kuhusu elimu? N.k...

Nina hakika hata wakiuliwa wahandisi na wataalam wote wa kizungu, bado watazaliwa wengine na kufanya mambo, tena zaidi ya yanayofanyika sasa! Sisi laana inatutafuna tu
Hapo kwenye huwa Nina imani nako....lkn cha ajabu siijui n laana IPI hasa?? Tulimkosea nan na akatulaan wapi mbona we don't think out of the boxes??
 
Hapana hutatui tatizo kwa fikra zako zilivyo unaangalia tulipoangukia huangalii tulipo jikwaa tunaweza hata sasa ipo mifano hai ya wahandisi wetu km yule bwana zanzibar katengeneza helkopta kakatazwa kulusha yupo wa makambako katengeneza umeme kazuiwa kuusambaza unaweza kuona tungewakamata mkuu
Huyu katengeneza na siyo kugundua....yaan katengeneza kilichokwisha buniwa miaka mingi
 
It begins with you ukiona watu wanashindwa kugundua technology tumia fursa uliyo nayo kuwa prove right mkuu changes begins with you.
Inamaana all the generations which have passed were waiting for me to start???
All the years of no any intervention were waiting us??
 
hivi mnafikiri kutawaliwa kote tangu karne ya 17, education system walio anzisha kipindi hicho mpaka saivi bado tunaitumia itatufanya vipi kujiendeleza kiteknolojia kama mababu zetu kabla ya wakoloni huh!? education system inayotufunga huwezo wetu wa kufikiri kimantiki na kutufanya tukatae kitu kipya ambacho hakipo kwenye syllabus yao huh?!
Kutawaliwa sio sababu kabisa ya kufanya cc tushindwe kuwa na maendeleo ktk technolojia mkuu....marekani,China,n.k zimetawaliwa tena kwa miaka mingi lkn mpk sasa wamekuwa na maendeleo kulko hata aliewatawala!!!! Swali tu n where are we messing??
 
Watu weusi tumeduwazwa na wazungu, ila wazungu wamekopi from what we have and make them artificial
But they took everything from
Ni wezi so ukitaka kufanikiwa iba [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hiyo ata mimi naamini ni kweli mkuu, kama wanauwezo wa kuficha dawa inayokinga na kutibu kikamilifu magonjwa badale yake wakatuletea dawa ambazo ni low quality zenye huwezo wa kutuliza magonjwa kwa mda ili badae ugonjwa urudi wauze dawa tena kwa lengo lao kua mgonjwa kupona kikamilifu ni kupunguza wateja..
kama wanaweza fanya hivo wanawezaje kushindwa kutengeneza ugonjwa ili watengeneze dawa na kuuza huh!!
Hii sio kweli ndugu,kwanza tufahamu kabisa kwamba magonjwa uzungunj sio meng sana kama huku kwetu....huku kwetu kuna magonjwa chungu nzma....Ebola,dengue,minyoo,malaria,HIV,n.k......ila wazungu wao hujitahd sana kugundua dawa hata kwa magonjwa ambayo kwao ulaya hayapo.....read epidemiology of diseases u can appreciate hii kitu nakwambia ...Africa is full of parasites which are very dangerous..... Wazungu wanatusaidia tu
 
Watu watambishia mleta mada kwa kiasi fulani lakini ukweli utabaki pale pale akili ya mweusi na mweupe nj tofauti tena kubwa sana wakuu ata kuiga na kutengeneza hatuwezi mbona wachina wanaiga technology za wengine na wanafanikwa kutengeza vya kwao kwa kuiga au kuiba technolojia? Sisi hapana aisee kuna kitu sio bure.
 
Back
Top Bottom