Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Mbona north Korea wako strict kulko hapa ila wanateknolojia kubwa,nuclear ,rockets,na sayansi mbalimbali mkuu....sisi labda kuna kasoro nyngne
KURUKA NA UFO KAMA UNGO FULANI HIVI, BILA MAFUTA AU MACHINE, NA BILA YA WATU KUJUA UTAALAM HUO.
ILA MARA KADHA WANA ANGUKA NAKUKUTWA ASUBUHI NDANI YA HICHO CHOMBO NA HALI WAKO UCHI .. HUENDA IKAWA SABABU KUBWA YA KUTOKUENDELEA!?!
NINA ULIZA TU! [emoji18] [emoji6]
 
Kutawaliwa sio sababu kabisa ya kufanya cc tushindwe kuwa na maendeleo ktk technolojia mkuu....marekani,China,n.k zimetawaliwa tena kwa miaka mingi lkn mpk sasa wamekuwa na maendeleo kulko hata aliewatawala!!!! Swali tu n where are we messing??
Hao wachina marekani kipi wamegundua wao kama sio kukopi na kuendeleza teknolojia ya waislael
 
Na Haya ni moja ya matokeo ya mfumo wetu wa elimu au mtaala.......

Mifumo yetu ya elimu imedizainiwa uwe msaidizi wa mzungu au uwe mtengenezaji wa alichokigundua mzungu.......

Na kibaya zaidi inakufanya Ina kufanya ujione mzungu na kujikataa.........

Naamini mtoa mada ameleta hii mada kwa mihemko na sio ki uchunguzi kama msomi

Lakini ndio hivyo kama hata cha kumfundisha mtoto tunapangiwa na wazungu unategemea huyo mtoto atakuwa na akili gani.....!!?

NB;

Kuna shida kwenye mitaala ya elimu na mataifa mengine yameligundua hayo mapema sana na kufanya mabadiliko na kupiga hatua kubwa......
Shida sio mitaala ,shida ni sisi ambao tunakubali kupangiwa mitaala.Kwa nini tunakubali???
 
TUACHE STAREHE ZA NGOMA NA NGONO NA UBINAFSI.
TUPENDE KUJUA, KUFANYA UTAFITI, KUJIULIZA MASWALI NA KUJIPA MAJIBU ZAIDI YA MOJA.
NA KADHALIKA.
IN SHAA ALLAH, TUNAWEZA
Iyo inshalah ni lugha ya wapi?ndio hayo hayo mleta nyuzi aliyosema tunaletewa kila kitu hata lugha we unafikiri utagundua nini
 
Kabla ya wazungu kuja Africa tulikuwa na wahandisi wetu walifua vyuma tukapata majembe, visu, mapanga n.k walipotuvamia wazungu waliwaua wote waliokuwa na ujuzi huo tukakwama kuendelea kuhusu madawa na vifaa tiba tulikuwa na dawa zetu nzuri za miti tulitibiwa nazo kuongezeka kwa magonjwa kunatokana na maendeleo ya kisayansi usione kama wao ni wabunifu kwani hata hayo magonjwa wanatengeneza wawo ili wafanye biashara ya dawa magonjwa mengi ni mapya tumeyasikia miaka ya 1980 na kuendelea wazungu na waafrika wote tupo sawa kiakili
Acha uongo na porojo za kijiweni inamaana walio uliwa ndio walikuwa wagunduzi hivyo kizazi chetu ni wajinga
 
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???
Duuuuh!
 
Acha uongo na porojo za kijiweni inamaana walio uliwa ndio walikuwa wagunduzi hivyo kizazi chetu ni wajinga
Tunahitaji tuamke waliogundua chuma huku bado hawakuwa wagunduzi sijajua unaelewaje maana ya ugunduzi hapo unisaidie pengine mimi ndio sijui
 
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???
Bro unanitia uchungu nasoma hadi mwili unatetemeka aisee.
Mtu mwenye uwezo wa kuwaza haya lazima umesoma.

Jibu la hayo yooote ni kwamba sisi sote Mungu alituumba sawa ila bahati mbaya sisi weusi tuna ROHO MBAYA SANA.

ubinafsi, chuki, lawama, maseng'enyo laana nk.

Nahisi kutoa machozi [emoji36] let me quit bro.
 
Turudi nyuma wenzetu hata kabla ya Yesu hajazaliwa walishakuwa na shule na vyuo. Miaka 2000+ baadae ndo wakaja kutuzindua kwakututawala kwanza na kuweka shule chache. Waafrika tumeweza kusoma na kuandika hata miaka mia haijapita bado, tumeanza kujiongoza hata miaka mia haijapita, hata sera, sheria na mfumo unaotumiwa kuongoza bado ni wa wakoloni wetu, na ni bado sana kujilinganisha na wazungu wametuacha mbali sana kwa maelfu ya miaka. Viongozi wetu bado hawajui kabisa namna ya kuongoza wamejikita zaidi ktk kutawala kwa mabavu maanake wamekopi sera ya utawala wa mkoloni bado. Leo ukimwuliza rais wako kwanini hatuendelei? Atakujibu hajui kwanini.
 
Mungu alimuitaga mzungu na mwafrica ili awape akili.akawaambia wawai saa kumi na mbili asubuhi.mzungu kaja mda wa saa kumi na mbili asubuhi,mwafrica kaja saa nne asubuhi.nafkiri jibu umelipata
[emoji2] [emoji2] mwafrika itakua alikuta foreni kubwa barabarani Siku hiyo,Na Umeme kulikua hakuna
 
Waafrika hatuko sawa na wazungu, ila tumezidi kujidumaza kwa kudhani kuwa wazungu hawatuzidi, matokeo yake tunakimbilia kujifunza kilichogunduliwa na wazungu kuwa kinafanyaje kazi ukishajua kinavyo fanyakazi unajiona na wewe unakili kama aliyegundua matokeo yake akili zetu zimedumaa hapo. Akili zinatofautiana waafrika hatuko sawa na wazungu. Kama ambavyo wanawake hawako sawa na wanaume kiakili ndo maana orodha ya wagunduzi wengi katika dunia hii ni wanaume. Mungu amewaumba wanadamu tofautitofauti huo ndo ukweli.
 
Yaonyesha umeandika kwa hisia kali sana ndugu.

Ni kweli kuna tofauti kubwa kati ya Wazungu/Wanateknolojia na Weusi/Wana asilia, ila pia ukumbuke kujiuliza hivi ni vyote wafanyavyo Wazungu/Wanateknolojia Dunia inavihitaji? tofautisha mahitaji ya Wazungu/teknoloji na mahitaji ya Dunia/ardhi/uhai.

Sehemu kubwa ya gunduzi zao ndio zime/zinazalisha sumu yote inayoiangamiza Dunia leo, bila hizo teknolojia tusingekuwa na haya mabadiliko tabia nchi. Miti inakatwa ili ikazalishe fanicha viwandani, bahari inachafuliwa na viumbe wanaangamia huko.n.k.

Bila hizo gunduzi tunazoita maendeleo, nadhani binadamu angeishi maishi ya asili tu ambayo ndio haswa ilikuwa kusudi la Muumba wa Ulimwengu na mahitaji ya dunia hai.

Kama unakubaliana nami kuwa Dunia kwa sasa ipo taabani, mito inakauka, joto linaongezeka, magonjwa yasiyotiba kuongezeka n.k basi ukubaliane nami pia kuwa Dunia ingekuwa salama sana bila uwepo wa Mzungu/Mwanateknolojia.

Unapofurahia uwepo wa Gari, Ndege, Meli, fridge, AC n.k pia ujue haya maangamizo ya uhai wa dunia yanatoka huko.

Sasa hapo sio kazi yangu tena kujiuliza ni kwa nini Mungu alimleta Mzungu/Mwanateknolojia, ila kuna kila dalili kuwa Mzungu/Mwanateknolojia alikuja baadae, na dunia ilikua salama kwa muda wote kabla ya uwepo wa Wanateknolojia hao.

Kuhusu tiba, ugunduzi wa madawa n.k, nadhani kuna mengi sana hatuyajui kuhusu Dunia tangu zama na zama, hivyo bado ni ngumu kujiridhisha kama tuliishi tu bila namna yoyote ya kujitibia kabla ujio wa Wanateknojia, basi ndio kusema bila teknolojia hii race ingeangamia? nitakuwa wa mwisho kuamini hivyo, sehemu kubwa ya magonjwa yanayohitaji hizo tiba za hali ya juu nayo huzalishwa na uwepo wa hizo hizo teknolojia, mfano saratani mbalimbali n.k. Mimi naamini tiba zote huweza kupatikana kwenye mimea tukitumia akili zetu vizuri.

Tukiongelea ujenzi n.k, kuna ujenzi wa enzi hizo ulifanyika bila teknolojia iliyopo leo, mfano ni zile Piramidi za Misri, kwa hiyo sioni kama Binaadamu tulihitaji sana teknolojia ya sasa ndio tufanye shughuli zetu.

Hizo almasi na dhahabu unazozitaja hazina uhusiano wowote na uwepo/uhai wa dunia, ni Wazungu/Wanateknolojia hao hao ndio wanaozihitaji na kutufanya tuchimbue ardhi yetu kama wehu, hata tukiziacha huko ardhini hakuna tunachopoteza.

Kuhitimisha maelezo yangu ni kuwa, Mzungu/teknolojia ni artificial na Mweusi ni asilia, hivyo kaa chini ujiulize Dunia inahitaji asili au artificial?
 
Watu watambishia mleta mada kwa kiasi fulani lakini ukweli utabaki pale pale akili ya mweusi na mweupe nj tofauti tena kubwa sana wakuu ata kuiga na kutengeneza hatuwezi mbona wachina wanaiga technology za wengine na wanafanikwa kutengeza vya kwao kwa kuiga au kuiba technolojia? Sisi hapana aisee kuna kitu sio bure.
Umenea vema....n ukweli kabisa...wachina ktk list ya watu wagunduzi hawamo kabisa ila wao n wez wakubwa wa technoljia ...kitu cha kushangaza cc tumeshindwa hata kuiba et
 
Back
Top Bottom