Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???
[quote uid=205254 name="Pierreeppah" post=25719152]Turudi nyuma wenzetu hata kabla ya Yesu hajazaliwa walishakuwa na shule na vyuo. Miaka 2000+ baadae ndo wakaja kutuzindua kwakututawala kwanza na kuweka shule chache. Waafrika tumeweza kusoma na kuandika hata miaka mia haijapita bado, tumeanza kujiongoza hata miaka mia haijapita, hata sera, sheria na mfumo unaotumiwa kuongoza bado ni wa wakoloni wetu, na ni bado sana kujilinganisha na wazungu wametuacha mbali sana kwa maelfu ya miaka. Viongozi wetu bado hawajui kabisa namna ya kuongoza wamejikita zaidi ktk kutawala kwa mabavu maanake wamekopi sera ya utawala wa mkoloni bado. Leo ukimwuliza rais wako kwanini hatuendelei? Atakujibu hajui kwanini.[/QUOTE]<br />HAPA NAONA BORA TUKACHUNGUZE HISTORIA KABLA YA GERMAN EAST AFRICA, YAANI KABLA YA "TANGA-NYIKA" ILIYO UNDWA NA MJERUMANI.<br />TANGA = BAHARI .. SAIL<br /> NYIKA = MBUGA .. WILDERNESS<br /><br />TULIKUA NA WATU WENYE ELIMU ZA HALI YA JUU. <br />WATU WENYE UJASIRI WAKUMONDOA MJERUMANI VITA VYA MAJI MAJI..<br />KABLA YA HAPO TULIKUA AKINA NANI SISI?!?! [emoji362] [emoji353] HISTORY WHERE FROM TO DATE. TUTAPATA MAJIBU YA KWANINI TUMEBAKI KUZUBAA
 
Mkuu umeibua hoja nzuri sana. Nataka nikufahamishe tu kuwa kama tukitazama kwa hoja yako hiyo ya Upendeleo basi Mungu alitupendelea maarifa sisi waafrika ila tu hatuna juhudi hasa kizazo hiki cha sasahivi.
Mwandishi Walter Roodney aliwahi kuandika kitabu cha HOW EUROPE UNDERDEVELOPED AFRICA. Katika kitabu hiko ameelezea namna gani Afrika ilikua na maendeleo zaidi ya wazungu.
Ukisema kwamba waafrika hatuna maarifa ya kugundua kitu unakua unakosea sana. Kwanza tambua kwamba uhusiano wa Mzungu na mwafrika ulianza mnamo karne ya 15. Hapo tunazungumzia miaka ya 1400.
Wazungu walipokuja Afrika kwa mara ya kwanza, walikuta tayari tumeendelea kuzidi wao wenyewe kiasi kwamba wakaiga sehemu kubwa ya teknolojia yetu na kwenda kuziendeleza kwao. Najua utabisha katika hili, lakini nitakudhibitishia kwa nadharia za kihistoria na kisayansi kupitia nyanja zifuatazo.

ELIMU
(Hesabu na maandishi)
Hesabu nyingi unazoziona hivi leo zilianzia MISRI (Egypt). Njia hii tunayotumia leo kuhesabu ilianza zaidi ya miaka 35000 iliyopita kutoka Africa. Wamisri walianza kuandika vitabu kuhusu hesabu za kugawanya kuzidisha, hesabu za sehemu na Geometry.
Mfumo wa kuandika herufi tunazozitumia leo, ulianza Misri pia mnamo miaka ya 3100 KB (Kabla ya kristo).
Kalenda inayoipa dunia siku 365 na robo , ilitengenezwa na wamisri. Kugwanywa kwa masaa 24 kwa siku kulianza misri zamani sana na enzi hizo walitumia misimu hasa ya maji kutambua masaa.

DAWA

Katika hoja yako umesema kwamba wazungu wamegundua dawa. Sio kweli!! kuna tofauti kati ya kugundua na kuendeleza. (invent and develop)
Dawa zinazotumiwa leo ziligunduliwa Africa zamani sana huko Misri, Nigeria na Afrika kusini enzi hizo kabla nchi hizo hazijapewa hayo majina. Walitumia mizizi na mimea kutibu magonjwa mbalimbali. kwamfano Salicylic acid kwaajili ya kupunguza maumivu ambayo leo hii wazungu wameindeleza tunaitambua kama Aspirin. Kaolin Acid kwaajili ya ugonjwa wa kuhara ambayo leo hii dawa inaitwa Kaopectate. Utafiti umeendelea kueleza kua, waafrika walikua na uwezo wa kufanya upasuaji (under antiseptic conditions) wakati huo ujuzi huo ndo ulikua unaanza kuibuka barani ulaya.

ENGINEERING
Moja ya kidhibiti hai cha utafiti kwamba Africa ilikua na maengineer na maachitecture wake hata kabla ya wazungu ni Pyramid of Giza (Cairo) ambayo ipo kwenye maajabu saba ya dunia. Utafiti unaonyesha Pyramid hyo ilijegwa mnamo Miaka ya 2580 KB (Kabla ya kristo) kipindi ambacho hta mzungu hakuwa na jengo lolote la ajabu kama hilo. Kinachofanya pyramid hii iwe ya ajabu ni ufundi uliotumika.
Waliosimamisha pyramid ile walibeba tani milioni sita na nusu za mawe ambapo kila jiwe lilikuwa na tani zisizopungua 9. Kwa kipindi hiko ambapo hakukua na mawinch wala minyororo wala cement waliwezaje kupandisha haya mawe? Ni wazi kabisa mwafrika alikua na teknolojia ya kipekee kabla ya mzungu.

Nina mifano mingi natamani kukushirikisha ila kwa leo naishia hapo. Waafrika tuna akili na kama ni upendeleo basi Mungu alitupendelea sisi. Ila tu waafrika sisi ni wavivu kujituma na kufikiri. Mzungu hana akili kama tunavyodhani, ila tu kapewa juhudi na kiu ya kujifunza. Sisi tumelala sana na kwa mantiki hiyo Mzungu anaokana ana akili kuliko sisi.
ASANTENI!!
Duuuh.....kwa hyo kumbe sisi tumelala ila akili kama za wao tunazo.....yaan ujue mm nikuangalia bidhaa za hapa nchini 95% zinatoka nje,kuanzia kiatu,suruali,SAA,boksa,kofia,tishet,Chen vyote mbele ...HV hii inamaanisha bila hawa weupe kufanya yao cc tutatembea uchi???
 
Mkuu umeibua hoja nzuri sana. Nataka nikufahamishe tu kuwa kama tukitazama kwa hoja yako hiyo ya Upendeleo basi Mungu alitupendelea maarifa sisi waafrika ila tu hatuna juhudi hasa kizazo hiki cha sasahivi.
Mwandishi Walter Roodney aliwahi kuandika kitabu cha HOW EUROPE UNDERDEVELOPED AFRICA. Katika kitabu hiko ameelezea namna gani Afrika ilikua na maendeleo zaidi ya wazungu.
Ukisema kwamba waafrika hatuna maarifa ya kugundua kitu unakua unakosea sana. Kwanza tambua kwamba uhusiano wa Mzungu na mwafrika ulianza mnamo karne ya 15. Hapo tunazungumzia miaka ya 1400.
Wazungu walipokuja Afrika kwa mara ya kwanza, walikuta tayari tumeendelea kuzidi wao wenyewe kiasi kwamba wakaiga sehemu kubwa ya teknolojia yetu na kwenda kuziendeleza kwao. Najua utabisha katika hili, lakini nitakudhibitishia kwa nadharia za kihistoria na kisayansi kupitia nyanja zifuatazo.

ELIMU
(Hesabu na maandishi)
Hesabu nyingi unazoziona hivi leo zilianzia MISRI (Egypt). Njia hii tunayotumia leo kuhesabu ilianza zaidi ya miaka 35000 iliyopita kutoka Africa. Wamisri walianza kuandika vitabu kuhusu hesabu za kugawanya kuzidisha, hesabu za sehemu na Geometry.
Mfumo wa kuandika herufi tunazozitumia leo, ulianza Misri pia mnamo miaka ya 3100 KB (Kabla ya kristo).
Kalenda inayoipa dunia siku 365 na robo , ilitengenezwa na wamisri. Kugwanywa kwa masaa 24 kwa siku kulianza misri zamani sana na enzi hizo walitumia misimu hasa ya maji kutambua masaa.

DAWA

Katika hoja yako umesema kwamba wazungu wamegundua dawa. Sio kweli!! kuna tofauti kati ya kugundua na kuendeleza. (invent and develop)
Dawa zinazotumiwa leo ziligunduliwa Africa zamani sana huko Misri, Nigeria na Afrika kusini enzi hizo kabla nchi hizo hazijapewa hayo majina. Walitumia mizizi na mimea kutibu magonjwa mbalimbali. kwamfano Salicylic acid kwaajili ya kupunguza maumivu ambayo leo hii wazungu wameindeleza tunaitambua kama Aspirin. Kaolin Acid kwaajili ya ugonjwa wa kuhara ambayo leo hii dawa inaitwa Kaopectate. Utafiti umeendelea kueleza kua, waafrika walikua na uwezo wa kufanya upasuaji (under antiseptic conditions) wakati huo ujuzi huo ndo ulikua unaanza kuibuka barani ulaya.

ENGINEERING
Moja ya kidhibiti hai cha utafiti kwamba Africa ilikua na maengineer na maachitecture wake hata kabla ya wazungu ni Pyramid of Giza (Cairo) ambayo ipo kwenye maajabu saba ya dunia. Utafiti unaonyesha Pyramid hyo ilijegwa mnamo Miaka ya 2580 KB (Kabla ya kristo) kipindi ambacho hta mzungu hakuwa na jengo lolote la ajabu kama hilo. Kinachofanya pyramid hii iwe ya ajabu ni ufundi uliotumika.
Waliosimamisha pyramid ile walibeba tani milioni sita na nusu za mawe ambapo kila jiwe lilikuwa na tani zisizopungua 9. Kwa kipindi hiko ambapo hakukua na mawinch wala minyororo wala cement waliwezaje kupandisha haya mawe? Ni wazi kabisa mwafrika alikua na teknolojia ya kipekee kabla ya mzungu.

Nina mifano mingi natamani kukushirikisha ila kwa leo naishia hapo. Waafrika tuna akili na kama ni upendeleo basi Mungu alitupendelea sisi. Ila tu waafrika sisi ni wavivu kujituma na kufikiri. Mzungu hana akili kama tunavyodhani, ila tu kapewa juhudi na kiu ya kujifunza. Sisi tumelala sana na kwa mantiki hiyo Mzungu anaokana ana akili kuliko sisi.
ASANTENI!!
LAKINI, HISTORY ITATUPELEKA MBALI. TUNATAKA KWELI KUJUA WAMEENDA WAPI WALIOKUA WATAALAM WETU WA KABLA YA MJERUMANI?!?
SOMETIMES THE TRUTH IS ...
THE TRUTH IS NEVER A LIE.
 
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???
We na kusoma kote lkn kichwani kwako hakuna kila kitu
Je unajua jamii za watu weusi na aztecs ziliokua zimestaarabika kabla ya ujio wa wazungu na wazungu wamefundishwa ustaarabu na weusi
Wazungu wameua na kuharibu mifumo na elimu zetu ambazo zilikua bora kuliko unayoipata
Je unajua hata elimu ya madawa unsyoisomea ndo chanzo kikubwa cha vifo na uharibifu wa kinga ya mwili kuliko dawa zetu za asili
Wazungu wametu beain wash mpaka huu mfumo wa maendeleo unaouona saivi tunaona unafaa wametuteka kisaikolojia

Stay woke brother think again unachokisifia kina kufaa kweli
 
Hii ni pointless mkuu magonjwa haya tengenezwi maabara mkuu achana na movie za Hollywood
Brother unajua biotechnology mkuu
Plus conspiracy


Then dig deep utakutana organisation kama CDC na Itneligent agencies in likage to economic and power
 
Hatuwezi tukawa na akili sawa.
matabaka na madaraja yapo kila mahali.
Yote hayo ya hapa hapa duniani.
Kwa mungu haangalii mwenye akili nyingi.Bali
MWENYE MATENDO MEMA.
 
Sio kweli mtoa uzi inabidi uzame zaidi na utagundua zaidi kwa mfano
1. Miji ya Mali, Gao, Cairo na Timbuktu ilikuwa mpaka na Universities zao
2.Kulikuwa na wagunduzi kama Abu Hazen, Algebra ambao gunduzi zao kwa kiasi kikubwa zimefanikisha gunduzi kubwa za sasa Ulaya
3. Kulikuwa na Viongozi na wafanyabiashara mahiri kuliko hata hawa wa dunia ya sasa ambao tunahisi tumeendelea zaidi
Kwa mfano mtu kama Sundiata Keita mpaka leo hii chukua top 100 billionaires kusanya mali zao hawamfikii Keita
4.Wizi, uporaji na ukoloni
Kikubwa tulichoibiwa ni KUJIAMINI hiki kitu kimetugharimu sana na kitaendelea kutugharimu
Hebu jiulize miaka 50 ya kujitawala bado tunahitaji kiingereza kuwa lugha. Ya kufundishia mashuleni ?
Hivi bado tunahitaji taratibu zetu za kimahakama ziendeshwe kwa kiingereza ?
Hivi kama umesoma historia kuanzi darasa la 4 hadi form 6 wapi umesikia mwalimu wa history ametoa changamoto kama hii aliyoileta mtoa made
Hivi wachumi/ watawala wetu wameandika/ wamejifunza nini toka kwa mtu kama Gaddafi, Lumumba au hata Karume ?

Wakatabahu
 
hivi mnafikiri kutawaliwa kote tangu karne ya 17, education system walio anzisha kipindi hicho mpaka saivi bado tunaitumia itatufanya vipi kujiendeleza kiteknolojia kama mababu zetu kabla ya wakoloni huh!? education system inayotufunga huwezo wetu wa kufikiri kimantiki na kutufanya tukatae kitu kipya ambacho hakipo kwenye syllabus yao huh?!
Na hii education system haikuwa kwa ajili ya kutukomboa sisi bali kuwasaidia wao katika shughuli zao za kikoloni, That is why mtu unasoma lakini huna uwezo wa kutumia elimu yako kugundua chochote au kujiajiri ni shida hata kama mtaji upo mara nyingi watu hawawekezi katika fani zao. Muhitimu wa IT akiwa na mtaji atafungua bar na Daktari atalima.

Tulitakiwa tufumue huu mfumo na tuunde mfumo wa elimu ulio-base katika practicals, angalia mtu anahitimu IT lakini hana ujuzi wa maana ukilinganisha na mtu aliyejifunza mtaani au kapata cheti kutoka vyuo vidogo vya certificate ambako kila kitu kafanya practically na kaimudu vizuri computer na utengenezaji wake ukilinganisha na huyo wa bachelor.


Kikubwa ni mfumo wa elimu ubadilike kutoka nadhalia kwenda kwenye vitendo na uendane na hali halisi za nchi, sio unasoma mambo meeengiii mengine yamepitwa na wakati we unasoma hayo hayo.
 
Sometimes buwa naconclude kwa kusema labda cc tulichelewa kuumbwa au kuwepo dunian....HV kpnd ugunduz unafanyika ulaya cc huku tulikuwa tunafanya nn
Tena muda sana wamegundua vitu, walikuja africa kutafuta raw materials after industrialization, yaan kipindi wanakuja huku kututawala kwao kulijaa maviwamda na raw materials zilikuwa chache hivyo kuja kwetu kutafuta.


Ukiangalia hapo utaona wao walishaendelea kitechnologia miaka mingi iliyopita na huku kwetu hatukuwa na lolote la maana
 
Kiakili tupo sawa ila tunatofautiana jinsi ya kuzitumia akili hapo ndio tatizo. Sisi tunawaza sana ngono, sifa, starehe, upuuzi wote sie ndio nyumba yetu, hamna mchawi wala mmbaya katika hili ni sisi wenyewe.
 
hivi mnafikiri kutawaliwa kote tangu karne ya 17, education system walio anzisha kipindi hicho mpaka saivi bado tunaitumia itatufanya vipi kujiendeleza kiteknolojia kama mababu zetu kabla ya wakoloni huh!? education system inayotufunga huwezo wetu wa kufikiri kimantiki na kutufanya tukatae kitu kipya ambacho hakipo kwenye syllabus yao huh?!
Being colonised also is another milestone of weakness to Africa!
 
Kabla ya wazungu kuja Africa tulikuwa na wahandisi wetu walifua vyuma tukapata majembe, visu, mapanga n.k walipotuvamia wazungu waliwaua wote waliokuwa na ujuzi huo tukakwama kuendelea kuhusu madawa na vifaa tiba tulikuwa na dawa zetu nzuri za miti tulitibiwa nazo kuongezeka kwa magonjwa kunatokana na maendeleo ya kisayansi usione kama wao ni wabunifu kwani hata hayo magonjwa wanatengeneza wawo ili wafanye biashara ya dawa magonjwa mengi ni mapya tumeyasikia miaka ya 1980 na kuendelea wazungu na waafrika wote tupo sawa kiakili
huku ni kujipa moyo
 
Being colonised also is another milestone of weakness to Africa!

Being colonised is not a factor for being weak. Kumbuka hata mmarekani alitawaliwa na Mbritish kabla ya kupata uhuru wake 1776. Angalia Marekani alipo sasa! Kamuacha mbritish kwa maendeleo.
 
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???
Watu wa Asia wanna ubongo mkubwa kuliko watu wa Magharibi na watu wa weusi ni wa mwisho kwa ukubwa wa ubongo. Pamoja na tofauti hii ya ukubwa wa ubongo hakuna uthibitisho kuwa ubongo mkubwa maana yake ni kuwa na akili nyingi. Hata hivyo watu weusi wanafanya vizuri zaidi kwenye michezo kuzidi wa Asia na wamagharibi kwa sababu ya mpangilio wa mifupa. Ndomaana mweusi anawekeza kidogo kwenye michezo lakini anatoa ushindani mkubwa kwa weupe wenye bajeti kubwa.
 
Kabla ya wazungu kuja Africa tulikuwa na wahandisi wetu walifua vyuma tukapata majembe, visu, mapanga n.k walipotuvamia wazungu waliwaua wote waliokuwa na ujuzi huo tukakwama kuendelea kuhusu madawa na vifaa tiba tulikuwa na dawa zetu nzuri za miti tulitibiwa nazo kuongezeka kwa magonjwa kunatokana na maendeleo ya kisayansi usione kama wao ni wabunifu kwani hata hayo magonjwa wanatengeneza wawo ili wafanye biashara ya dawa magonjwa mengi ni mapya tumeyasikia miaka ya 1980 na kuendelea wazungu na waafrika wote tupo sawa kiakili
[emoji122] [emoji122] [emoji122] Hilo jibu toshaa weng awajui historia ya Mtu mweus ndo maan
 
Back
Top Bottom