Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Na hii education system haikuwa kwa ajili ya kutukomboa sisi bali kuwasaidia wao katika shughuli zao za kikoloni, That is why mtu unasoma lakini huna uwezo wa kutumia elimu yako kugundua chochote au kujiajiri ni shida hata kama mtaji upo mara nyingi watu hawawekezi katika fani zao. Muhitimu wa IT akiwa na mtaji atafungua bar na Daktari atalima.

Tulitakiwa tufumue huu mfumo na tuunde mfumo wa elimu ulio-base katika practicals, angalia mtu anahitimu IT lakini hana ujuzi wa maana ukilinganisha na mtu aliyejifunza mtaani au kapata cheti kutoka vyuo vidogo vya certificate ambako kila kitu kafanya practically na kaimudu vizuri computer na utengenezaji wake ukilinganisha na huyo wa bachelor.


Kikubwa ni mfumo wa elimu ubadilike kutoka nadhalia kwenda kwenye vitendo na uendane na hali halisi za nchi, sio unasoma mambo meeengiii mengine yamepitwa na wakati we unasoma hayo hayo.
Kabisaa
 
Tena muda sana wamegundua vitu, walikuja africa kutafuta raw materials after industrialization, yaan kipindi wanakuja huku kututawala kwao kulijaa maviwamda na raw materials zilikuwa chache hivyo kuja kwetu kutafuta.


Ukiangalia hapo utaona wao walishaendelea kitechnologia miaka mingi iliyopita na huku kwetu hatukuwa na lolote la maana
Sasa c ndio hapo.....inamaana kipind maendeleo ya viwanda yameshamir ulaya cc tulkuwa tunakalia kuwinda tu au
 
Kiakili tupo sawa ila tunatofautiana jinsi ya kuzitumia akili hapo ndio tatizo. Sisi tunawaza sana ngono, sifa, starehe, upuuzi wote sie ndio nyumba yetu, hamna mchawi wala mmbaya katika hili ni sisi wenyewe.
Inawezekana
 
Sisi chakujisifia ni machine kubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. .
 
Tatizo ni mfumo wetu wa makuzi mkoloni ameuvuruga sana effect za ukoloni mpaka Leo ipo we angalia serikali zetu ni za kikoloni
 
Watu wa Asia wanna ubongo mkubwa kuliko watu wa Magharibi na watu wa weusi ni wa mwisho kwa ukubwa wa ubongo. Pamoja na tofauti hii ya ukubwa wa ubongo hakuna uthibitisho kuwa ubongo mkubwa maana yake ni kuwa na akili nyingi. Hata hivyo watu weusi wanafanya vizuri zaidi kwenye michezo kuzidi wa Asia na wamagharibi kwa sababu ya mpangilio wa mifupa. Ndomaana mweusi anawekeza kidogo kwenye michezo lakini anatoa ushindani mkubwa kwa weupe wenye bajeti kubwa.
Hahaaaaa.....inawezekana
 
Baadhi ya matatizo dunia hii kama vita na magonjwa yame na yana na yataendelea kusababishwa na hawa unaofikiria kama sio wao dunia ingekuwaje.
Mfano wanaweza kumtengeneza bacteri na kisha kumtafutia dawa baada ya hapo akaamua kuwaambukiza binadamu bacteria hao na kusha akazalisha dawa kwa wingi na kufanya biashara kubwa kabisa.
Mzungu huyo huyo anaweza kutengeneza bunduki kasha akatafuta watu wanaoongozwa na kuamua kwa jazba, akawagonganisha vichwa kisha akafanya biashara ya silaha kwa pande zote mbili. Vipi kama wasingekuwepo wagunduzi hao bunduki na bacteria wangeishi maisha gani?
Kuna jamii za kiafrika na baadhi ya mataifa mfano India kuna watu huishi porini tu na mjini hawapajui, sio hospitali wala shule, hawajui nguo wala chochote cha kitechnolojia lakini wanazaliana na kukua kuzeeka na kufa kwa kutegemea vyakula na dawa za porini, hawa wanasaidikaje na dawa, MRI au CT SCAN unazoziona ndio mwokozi wa maisha yako?
Sasa kwann cc hatuwez kutengeneza hayo magonjwa na dawa??
 
Mkuu usiumize kichwa, ukwel ni kuwa mtu mweusi yeye anawaza KULA, KUSEX na STAREHE za KIJINGA basi. Hata ww hapo jiangalie vzur utaona mda mwing unautumia kuwaza utakula nn na utampata dem sangap.. Tunapoteza mda mwmg kweny mambo yasiyo ya msing (vchwa vyetu havifikiri vyema)
hata umkute mwafika mweny pesa nyng bado utamwona hzo pesa hazijamsaidia kujing'amua ktk umaskin. Bado atakuwa anatumia hela kwenye starehe za kjnga mfano kutafuta mademu wakali au kununua magar makali na kwenda viwanja vikali kwa kutafuta sifa tu.
Badala atumie hizo hela kuwekeza ktk mambo muhmu ya uvumbuz na technolojia, yeye anawaza madudu tu
Huu n ukweli kabisa......inawezekana
 
Huwa najiuliza kuwa hata wengine nao huwaza kama hivyo kuhusu wazungu kwamba wamepewa akili tofauti nao wao au ni watu tofauti na wao? mfano wachina,wahindi,wajapan na hata waarabu.
Je nao huwafikiria hivyo wazungu au ni sie tu waafrika?
Sjui aisee
 
Utofauti ni mdogo sana. Wenzetu hawana tamaa ktk kujifunza.
Mfano mtoto hutambuliwa anachopendelea mara tu akishazaliwa. Hivyo kama anapenda wanyama basi aweza kuanza kuandaliwa kwa ajili ya kuja kuwa zoologist doctor wa wanyama. Kuanzia awali hadi chuo kikuu yy ni wanyama tu. Hali hiyo humuwezesha kuvumbua vitu vipya kiurahisi.
Karibu kila mwafrika ana maarifa ya zaidi ya vitu vitatu vyote anavijua juu juu tu. Lakini angeweza kusimamia kitu kimoja basi angekuwa professional mkubwa. Hii yote ni kwa kuwa hatuna uhakika na maisha yetu.
Angalia maduka yetu tunauza unga, mikate, sabuni, mafuta ya taa, ya kupikia, sumu za panya na mende sasa hilo siyo duka ni store na ni hatari kubwa.
Mtu angeweza kuuza mafuta ya kupikia tu na akawa tajiri lakn tamaa. Na akili zetu zimejengwa hivyo. Kila jambo huandaliwa nasi tumeandaliwa hivyo.
 
Mi naomba udhibitisho kwamba tumeumbwa na Mungu, halafu ndio mjadala uanzie hapo.
 
Huu mjadala ni mkubwa na una mambo mengi mno ya kujiuliza,lazima kuna mahala tuliteleza na hata siku zikasonga tukazidi kupotea kabisa. Wasomi wetu ni wa kwenye vyeti tu na baada ya hapo hukimbilia kwenye siasa badala ya kutumia elimu yake kuinufaisha jamii.Kama mpaka leo changamoto kubwa ni upatikanaji wa madawati mashuleni pamoja na matundu ya vyoo unadhani tutakaa tugundue kitu kweli?
 
Back
Top Bottom