Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

Mkuu tukubali tu kwamba jamaa wanatuacha mbali sana katika kila sekta. Ukisema kuuawa wahandisi, vipi kuhusu michezo? Vipi kuhudu siasa? Vipi kuhusu elimu? N.k...

Nina hakika hata wakiuliwa wahandisi na wataalam wote wa kizungu, bado watazaliwa wengine na kufanya mambo, tena zaidi ya yanayofanyika sasa! Sisi laana inatutafuna tu
Hata kama waliua mbona wametuachia viwanda vizima tumeviua
 
Kifupi tu, ni kwamba MUNGU hana upendeleo hata kidogo, haya maisha tunayoishi ni sisi wanadamu ndo tumejitakia hayo mawazo yakua MUNGU anapendeleo yatoe kabisa akilini mwako, unamkufuru MUNGU.
 
WAPO WANAO UTALAMU WAKUTENGENEZA VYOMBO VYAKURUKA, CHOMBO MAARUFU NI UNGO AU KITU KINAFANANA NA UNGO, MFANO WA "UFO"!!!
AJABU NI WANARUKA NAZO BILA MAFUTA AU MACHINE!!!
LAKINI WANATUMIA BILA KUTAKA WATU WAJUE UTAALAMU WAO.
WENGINE WANAANGUKA NAKUKUTWA ASUBUHI HALI WAKO UCHI NA KATIKA HICHO CHOMBO...
INAWEZEKANA KUEA SABABABU YA KUTOKUENDELEA?!?
NAULIZA TU!!
Wanafaidikaje?
 
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???

Hii mada yako ina viashiria vya nguvu kwamba hujiamini! Mawazo kama hayo yanaonesha jinsi gani unavyoweza kudanganywa na Mzungu katika suala lolote na ukakubali na kuamini. Hii ni kasumba mbaya sana kwa binadamu na inachangiwa kwa kiasi kikubwa na makovu ya ukoloni. Wazungu toka enzi za Ukoloni walilitambua hilo. Wao wanaita “The white man’s magic”. Walitumia hii Mzungu magic yao katika kutawala maana watawaliwa waliamini kama unavyoamini wewe. Pamoja na hiyo, Wazungu pia wakawaaminisha watoto wao na vizazi vyao kwamba wao(wazungu) ni ‘super human’ na binadamu wengine wote wako chini yao, kiakili na kila kitu! ((BY THE WAY, HII NI KWELI KABISA)). Watoto tangu wanapozaliwa wanafundishwa hivyo!! Inawezekana mambo haya sasa hayafanyiki hadharani lakini mpaka miaka ya 1970s haya yalifanyika waziwazi. Ndiyo maana tulipopata uhuru chini ya Mwalimu Nyerere tulikuwa kati ya nchi za kwanza kupinga ukoloni mamboleo. Mwaka 1967 kwenye Azimio la Arusha ilitamkwa waziwazi kwamba kitendo chochote kinachowaongezea wananchi kuondoa makovu ya kutawaliwa ni kitendo cha maendeleo. HAYO MAWAZO NI HATARI SANA MAANA YANAHATARISHA UHURU WA WATU BINAFSI NA TAIFA KWA UJUMLA. Nakusihi UJIAMINI tu. Wazungu wametangulia kwenye Sayansi na Teknolojia lakini haina maana kwamba binadamu wengine hawawezi kuwashika na kuwazidi...Tayari tunaona mataifa yanayowasogelea kwa haraka sana.
 
Hii mada yako ina viashiria vya nguvu kwamba hujiamini! Mawazo kama hayo yanaonesha jinsi gani unavyoweza kudanganywa na Mzungu katika suala lolote na ukakubali na kuamini. Hii ni kasumba mbaya sana kwa binadamu na inachangiwa kwa kiasi kikubwa na makovu ya ukoloni. Wazungu toka enzi za Ukoloni walilitambua hilo. Wao wanaita “The white man’s magic”. Walitumia hii Mzungu magic yao katika kutawala maana watawaliwa waliamini kama unavyoamini wewe. Pamoja na hiyo, Wazungu pia wakawaaminisha watoto wao na vizazi vyao kwamba wao(wazungu) ni ‘super human’ na binadamu wengine wote wako chini yao, kiakili na kila kitu! ((BY THE WAY, HII NI KWELI KABISA)). Watoto tangu wanapozaliwa wanafundishwa hivyo!! Inawezekana mambo haya sasa hayafanyiki hadharani lakini mpaka miaka ya 1970s haya yalifanyika waziwazi. Ndiyo maana tulipopata uhuru chini ya Mwalimu Nyerere tulikuwa kati ya nchi za kwanza kupinga ukoloni mamboleo. Mwaka 1967 kwenye Azimio la Arusha ilitamkwa waziwazi kwamba kitendo chochote kinachowaongezea wananchi kuondoa makovu ya kutawaliwa ni kitendo cha maendeleo. HAYO MAWAZO NI HATARI SANA MAANA YANAHATARISHA UHURU WA WATU BINAFSI NA TAIFA KWA UJUMLA. Nakusihi UJIAMINI tu. Wazungu wametangulia kwenye Sayansi na Teknolojia lakini haina maana kwamba binadamu wengine hawawezi kuwashika na kuwazidi...Tayari tunaona mataifa yanayowasogelea kwa haraka sana.
Weusi ni walalamishi sana ni dalili ya kutokuwa na akili wazungu ni best human hata kama tutajiteteaje yaani
 
Aisee. There is so much wrong with these statements sijui hata nianzie wapi.

1. Utumwa. Slavery.
Nchi kama marekani haijajijenga yenyewe, watu weusi watumwa walienda wakawajengea nyumba zao, wakawajengea reli ili treni zipite, wakawafanyia kazi bure kwenye mashamba yao, wakawanzishia viwanda vyote ambavyo leo vimewarahisishi hadi kufika kua wengi wao ndio matajiri namba moja duniani, wakapata mda, kama watumwa wanakuletea chakula, wewe unakaa nyuma unakula na kuweza kujijenga na mambo mengine.

Akili za binadamu zinaendelea ku develop as we go, tunahitaji A ili tufike B, cheki mfano windows 98 zilivyokua na cheki windows 10, akili za waliotengeneza hazikuweza kufikiria muonekano wa windows 10, hadi baada ya kupitia window 98-xp-vista-7-8 kisha ndo ten, huu ni mfano mdogo, everything is gradually done, kitu kimoja baada ya kingine, so mfano wa hapo ni kwamba windows ya kwanza kabisa ndo ilikua A kisha zote zinazofuata ni B,C,D,E.. so inabidi kupitia zote hizo ili kufika F au Z, so ninachojaribu kusema, kwenye chochote kama tulikua A wote, wenyewe wakataka nguvu zaidi, kwahiyo wakapata watumwa na kulazimisha kuwasaidia wao wafike B na C na D haraka kabla ya kila mtu, ofcourse watakua wamefika G kabla yetu, sijui kama bado inaeleweka, anyway.

2. Capitalism is the white mans System.
Tunadanganywa kila siku ohh ukifanya kazi kwa bidii utakuja kumfikia hata bill gates, au kua kama mark zuckerberg, lakini hamna kitu kama hiko,tukiendelea kucheza mchezo wao labda mmoja au wawili watawafikia lakini wengi itakua wao tu. Huu ni mchezo wao, wakipata hela wanagawana wenyewe kwa wenyewe, hata hapahapa Tanzania, kuna wataliii wanakuja kutembelea Tanzania, wanakaa kwenye ma lodge ambayo sitanii... wanalipa hadi milioni 14 na zaidi kwa siku 5-7, hizo lodge pia wenye nazo ni za watu weupe, so hela zinabaki kwao.

Hela zinaendeshwa na benki kuu, ndio maana hatuwezi sema tu hela yetu ina thamani kiasi flani, inabidi
kutokana na stocks kwenye market na mambo mengine mengine ndio inapanga value, so basically hzi noti ambazo tunazo hapa benki kuu wanajua zipo ngapi zinazunguka, kwahiyo kama hela zipo elfu kumi, na elf saba zinazunguka kwa watu weupe tu, hizo elfu tatu mnagawana wote wengine, there is no chance for anyone to get anywhere other than the white man. Najua na over simplify, lakini kusema watu weusi wameachwa nyuma kwenye system za watu weupe is also over simplifying mambo mengi sanaa.

3.Akili za utumwa. Slavery mentality.
Tumepata uhuru kwenye makaratasi, lakini kiakili bado.
Wengi hawato lisikia hili, lakini kuanzia dini zetu, tunavyoendesha nchi kiserikali, tunavyofundisha watu madarasani vyote vimeletwa na wakoloni, na bado hadi leo tunavitumia, kabla ya utumwa tulikua tuna imani zetu na njia zetu jinsi gani tunakuza watoto na kuwafundisha, tulikua na utawala wetu, lakini wakaona kua wa Afrika ni watu wachini wasiojielewa na kuja kututawala, hata hii mipaka tunayoiheshimu na kupigania waliichora wao, kwa kua wanagawana vipande vya bara hili.

So jiulize kila siku, ni nini unachokubaliana ambacho sio cha kweli ni kuambiwa tu na mtu mweupe kua hivi ndivyo inavyobidi iwe? Kama kulazimisha watoto weusi kunyoa nywele zisikue mashuleni kwetu, ni kwamba wa Afrika tulionekana ni wachafu na hatuna thamani, ndio maana tunaamini hadi leo nywele nyeusi zikikua inabidi zinyolewe kila mda.

Anyway. Someni vitabu.
Sikiliza watu wanaoongea.
Soma historia vizuri, tupendane wote, tufanye kazi pamoja.
Watu weusi tuna ujasiri ambao wenyewe hawatoweza pata kamwe, ukitoa hizi system zao.
Angalieni nini kinaendelea na wamarekani weusi, wasikilizeni walichopitia na kwanini wengi wao ni wafungwa na hawana nafasi nyingi, wao wanajaribu sana kupigana na hizi system, sisi tunabaki nyuma.
Mafanikio kwa wote yapo, ila sio burebure.
 
Ukoloni ulileta athari kubwa katika "identity" yetu. Mfumo wetu wa elimu ni matokeo ya ukoloni na pia kuna ukoloni mamboleo. Wakati wazungu hawajaja tulikuwa pia na sayansi yetu. Mfano tulikuwa na dawa za kutibu magonjwa mengi sana. Tulikuwa na fasihi yetu ambayo inaitwa simulizi. Wakatuambia yote ni ya kishenzi. Tukaachana nayo. Matokeo yake tukaingia katika utamaduni mapokeo. Mwisho wa siku tumepoteza ile "identity yetu" na uwezo wa kujitambua sisi ni nani. Imefikia hatua weupe unathaminiwa kiasi ya kwamba watu wapo tayari kujichubua wawe weupe hii yote ni ile kutojitambua. Usipojitambua wewe ni nani huwezi kufanya chochote utaishi tu ili mradi siku zinaenda. Tutabadilika tu siku tutaporudi kwenye misingi na kuelewa jukumu letu kila mmoja. Haya ni mawazo yangu tu.
 
Atheists wapo sawa kwani Mungu hangeumba watu wa namna hiyo. (survival for the fittest) Darwinism inachukua mkondo wake
 
Ngoja na mimi nichangie
Kama ulivyosema mdau wa uzi huu kuwa wewe ni mmoja wa wanafunzi wa taaluma ya afya
Unajua zamani tulikuwa tunatumia au kugundua wenyewe tiba asilia ila hatukuboresha tu kwa sababu ya mfumo wa maisha.
Hawana akili kutuzidi ila ni maamuzi ya binadamu kubadili maisha yake
Fikiria baada ya vita vya pili vya duniani watu walikuwa na hali ngumu sana especially Europe kwa mfano England walikuwa na hali mbaya kimaisha ndipo serikali ikaamua kusaidia wananchi wake na kubadili mfumo wa maisha.
Wakaamua kuwasaidia wenye kipato kidogo kama kwa hela za kujikimu, na matibabu wakafanya bure
Pia elimu bure
Lakini pia wana maadili mazuri katika kazi zao pia na kufanya kwa uaminifu
Tulikuwa na maadili mazuri huko nyuma na pia kulikuwa na viwanda na kazi zilikuwa zinaenda vizuri ila tukabadili wenyewe mfumo.

Serikali ndio watu na sisi tukiamua tunaweza.
Uaminifu na kujituma katika shughuli zote na ulipaji wa kodi ambapo hizo kodi zetu zitafanya kazi kwa kuinua wananchi na maisha yao, naamini kuwa tunaweza kuwa na wataalamu wa kuvumbua kila kitu kama tutabadili mfumo wetu wa maisha tuna akili kama wao ila kama ukifanya mfumo ule ule uliozea huwezi badilika.
Hospital za serikali lazima ziwe kila mahali kwani tumeongeza watu na tunahitaji huduma kwani hizo ni kodi zetu.

Huwezi kuwa na hospital ya wilaya moja tu kwa miaka mia na population inaongezeka kila kukicha
Akili tunayo ila ni uongozi
 
Kwa mtazamo wangu huwa nahisi kinachomfanya binadamu mwengine awe one step ahead ni vile binadamu anaweza fikiri nje ya mipaka ( Thinking out of he box). Hawa watu weupe waliwahi kuwa civilized kuliko majority ya sisi wa Africa, hivyo kupelekea udadisi wao na namna yao ya ufikiri kuwa wa tofauti mapema saana wakati sisi bado tukiwa primitive miaka hiyo ya nyuma.
Hivyo bhasi haishangazi kuona wao kututangulia kugundua vingi katika nyanja mbali mbali. Mfano hata Africa ukiwatazama Misri ndio walikuwa watu wa kwanza kudevelop na kusolve mahesabu ya Quadratic equations , na yote hii ilikuwa ni kwasababu walikuwa civilized mapema mno.
Na kadiri tunavyoenda vipo viashiria ya kuwa yapo mengi yatagunduliwa kama sio kuboreshwa na mataifa tofauti tofauti bila kujali rangi ama kabila kwasababu almost dunia yote kwa sasa iko civilized.
Ila simaanishi kwamba kuwa civilized ndio kuvumbua kitu, bali ndio mwanzo wake kwakuwa maarifa huanza na kustaarabika.
Hivyo hata kama utakuwa civilized itakubidi uwe wa kufikiri nje ya mipaka uliyojiwekea kutokana na mazoea katika kichwa chako ndipo uweze kufanya changes au kuvumbua kitu.
Hivyo bhac ni namna tu ya ufikiri ndio inatengeneza tofauti kati yetu.

" Thinking beyond those mountains "
 
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???

Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?

Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao weupe??

Sina lengo la kuwasifia lakini najiuliza wao wamewezaje kugundua vitu tunavyoviona leo vikisaidia sana watu lakini kwa upande wetu sisi watu weusi hatujaonesha ugunduzi wowote wa kushtua dunia??

Hebu fikiria mfano teknolojia ya afya jinsi wazungu walivyoweza kugundua madawa mbalimbali ambayo mimi kama mmoja wa wanafunzi wa kozi hii huwa najiuliza hivi hawa watu walijuaje kugundua haya??

Madawa ya bacteria, fungi, protozoa na vaccinations mbalimbali za viruses hivi wao waliwezaje kugundua haya? Na kipindi wanagundua what we blacks were doing in this World??

Sometimes huwa nahisi labda Mungu aliwaumba wao kwanza halafu sisi baadae maana sioni kitu chochote kipya cha kujivunia kama mwafrika..

Technolojia za disease diagnoses kama X-rays, staining techniques, immunofluorescence, FBP, ELISA, microscope n.k Hivi wao waliwezaje kugundua? Au uwezo wa ugunduzi waliopewa wazungu ni tofauti na wa kwetu??

Ukija upande wa pharmacy utaona dawa ambazo ukizisoma utagundua nguvu kubwa ilitumika sana mpaka kuzigundua lakini kitu cha ajabu sisi weusi hakuna hata kitu tumegundua na hata kama vipo basi ni vichache mnooo!

Kuna maprofesa, madokta na PhD holders wengi tu hapa bongo lakini hakuna hata dawa moja wameweza tengeneza ikawa na brand ya kwetu tatizo liko wapi au ni mimi tu naona haya maendeleo ya watu weupe??

Ukija kuangalia teknolojia ya ujenzi wa majumba huko nako n watu hao hao weupe walio watalaamu wa kubuni mijengo mbalimbali na sisi tunaiga kwao...

Pia wameonesha uimara ktk mambo ya michezo,siasa imara,elimu za kiwango cha ajabu,n.k....sisi n miaka 50+ya Uhuru Ila hata handkerchief tunaagiza China HV where is the problem?? I ask myself the following questions..
1.Kama Mungu katuumba sawa,mbona hawa wao wameoneshwa kuwa na uwezo mkubwa kulko sisi?

2.Kama kila kitu chetu tunaiga kwa wazungu yaan utakuta kila kitu unachomilik hapo ulipo kimetengenezwa mbele ,so inamaanisha ili tuendelee lazma tujifunze kwao,je,wao wamejifunza wapi??

Kuna maneno Donald trump alitutukana waafrika lkn mm nikiyaangalia naona kama ni ukweli mtupu kabisa....anasema tumekalia Almas,dhahabu na aina zote za madini lkn bado sisi n maskini na tunaishia kugombana na kuuana sisi kwa sisi kisa Mali asilia hii,tatzo liko wapi wakubwa zangu..mm ndio naanza kukua na kuona Africa jinsi ilivyo..najiuliza kama hawa walionitangulia hawajaweza kutengeneza chochote kile hii inamaanisha sisi ni wa kuzaliwa,kukua,kuoa/kuolewa,kuzaa na kufa tu au??

Au sisi ni zao LA laana (mtanisamehe hapa) maana hamna mchango naoona uliotokana na waafrika ktk kuhakikisha a world is at good form and peace...civil wars,hunger and starvation,poverty,poor hygiene,poor housing,poor infrastructure, political intolerance, diseases,and all forms of bad issues are within us brothers and sisters!!!! Where have we messed??

I conclude kwa Leo kwa kusema HV:A world peace can be maintained without blacks in presence but the world can't run without whites??? Why???
kama ulikuwepo kwenye akili ya ngu vile
 
Kabla ya wazungu kuja Africa tulikuwa na wahandisi wetu walifua vyuma tukapata majembe, visu, mapanga n.k walipotuvamia wazungu waliwaua wote waliokuwa na ujuzi huo tukakwama kuendelea kuhusu madawa na vifaa tiba tulikuwa na dawa zetu nzuri za miti tulitibiwa nazo kuongezeka kwa magonjwa kunatokana na maendeleo ya kisayansi usione kama wao ni wabunifu kwani hata hayo magonjwa wanatengeneza wawo ili wafanye biashara ya dawa magonjwa mengi ni mapya tumeyasikia miaka ya 1980 na kuendelea wazungu na waafrika wote tupo sawa kiakili
Mi nlipokuwa nakaa alukuwepo mzee mmoja alikuwa anafua vyuma anatengeneza vyuma mikuki na kadhalika sema nalogundu sisi waafrika tuna roho mbaya coz tulipo enda angalia namna alivyo kua anatengeneza alitufukuza pia kuhusu madawa nikweli dawa za kienyeji zinatibu yupo mzee anapangisha folen kibao ya watu wanaopona ukijalibu kumuuliza dawa unachanganya Veep hawezi kukukwambia we mwambie naumwa sehem fulan anakuchanganyia na unapona
 
Ni somo pana mkuu waliendelea kuua na kusambaza sayansi yao wakaiita rahisi
sasa kama wanaendelea kuua maana yake wametushinda akili kama mtoa mada alivyosema kwa nini na sisi tusiwageuzie kibao
 
Na Haya ni moja ya matokeo ya mfumo wetu wa elimu au mtaala.......

Mifumo yetu ya elimu imedizainiwa uwe msaidizi wa mzungu au uwe mtengenezaji wa alichokigundua mzungu.......

Na kibaya zaidi inakufanya Ina kufanya ujione mzungu na kujikataa.........

Naamini mtoa mada ameleta hii mada kwa mihemko na sio ki uchunguzi kama msomi

Lakini ndio hivyo kama hata cha kumfundisha mtoto tunapangiwa na wazungu unategemea huyo mtoto atakuwa na akili gani.....!!?

NB;

Kuna shida kwenye mitaala ya elimu na mataifa mengine yameligundua hayo mapema sana na kufanya mabadiliko na kupiga hatua kubwa......

Hapo hujajibu,matokeo yake unamponda mtoa mada wakati anatafuta solution.Kama ni mitaala,kuna waafrica wengi tu wamesoma huko kwa wazungu,kwa nini wasije na mwarobaini ya yale yanayofundishwa huko? kuna wengine ni waalimu huko kwa wazungu,hivyo kama ni mataala ya elimu yao hakuna siri tena.Rejea uumbaji ulianzia wapi?Historia Gharika ilimbakiza nani? Laana ilitolewa kwa nani?,ukishayabaini hayo utajua weusi wana nafasi gani hapa duniani,watu weusi ndo watu pekee wanaoishi ukanda wa joto,ndo watu pekee wanaokaria ardhi isiyo na rutuba,ndo watu pekee wanaokaa eneo risilo na rasilimali za maana.Hapo unategemea nini
 
Hapo hujajibu,matokeo yake unamponda mtoa mada wakati anatafuta solution.Kama ni mitaala,kuna waafrica wengi tu wamesoma huko kwa wazungu,kwa nini wasije na mwarobaini ya yale yanayofundishwa huko? kuna wengine ni waalimu huko kwa wazungu,hivyo kama ni mataala ya elimu yao hakuna siri tena.Rejea uumbaji ulianzia wapi?Historia Gharika ilimbakiza nani? Laana ilitolewa kwa nani?,ukishayabaini hayo utajua weusi wana nafasi gani hapa duniani,watu weusi ndo watu pekee wanaoishi ukanda wa joto,ndo watu pekee wanaokaria ardhi isiyo na rutuba,ndo watu pekee wanaokaa eneo risilo na rasilimali za maana.Hapo unategemea nini
Dahh!! Umenifanya nicheke sana mkuu aisee, hivi hayo ulioyaandika umefikiria kwanza?
 
Waafrika weusi (including wabantu na wanilote) ni watoto wa Noah kupitia Ham kupitia Mizraim, Cush and Phut
 
Baada ya gharika la wakati wa Noah, watoto wa Ham ndio walikua wakwanza kujenga himaya za kidunia. Of course himaya hizi hazikumpendeza Mungu wa Israel. To cut a long story short, kutokana na disobedience yao, waafrika walikuja kushushwa sana sana baadae.
 
Vipindi vya himaya za kidunia hupangwa na Mungu.


Ni muhimu sana kuijua injili ya kweli kabisa (bila kujali madhehebu) hata kama kwenye maisha halisi hautaifuata kikamilifu.


1) Yesu Kristo kwa kiebrania ni Yahushua Mashiah. Yahushua maana yake ni YAHWEH is Salvation. YAHWEH ni Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob.


2) Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.


3) Siku takatifu ya kikweli kweli kabisa inaanza Ijumaa jioni (jua linapozama) na inaisha Jumamosi jioni (jua linapozama) (Seventh day Sabbath). Avoid kufanya dhambi muda huu (of course tunatakiwa tu avoid kufanya dhambi muda wote).


4) Waafrika weusi (including Wabantu na wanilote) ni watoto wa Noah kupitia Ham kupitia Mizraim, Cush and Phut.


5) Ni vizuri watu wote wa avoid pride, arrogance, malice, hatred and envy.


Mafanikio ya kidunia yatatokana na:


1) Ku successfully participate in the major means of production, distribution and exchange in the economy in an atmosphere of low inequality.


2) Ku successfully participate in the neo-liberal global economy.


3) Kushirikiana vizuri na watu wengine, na kuavoid mahusiano yanayoleta hasara.


4) Majority ya Watanzania wajitahidi kupata elimu ya form 6 na kuendelea.


5) Kuishi a healthy lifestyle (including exercising), itakayowawezesha kuishi kwa muda mrefu huku wakiwa na afya njema kabisa.


Bwana Yesu Kristo anapenda mataifa yote yawe na nuru ya injili ya kweli. Anapenda kuwa na wafuasi kwenye mahema yote ya Shem, Ham na Japheth.


Ni vizuri watanzania waishi vizuri na kushirikiana vizuri katika nyanja mbali mbali kama ambavyo wamekua wakifanya kwa muda mrefu. Ukiona Mtanzania muadilifu ana mafanikio ujue sio kwa msuli au akili yake bali kwa neema ya Bwana Yesu Kristo. Kwa hiyo njia bora ya watanzania kufanikiwa ni neema ya Bwana Yesu Kristo.
 
Ngoja na mimi nichangie
Kama ulivyosema mdau wa uzi huu kuwa wewe ni mmoja wa wanafunzi wa taaluma ya afya
Unajua zamani tulikuwa tunatumia au kugundua wenyewe tiba asilia ila hatukuboresha tu kwa sababu ya mfumo wa maisha.
Hawana akili kutuzidi ila ni maamuzi ya binadamu kubadili maisha yake
Fikiria baada ya vita vya pili vya duniani watu walikuwa na hali ngumu sana especially Europe kwa mfano England walikuwa na hali mbaya kimaisha ndipo serikali ikaamua kusaidia wananchi wake na kubadili mfumo wa maisha.
Wakaamua kuwasaidia wenye kipato kidogo kama kwa hela za kujikimu, na matibabu wakafanya bure
Pia elimu bure
Lakini pia wana maadili mazuri katika kazi zao pia na kufanya kwa uaminifu
Tulikuwa na maadili mazuri huko nyuma na pia kulikuwa na viwanda na kazi zilikuwa zinaenda vizuri ila tukabadili wenyewe mfumo.

Serikali ndio watu na sisi tukiamua tunaweza.
Uaminifu na kujituma katika shughuli zote na ulipaji wa kodi ambapo hizo kodi zetu zitafanya kazi kwa kuinua wananchi na maisha yao, naamini kuwa tunaweza kuwa na wataalamu wa kuvumbua kila kitu kama tutabadili mfumo wetu wa maisha tuna akili kama wao ila kama ukifanya mfumo ule ule uliozea huwezi badilika.
Hospital za serikali lazima ziwe kila mahali kwani tumeongeza watu na tunahitaji huduma kwani hizo ni kodi zetu.

Huwezi kuwa na hospital ya wilaya moja tu kwa miaka mia na population inaongezeka kila kukicha
Akili tunayo ila ni uongozi
Mnajitahidi kumtetea mtu mweusi kwa kuandika insha nyingi lakini at the end unagundua mtu mweusi ni kama kiboko i mean anashinda kwenye maji ila atakati
 
Back
Top Bottom