Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Iman n kuwa na yakini ya uwepo wa kitu au jambo hata kama akil yako itakuwa inapngana nalo. ( ina maana unapoa amini bac kuna muda inabd uachane na fikra za akil yako znasema nn. Mfano Leo hii kuna watu wanabudu ngombe wakian ndio mungu na anawapa msaada ktk mambo yao na n marufuku kwao kula nyama ya ng'ombe na ukila unaweza kudhurika. Ila uktumia akil utaona hili jambo n upumbavu kwasababu kuna watu wanakula nyama ya ngombe na hawapati chchoteImani ni nini na akili ni nini?
Na ukitaka kujua ukweli unatumia imani au akili?
Kwa definition hiyo, sasa kwa nini watu wanaendekeza kutumia imani sana badala ya akili zao?Iman n kuwa na yakini ya uwepo wa kitu au jambo hata kama akil yako itakuwa inapngana nalo. ( ina maana unapoa amini bac kuna muda inabd uachane na fikra za akil yako znasema nn. Mfano Leo hii kuna watu wanabudu ngombe wakian ndio mungu na anawapa msaada ktk mambo yao na n marufuku kwao kula nyama ya ng'ombe na ukila unaweza kudhurika. Ila uktumia akil utaona hili jambo n upumbavu kwasababu kuna watu wanakula nyama ya ngombe na hawapati chchote
Sasa n nn knawafanya waabudu ng'ombe na wasile nyama ya ng'ombe ni imam sio akil.
Akili ni uwezo kufikiri na kupambanua mambo
We ukiambiwa uanze kuchambua tofauti ya imani na hizo akili mara sijui kuelewa..unaingia mitini.Kwa definition hiyo, sasa kwa nini watu wanaendekeza kutumia imani sana badala ya akili zao?
Ni uvivu wa kufikiri tu, uoga wa kubadili mambo au ujinga tu?
Wapi nimeingia mitini?We ukiambiwa uanze kuchambua tofauti ya imani na hizo akili mara sijui kuelewa..unaingia mitini.
Hehe..mi naanzia kufikiri unapoishia,hadi sasa kati yenu hakuna hata aliyeweza kutoa tafsiri ya neno imani na akalitolea mifano yenye kuendana na hiyo tafsiri.Wapi nimeingia mitini?
Unaweza kuniuliza tena hapa ambapo nipo sasa hivi na huna excuse ya kuingia mitini?
Angalia tu usije kuingia mitini wewe na kuniacha mimi hapa.
Hehe..mi naanzia kufikiri unapoishia,hadi sasa kati yenu hakuna hata aliyeweza kutoa tafsiri ya neno imani na akalitolea mifano yenye kuendana na hiyo tafsiri.
Kiranga hawezi kukuelewa maana umemshika pabayaUmeshindwa kunielewa kwa sababu hauna uhuru wa mawazo katika hili suala kama mnavyojisifu,wewe unawaambia wenzako wanasoma hadithi zilizotungwa na watu tu na ndiyo nami nikakwambia kuwa hata unayosoma wewe pia kuhusu kutokuwepo kwa mungu ni hadithi za watu tu wenye kutaka watu waelewe hivyo. Mungekuwa na mawazo huru msingekuwa mnakuja na hoja za "sitaki kuamini nataka kujua" mara "mbona huyo mungu haonekani?".
Mi nafikiri wanafunzi wako humu watakuwa wamejifunza kitu hapo,mi nimemaliza.Just humoring you for a moment.
Kama hakuna anayeweza kutoa tafsiri ya imani, wanaoamini watakuwa wamepoteza kuliko wasioamini.
Wasioamini hawajakubali imani, hata wakishindwa kui define, hawana tatizo kubwa, kwa sababu hawajaikubali.
Wanaoamini, on the other hand, wana obligation ya kuielewa imani.
Na kuweza kuielezea.
Hujajibu hoja, maana yake umekubali kwamba wanaoamini hawawezi kuielezea imani yao.Mi nafikiri wanafunzi wako humu watakuwa wamejifunza kitu hapo,mi nimemaliza.
Hakuna asiyejua hilo neno imani lina maana gani na ndiyo maana hata wewe umelitumia katika hayo maelezo yako,ila tatizo lenu ni pale mnapotaka kutafsiri hilo neno kwa tafsiri mzitakazo nyie kutokana tu na mada husika hapa,na ndiyo mnapo feli kwa kushindwa kutoa mfano hata mmoja wenye kuendana na hizo tafsiri zenu mzitungazo.Hujajibu hoja, maana yake umekubali kwamba wanaoamini hawawezi kuielezea imani yao.
Hivyo wanaamini wasichokijua.
Hivyo inawezekana kabisa wanaamini kisichopo.
Hata kusema hakuna mungu ni suala la imani tena kibaya zaidi inazuia kuuliza kwa kusema visivyokuwepo havithibitishiki,hivyo hutoweza kuhoji imani.Ni swala la Imani, we amini tuu... usiulize
Una hakika hakuna asiyejua hilo neno imani lina maana gani?Hakuna asiyejua hilo neno imani lina maana gani na ndiyo maana hata wewe umelitumia katika hayo maelezo yako,ila tatizo lenu ni pale mnapotaka kutafsiri hilo neno kwa tafsiri mzitakazo nyie kutokana tu na mada husika hapa,na ndiyo mnapo feli kwa kushindwa kutoa mfano hata mmoja wenye kuendana na hizo tafsiri zenu mzitungazo.
Unataka kunitoa nje ya mada kama kawaida yako,tufanye wote wenye kulitumia katika wanalijua lina maana gani.Una hakika hakuna asiyejua hilo neno imani lina maana gani?
Umezunguka kwa wangapi mpaka ukajua hilo?
Sikutoi nje ya mada.Unataka kunitoa nje ya mada kama kawaida yako,tufanye wote wenye kulitumia katika wanalijua lina maana gani.
Haya nimekuelewa.Sikutoi nje ya mada.
Naonyesha tu ulivyo loose na maneno.
Mtu aliye loose na maneno, yuko loose na mawazo.
Ndiyo maana hatuwezi kuelewana.
Wewe unaona maneno si muhimu. Mimi naona muhimu. Kama si muhimu, tutaelewanaje?
Kama kuna anayetutoa nje ya mada hapa, ni wewe.
Unaleta maneno loose ambayo ukiulizwa kuyathibitisha huwezi, unakimbilia kusema nakutoa nje ya mada.
Nakutoa nje ya mada kwani mimi ndiye niliyeleta hayo maneno loose?
Umenielewa nini?Haya nimekuelewa.
akili zako hazko sawa wewe......Hujathibitisha.
Mpumbavu wa kweli ni yule anayeogopa kuitwa mpumbavu kwa kusema mungu hayupo bila kuthibitisha kwamba mungu yupo.
Unajuaje kwamba kusema mungu hayupo ni upumbavu?
Kama walioandika biblia walitaka kujiwekea insurance ili kuwakamata wapumbavu wote ambao anaogopa kuitwa wapumbavu kuliko wanavyoogopa kuwa wapumbavu, magari huu umewashika wengine.
Sihofii kuitwa mpumbavu, nahofia kuwa mpumbavu.
Wewe huhofii kuwa mpumbavu, unahofia kuitwa mpumbavu.
Zako haziko sawa zaidi.akili zako hazko sawa wewe......
nionyeshe nini wakati akili zako hazmo.........hauna kitu kichwani weweZako haziko sawa zaidi.
Maana umeshindwa kuonyesha ni vipi akili za mtu asiye na akili sawa haziko sawa.