Je! Mungu ni yule yule?

Roho ni habari nyingine ya uzushi.

Haipo. Kama ipo thibitisha.

Ukishindwa kuthibitisha uwepo wa roho, nitakwambia unatumia uzushi mmoja (roho) kutetea uzushi mwingine (kuwepo kwa Mungu).
Watu wa rohoni Ndio wanaomjua roho, huwezi thibitisha kwa mtu asiyekuwa na roho, Mungu ni roho na huwezi mwelezea kimwili, na bila kuamini huwezi jua habari za Mungu, cha muhimu amini kwamba Mungu yupo ndipo utakapojiliwa na huyo roho,na roho atakusaidia kumwona Mungu katika maisha yako, kumbuka vitu hivi sio vya kimwili, unapotaka uthibitisho wa kimwili siku zote utakuwa mshindi mkuu
 
Je una amini Shetani yupo? Je unaamini kuna nguvu (super power, somewhere)? Labda tuanzie hapo.
 
hebu niambie hilo swali ambalo halina majibu?
 
Kuliko kusema ww ni Muislim (unaamin ktk Mungu) hafu huku unamkana na kusema hayupo/una mashaka nae kua hayupo bora uache tu Kua Muislam
mkuu malizana na kiranga kwanza ...mimi mambo ya dini hayo nimewaachia wenye interest zenu ...mimi wala siwaelewi ..kuna yule zito junior aliwahi kusema kuwa kabla adamu na hawa hawajala. tunda walidanganywa na Nyoka nawakati huo Nyoka alikuwa na miguu ...aiseee nikajiuliza ilinyoka apate kuwa Nyoka nilazima asiwe na miguu..sasa Nyoka ana miguu tena halafu bado anaitwa Nyoka ...au alikuwa anamaanisha kenge ila kakosea ..haaahaaa

mimi nimechoka kulishwa matango pori mkuu
 
Skeptics kama hao hatupotezi muda. Tunawaelekeza kwenye hoja ya msingi. Mambo ya Mungu hayajulikani kwa kuona, kutazama, kuchunguza na mengineyo bali kwa imani. Biblia ibasema wazj ni *********** tu anayesema hakuna Mungu. Yaani "common sense" itakueleza tu Mungu yupo. Philosophy of Religion inadeal na maswali ambayo Kiranga hagusii sasa nipoteze muda wa nini. Aamini tu asisumbue watu humu JF.
 
Kwa hii post yako umenifanya niamini una ubongo ila huna Akili...
 
Biblia inajipinga yenyewe katika mambo mengi sana na hivyo haiwezi kuchukuliwa kama kitabu cha kukikubali kama neno la Mungu.

Vivyo hivyo Quran.

Utasemaje Philosophy of Religion inagusia mambo ambayo mimi sigusii wakati naongelea the problem of evil, a central problem in Philosophy of Religion kina Aquinas, Anselm, Russell mpaka Plantinga wameishindwa kuijibu?
 
Huu si uthibitisho. Haya ni mahubiri.

Sijasema nataka mahubiri.

Nimeomba uthibitisho.
nini kilifanyaka mpaka binadamu akaitwa binadamu??
nini kilifanyika mpaka ikawa dunia??
nini chanzo chake?? ur thought plz
 
labda mimi nikuulize swali unaelewa nini kuhusu maana ya neno "AGANO"
 
HAHAAAA ..MKUU HAPO HAWEZI KUJIBU KITU ATAKUCHOSHA TU ...NIMEPENDA HUO UFAFANUZI ULIOUTOA HAP KWENYE HZO AYA ZA JUU ..JAMAA WEWE NI MTU HATARI SANA ...HIVI KWANINI MIMI SINA AKILI KAMA ZAKO ...MY FOOT
kaka changamsha nondo
 
Kwa hii post yako umenifanya niamini una ubongo ila huna Akili...
na kwahii post yako imenifnya niamini kuwa huwa unatumia makalio kufikiri badala ya kichwa ..empty set
 
nini kilifanyaka mpaka binadamu akaitwa binadamu??
nini kilifanyika mpaka ikawa dunia??
nini chanzo chake?? ur thought plz
Hata kama nikikwambia sijui jibu, ila ukiniambia jibu lake ni Mungu nitajua jibu si sahihi.

Kama ambavyo unaweza kuniuliza "nini square root ya 2?" nikakwambia sijui.

Lakini nikajua jibu lake si 10.

Kwa sababu square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa kuliko 2. Hiyo itakuwa contradiction.

Hivyo hivyo, jibu la Mungu kwa maswali yako si sahihi. Kwa sababu lina contradiction.

The problem of evil contradicts the existence of God.

Sijui kama umeelewa.

Ukisema Mungu ndiye chanzo cha maisha haya ni sawa sawa na anayesema square root ya 2 ni 10.
 
Mungu hawezi kujithibitisha kwangu.

Kwa sababu hayupo.

Na hii ndiyobsababu hata wewe huwezi kuthibitisha yupo.

Unajificha kwenye chaka la "Mungu atajithibitisha".
 
Deadbody, Biblia inasema kuwa "mpumbavu amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu.".

Sasa unataka huyo mtu athibitishiwe vipi kuwa kuna Mungu wakati Biblia inamwita mtu wa namna hiyo kuwa ni mpumbavu? Unathubutu vipi kubishana na 'mpumbavu '?

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…