Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Just like the existence of evil falsify the idea that an all knowing, all loving and all capable God exists.


evil is noted the plan of God,, God always thinks of good things to his people that's why good must be done and evil must be avoided


cc Smart911
 
kwahiyo Mungu yupo !??
na ana upendo !? nimuweza wa yote pia sindio ...tuanzie hapo kwanza mkuu ..kabla cjakusakizia kwa alwatana au kiranga...hahaaa


yeah he'd did exists?? he was there since the beginning of the universe.... he's the ultimate being.. unmovable mover who moves everything without being moved.. uncreated creater who creates everything without being created..

na ndomana ukija kwenye religion... Iwe ATR.. pagan.. Christianity.. Islamic, Buddhism etc.. Kila mmoja na anachoamini na kuabudu but ideas zao zinabaki palepale kuwa mungu Yupo.. muweza wa yote




cc Smart911
 
evil is noted the plan of God,, God always thinks of good things to his people that's why good must be done and evil must be avoided


cc Smart911
Why did God not create a world in which evil is impossible?

When you say evil is not Gods plan, yet we see evil, does tgat mean Gids plan failed?
 
Kwanza kabisa ninukuu vizuri.

Umeninukuu kwa kujichanganya hata haieleweki ukichoandika wewe kipi na ulichonukuu kutoka kwangu ni kipi.
Hiyo ndiyo njia yako tuliyoizoea muda sasa. Ndiyo maana wengine wanakuona umeshinda pasipo ushindi! Kwa kuwa unatumia neno "haujui ninachukijua au nilichoandika." Kama wewe ni mahiri ktk hilo weka basi ktk njia nyepesi hata mjinga mimi nielewe.
 
Hiyo ndiyo njia yako tuliyoizoea muda sasa. Ndiyo maana wengine wanakuona umeshinda pasipo ushindi! Kwa kuwa unatumia neno "haujui ninachukijua au nilichoandika." Kama wewe ni mahiri ktk hilo weka basi ktk njia nyepesi hata mjinga mimi nielewe.
Kwani sijanukuliwa kwa mtundo ambao hata msomaji anashindwa kujua nanibkaandika nini?

Sasa kama mtu anashindwa kuheshimu kanuni za kunukuu tu iki wasomaji waelewe nani kaandika nini, tutawezaje kujadiliana kwa ufasaha?

The duction is jumbled, not conveying.
 
Hivyo ukisema Embe ili liwe Tamu linahitaji Jua na Mvua

Na si Mvua peke yake

Tayari makuzi ya mmea yatakuwa yamejicontradict.!

Na embe halina maana!?
Contradiction iko wapi hapo?

Unaelewa contradiction ni nini? Unaweza kui define? Unaweza kuionesha ipo wapi katika hiyo habari yako?
 
Ofcourse mwanaume ni mwanaume.... tunaangalia Ile essence... man is essentially man by the things that made him to be a man likewise to women... regardless the application of logic.


sawa we can draw certain conclusion from the premises but that conclusion in reality is not the fact...



cc Smart911
Which is the case I made in pointing out the original non sequitur. Wrong conclusin.

1. All women are human.

2. John Magufuli is a human.

3. John Magufuli is a woman.

Wrong conclusion.

Like.

1. All intelligence must have a source.

2. Humans are intelligent.

3. Humans were created by God.

Wrong conclusion the same way.

Logical non sequitur.
 
Hujajibu swali.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao njaa, vita, magonjwa, umasikini, matetemeko ya ardhi, n.k, vinawezekana, wakati mnasema ana na alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao yote hayo hayawezekanimi hata kufikirika, licha ya kutokea?

Hujajibu swali hili.

Unasema vyote vimetabiriwa. Swali si vimetabiriwa au havijatabiriwa.

Unajibu swali ambalo sijauliza, wakati swali nililouliza umelikwepa hujalijibu.

Majibu kama lako yanaonesha hata wewe mwenyewe humuelewi huyo Mungu.

Na humuelrwi kwa sababu haeleweki.

Na haelewekwi kwa sababu hayupo. Katungwa kwa hadithibya kuungwa ungwa tu, inayojipinga pinga kwa contradictions kibao.
Nimekuelewa. Ulitaka ulimwengu uwe unavyotaka wewe na si jinsi Mungu alivyoumba. Huyo hawezi kuwa Mungu. Mungu alidesign hivyo. Mie ninavyomwelewa sivyo unavyomwelewa. Hivyo huwezi kuniambia kuwa simwelewi. Mtazamo wako ni kuwa haeleweki (endelea hivyo hivyo milele).
 
sasa huoni kuwa mpka hapo hiyo biblia inajichnganya ..huku inamsifu Mungu kuwa nimwenye upendo na Mwenye kuweza yote ..huku upnde huo inaanza kutaja udhaifu wa hvyo vitu ambavyo mnasema kuwa ameviumba ..hoja nikwamba .kama kweli Mungu nimuweza wa yote kwanini aruhusu mabalaa kuwafika viumbe wake ...?? alishindwa nini kuutumia huo uweza wa yote kuweza kuzuia hizo hali zinazojitokeza ...
so kama biblia imezungumzia hayo yote uliyoyataja hapo nahitaji mimi nawewe sote tukubaliane hapa kuwa MUNGU huyo sio muweza wa yote ..sio muweza wa yote kwa sababu ameshindwa kuuzuia ubaya kutokuwepo wakati alikuwa na uwezo wakuzuia usiwepo..""":
na hapo hapo tu kishakubaliana hivyo nahitaji mimi nawewe tukubaliane kuwa biblia sio kitabu cha kukiamini tena kabisaaa
kwa sbabu kimetuambia kuwa Mungu ni muweza wa yote na hapo hapo kimeshindwa kusimamia hoja YAKE baada ya kutuonyesha kuwa dunia itakuwa ni uwanja uliojaa mabalaa..uovu na hofu kwa walimwengu""

nawasilisha
Kumbe wewe unamwona Mungu kama Mungu akikufanyia utakavyo? kama tafsiri ya Mungu kwako ni hivyo uko sawa. Maana yake ni kuwa Baba anakuwa baba kwasababu anakupa unachotaka. Asipokupatia siye baba tena! Mungu ni Mungu na atakalo ndilo huwa
 
Nimekuelewa. Ulitaka ulimwengu uwe unavyotaka wewe na si jinsi Mungu alivyoumba. Huyo hawezi kuwa Mungu. Mungu alidesign hivyo. Mie ninavyomwelewa sivyo unavyomwelewa. Hivyo huwezi kuniambia kuwa simwelewi. Mtazamo wako ni kuwa haeleweki (endelea hivyo hivyo milele).
Hujanielewa.

Sikutaka ulimwengu uwe kama ninavyotaka mimi.

Naonesha Munguwenu hana logical consistency.

Habari za kuwepo kwake zina kigeugeu. Zinajipinga zenyewe kabla mtu yeyote hajapinga uwepo wa Mungu huyo.

Hapa unaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Hapa anaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kinyume na asili yake ya upendo wote ambayo haiwezi kuumba kinachoweza kuwa na mabaya.

Kwa nini?

Kwa nini kuna contradiction hii?

Contradiction ina tabia moja.

Kuonesha uongo.

Sababuya kuwepo kwa contradiction hii ni kwamba Mungu huyu ni wa uongo.

Hayupo kiukweli.

Katungwatungwa tu kwa kuunga unga stories.

Stories ambao wachambuzi wanaojua kuchambua mambo wameziangalia wakaziona zina contradiction.

Contradiction inayoonesha Mungu huyu hayupo.
 
Hujanielewa.

Sikutaka ulimwengu uwe kama ninavyotaka mimi.

Naonesha Mungubwenu hana logical consistency.

Habari za kuwepo kwake zina kigeugeu. Zinajipinga zenyewe kabla mtu yeyote hajapinga uwepo wa Mungu huyo.

Hapa unaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Hapa anaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kinyume na asili yake ya uoendo wote ambayo haiwezi kuumba kinachoweza kuwa na mabaya.

Kwa nini?

Kwa nini kuna contradiction hii?

Contradiction ina tabia moja.

Kuonesha uongo.

Sababubya kuwepo kwa contradiction hii ni kwamba Mungu huyu ni wa uongo.

Hayupo kiukweli.

Katungwatungwa tu kwa kuunga unga stories.

Stories ambao wachambuzi wanaonua kuchambua mambo wameziangalia wakaziona zina contradiction.

Contradiction inayoonesha Mungu huyu hayupo.
Kwa mtazamo wako uko sawa. Kwa mtazamo wako Mungu hayupo na uwepo wake ni uongo mtupu, na kama yupo kwanini haya yatokeayo yanatokea kunyume na uwepo wa Mungu mwenye nguvu. Lakini kumbuka kuwa huo ni mtazamo wako ( ambao pia unaweza kuwa umeathiriwa na vitu vingi sana kikiwepo kiburi cha uzima) si kuwa eti ndio ukweli kama ambavyo mawazo yako hayawezi kuwa ndo authority.
 
Hakuna mungu, huyo unayemsoma ni hadithi tu zimetungwa na watu.

Ukijua hili swali lako halitakutatiza.
Mkuu ulipotelea wapi?
Tumekukumbuka sana ila kama ulitangulia mbele ya haki ulale pema peponi
RIP
 
Hujanielewa.

Sikutaka ulimwengu uwe kama ninavyotaka mimi.

Naonesha Munguwenu hana logical consistency.

Habari za kuwepo kwake zina kigeugeu. Zinajipinga zenyewe kabla mtu yeyote hajapinga uwepo wa Mungu huyo.

Hapa unaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Hapa anaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kinyume na asili yake ya upendo wote ambayo haiwezi kuumba kinachoweza kuwa na mabaya.

Kwa nini?

Kwa nini kuna contradiction hii?

Contradiction ina tabia moja.

Kuonesha uongo.

Sababuya kuwepo kwa contradiction hii ni kwamba Mungu huyu ni wa uongo.

Hayupo kiukweli.

Katungwatungwa tu kwa kuunga unga stories.

Stories ambao wachambuzi wanaojua kuchambua mambo wameziangalia wakaziona zina contradiction.

Contradiction inayoonesha Mungu huyu hayupo.
Kumbe bado upo na unaendeleza ubishi wako
 
Kwa mtazamo wako uko sawa. Kwa mtazamo wako Mungu hayupo na uwepo wake ni uongo mtupu, na kama yupo kwanini haya yatokeayo yanatokea kunyume na uwepo wa Mungu mwenye nguvu. Lakini kumbuka kuwa huo ni mtazamo wako ( ambao pia unaweza kuwa umeathiriwa na vitu vingi sana kikiwepo kiburi cha uzima) si kuwa eti ndio ukweli kama ambavyo mawazo yako hayawezi kuwa ndo authority.
Huo si mtazamo wangu.

Hiyo ni logical consistency.

Unajua tofauti ya "mtazamo wako" na logical consistency?

Umetoka kwenye fact, objectivity, logic,unakwenda kwenye blind faith.

I am not interested in discussing blind faith.

In fact, I will fight for your right to pursue your blind faith, that is your constitutional right.

But when we are discussing facts, blind faith has no place.
 
Mkuu ulipotelea wapi?
Tumekukumbuka sana ila kama ulitangulia mbele ya haki ulale pema peponi
RIP
Mimisiku zote niko na R.I.P tu mkuu.

Hapa sasa hivi nimetoka kumpiga mtu wangu $400 ambayo hajaitegemea Bongo usawa wa Magufuli. Basi kafuraaaahi.

Na akifurahi mimi na R.I.P sana huku viwanjani.
 
Of course ni yuleyule jana leo na hata milele ila yako mambo anayaachilia yatokee kwa makusudi ya kudhihirisha utukufu wake
 
Huo si mtazamo wangu.

Hiyo ni logical consistency.

Unajua tofauti ya "mtazamo wako" na logical consistency?

Umetoka kwenye fact, objectivity, logic,unakwenda kwenye blind faith.

I am not interested in discussing blind faith.

In fact, I will fight for your right to pursue your blind faith, that is your constitutional right.

But when we are discussing facts, blind faith has no place.
Mheshimiwa Kiranga,
Naomba kwanza nikusalimu kisha nianze kuzua hoja.
Swali langu la kwanza ni kwanini wasema kuwa Mungu hayupo maana ili uweze kusema kuwa kitu hakipo lazima uwe umekitafuta na kukikosa kwa mfano una box na ndani ya hilo box palitakiwa pawe na pipi ukija na kuchungulia ndani ya box na ukakuta hamna pipi hata moja utasema kuwa hamna pipi ndani ya box yaani pipi hazipo. Vivyo hivyo kwenye nyumba ili tuseme kuwa panya hayupo kwenye hii nyumba inatubidi tuwe tumeshakagua nyumba nzima na kuthibitisha kuwa hamna panya.
Swali kwako ni je umeshakagua dunia yote na kuthibitisha kuwa Muumba hayupo?
Na kama la basi waweza vipi kusema hayupo?
 
Mheshimiwa Kiranga,
Naomba kwanza nikusalimu kisha nianze kuzua hoja.
Swali langu la kwanza ni kwanini wasema kuwa Mungu hayupo maana ili uweze kusema kuwa kitu hakipo lazima uwe umekitafuta na kukikosa kwa mfano una box na ndani ya hilo box palitakiwa pawe na pipi ukija na kuchungulia ndani ya box na ukakuta hamna pipi hata moja utasema kuwa hamna pipi ndani ya box yaani pipi hazipo. Vivyo hivyo kwenye nyumba ili tuseme kuwa panya hayupo kwenye hii nyumba inatubidi tuwe tumeshakagua nyumba nzima na kuthibitisha kuwa hamna panya.
Swali kwako ni je umeshakagua dunia yote na kuthibitisha kuwa Muumba hayupo?
Na kama la basi waweza vipi kusema hayupo?

Swali lako nimelijibu mara kadhaa hapo juu na kama ningekuwa katika hali ya kuku dismiss, ningekwambia tu soma hapo juu.

Ila kwa kuwa umenionesha taadhima kubwa, na mimi nina tabia ya kurudisha taadhima kwa taadhima, nitachukua muda kujibu tena.

Sihitaji kukagua magunia yote ya mchele kujua kwamba punje moja ya mcheleukiijumlisha na punje nyingine ya mchele unapata punje mbili za mchele.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo na wala sihitaji kukagua dunia nzima ili kujua hayupo.

Nahitaji kukagua mantiki ya kuwepo kwake.

Mantiki ya kuwepo kwake ina contradiction. Dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe kabla haijapingwa na mtu.

Upande mmoja tunaambiwa Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote.

Upande wa pili, tunaona Mungu huyu anasemwa kaumba ulimwengu huu unaoruhusumaovu mengi kuwezekana, kinyume na asili za Mungu huyo aliyetajwa za uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kujipinga huku kunakuja na habari ya kwamba, imekuwaje Mungu mwenye kila sababu ya kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani (ana uwezo wote, kwahiyo suala lakukosa uwezo halipo, ana ujuzi wote, kwa hiyo suala la kukosa ujuzi halipo, ana upendo wote, kwa hiyo sualala kukosa upendo halipo) hakuumba ulimwengu huo?

Sijajibiwa swalihili.

Swali linaonesha Mungu huyu hana logical consistency. Ana contradiction.

Contradiction inaonesha uongo katika dhana ya kuwepo kwa Mungu huyu.

Mungu huyu hayupo.
 
Mungu, mungu. Zote hadithi tu. Kiuhalisi hayupo.
Ngoja nikupe concept ya kibinadamu tu maana najua wewe mbishani sana,

Mimi ninaamini mungu yupo wewe huamini kama yupo, sasa endapo tukifika kweli uko mbinguni na kumkuta yupo kweli mimi nitapata faida wewe utapata hasara, lakini tukimkuta hayupo kweli sisi wote hakuna atayepata faida wala hasara.

Sasa hii inamaanisha kuwa sisi tuna advantage katika kuamini yupo rakini wewe hakuna faida yoyote ukijiukiza ukichambua concept hii vizuri kama anayo akili timamu utapata jibu
 
Kiranga anaweza aonekane mkorofi na wengine kumchukia kabisa kwa misimamo yake. Haiendi hivyo, iko hivi, kama Mungu anajulikana na kufahamika kwa imani, tayari imeshapishana na kanuni anazosimamia huyu jamaa, yeye anataka kitu uthibitisho, aone, ashike, aguse, ajiridhishe kabisa. Binafsi sioni kosa lake. Nikimchukia kwa yeye kutokuamini uwepo wa Mungu ni kuonyesha hitilafu kwenye uelewa.

Lakini hata kwenye maandiko ya hiyo Biblia, kuna mtu aliitwa Tomas, yeye licha ya kuambiwa kwamba Yesu amefufuka, alibisha hata baada ya kumuona aligusa alama za makovu ya misumari. Imani ni jambo la mtu binafsi, hakutaka kwenda kwa mkumbo. Kwanini tuone Kiranga ni wa ajabu kwa kutaka uthibitisho.

Binafsi naamini uwepo wa Mungu, narudia tena, Naamini uwepo wa Mungu lakini jaijawahi kunifanya nikorofishane au kuzongana na Kiranga.
 
Back
Top Bottom