Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

hzo hoja mbona Tayari tumeshazijibu !!?

kwa sbabu hiyo biblia yenyewe ina maandiko kibao yanayo jichanganya yenyewe ...kwa mfano biblia inasema kuwa Mungu anaupendo kwa watu wote na pia Mungu nimuweza wa yote ..sasa kama nimuweza wa yote alikuwa wapi kipindi ambacho watu wa kagera walipobomolewa nyumba zao na tetemeko kwanini asingewaepusha na mtihani ."" mbona watu wakimara wamebomolewa nyumba zao ilhali mchungaji rwakatare jumba lake ambalo lilipaswa kubomolewa bado lipo ufukweni mpaka leo "" huyo Mungu alishindwa nini kuzuia nyumba za watu zisibomolewe ..Mbona hana double standard alipaswa kuwashinikiza walio wabomolea wananchi wa Kimara nao wambo molee rwakatare ""
haya watu wanaokufa Sudan ..Syria.Congo. na Pakistan.Libya"huwaoni ?? huyu mungu muweza wa yote anashindwa nini kuzuia hiyo hali "" kama watu bado wanakufa kila leo huo uweza wake wa yote uko wapi .....
kwa mantiki hii nikisema biblia inatudanganya nitakuwa nakosea au..???
Je Biblia iliposema upendo wa wengi utapoa, kutakuwepo vita kati ya mataifa, tetemeko la ardhi na mambo mengine, unategemea yawapate kina nani? hivyo vita unategemea vipiganwe wapi? Njaa iliyotabiriwa iwapate kina nani? Hivyo kinachotokea popote duniani iwe vita, majanga, ukatili, usaliti, njaa na mengineyo yanathibitisha kilichotabiriwa. Na hatuwezi kumfanya Mungu afanye tunachotaka sisi (yaani awe remote controlled). Tunapoomba tunasema "mapenzi yako (MUNGU) yatimizwe (si mapenzi yetu sisi). Ningemshangaa Mungu kama angekuwa anadhibitiwa na matakwa ya binadamu, hakika asingekuwa Mungu tena. Mfano kama Mungu alisema "... kufa mtakufa hakika...".Unadhani ni haki kuomwomba Mungu kuwa tusife? na tunakufaje na lini ni maamuzi yake. Acha Mungu abaki kuwa Mungu.
 
Kama kitu hakipo. Unaanzia wapi kuthibitisha kwamba hakipo?

Uthibitisho wa aina gani utakufaa kuonesha kwamba kitu hakipo?

Nikikwambia pembetatu yenye pembe sita ipo, ila wewe huijui na huna akili za kuiona tu (wakati kwa kweli haipo), utanithibitishiaje kwamba haipo?

Aliyeua kwa kisu unaweza kutoa ushahidi wa alama za vidole zake ukasema huyu kaua kwa kisu, kisu kimepatikana eneo la mauaji kina damu, kina alama zake za vidole, jeraha lililoua limetokana na kisu hiki, huyu ambaye alama zake za vidole zipo kwenye kisu hana alibi.Zaidi kuna video imemrekodi akiua. Zaidi, nyumba ina alarm na ikajifunga milango, polisi wakaja wakamkuta muuaji ndani. Jirani walimuona dirishani akiua.

Overwhelming evidence. Huyu kaua.

Sasa kama hakuna aliyeua kwa kisu, utathibitishaje kwamba hakuna aliyeua kwa kisu wakati hakuna maiti, hakuna kisu, hakuna alama za vidole?

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kama alivyoandikwa katika vitabu vya Biblia na Quran, hayupo.

Hayupo kwa sababu, dhana nzima ya kuwepo kwake, inajipinga yenyewe.Contradiction.

Dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe, kwa sababu, kwa upande mmoja, Mungu huyu ni mtakatifu sana kiasi kwamba kibaya chochote hakiwezi kutoka kwake. Kwa maana hiyo, angekuwepo, dunia isingewezekana kuwa na mabaya. Ukisema aliumba dunia isiwe na mabaya ila Shetani ndiye akaleta mabaya, nitakuambia hata huo uwezo wa Shetani kuweza kuleta mabaya ni ubaya ambao Mungu mwenye utakatifu unaosemwa hatakiwi kuwa nao.

Kwa hiyo, utaona kwamba, kuwepo kwa mabaya, na zaidi, kuwezekana kuwepo kwa mabaya katika dunia hii, ni uthibitisho kwamba Mungu huyu hayupo.

Wengine wamejaribu kujibu kwa kusema Mungu kaachia mabaya ila katupa uwezo wa kuchagua mabaya na mazuri. Hili ni jibu lisilo na mantiki. Ukiwa na mtoto wako mchanga ambaye uelewa wake ni mdogo sana, na wewe una helewa mkubwa sana kujilinganisha naye, unampenda, utampa chupa ya maziwa na pembeni umuwekee chupa ya sumu ili tu aweze kuchagua anachotaka? Hapana. Utahakikisha nyumba nzima haina sumu anayoweza kuifikia. Utampa maziwa tu.

Sasa kama binadamu mwenye uwezo mdogo, upendo mdogo na ujuzi mdogo anakataa kumpa mtoto wake mchanga maziwa na sumu ili mtoto awe na uhuru wa kuchagua, imekuwaje Mungu huyu mnayemsema mwenye uwezo usio na mwisho, ujuzi usio na mwisho na upendo usio na mwisho ameruhusu ulimwengu uwe na mazuri na mabaya ili watu wawe na uhuru wa kuchagua tu?

Watu kama wangeumbwa katika dunia ambayo haiwezekani kuwa na mabaya na mabaya hata hayajulikani, in fact hayapo kabisa hata kidhana, wangekosaje uhuru wa kitu ambacho hakijulikani wala kufikirika wala kuwepo kidhana tu?

Huyu Mungu yupo kweli au hadithi tu?

Kaachia dunia yenye magonjwa, vita, matetemeko, mafuriko, njaa, umasikini, kuteseka etc, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hivyo vyote haviwezekani watu wakaishibraha mustarehe.

Kwa nini?

Sijajibiwa jibu la kueleweka kwenye swali hili.
Hakuna kama wewe humu jf mkuu na wala haluna mwenye kuweza kujibu kwa sababu hakipo
 
Je Biblia iliposema upendo wa wengi utapoa, kutakuwepo vita kati ya mataifa, tetemeko la ardhi na mambo mengine, unategemea yawapate kina nani? hivyo vita unategemea vipiganwe wapi? Njaa iliyotabiriwa iwapate kina nani? Hivyo kinachotokea popote duniani iwe vita, majanga, ukatili, usaliti, njaa na mengineyo yanathibitisha kilichotabiriwa. Na hatuwezi kumfanya Mungu afanye tunachotaka sisi (yaani awe remote controlled). Tunapoomba tunasema "mapenzi yako (MUNGU) yatimizwe (si mapenzi yetu sisi). Ningemshangaa Mungu kama angekuwa anadhibitiwa na matakwa ya binadamu, hakika asingekuwa Mungu tena. Mfano kama Mungu alisema "... kufa mtakufa hakika...".Unadhani ni haki kuomwomba Mungu kuwa tusife? na tunakufaje na lini ni maamuzi yake. Acha Mungu abaki kuwa Mungu.
Hujajibu swali.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao njaa, vita, magonjwa, umasikini, matetemeko ya ardhi, n.k, vinawezekana, wakati mnasema ana na alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao yote hayo hayawezekanimi hata kufikirika, licha ya kutokea?

Hujajibu swali hili.

Unasema vyote vimetabiriwa. Swali si vimetabiriwa au havijatabiriwa.

Unajibu swali ambalo sijauliza, wakati swali nililouliza umelikwepa hujalijibu.

Majibu kama lako yanaonesha hata wewe mwenyewe humuelewi huyo Mungu.

Na humuelrwi kwa sababu haeleweki.

Na haelewekwi kwa sababu hayupo. Katungwa kwa hadithibya kuungwa ungwa tu, inayojipinga pinga kwa contradictions kibao.
 
Hujajibu swali.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao njaa, vita, magonjwa, umasikini, matetemeko ya ardhi, n.k, vinawezekana, wakati mnasema ana na alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao yote hayo hayawezekanimi hata kufikirika, licha ya kutokea?

Hujajibu swali hili.

Unasema vyote vimetabiriwa. Swali si vimetabiriwa au havijatabiriwa.

Unajibu swali ambalo sijauliza, wakati swali nililouliza umelikwepa hujalijibu.

Majibu kama lako yanaonesha hata wewe mwenyewe humuelewi huyo Mungu.

Na humuelrwi kwa sababu haeleweki.

Na haelewekwi kwa sababu hayupo. Katungwa kwa hadithibya kuungwa ungwa tu, inayojipinga pinga kwa contradictions kibao.
Tafuta kitabu kinachosema Annunaki and creation of human being[emoji12].
And why human being was created[emoji12]
 
Tafuta kitabu kinachosema Annunaki and creation of human being[emoji12].
And why human being was created[emoji12]
I have read that story. More than 20 years ago.Along with the Epic of Gilgamesh.That is Sumerian mythology. It does not talk about an omnipotent, omniscient, omni benevolent God.

The Ancient Aliens

Ama hujasoma maswali yangu, ama hizo stories za Wasumaria ulizosema nizisome hujazisoma.

Kwa sababu ungesoma maswali yangu na hizo stories za Wasumaria, ungeona kwamba maswali yangubyako pale pale hayajajibiwa.

Hizo stories za Wasumaria nyingi zimeenda kuwa kwenye Biblia kivingine.
 
Je Biblia iliposema upendo wa wengi utapoa, kutakuwepo vita kati ya mataifa, tetemeko la ardhi na mambo mengine, unategemea yawapate kina nani? hivyo vita unategemea vipiganwe wapi? Njaa iliyotabiriwa iwapate kina nani? Hivyo kinachotokea popote duniani iwe vita, majanga, ukatili, usaliti, njaa na mengineyo yanathibitisha kilichotabiriwa. Na hatuwezi kumfanya Mungu afanye tunachotaka sisi (yaani awe remote controlled). Tunapoomba tunasema "mapenzi yako (MUNGU) yatimizwe (si mapenzi yetu sisi). Ningemshangaa Mungu kama angekuwa anadhibitiwa na matakwa ya binadamu, hakika asingekuwa Mungu tena. Mfano kama Mungu alisema "... kufa mtakufa hakika...".Unadhani ni haki kuomwomba Mungu kuwa tusife? na tunakufaje na lini ni maamuzi yake. Acha Mungu abaki kuwa Mungu.
sasa huoni kuwa mpka hapo hiyo biblia inajichnganya ..huku inamsifu Mungu kuwa nimwenye upendo na Mwenye kuweza yote ..huku upnde huo inaanza kutaja udhaifu wa hvyo vitu ambavyo mnasema kuwa ameviumba ..hoja nikwamba .kama kweli Mungu nimuweza wa yote kwanini aruhusu mabalaa kuwafika viumbe wake ...?? alishindwa nini kuutumia huo uweza wa yote kuweza kuzuia hizo hali zinazojitokeza ...
so kama biblia imezungumzia hayo yote uliyoyataja hapo nahitaji mimi nawewe sote tukubaliane hapa kuwa MUNGU huyo sio muweza wa yote ..sio muweza wa yote kwa sababu ameshindwa kuuzuia ubaya kutokuwepo wakati alikuwa na uwezo wakuzuia usiwepo..""":
na hapo hapo tu kishakubaliana hivyo nahitaji mimi nawewe tukubaliane kuwa biblia sio kitabu cha kukiamini tena kabisaaa
kwa sbabu kimetuambia kuwa Mungu ni muweza wa yote na hapo hapo kimeshindwa kusimamia hoja YAKE baada ya kutuonyesha kuwa dunia itakuwa ni uwanja uliojaa mabalaa..uovu na hofu kwa walimwengu""

nawasilisha
 
It fits mkuu the existence of jp with men qualities ina falsify hio conclusion.....


Cc Smart911
Feat, fit. Missed the beat a bit.

Kusema mwanamme ni mwanamme na kukanusha upotovu kwamba mwanamme ni mwanamke unaotokana na logical non sequitur si kazi ngumu.

Labda kama tutachanganya feat na fit.

Hapo I will vote by my feet.

Or even finger.

No linger.
 
sasa huoni kuwa mpka hapo hiyo biblia inajichnganya ..huku inamsifu Mungu kuwa nimwenye upendo na Mwenye kuweza yote ..huku upnde huo inaanza kutaja udhaifu wa hvyo vitu ambavyo mnasema kuwa ameviumba ..hoja nikwamba .kama kweli Mungu nimuweza wa yote kwanini aruhusu mabalaa kuwafika viumbe wake ...?? alishindwa nini kuutumia huo uweza wa yote kuweza kuzuia hizo hali zinazojitokeza ...
so kama biblia imezungumzia hayo yote uliyoyataja hapo nahitaji mimi nawewe sote tukubaliane hapa kuwa MUNGU huyo sio muweza wa yote ..sio muweza wa yote kwa sababu ameshindwa kuuzuia ubaya kutokuwepo wakati alikuwa na uwezo wakuzuia usiwepo..""":
na hapo hapo tu kishakubaliana hivyo nahitaji mimi nawewe tukubaliane kuwa biblia sio kitabu cha kukiamini tena kabisaaa
kwa sbabu kimetuambia kuwa Mungu ni muweza wa yote na hapo hapo kimeshindwa kusimamia hoja YAKE baada ya kutuonyesha kuwa dunia itakuwa ni uwanja uliojaa mabalaa..uovu na hofu kwa walimwengu""

nawasilisha
Biblia ina contradictions lukuki tushaziweka hapa zinajaza kurasa.

Kwa hivyo hakiwezi kuwa kitabu kitakatifu cha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Hili swali la imekuwaje Mungu huyu akaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ni swali dogo, liko clear na zuri.

Na mpaka sasa halijajibiwa.

Kwa sababu hakuna anayeweza kulijibu.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo. Katungwa tungwa kwa kuungwa ungwa uongo uongo wa hapa na pale.
 
Biblia ina contradictions lukuki tushaziweka hapa zinajaza kurasa.

Kwa hivyo hakiwezi kuwa kitabu kitakatifu cha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Hili swali la imekuwaje Mungu huyu akaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya ni swali dogo, liko clear na zuri.

Na mpaka sasa halijajibiwa.

Kwa sababu hakuna anayeweza kulijibu.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo. Katungwa tungwa kwa kuungwa ungwa uongo uongo wa hapa na pale.
mkuu mimi nashangaa mnooo ..mtu badala yakukaa huko nakuanza kupitia comment za awali anakuja huku direct nakuuvamia mjadala kisha anaanza kuhoji maswali ambayo Tayari tumeshayatolea ufafanuzi "" Hawa watu cjui vipi aiseee !?
 
mkuu mimi nashangaa mnooo ..mtu badala yakukaa huko nakuanza kupitia comment za awali anakuja huku direct nakuuvamia mjadala kisha anaanza kuhoji maswali ambayo Tayari tumeshayatolea ufafanuzi "" Hawa watu cjui vipi aiseee !?
Mtu unamuuliza kwa nini Mungu mwenye uwezo wote na uoendo wote kaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hairuhusu mabaya.

Anakujibu kimsingi "ilitabiriwa" na "Mungu hapangiwi".

Mpaka hapo unaona tatizo la uelewa.

Hajaelewa swali, hajalijibu.

The question is not about forcing God what to do. The question is about logical consistency.
 
Naamini kuwa Mungu yupo kama vile wewe unavyoamini hayupo.
Unaruhusiwa kuamini unachotaka.Mradi huvunji sheria.

Mimi pia natetea uamini unachotaka.

Nakubali uhuru wa imani. Nakubali "Universal Declaration of Human Rights". Katiba ya Tanzania misingibyake ya Uhuru wa Kuabudu au kutoabudu naikubali.

Ulivyojibu inaonesha hujaelewa mjadala unahusu fact, si faith.
 
P
Hujaelewa swali. Sijauliza kuhusu pembe tatu wala pembe sita. Nimeuliza kuhusu "pembe tatu yenye pembe sita".[/QUOTE

Ulinganifu kama huu ni upotoshaji. Madai ya "Pembe tatu yenye pembe sita" imejengwa kimantiki lakini juu ya kauli zisizo sahihi. Ni sawa na kuniuliza "nioneshe mwanamke aliyetotoa yai."

Nilisoma makala iliyoandikwa na Profesa Jeff Miller na wengine kuhusiana na dhana ya Quantum Physics ambayo Kiranga ananishambulia kwamba sielewi. Naam hata waasisi wa dhana yenyewe wanaonesha mashaka ya hicho wanachotuaminisha, sembuse miye?

Can Quantum Mechanics Produce a Universe from Nothing?
by Jeff Miller, Ph.D.

According to the First Law of Thermodynamics, nothing in the Universe (i.e., matter or energy) can pop into existence from nothing (seeMiller, 2013). All of the scientific evidence points to that conclusion. So, the Universe could not have popped into existence before the alleged “big bang” (an event which we do not endorse). Therefore, God must have created the Universe.

One of the popular rebuttals by the atheistic community is that quantum mechanics could have created the Universe. In 1905, Albert Einstein proposed the idea of mass-energy equivalence, resulting in the famous equation, E = mc2(1905). We now know that matter can be converted to energy, and vice versa. However, energy and mass are conserved, in keeping with the First Law. In the words of the famous evolutionary astronomer, Robert Jastrow, “[T]he principle of the conservation of matter and energy…states that matter and energy can be neither created nor destroyed. Matter can be converted into energy, and vice versa, but the total amount of all matter and energy in the Universe must remain unchanged forever” (1977, p. 32). The idea of matter-energy conversion led one physicist to postulate, in essence, that the cosmic egg that exploded billions of years ago in the alleged “big bang”—commencing the “creation” of the Universe—could have come into existence as an energy-to-matter conversion.

In 1973, physicist Edward Tryon of the Hunter College of the City University of New York published a paper in the British science journal Nature titled, “Is the Universe a Vacuum Fluctuation?” He proposed the idea that the Universe could be a large scale vacuum energy fluctuation. He said, “In answer to the question of why it happened, I offer the modest proposal that our universe is simply one of those things which happen from time to time” (246:397, emp. added). Does it really? Cosmologist and theoretical physicist Alexander Vilenkin, Director of the Institute of Cosmology at Tufts University, said:

Now, what Tryon was suggesting was that our entire universe, with its vast amount of matter, was a huge quantum fluctuation, which somehow failed to disappear for more than 10 billion years. Everybody thought that was a very funny joke. But Tryon was not joking. He was devastated by the reaction of his colleagues… (2006, p. 184).

Though he was originally scoffed at, Tryon’s theory has gained traction among many prominent evolutionary scientists. After all, if true, according to Vilenkin, “such a creation event would not require a cause” for the Universe (pp. 184-185).

SPECULATION VS. OBSERVATION
The fact is, the idea that such an event could happen is pure speculation and conjecture. No such phenomenon—the conversion from energy to matter of an entire Universe—has ever been remotely observed. It is a desperate attempt to hold to naturalistic presuppositions, in spite of the evidence, when a supernatural option that is in keeping with the evidence is staring us in the face. Evolutionary physicist Victor Stenger said,

[T]he universe is probably the result of a random quantum fluctuation in a spaceless, timeless void.... So what had to happen to start the universe was the formation of an empty bubble of highly curved space-time. How did this bubble form? What causedit? Not everything requires a cause. It could have just happened spontaneously as one of the many linear combinations of universes that has the quantum numbers of the void.... Much is still in the speculative stage, and I must admit that there are yetno empirical or observational tests that can be used to test the idea of an accidental origin(1987, 7[3]:26-30, italics in orig., emp. added.).

No evidence. No scientific observation. Just speculation.

Writing in the Skeptical Inquirer in 1994, Ralph Estling voiced strong disapproval of the idea that the Universe could create itself out of nothing. He wrote:

I do not think that what these cosmologists, these quantum theorists, these universe-makers, are doing is science. I can’t help feeling that universes arenotoriously disinclined to spring into being, ready-made, out of nothing, even if Edward Tryon (ah, a name at last!) has written that “our universe is simply one of those things which happen from time to time....” Perhaps, although we have the word of many famous scientists for it, our universe is not simply one of those things that happen from time to time (18[4]:430, parenthetical item in orig., emp. added).

Estling’s comments initiated a wave of controversy and letters to the Skeptical Inquirer, eliciting a response by Estling to his critics. Among other observations, he said, “All things begin with speculation, science not excluded. But if no empirical evidence is eventually forthcoming, or can be forthcoming, all speculation is barren.... There is no evidence, so far, that the entire universe, observable and unobservable, emerged from a state of absolute Nothingness” (1995, 19[1]:69-70, emp. added). Therefore, by naturalists’ own definition of science, such an idea isunscientific. There is no evidence that could prove such a thing. The creationist platform is in keeping with observational science and has positive evidence of a divine Being (e.g., the presence of intelligent design in nature, the existence of objective morality, the existence of a Universe which demands a cause, and the existence of a Book that contains supernatural characteristics). However, unlike the creationist platform, those who believe in Tryon’s theory are holding to a blind faith.

WHENCE CAME ENERGY?
Second, even if such a thing were possible—that energy could be converted to matter in the way that Tryon has suggested—one must ask, “Where did the energy come from?” Alan Guth, professor of physics at M.I.T., wrote in response to Tryon: “In this context, a proposal that the universe was created from empty space is no more fundamental than a proposal that the universe was spawned by a piece of rubber. It might be true, but one would still want to ask where the piece of rubber came from” (1997, p. 273, emp. added).

Energy could not have popped into existence without violating the First Law of Thermodynamics. So in reality, when scientists argue that quantum mechanics creates something from nothing, they do not really mean “nothing.” The problem of how everything got here is still present. The matter generated in quantum theory is from a vacuum that is not void. Philip Yam of Scientific American wrote, “Energy in the vacuum, though, is very much real. According to modern physics, a vacuum isn’t a pocket of nothingness. It churns with unseen activity even at absolute zero, the temperature defined as the point at which all molecular motion ceases” (1997, p. 82, emp. added). Prominent humanist mathematician and science writer, Martin Gardner, wrote: “It is fashionable now to conjecture that the big bang was caused by a random quantum fluctuation in a vacuum devoid of space and time. But of course such a vacuum is a far cry from nothing” (2000, p. 303, emp. added). Amanda Gefter, writing in New Scientist, said, “Quantum mechanics tells us that the vacuum of space is not empty; instead, it crackles with energy” (2010, p. 29, emp. added). Physicist Richard Morris wrote:

In modern physics, there is no such thing as “nothing.” Even in a perfect vacuum, pairs of virtual particles are constantly being created [i.e., by briefly “borrowing” energy already in existence—JM] and destroyed. The existence of these particles is no mathematical fiction. Though they cannot be directly observed, the effects they create are quite real. The assumption that they exist leads to predictions that have been confirmed by experiment to a high degree of accuracy (Morris, 1990, p. 25, emp. added).

Astrophysicist Rocky Kolb, chairman of the Department of Astronomy and Astrophysics at the University of Chicago, wrote: “[A] region of seemingly empty space is not really empty, but is a seething froth in which every sort of fundamental particle pops in and out of empty space before annihilating with its antiparticle and disappearing” (1998, 26[2]:43, emp. added). Estling continued his extensive observations in response to his critics (mentioned above), saying:

Quantum cosmologists insist both on this absolute Nothingness and on endowing it with various qualities and characteristics: this particular Nothingness possesses virtual quanta seething in a false vacuum. Quanta, virtual or actual, false or true, are not Nothing, they are definitely Something, although we may argue over what exactly. For one thing, quanta are entities having energy, a vacuum has energy and moreover, extension, i.e., it is something into which other things, such as universes, can be put, i.e., we cannot have our absolute Nothingness and eat it too. If we have quanta and a vacuum as given, we in fact have a pre-existent state of existence that either pre-existed timelessly or brought itself into existence from absolute Nothingness (no quanta, no vacuum, no pre-existing initial conditions) at some precise moment in time; it creates this time, along with the space, matter, and energy, which we call the universe.... I’ve had correspondence with Paul Davies [eminent atheistic theoretical physicist, cosmologist, and astrobiologist of Arizona State University, who advocates the supposition that the Universe created itself from nothing—JM] on cosmological theory, in the course of which, I asked him what he meant by “Nothing.” He wrote back that he had asked Alexander Vilenkin what he meant by it and that Vilenkin had replied, “By Nothing I mean Nothing,” which seemed pretty straightforward at the time, but these quantum cosmologists go on from there to tell us what their particular breed of Nothing consists of. I pointed this out to Davies, who replied that these things are very complicated. I’m willing to admit the truth of that statement, but I think it does not solve the problem (1995, 19[1]:69-70, emp. added).

No wonder Jonathan Sarfati said:

Some physicists assert that quantum mechanics…can produce something from nothing…. But this is a gross misapplication of quantum mechanics.Quantum mechanics never produces something out of nothing…. Theories that the Universe is a quantum fluctuation must presuppose that there was something to fluctuate—their “quantum vacuum” is a lot of matter-antimatter potential—not “nothing” (1998, 12[1]:21, emp. added).

Vilenkin, while explaining the problems inherent in Tryon’s work, said:

A more fundamental problem is that Tryon’s scenario does not really explain the origin of the universe. A quantum fluctuation of the vacuum assumes that there was a vacuum of some pre-existing space. And we now know that “vacuum” is very different from “nothing.” Vacuum, or empty space, has energy and tension, it can bend and warp, so it is unquestionably something (2006, p. 185, ital. in orig., emp. added).

He went on to propose that quantum tunneling could be the answer to the creation of the Universe out of nothing. However, quantum tunneling starts with something and ends with something as well. Particles that can jump or tunnel through barriers still must initially exist to do so. Bottom line: according to renowned atheist, theoretical physicist, and cosmologist of Cambridge University, Stephen Hawking, in order to create a Universe, “you need just three ingredients”: matter, energy, and space (“Curiosity…,” 2011). These three ingredients must exist in order to create a Universe, according to Hawking. So, the problem remains. Where did the ingredients for the Universe soup come from? There must be an ultimate Cause of the Universe.

NON-EXISTENT QUANTUM LAW-MAKER?
Third, even if one were to irrationally accept the premise that quantum theory allows for the possibility that Universes could pop into existence, in the words of astrophysicist Marcus Chown:

If the universe owes its origins to quantum theory, then quantum theory must have existed before the universe. So the next question is surely: where did the laws of quantum theory come from? “We do not know,” admits Vilenkin. “I consider that an entirely different question.” When it comes to the beginning of the universe, in many ways we’re still at the beginning (2012, p. 35, emp. added).

Martin Gardner said,

Imagine that physicists finally discover all the basic waves and their particles, and all the basic laws, and unite everything in one equation. We can then ask, “Why that equation?” It is fashionable now to conjecture that the big bang was caused by a random quantum fluctuation in a vacuum devoid of space and time. But of course such a vacuum is a far cry from nothing. There had to be quantum laws to fluctuate. And why are there quantum laws?... There is no escape from the superultimate questions: Why is there something rather than nothing, and why is the something structured the way it is? (2000, p. 303, emp. added).

In “Curiosity: Did God Create the Universe?” Stephen Hawking boldly claimed that everything in the Universe can be accounted for through atheistic evolution without the need of God. This is untrue, as we have discussed elsewhere (e.g., Miller, 2011), but it seems that Hawking does not even believe that assertion himself. He asked the question, “Did God create the quantum laws that allowed the Big Bang to occur? In a nutshell, did we need a god to set it all up so that the Big Bang could bang?” (“Curiosity…,” emp. added). He then proceeded to offer no answer to the question. In his critique of Hawking, Paul Davies highlighted this very fact, saying, “You need to know where those laws come from. That’s where the mystery lies—the laws” (“The Creation Question…,” 2011). Quantum mechanics, with its governing laws, simply do not leave room for the spontaneous generation of Universes.

RESPONSES
But what if quantum theory could allow for spontaneous generation at the quantum level? What if the First Law of Thermodynamics does not apply at the unobservable molecular world of quantum mechanics but only to the macroscopic world that we can actually see? Even if that were the case (and there is no conclusive evidence to support the contention that there are any exceptionswhatsoever to the First Law of Thermodynamics—seeMiller, 2010a), according to the Big Bang model, thequantum level cosmic egg eventually becamemacroscopic through expansion or inflation. Such an event would have been the equivalent of a breach of the First Law, even under such a speculative definition.

But isn’t it true that “one usually assumes that the current laws of physics did not apply” at the beginning (Linde, 1994)? Assumptions must be reasonable. What evidence could be used to back such a grandiose assumption? And again, who would have written the laws at the moment they became viable? And further, if the laws of physics broke down at the beginning, one cannot use quantum law to bring about matter, which is precisely what the quantum fluctuation theory attempts to do. [NOTE: See Miller, 2010b for more on this contention.]

CONCLUSION
Can quantum mechanics create Universes from nothing? No. Quantum particle generation requires pre-existing energy—a far cry from nothing. Could quantum mechanics spontaneously create Universes from pre-existing (i.e., created by God) energy? There is no scientific evidence to support such a proposition. So it is speculation and conjecture—wishful thinking on par with postulating that aliens brought life to Earth (which some irrationally believe). Tiny quantum particles fluctuating—bouncing around—is one thing. The creation of the entire Universe through a quantum fluctuation? That’s another.

One who wishes to avoid acknowledging the existence of God should be expected to do almost anything to deny it. Reason will be thrown aside, and acceptance of far-fetched theories—theories that are so speculative that they belong in the fiction section of the library along with the The Wizard of Oz—will be latched onto as fact. The Bible gives the rationale for this irrational behavior by explaining that such a person has “itching ears” (2 Timothy 4:3). Such a person will “heap up…teachers” who will tell him what he wants to hear, who sound smart, and therefore, will make him feel good about the blatantly irrational position that he holds (vs. 3). He will turn his “ears away from the truth, and be turned aside to fables” (vs. 4). Thus, “professing themselves to be wise, they became fools” (Romans 1:22). The quantum fluctuation idea is simply another example of this same mentality, and the admonition to Christians is the same as it was in the first century: “But you be watchful in all things” (vs. 5). “Guard what was committed to your trust, avoiding the profane and idle babblings and contradictions of what is falsely called knowledge” (1 Timothy 6:20).

REFERENCES
Chown, Marcus (2012), “In the Beginning,” New Scientist, 216[2893]:33-35, December 1.

“The Creation Question: A Curiosity Conversation” (2011),Discovery Channel, August 7.

“Curiosity: Did God Create the Universe?” (2011), Discovery Channel, August 7.

Einstein, Albert (1905), “Does the Inertia of a Body Depend Upon Its Energy-Content?” Annals of Physics, 18:639-643, September.

Estling, Ralph (1994), “The Scalp-Tinglin’, Mind-Blowin’, Eye-Poppin’, Heart-Wrenchin’, Stomach-Churnin’, Foot-Stumpin’, Great Big Doodley Science Show!!!,” Skeptical Inquirer, 18[4]:428-430, Summer.

Estling, Ralph (1995), “Letter to the Editor,” Skeptical Inquirer, 19[1]:69-70, January/February.

Gardner, Martin (2000), Did Adam and Eve Have Navels?(New York: W.W. Norton).

Gefter, Amanda (2010), “Touching the Multiverse,” New Scientist, 205[2750]:28-31, March 6.

Guth, Alan (1997), The Inflationary Universe (New York: Perseus Books).

Jastrow, Robert (1977), Until the Sun Dies (New York: W.W. Norton).

Kolb, Rocky (1998), “Planting Primordial Seeds,”Astronomy, 26[2]:42-43.

Linde, Andrei (1994), “The Self-Reproducing Inflationary Universe,” Scientific American, 271[5]:48, November.

Miller, Jeff (2010a), “Couldn’t There Have Been Exceptions to the Laws of Science?” Apologetics Press,http://www.apologeticspress.org/APContent.aspx?category=12&article=3713.

Miller, Jeff (2010b), “Did the Laws of Science Apply in the Beginning?” Apologetics Press,http://www.apologeticspress.org/APContent.aspx?category=12&article=3710.

Miller, Jeff (2011), “A Review of Discovery Channel’s ‘Curiosity: Did God Create the Universe?’” Reason & Revelation, 31[10]:98-107,http://www.apologeticspress.org/apPubPage.aspx?pub=1&issue=1004&article=1687.

Miller, Jeff (2013), “Evolution and the Laws of Science: The Laws of Thermodynamics,” Apologetics Press,http://www.apologeticspress.org/APContent.aspx?category=9&article= 2786.

Morris, Richard (1990), The Edges of Science (New York: Prentice Hall).

Sarfati, Jonathan D. (1998), “If God Created the Universe, Then Who Created God?,” Creation Ex Nihilo Technical Journal, 12[1]:21.

Stenger, Victor J. (1987), “Was the Universe Created?,”Free Inquiry, 7[3]:26-30, Summer.

Tryon, Edward P. (1973), “Is the Universe a Vacuum Fluctuation?,” Nature, 246:396-397, December 14.

Vilenkin, Alex (2006), Many Worlds in One: The Search for Other Universes (New York: Hill and Wang).

Yam, Philip (1997), “Exploiting Zero-Point Energy,” Scientific American, 277[6]:82-85.



Copyright © 2013 Apologetics Press, Inc. All rights reserved.

http://www.apologeticspress.org
 
Mtu unamuuliza kwa nini Mungu mwenye uwezo wote na uoendo wote kaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hairuhusu mabaya.

Anakujibu kimsingi "ilitabiriwa" na "Mungu hapangiwi".

Mpaka hapo unaona tatizo la uelewa.

Hajaelewa swali, hajalijibu.

The question is not about forcing God what to do. The question is about logical consistency.
hahaa halafu hapo hapo wanasema kuwa Mungu anaupndo ...Mungu anaupndo lakini hataki kusikiliza hoja za watu "" maana kama hapangiwi niwazi hataki kusikiliza hataki kusikiliza hoja za mtu"" so waweza zaje kusema kuwa baba yako anakupnda lakini hataki kusikiliza hoja zako "" kuhusu changamoto unazokutana nazo ukiwa shuleni"" huwenda unataka kumwambia kuwa mazingira ya shule unayosomea sio mazuri nihatarishi kwa uhai wako "" lakini hoja inajibiwa kuwa baba yako hapangiwi "" SASA HUYU BABA VIPI ""!!? UPENDO WAKE UNATIJA GANI KAM HASIKILIZI MTOTO WAKE
 
Ukipanga maneno ya alphabet kuleta maana tu umetumia logic tayari.

Labda hujui tu.
Hivyo ukisema Embe ili liwe Tamu linahitaji Jua na Mvua

Na si Mvua peke yake

Tayari makuzi ya mmea yatakuwa yamejicontradict.!

Na embe halina maana!?
 
Feat, fit. Missed the beat a bit.

Kusema mwanamme ni mwanamme na kukanusha upotovu kwamba mwanamme ni mwanamke unaotokana na logical non sequitur si kazi ngumu.

Labda kama tutachanganya feat na fit.

Hapo I will vote by my feet.

Or even finger.

No linger.


Ofcourse mwanaume ni mwanaume.... tunaangalia Ile essence... man is essentially man by the things that made him to be a man likewise to women... regardless the application of logic.


sawa we can draw certain conclusion from the premises but that conclusion in reality is not the fact...



cc Smart911
 
Back
Top Bottom