Just like the existence of evil falsify the idea that an all knowing, all loving and all capable God exists.
kwahiyo Mungu yupo !??
na ana upendo !? nimuweza wa yote pia sindio ...tuanzie hapo kwanza mkuu ..kabla cjakusakizia kwa alwatana au kiranga...hahaaa
Why did God not create a world in which evil is impossible?evil is noted the plan of God,, God always thinks of good things to his people that's why good must be done and evil must be avoided
cc Smart911
Hiyo ndiyo njia yako tuliyoizoea muda sasa. Ndiyo maana wengine wanakuona umeshinda pasipo ushindi! Kwa kuwa unatumia neno "haujui ninachukijua au nilichoandika." Kama wewe ni mahiri ktk hilo weka basi ktk njia nyepesi hata mjinga mimi nielewe.Kwanza kabisa ninukuu vizuri.
Umeninukuu kwa kujichanganya hata haieleweki ukichoandika wewe kipi na ulichonukuu kutoka kwangu ni kipi.
Kwani sijanukuliwa kwa mtundo ambao hata msomaji anashindwa kujua nanibkaandika nini?Hiyo ndiyo njia yako tuliyoizoea muda sasa. Ndiyo maana wengine wanakuona umeshinda pasipo ushindi! Kwa kuwa unatumia neno "haujui ninachukijua au nilichoandika." Kama wewe ni mahiri ktk hilo weka basi ktk njia nyepesi hata mjinga mimi nielewe.
Contradiction iko wapi hapo?Hivyo ukisema Embe ili liwe Tamu linahitaji Jua na Mvua
Na si Mvua peke yake
Tayari makuzi ya mmea yatakuwa yamejicontradict.!
Na embe halina maana!?
Which is the case I made in pointing out the original non sequitur. Wrong conclusin.Ofcourse mwanaume ni mwanaume.... tunaangalia Ile essence... man is essentially man by the things that made him to be a man likewise to women... regardless the application of logic.
sawa we can draw certain conclusion from the premises but that conclusion in reality is not the fact...
cc Smart911
Nimekuelewa. Ulitaka ulimwengu uwe unavyotaka wewe na si jinsi Mungu alivyoumba. Huyo hawezi kuwa Mungu. Mungu alidesign hivyo. Mie ninavyomwelewa sivyo unavyomwelewa. Hivyo huwezi kuniambia kuwa simwelewi. Mtazamo wako ni kuwa haeleweki (endelea hivyo hivyo milele).Hujajibu swali.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aumbe ulimwengu ambao njaa, vita, magonjwa, umasikini, matetemeko ya ardhi, n.k, vinawezekana, wakati mnasema ana na alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao yote hayo hayawezekanimi hata kufikirika, licha ya kutokea?
Hujajibu swali hili.
Unasema vyote vimetabiriwa. Swali si vimetabiriwa au havijatabiriwa.
Unajibu swali ambalo sijauliza, wakati swali nililouliza umelikwepa hujalijibu.
Majibu kama lako yanaonesha hata wewe mwenyewe humuelewi huyo Mungu.
Na humuelrwi kwa sababu haeleweki.
Na haelewekwi kwa sababu hayupo. Katungwa kwa hadithibya kuungwa ungwa tu, inayojipinga pinga kwa contradictions kibao.
Kumbe wewe unamwona Mungu kama Mungu akikufanyia utakavyo? kama tafsiri ya Mungu kwako ni hivyo uko sawa. Maana yake ni kuwa Baba anakuwa baba kwasababu anakupa unachotaka. Asipokupatia siye baba tena! Mungu ni Mungu na atakalo ndilo huwasasa huoni kuwa mpka hapo hiyo biblia inajichnganya ..huku inamsifu Mungu kuwa nimwenye upendo na Mwenye kuweza yote ..huku upnde huo inaanza kutaja udhaifu wa hvyo vitu ambavyo mnasema kuwa ameviumba ..hoja nikwamba .kama kweli Mungu nimuweza wa yote kwanini aruhusu mabalaa kuwafika viumbe wake ...?? alishindwa nini kuutumia huo uweza wa yote kuweza kuzuia hizo hali zinazojitokeza ...
so kama biblia imezungumzia hayo yote uliyoyataja hapo nahitaji mimi nawewe sote tukubaliane hapa kuwa MUNGU huyo sio muweza wa yote ..sio muweza wa yote kwa sababu ameshindwa kuuzuia ubaya kutokuwepo wakati alikuwa na uwezo wakuzuia usiwepo..""":
na hapo hapo tu kishakubaliana hivyo nahitaji mimi nawewe tukubaliane kuwa biblia sio kitabu cha kukiamini tena kabisaaa
kwa sbabu kimetuambia kuwa Mungu ni muweza wa yote na hapo hapo kimeshindwa kusimamia hoja YAKE baada ya kutuonyesha kuwa dunia itakuwa ni uwanja uliojaa mabalaa..uovu na hofu kwa walimwengu""
nawasilisha
Hujanielewa.Nimekuelewa. Ulitaka ulimwengu uwe unavyotaka wewe na si jinsi Mungu alivyoumba. Huyo hawezi kuwa Mungu. Mungu alidesign hivyo. Mie ninavyomwelewa sivyo unavyomwelewa. Hivyo huwezi kuniambia kuwa simwelewi. Mtazamo wako ni kuwa haeleweki (endelea hivyo hivyo milele).
Kwa mtazamo wako uko sawa. Kwa mtazamo wako Mungu hayupo na uwepo wake ni uongo mtupu, na kama yupo kwanini haya yatokeayo yanatokea kunyume na uwepo wa Mungu mwenye nguvu. Lakini kumbuka kuwa huo ni mtazamo wako ( ambao pia unaweza kuwa umeathiriwa na vitu vingi sana kikiwepo kiburi cha uzima) si kuwa eti ndio ukweli kama ambavyo mawazo yako hayawezi kuwa ndo authority.Hujanielewa.
Sikutaka ulimwengu uwe kama ninavyotaka mimi.
Naonesha Mungubwenu hana logical consistency.
Habari za kuwepo kwake zina kigeugeu. Zinajipinga zenyewe kabla mtu yeyote hajapinga uwepo wa Mungu huyo.
Hapa unaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
Hapa anaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kinyume na asili yake ya uoendo wote ambayo haiwezi kuumba kinachoweza kuwa na mabaya.
Kwa nini?
Kwa nini kuna contradiction hii?
Contradiction ina tabia moja.
Kuonesha uongo.
Sababubya kuwepo kwa contradiction hii ni kwamba Mungu huyu ni wa uongo.
Hayupo kiukweli.
Katungwatungwa tu kwa kuunga unga stories.
Stories ambao wachambuzi wanaonua kuchambua mambo wameziangalia wakaziona zina contradiction.
Contradiction inayoonesha Mungu huyu hayupo.
Mkuu ulipotelea wapi?Hakuna mungu, huyo unayemsoma ni hadithi tu zimetungwa na watu.
Ukijua hili swali lako halitakutatiza.
Kumbe bado upo na unaendeleza ubishi wakoHujanielewa.
Sikutaka ulimwengu uwe kama ninavyotaka mimi.
Naonesha Munguwenu hana logical consistency.
Habari za kuwepo kwake zina kigeugeu. Zinajipinga zenyewe kabla mtu yeyote hajapinga uwepo wa Mungu huyo.
Hapa unaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.
Hapa anaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kinyume na asili yake ya upendo wote ambayo haiwezi kuumba kinachoweza kuwa na mabaya.
Kwa nini?
Kwa nini kuna contradiction hii?
Contradiction ina tabia moja.
Kuonesha uongo.
Sababuya kuwepo kwa contradiction hii ni kwamba Mungu huyu ni wa uongo.
Hayupo kiukweli.
Katungwatungwa tu kwa kuunga unga stories.
Stories ambao wachambuzi wanaojua kuchambua mambo wameziangalia wakaziona zina contradiction.
Contradiction inayoonesha Mungu huyu hayupo.
Huo si mtazamo wangu.Kwa mtazamo wako uko sawa. Kwa mtazamo wako Mungu hayupo na uwepo wake ni uongo mtupu, na kama yupo kwanini haya yatokeayo yanatokea kunyume na uwepo wa Mungu mwenye nguvu. Lakini kumbuka kuwa huo ni mtazamo wako ( ambao pia unaweza kuwa umeathiriwa na vitu vingi sana kikiwepo kiburi cha uzima) si kuwa eti ndio ukweli kama ambavyo mawazo yako hayawezi kuwa ndo authority.
Mimisiku zote niko na R.I.P tu mkuu.Mkuu ulipotelea wapi?
Tumekukumbuka sana ila kama ulitangulia mbele ya haki ulale pema peponi
RIP
Mheshimiwa Kiranga,Huo si mtazamo wangu.
Hiyo ni logical consistency.
Unajua tofauti ya "mtazamo wako" na logical consistency?
Umetoka kwenye fact, objectivity, logic,unakwenda kwenye blind faith.
I am not interested in discussing blind faith.
In fact, I will fight for your right to pursue your blind faith, that is your constitutional right.
But when we are discussing facts, blind faith has no place.
Mheshimiwa Kiranga,
Naomba kwanza nikusalimu kisha nianze kuzua hoja.
Swali langu la kwanza ni kwanini wasema kuwa Mungu hayupo maana ili uweze kusema kuwa kitu hakipo lazima uwe umekitafuta na kukikosa kwa mfano una box na ndani ya hilo box palitakiwa pawe na pipi ukija na kuchungulia ndani ya box na ukakuta hamna pipi hata moja utasema kuwa hamna pipi ndani ya box yaani pipi hazipo. Vivyo hivyo kwenye nyumba ili tuseme kuwa panya hayupo kwenye hii nyumba inatubidi tuwe tumeshakagua nyumba nzima na kuthibitisha kuwa hamna panya.
Swali kwako ni je umeshakagua dunia yote na kuthibitisha kuwa Muumba hayupo?
Na kama la basi waweza vipi kusema hayupo?
Ngoja nikupe concept ya kibinadamu tu maana najua wewe mbishani sana,Mungu, mungu. Zote hadithi tu. Kiuhalisi hayupo.