Muziki hauonekani na upo.Samahani mkuu,
Kwahiyo kwa mujibu wa maelezo yako ni kwamba kila ambacho hakionekani hakipo.
Kwani sijanukuliwa kwa mtundo ambao hata msomaji anashindwa kujua nanibkaandika nini?
Sasa kama mtu anashindwa kuheshimu kanuni za kunukuu tu iki wasomaji waelewe nani kaandika nini, tutawezaje kujadiliana kwa ufasaha?
The duction is jumbled, not conveying.
Mungu aliweza au alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauwezi kuwa na shetani au uovu wowote?A proposition can be logically true but not sound. Unaposema "pembe Sita kwenye tatu" nilikuambia ni sawa na kutaka nikuoneshe mwanamke anayetaga mayai.
Biblia inapotaja habari za shetani haitaji asilia kwamba alikuwa malaika mwovu. Neno shetani ni sawa na neno "mpinzani" au "adversary," hata Petro aliambiwa hivo pia alipopinga shauri la Mungu (Math. 16:23).
Unachanganya mada nyingi ktk sefuria moja; wakati mwingine inakuwa vigumu kukujibu. Labda hiyo ndiyo akili nyingi au what is called "because you don't know it might be true."
Hakuna mjadala kwamba watu wapo.
Sijakataa kwamba ninachosema kimesemwa na watu.
What's your point?
Anayesema mungu yupo katika ulimwengu ambao hatujathibitisha kwamba mungu yupo, ana tatizo la kuthibitisha kwamba mungu yupo.
Anayesema mungu hayupo, ukimwambia maneno yake ni ya watu tu, hujamkanusha. Maana hajawahi kusema mungu yupo.
Unaposema maneno yangu ni ya watu tu, unakanusha nini?
Sijawahi kusema mungu yupo, sasa unaponiambia maneno yangu ni ya watu tu, unakanusha nini?
Tatizo unageza kanusho langu kwangu visivyo.
Mtu anayeamini mungu yupo ukimwambia maneno ya mungu yupo ni ya watu tu, na mungu hayupo, umemkanusha.
Mtu anayesema mungu hayupo, ukimwambia maneno yake ni ya watu tu, hujamkanusha. Inawezekana ukawa umeongezea nguvu hoja yake.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani?Unaongea ujinga soon utakua mpumbavu! Me sijawai kumuona Mungu ktk sura yake na hii ni kutokana na matokeo ya dhambi ila nakuhakikishia nimemuona Mungu kupitia matendo yake! wapo watu wanashuhuda mbalimbali ila kwa mtizamo wako huo wa kijinga utataka mabishano. Ukitaka nithibitishe juu ya uwepo wa Mungu nitafute, historia yangu tu inadhihirisha uwepo wa Mungu.
Anataka umthibitishie uwepo wa MUNGU kwa jinsi anavyotaka yeye, sio kwa jinsi ambavyo Mungu anataka. Watu wa namna hiyo ni vigumu sana kupokea uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na kila kitu utakachomwambia ataona ni ujinga na upuuzi. Ukimwambia umemuona Mungu kupitia matendo Yake, ujue anakuona unaongea vitu visivyo na maana kabisaaaa.Unaongea ujinga soon utakua mpumbavu! Me sijawai kumuona Mungu ktk sura yake na hii ni kutokana na matokeo ya dhambi ila nakuhakikishia nimemuona Mungu kupitia matendo yake! wapo watu wanashuhuda mbalimbali ila kwa mtizamo wako huo wa kijinga utataka mabishano. Ukitaka nithibitishe juu ya uwepo wa Mungu nitafute, historia yangu tu inadhihirisha uwepo wa Mungu.
Anataka umthibitishie uwepo wa MUNGU kwa jinsi anavyotaka yeye, sio kwa jinsi ambavyo Mungu anataka. Watu wa namna hiyo ni vigumu sana kupokea uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na kila kitu utakachomwambia ataona ni ujinga na upuuzi. Ukimwambia umemuona Mungu kupitia matendo Yake, ujue anakuona unaongea vitu visivyo na maana kabisaaaa.Unaongea ujinga soon utakua mpumbavu! Me sijawai kumuona Mungu ktk sura yake na hii ni kutokana na matokeo ya dhambi ila nakuhakikishia nimemuona Mungu kupitia matendo yake! wapo watu wanashuhuda mbalimbali ila kwa mtizamo wako huo wa kijinga utataka mabishano. Ukitaka nithibitishe juu ya uwepo wa Mungu nitafute, historia yangu tu inadhihirisha uwepo wa Mungu.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani?
Hujajibu swali hili.
Ujinga ni kukubali kuwepo kwa huyo Mungu bila kuweza kujibu swali hili.
Si lazima jambo/ama kitu kionekane kwa sura ndo uwepo wake uthibitishwe. Huko ni kukosa akili.Anataka umthibitishie uwepo wa MUNGU kwa jinsi anavyotaka yeye, sio kwa jinsi ambavyo Mungu anataka. Watu wa namna hiyo ni vigumu sana kupokea uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na kila kitu utakachomwambia ataona ni ujinga na upuuzi. Ukimwambia umemuona Mungu kupitia matendo Yake, ujue anakuona unaongea vitu visivyo na maana kabisaaaa.
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Zaburi 14 :1
Science will never disprove God's existence:, He is the best scientist and all sciences are His.
Anataka umthibitishie uwepo wa MUNGU kwa jinsi anavyotaka yeye, sio kwa jinsi ambavyo Mungu anataka. Watu wa namna hiyo ni vigumu sana kupokea uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na kila kitu utakachomwambia ataona ni ujinga na upuuzi. Ukimwambia umemuona Mungu kupitia matendo Yake, ujue anakuona unaongea vitu visivyo na maana kabisaaaa.
Mpumbavu huese
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani?
Hujajibu swali hili.
Ujinga ni kukubali kuwepo kwa huyo Mungu bila kuweza kujibu swali hili.
Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana
Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k
Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?
Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...
Sitaki kuthibitishiwa Mungu alivyokwa ninavyotaka mimi.Anataka umthibitishie uwepo wa MUNGU kwa jinsi anavyotaka yeye, sio kwa jinsi ambavyo Mungu anataka. Watu wa namna hiyo ni vigumu sana kupokea uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na kila kitu utakachomwambia ataona ni ujinga na upuuzi. Ukimwambia umemuona Mungu kupitia matendo Yake, ujue anakuona unaongea vitu visivyo na maana kabisaaaa.
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Zaburi 14 :1
Science will never disprove God's existence:, He is the best scientist and all sciences are His.
Anataka umthibitishie uwepo wa MUNGU kwa jinsi anavyotaka yeye, sio kwa jinsi ambavyo Mungu anataka. Watu wa namna hiyo ni vigumu sana kupokea uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na kila kitu utakachomwambia ataona ni ujinga na upuuzi. Ukimwambia umemuona Mungu kupitia matendo Yake, ujue anakuona unaongea vitu visivyo na maana kabisaaaa.
Mpumbavu huese
Kwa nini Mungu aliumba ulimwengu unaowezekana kuchagua mema na mabaya?Sa skia kama hujui jambo uliza, usije hitimisha na maneno yako ya kipuuzi eti hakuna Mungu! Mungu hakuwai kuumba ulimwengu wenye dhambi. Ila aliumba utashi wa kujua jema na mabaya, na katika hilo uchague mwenyewe kutenda jema ama baya. Sas dhanbi ni matokeo ya chaguzi zetu mbovu. Kudhihirisha utashi wa jema na baya, hatia uweka wazi juu ya baya husilo stahili kulitenda. Robot hutengenezwa ku-perfom a certain task, robot hana utashi. Mungu angeumba robots kusingalikuwepo dhambi.