pumba.Kaka hawa hawawez kukuelewa maana wengi wao humu toka ana mwaka1 kutwa kuuzulia kanisani na kubwia misumu ya watu wa mbali,kwa sasa wamekomaa hawa sasa kuwatoa huko inahitaji nguvu za ziada hawawez kukuelewa...
mimi nina umri wa miaka 24 kwa sasa na nilikuwa natumikia kanisa la roman cathorik...nimebatizwa huko nikapokea komnio mpka kipaimara ila niko tofaut nao sanaa kwa maana nilipokuwa na umri kama miaka nane hivi au saba huko nyuma nilipinga kuisujudia state ambayo ni roma wakati uo nakumbukuka haya makanisa ya roman tulikuwa tunayaita R.C,kifupi asa baadae nikaja gundu kirefu cha r.c...ni roman na roma nikawa naifaam kupitia chombo cha habar kimoja cjui bbc au dw dochevere ...mle kuna mbibi fulani hivi alikuwa akiiongerea sana roma.....
nikafikilii wee nkaona mmh hii roma si nchi inakuwaje tunaisadiki imani yao huku na sikuwa nawependa..mi ni mtu kuamini sana mizimu ya babu zetu wa kale nikaona isiwe tabu...sasa nilipokufikia umri mkubwa na nilikwisha pokea kipaimara nlikuwa nishajua vingi na mapungufu ya kanisa hilo hususani bibilia yao nilivibwaga vyote sikua pa1 na hao tena..
kilichonifanya nitoke huko kikubwa ni ile hadithi yao iko siku mungu atakuja kumuhukumu shetani hapa duniani,hivi kweli wakuuu tuchukulie mfano ww una banda la kuku,baati mbaya kicheche kaingia mule na una rungu au panga uwezo wa kumpiga yule kicheche asiendelee kula kuku mule unao,ivi unaweza ukawa umesimama tu kwa kumtizama na huku ukijisemea nakuacha ipo siku yako maalum,ina maana yule kicheche atamaliza kuku wote bandani kabla ya iyo siku uliyoipanga ww....
Hii dhana ya iko siku yake shetani wakati machafu yanameza kabisa mema mimk siilewi...
Sasa atathibitishaje kitu ambacho anaamini hakipo!?.Nyinyi mnaoamini kipo ndiyo mnapaswa kuthibitisha uwepo wa Mungu.Mi namwelewa sana Kiranga.
Acheni kuzunguka mbuyu wenyewe.
Kiranga, the existence of evil doesnt disprove existence of God. Ni kama vile uwepo wa kivuli usivyopinga existence ya jua. Huwezi kusema kama jua lipo, mbona kuna kivuli na hapohapo uvvonclude kwamba jua halipo kwa kuwa kivuli kipo. Huoni kwamba uwepo wa kivuli ni proof tosha ya uwepo wa jua. Evil ipo so long as you exercise your freelwill against God. God is the source of all Good. Anything short of him or outside him is evil.Mimi siogopi kuitwa mpumbavu katika kutafuta werevu.
Wanaoamini Mungu wasiyeweza kumuelezea wala kujibu maswali yanayomhusu huyo Mungu, wana upumbavu kuluko wanaouliza maswali.
Kwa mpumbavu halisi anaogopa kuitwa mpumbavu kuliko anavyoogopa upumbavu wenyewe.
Ndiyo maana hiyo aya imetumiwa na wenye akuki juwadaka wapumbavu watakaoogooa kuitwa wapumbavu kuliko wanavyoogopa upumbavu wenyewe.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Hayupo kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe kabla mtu yeyote hajapinga kuwepo kwa huyu Mungu.
Upande mmoja tynaambiwa Mungu huyu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, upande wa pili, licha ya kuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, hajaumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.
Kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.
Kwa nini?
Hii habari inajipinga. Ina contradiction.
Contradiction inaonesha habari ni ya kutungwa na ya uongo. Mungu huyo hayupo.
Well said brother. The question itself is nonsense, that means it's unanswerable.Sasa kiranga hapo ndipo logic inapokwama. Ukishasema pembe tatu huwezi kwenda mbele kuipa pembe zingine sita. Ni sawa na argument ya Mungu kutengeneza jiwe asiloweza kuliinua na kama hawezi kulitengeneza sio omnipotent. Vitu vya hivyo haviwezi kuexist kwa mpigo. Yani kitu kiwe chini hapo hapo kiwe juu au mtu mweusi aliye mweupe. Ndiko logic inakokomea. What if God can see tufe lote la dunia kwa mpigo. What if he has that power? I may be back inshallah
The existence of evil proves an omnipotent, omniscient and all benevolent God does not exist.Kiranga, the existence of evil doesnt disprove existence of God. Ni kama vile uwepo wa kivuli usivyopinga existence ya jua. Huwezi kusema kama jua lipo, mbona kuna kivuli na hapohapo uvvonclude kwamba jua halipo kwa kuwa kivuli kipo. Huoni kwamba uwepo wa kivuli ni proof tosha ya uwepo wa jua. Evil ipo so long as you exercise your freelwill against God. God is the source of all Good. Anything short of him or outside him is evil.
Analogy utaiona when you speak about light and darkness. Darkness is nothing. You can not speak of darkness unless you speak of light. Darkness is the absence of light.
The problem of evil and its existence, sio kosa la Mungu kwamba imekuaje ameuumba ulimwengu wenye matatizo, bali sisi tuliopewa freewill tunapoachagua kufanya kinyume na Mungu ndipo evil huzaliwa.
Tunaoamini maandiko, tunasoma toka kitabu cha Mwanzo kwamba kila kitu Mungu alichoumba, ni chema hata shetani aliumbwa akiwa Malaika wa nuru, alikuwa shetani baada ya kutumia uhuru wake kufanya yaliyo kinyume na Mungu.
Which question is nonsense and why is it nonsense?Well said brother. The question itself is nonsense, that means it's unanswerable.
Je, unaelewa maana ya freewill? Kitu gani kimekufanya ujibu hii msg au kitu gani kimekufanya usingejibu hii msg? Nadhani hujaelewa maana ya freewill. Pia jua kwamba Mungu kukujua kwako na kujua kitu gani utafanya na kitu gani hautafanya has nothing to do with your freewill. You will still exercise your free will anyhow you like.dmatemu
Habari ya kwamba tuna free will ni uongo mwingine ambao una contradict uwepo wa Mungu anayejua yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Chukulia mfano.
Mnasema Mungu anajua maisha ya mtu tangu huyo mtu hajazaliwa.
Anajua kwamba siku fulani mtu huyu atafanya dhambi fulani. Kabla huyo mtu hajazaliwa.
Sasa mtu huyo akizaliwa, ana uhuru wa kuepuka aishi na siku ile ikifika asifanye dhambi ile?
Aakiweza kuepuka, hapo Mungu kweli ana uwezo wa kujua yote?
Asipoweza kuepuka, kweli huyu mtu ana free will au anaishi tu kama vile Mungu alivyoona/ panga?
Pia, binadamu ambay hachagui azaliwe au asizaliwe, akizaliwa azaliwe na wazazi gani, wa daraja gani la maisha, azaliwe wapi, azaliwe na afya gani, azaliwe na uwezo gani wa kiakili, aishi miaka mingapi, etc, huwezi kusema ana free will. Mtoto anayezaliwa Manzese kwa mfuga mbwa uwanja wa fisi kwa mama malaya muuza pombe chafu uwezo wake wa kupanga maisha mpaka awe rais wa Marekani ni practically nill.
Hilo awali.
Lakini pia, hata ukisema dhambi imekuja duniani kwa sababu Mungu kawapa freewill watu, wao ndio wakaleta dhambi, haya majanga ya asili nayo kwa nini Mungu wenu huyo kaumba ulimwengu ambao unayaachia, watu wasio na hatia wanaumia?
Chukulia tetemeko la ardhi linaloumiza na kuua watu lukuki, mpaka watoto wachanga.
Huyo Mungu wenu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko haya?
Kama alishindwa, je ni kweli ana uwezo wote?
La, kama hakushindwa, kataka tu mwenyewe hivyo, je ni kweli ana upendo wote?
Sina freewill.Je, unaelewa maana ya freewill? Kitu gani kimekufanya ujibu hii msg au kitu gani kimekufanya usingejibu hii msg? Nadhani hujaelewa maana ya freewill. Pia jua kwamba Mungu kukujua kwako na kujua kitu gani utafanya na kitu gani hautafanya has nothing to do with your freewill. You will still exercise your free will anyhow you like.
Hata haya mawazo yako na jinsi unavyoamini, ni kwa sababu una freewill, unless otherwize ingekua unaamini kama ulivyopangiwa kuamini, na hiyo ina maana ww ni robot. But God who is absolute Love in his essence, has created us with free will, that we have to love him because we choose to love him. True love is not forced.
Freewill has been a source of many evils (when we choose not to obey God and follow His commands), including yours of not believing in God. You are free to believe in anything, but that doesn't disprove the existence God. The existence of God doesn't depend on whether you believe He exists or not.
So you want your freewill to be omnipotency? This is absurd bro, because there can not be two Omnipotents. You must be humble and you must submit. God is the sole rulerSina freewill.
Nataka kurudi mwaka 1982, siwezi kurudi mwaka huo, kwa sababu nimepangiwa tayari kwamba muda unaenda mbele tu, haurudi nyuma.
Sasa kama naishi katika ulimwengu ambao muda unaenda mbele tu, haurudi nyuma, na mimi nataka kurudi nyuma kwenye muda, siwezi, utasemaje nina freewill?
Kuna watu wana maisha magumu sana, wanasema "najuta kuzaliwa". Hawa wamejikuta tu wamezaliwa.Hawakuulizwa kama wanataka kuzaliwa au hawataki. Utasemaje wana freewill wakati wamejikuta tu wamezaliwa bila kukubali?
The central question here is that, a self contradicting proposition cannot exist in reality far and above theoretical postulations.
Your all knowing, all capable, all loving God creating a universe in which evil is possible idea is a self contradicting proposition.
Either such a God does not exist, or such a universe does not exist.
Such a universe exists, we see.
Therefore, such a God does not exist.
Zaidi, hujajibu hoja yangu ya evil inayotokea naturally, mfano tetemeko laardhi linaloua watoto wasio na hatia.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao kitu kama hicho kinawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao hilo haliwezekani?
Hujajibu swali hili.
The question that 'can God make a very huge stone that He can not lift' is a nonsense, because there can not be two OMNIPOTENTS. or God can not create a very big stone that he can't carry. He can either not create it or if he creates it that means he can also carry it.Which question is nonsense and why is it nonsense?
What is nonsense here, is believing in a self contradicting God idea.
On the one hand, your God is all powerful, all knowing and all loving. On the other hand, he created a universe in which all manners of evil is possible.
This is a stark contradiction.
It is like saying you believe in the existence of a geometrical figure which is, in an Euclidean plane, a triangle that has six angles.
There is no difference in these two belief systems.
They both believe in a self contradicting impossibility.
Your God is cobtradicted by so many questions, a different and real question is following.The question that 'can God make a very huge stone that He can not lift' is a nonsense, because there can not be two OMNIPOTENTS. or God can not create a very big stone that he can't carry. He can either not create it or if he creates it that means he can also carry it.
First of all prove that Gid exists.So you want your freewill to be omnipotency? This is absurd bro, because there can not be two Omnipotents. You must be humble and you must submit. God is the sole ruler
Can you 1st prove that God doesnt exist? If you prove then we will talk from thereFirst of all prove that Gid exists.
You can't logically say Gid is tge sole ruler if you can't even prove he exists.
Can you prove Gid exists?
Pole ndugu unapoteaKwa nini nikubali?
Kwa yoyote ambae anajifanya hataki kuamini uwepo wa mungu basi na afanye haya pale anapokerwa muue yoyote anae kukera kwasababu mungu wa kukuadhibu hayupo, tembea na mtoto wako ulie mzaa unapopatwa na matamanio kwasbb hutapata dhambi hakuna mungu wa kukua dhibu, hata mzazi wako muombe uchi kwasbb hakuna mungu atakae kupa dhambi ya kukuadhibu, fanya liwatwi lakini kama haitoshi dhulumu watu ua watu fanya baya lolote utakalo kwasbb hakuna dhambi wala hakuna mungu wa kuhukumu mabaya, lkn ikiwa huwezi kufanya haya basi usifikiri kwa kutumia mshipa wa maviCan you 1st prove that God doesnt exist? If you prove then we will talk from there
First of all, that which does not exist can hardly be disproved apart from logical proofs, such as proof by contradiction.Can you 1st prove that God doesnt exist? If you prove then we will talk from there