Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Hujajibu swali nililokuliza.

Unaamini pembetatu yenye pembe sita ipo?
Hoja yangu ni kwamba hatuwezi kuzungumzia kuamini pembe tatu wala sita ikiwa wewe hautaki kabisa kusikia kinachoitwa kuamini.

Tatizo lako si aina ya imani bali hautaki kabisa kusikia kuhusu imani.
 
Hata swali nililouliza hujalielewa, sijauliza kama Mungu alishindwa kuwafanya watu wote wawe watiifu kwake.

Kama hujaelewa swali, sitegemei uweze kulijibu.

Sijauliza kama Mungu alishindwa kuwafanya watu wote wawe watiifu kwake, nimeuliza kama Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Utiifu hata kama watu wote wakiwa watiifu leo, halafu matetemeko ya ardhi yakaendelea kuua watoto wachanga wasio na hatia, nikauliza, imekuwaje huyo Mungu mnayemsema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya kama haya matetemeko yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hayawezekani kutokea?

Hili swali halina uhusiano wowote na utiifu.

Na hujalijibu.
Kiranga kikawaida mmiliki wa kitu ana uhuru nacho katika kukituma na kukiendesha mtengenezaji wa cm gari, na hata nyumba anao uwezo wa kuibomoa na kuipondaponda atakavyo kwasbb yy ndie mmiliki na ndie aliekiunda kitu hicho, hivyo sasa mungu ndie alie umba vyote vilivyomo ulimwenguni ana haki ya kusaga kuvuruga chochote akitakacho kwasbb yy ndie alie umba, anayafanya haya kwa lengo la kututia mitihani tu sivyenginevyo,
 
Kiranga kikawaida mmiliki wa kitu ana uhuru nacho katika kukituma na kukiendesha mtengenezaji wa cm gari, na hata nyumba anao uwezo wa kuibomoa na kuipondaponda atakavyo kwasbb yy ndie mmiliki na ndie aliekiunda kitu hicho, hivyo sasa mungu ndie alie umba vyote vilivyomo ulimwenguni ana haki ya kusaga kuvuruga chochote akitakacho kwasbb yy ndie alie umba, anayafanya haya kwa lengo la kututia mitihani tu sivyenginevyo,
Hujajibu swali, sijasema hana mamlaka.

Nimeuliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao hauko logically consistent na nature zake za ujuzi wa yote, upendo wote na uwezo wote?

Baba wa kibinadamu tu, mwenye uwezo ulio na mwisho, upendo ulio na mwisho na ujuzi ulio na mwisho, akipata mtoto, anampa maziwa.

Hampi maziwa na sumu ili mtoto awe na uhuru wa kuchagua maziwa au sumu.

Kwa nini Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tena baba huyu wa kibinadamu akijenga nyumba, hategeshi mabomu nyumbani ambayo yatalipuka dakika yoyote na kuua watoto wake.

Kwa nini Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kategesha mabomu (matetemeko ya ardhi) yatakayoweza kulipuka muda wowote na kuua viumbe wake?

Huoni hii story ya kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu ina walakini?
 
Hoja yangu ni kwamba hatuwezi kuzungumzia kuamini pembe tatu wala sita ikiwa wewe hautaki kabisa kusikia kinachoitwa kuamini.

Tatizo lako si aina ya imani bali hautaki kabisa kusikia kuhusu imani.
Nataka kusikia habari za kuamini, lakini kuamini kuwe ni njia ya kuelekea kujua.

Kusiwe mwisho wa habari.

Kuamini kukiwa mwisho wa habari, unaweza kuamini chochote.

Sasa, katika muktadha huo, unaamini kwamba kuna pembe tatu hiyo yenye pembe sita?
 
Hujajibu swali, sijasema hana mamlaka.

Nimeuliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao hauko logically consistent na nature zake za ujuzi wa yote, upendo wote na uwezo wote?

Baba wa kibinadamu tu, mwenye uwezo ulio na mwisho, upendo ulio na mwisho na ujuzi ulio na mwisho, akipata mtoto, anampa maziwa.

Hampi maziwa na sumu ili mtoto awe na uhuru wa kuchagua maziwa au sumu.

Kwa nini Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tena baba huyu wa kibinadamu akijenga nyumba, hategeshi mabomu nyumbani ambayo yatalipuka dakika yoyote na kuua watoto wake.

Kwa nini Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kategesha mabomu (matetemeko ya ardhi) yatakayoweza kulipuka muda wowote na kuua viumbe wake?

Huoni hii story ya kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu ina walakini?
Brother mwisho wa maelezo nilimalizia kwa kusema mungu anayafanys yote haya ili kutu
 
Brother mwisho wa maelezo nilimalizia kwa kusema mungu anayafanys yote haya ili kutu
Hujathibitisha Mungu yupo, wala hujaondoa contradiction.

Umetunga- au umebugia uongo uliotungwa- kumtetea Mungu huyu ambaye hayupo.

Hiyo trick inaitwa "Deus ex Machina".

Story imetungwa, ya uongo, inashindikana kuifafanua, unajibiwa Mungu ana miujiza yake, Mungu kaumba hivi kutujaribu.

Hivi Mungu atujaribu ili iweje? Wakati yeye ndiye anatupa uwezo wa yote tunayoyafanya kwa mujibu wenu. Aanapotujaribu anatujaribu sisi au anajijaribu mwenyewe.

Huyo Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuondoa contradiction hii.
 
Hujajibu swali, sijasema hana mamlaka.

Nimeuliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao hauko logically consistent na nature zake za ujuzi wa yote, upendo wote na uwezo wote?

Baba wa kibinadamu tu, mwenye uwezo ulio na mwisho, upendo ulio na mwisho na ujuzi ulio na mwisho, akipata mtoto, anampa maziwa.

Hampi maziwa na sumu ili mtoto awe na uhuru wa kuchagua maziwa au sumu.

Kwa nini Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tena baba huyu wa kibinadamu akijenga nyumba, hategeshi mabomu nyumbani ambayo yatalipuka dakika yoyote na kuua watoto wake.

Kwa nini Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kategesha mabomu (matetemeko ya ardhi) yatakayoweza kulipuka muda wowote na kuua viumbe wake?

Huoni hii story ya kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu ina walakini?
Brother mwisho wa maelexo yangu nimemalizia kwa kusema mungu anayafanya yote haya ili kututia mtihani ana tujaribu, lkn wacha kutujaribu wakat mwengine anayafanya haya ili kutukumbusha kama mutarejea kwangu lkn wakt mwengine anafanya haya ili kutuadhibu kwq kuacha matakwa yake ili turejee ktk njia ya sawa kama afanyavyo baba anampenda mtoto wake lkn akikosea njia ana mpiga kwaiyo kuwepo kwa majanga hakuondoi dhana ya kwamba mola si mwema wala hana upendo kwetu
 
Brother mwisho wa maelexo yangu nimemalizia kwa kusema mungu anayafanya yote haya ili kututia mtihani ana tujaribu, lkn wacha kutujaribu wakat mwengine anayafanya haya ili kutukumbusha kama mutarejea kwangu lkn wakt mwengine anafanya haya ili kutuadhibu kwq kuacha matakwa yake ili turejee ktk njia ya sawa kama afanyavyo baba anampenda mtoto wake lkn akikosea njia ana mpiga kwaiyo kuwepo kwa majanga hakuondoi dhana ya kwamba mola si mwema wala hana upendo kwetu
Hujathibitisha Mungu yupo, wala hujaondoa contradiction.

Umetunga- au umebugia uongo uliotungwa- kumtetea Mungu huyu ambaye hayupo.

Hiyo trick inaitwa "Deus ex Machina".

Story imetungwa, ya uongo, inashindikana kuifafanua, unajibiwa Mungu ana miujiza yake, Mungu kaumba hivi kutujaribu.

Hivi Mungu atujaribu ili iweje? Wakati yeye ndiye anatupa uwezo wa yote tunayoyafanya kwa mujibu wenu. Aanapotujaribu anatujaribu sisi au anajijaribu mwenyewe.

Huyo Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuondoa contradiction hii.
 
Hujathibitisha Mungu yupo, wala hujaondoa contradiction.

Umetunga- au umebugia uongo uliotungwa- kumtetea Mungu huyu ambaye hayupo.

Hiyo trick inaitwa "Deus ex Machina".

Story imetungwa, ya uongo, inashindikana kuifafanua, unajibiwa Mungu ana miujiza yake, Mungu kaumba hivi kutujaribu.

Hivi Mungu atujaribu ili iweje? Wakati yeye ndiye anatupa uwezo wa yote tunayoyafanya kwa mujibu wenu. Aanapotujaribu anatujaribu sisi au anajijaribu mwenyewe.

Huyo Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuondoa contradiction hii.
Hivi mungu atujaaribu ili iweje wakat yy ndie ametupa uwezo wa kufanya hayo, brother kiranga ww kweli wa kuuliza swali hili, sasa mfano wa hoja yako inajibiwa na uhalisia wa maisha yetu, mwalimu anatufundisha darasani, tunaandika kwenye madaftar na vitabu tunapewa sasa kuna haja gani ya kutufanyia majaribio wakat ameshatusomesha
 
Hujathibitisha Mungu yupo, wala hujaondoa contradiction.

Umetunga- au umebugia uongo uliotungwa- kumtetea Mungu huyu ambaye hayupo.

Hiyo trick inaitwa "Deus ex Machina".

Story imetungwa, ya uongo, inashindikana kuifafanua, unajibiwa Mungu ana miujiza yake, Mungu kaumba hivi kutujaribu.

Hivi Mungu atujaribu ili iweje? Wakati yeye ndiye anatupa uwezo wa yote tunayoyafanya kwa mujibu wenu. Aanapotujaribu anatujaribu sisi au anajijaribu mwenyewe.

Huyo Mungu hayupo, ndiyo maana huwezi kuondoa contradiction hii.
Deus ex machine usitegemee sana haya matheory kwasbb ni mawazo ya mtu tu hata ww unaweza kuanxisha idea yako na ikawa developed sasa ikawa kila idea unabeba na kuiamini mwisho wake ndo nyie mnaokuja kutwambia binaadam mwanzo alikua chimpanzees
 
Hivi mungu atujaaribu ili iweje wakat yy ndie ametupa uwezo wa kufanya hayo, brother kiranga ww kweli wa kuuliza swali hili, sasa mfano wa hoja yako inajibiwa na uhalisia wa maisha yetu, mwalimu anatufundisha darasani, tunaandika kwenye madaftar na vitabu tunapewa sasa kuna haja gani ya kutufanyia majaribio wakat ameshatusomesha
Mwalimu anamjaribu mwanafunzi, anampa mtihani, kwa sababu mwalimu anataka kujua mwanafunzi anajua nini na hajui nini, ana uwezo gani na hana uwezo gani.

Huyo Mungu, ambayemnasema anajua yote, ana uwezo wote na ana upendo wote, na hata akili zetu, uwezo wa kushinda mabaya na wa kufanya mema, mnasema katupa yeye, anatujaribu ili iweje?

Maana mwalimu anasema anatujaribu ili ajue tuna uwezo gani.

Huyo Mungu anayetujua maisha yetu yote kabla hatujaishi, anatujaribu kwa sababu gani? Ili iweje?
 
Deus ex machine usitegemee sana haya matheory kwasbb ni mawazo ya mtu tu hata ww unaweza kuanxisha idea yako na ikawa developed sasa ikawa kila idea unabeba na kuiamini mwisho wake ndo nyie mnaokuja kutwambia binaadam mwanzo alikua chimpanzees
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo, kwa hiyo usidharau mawazo ya watu ambao wamethibitishwa kwamba wapo, kwa kutumia chaka la Mungu ambaye huwezi hata kumthibitisha kwamba yupo.

Mimi naweza kukuambia wazo la kuwepo Mungu nalo ni wazo la watu tu.

Ndiyo maana huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Ndiyo maana wazo lenyewe linajipinga. Lina cpontradiction, ambayo hujaweza kuiondoa.

Utanijibu vipi?
 
Kiranga.

Maisha kwako ni nini? Kipi kinatambulisha uovu kwako [jambo baya kama wewe unavyoita]
 
Kiranga.

Maisha kwako ni nini? Kipi kinatambulisha uovu kwako [jambo baya kama wewe unavyoita]
Hata nikikwambia sijui majibu ya maswali haya yote. Hilo halithibitishi Mungu yupo.

Ni kama vile unaniuliza sauare root ya 2 ni nini?

Hata nikisema sijui. Ukiniambia jibu ni 10.
Nitakwambia jibu hilo ni la uongo. Si la kweli. Maana lina cintradiction.

Mungu ana contradiction. Hivyo hata kama sijui maisha ni nini, yalianzaje, jibu la Mungu ni contradiction.

Uovu kwanza kabisa ni hali ya kuleta maumivu, kukosa furaha, ubaya, kitu usichotaka kufanyiwa, bila haki.

Mathalani. Mtu kuuawa bila hatia ni jambo ovu.

Pia, watoto wachanga kufariki inasikitisha sana. Ndiyo maana dunia nzima watu wanafanya jitihada kuzuia vifo, hususan vya watoto wachanga.

Sasa inakuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, akaumba ulimwengu na kuruhusu matetemeko ya ardhi kwa mfano, yanayoua watoto wachanga na kuwafukia hai?

Huyu Mungu kwa nini mkatili hivi? Hahurumii hata watoto wachanga? Alishindwa nini kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko haya?

Yupo kweli? Au ni wa hadithi tu? Mbona anaachia viumbe wake wapate uchungu sana kwa kuondokewa na ndugu zao?

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote akaumba ulimwengu ambao maovu na mabaya mengi sana yanawezekana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Mbona ulimwengu huu tunaouona uko tofauti sana na huyo Mungu anayesemwa? Mbona ulimwengu unampinga? Unam contradict?

Mbona inaonekana huyo Mungu ni kama katungwa kwa hadithi za kitoto ambazo ukizipima kwa logic zinaonekana za uongo?

Hakuna hata mtu mmoja anayesema Mungu yupo ambaye ameweza kujibu swali hili.
 
Hata nikikwambia sijui majibu ya maswali haya yote. Hilo halithibitishi Mungu yupo.

Ni kama vile unaniuliza sauare root ya 2 ni nini?

Hata nikisema sijui. Ukiniambia jibu ni 10.
Nitakwambia jibu hilo ni la uongo. Si la kweli. Maana lina cintradiction.

Mungu ana contradiction. Hivyo hata kama sijui maisha ni nini, yalianzaje, jibu la Mungu ni contradiction.

Uovu kwanza kabisa ni hali ya kuleta maumivu, kukosa furaha, ubaya, kitu usichotaka kufanyiwa, bila haki.

Mathalani. Mtu kuuawa bila hatia ni jambo ovu.

Pia, watoto wachanga kufariki inasikitisha sana. Ndiyo maana dunia nzima watu wanafanya jitihada kuzuia vifo, hususan vya watoto wachanga.

Sasa inakuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, akaumba ulimwengu na kuruhusu matetemeko ya ardhi kwa mfano, yanayoua watoto wachanga na kuwafukia hai?

Huyu Mungu kwa nini mkatili hivi? Hahurumii hata watoto wachanga? Alishindwa nini kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko haya?

Yupo kweli? Au ni wa hadithi tu? Mbona anaachia viumbe wake wapate uchungu sana kwa kuondokewa na ndugu zao?

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote akaumba ulimwengu ambao maovu na mabaya mengi sana yanawezekana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Mbona ulimwengu huu tunaouona uko tofauti sana na huyo Mungu anayesemwa? Mbona ulimwengu unampinga? Unam contradict?

Mbona inaonekana huyo Mungu ni kama katungwa kwa hadithi za kitoto ambazo ukizipima kwa logic zinaonekana za uongo?

Hakuna hata mtu mmoja anayesema Mungu yupo ambaye ameweza kujibu swali hili.
Umerudi Mkuu Kiranga?

Warmly welcome
 
Asante sana.
Kiranga Ambapo Huwa Sikuelewi Ni pale Unaposema Hakuna Mungu kabisa!
But Mimi Naamini Hakuna Mungu wa kweli Ambae Anaabudiwa Na watu hapa Duniani! Na kwamba Mungu Ni Kitu Kikubwa Mno Kisichofikirika na kuwa Na habari na Sisi, Sema tunajikweza Tu kujifanya Tunamjua
 
Back
Top Bottom