Kama unaona linatosha usisome ila swali ni Linatosha kivipi??,linakutosheleza nini ,linakutosheleza kwa wakati gani,kitabu gani kinatosha na kinatosheleza nini........................................fafanua zaidi maswali yanayotokana na jibu lako ni mengi mno! Na kama linatosha unauliza ili iweje??Sasa kama habadiliki iweje nisome Agano Jipya Wakati la Kale Linatosha
Nibaki namfano wangu wa kusafiri kwenda Mwanza kwakupitia Dodoma.
Unachouliza hapo ni kama vile umuulize mtu, wewe unataka kwenda Mwanza, unaanzaje kujadili kwamba ukiwa Dodomauelekee muelekeo gani?
Usipokadili uelekee muelekeo gani kutokaDodoma ili ufike Mwanza, unaweza kujikuta unazunguka Dodoma hapohapo Mwanza hufiki, au unarudiulikotoka Dar.
Kama natafuta fact, na kuna imani nyingi tofauti, nazichuja imani kutafuta ipiya ukweli.
Ntest ya kwanza ni logical consistency.
Kama naenda Mwanza kutoka Dodoma kwa barabara nyoofu (for simplicity's sake), Mwanza ni magharibi ya Dodoma, kurudi mashariki ni kurudi DAR.
Sasa kwa nini unaniambia niende Mwanza kutoka Dodoma bila kuangalia naelekea muelekeo upi?
Kwa nini unataka nitafute fact kutoka imani bila kuhoji imani tofauti?
Ni nani anayekwambia utafute fact kutoka kwenye imani?
Wewe mwenyewe ulisema haupo hapa kujadili imani bali fact na ndiyo maana unadai uthibitisho kwa mtu mwenye kusema mungu yupo kama fact na si imani,maana imani mtu anaweza kuamini vyovyote anavyotaka huna tatizo na unatetea haki yake hiyo.
Tatizo lako unaandika tu unachojisikia bila kuzingatia unachokisimamia.
Kwangu mimi, swali la Mungu kubadilika hata halipo mpaka nithibitishiwe kwamba yupo kwanza.Je Mungu anabadilika
Kwa nini swali liwe nani? Nikikuuliza "bendera ya taifa ya Tanzania ni ya aina gani ya rangi nyekundu?", utanijibu vipi?
Nikisema sitaki kukaa Dodoma, nataka kukaa Mwanza, nikiwa Dodoma njiani kwenye gari naelekea Mwanza utaniuliza vipi "mbona umekaa Dodoma?" wakati sijakaa Dodoma, nipo kwenye gari napita kuelekea Mwanza?
Nimekuuliza hili swali, umeliruka hujalijibu kama hujaliona.
Tatizo lako ama hujui kusoma, ama unataka kupinda maneno, inawezekana kabisa yote mawili yanahusika.
Tatizo lako unafikiri mie niko hapa kushindana na kwa ubishi,mie siwezi kushindana ubishi
na mtu ambaye hata hajui anchokisimamia
alichokiandika jana na leo ni tofauti. Muda wote hapa nina kazi ya kukuonesha jinsi unavyojichanganya kwa sababu yakutojua unachosimamia.
Halafu suala la sijui dodoma na mwanza tulishajadili na comment yangu ndiyo ya mwisho katika huo mjadala ila nashangaa kuambiwa skujibu swali.
Kwanza umetunga swali mwenyewe kwa mtazamo wako na kuchukulia kama mie ndiye niliyeuliza swali hilo kisha hapohapo unanitandika swali lenye kutokana na swali la kufikirika kisha unalazimisha nijibu!!!
Kukaa kuna maana mbili,inaweza kuwa kuka kitako au kuishi .Sasa sijui hapo dodoma ulikaa kitako au uliweka makazi sijui hata nashindwa kuelewa.
KirangaHaijalishi kuchomoza jua lini, kitendo cha kusema unaamini jua litachomoza iwe kesho au kesho kutwa hiyo ni imani. Na wewe mwenyewe ulisema kuwa hiyo imani ina ushahidi tofauti na imani ya uwepo wa mungu.
Na dodoma ni sawa na imani, na ndiyo nilipohusisha imani ya kuchomoza jua na dodoma.
Kama bado haujaridhika endelea kuuliza.
Umesema ujio wa Agano jipya ni utimilifu wa Agano la kale je lilikuwa na kasoro na kama lilikiwa na kasoro kwa nini kutumika wakati likiwa na kasoro huoni kabla ya kurekebishwa limewapoteza wengi?Mkuu, nadhani wote tunaamini kua BIBLIA Takatifu imeandikwa na watu wa Mungu walioongozwa na ROHO wa Mungu.
Agano la kale lina vitabu ambayo vingi ni torati za Musa na habari za Waamuzi, Wafalme na Manabii...
Agano jipya lina vitabu vya Injili vilivyoandikwa na Wainjilisti (wanafunzi wa Yesu) pamona na Mitume (Mf Paulo).
Ujio wa Agano jipya ni utimilifu wa yaliyoandikwa katika vitabu vya Agano la kale....
Ndio maana mwenyewe Yesu alisema "Siajaja kuibadilisha torati bali kuitimiza" (Sikumbuki kutabu gani nikipata ntaweka)
Agano la kale Mungu alikua anaongea na Manabii ndio Nabii alete ujumbe and vice versa....
Agano jipya baada ya Yesu kusulubiwa na pazia la Hekaluni kupasuka, hii inamaanisha mlango wa kufikisha maombi yako na ibada zako moja kwa moja bila kupitia kwa Manabii kama ilivyokuwa awali.....
Yapo mengi sana ambayo kuandika sitoweza maana mimi sio muandishi mzuri...
Hebu niiweke hii sawaUmesema ujio wa Agano jipya ni utimilifu wa Agano la kale je lilikuwa na kasoro na kama lilikiwa na kasoro kwa nini kutumika wakati likiwa na kasoro huoni kabla ya kurekebishwa limewapoteza wengi?
"Tumejadili wapi? Post iko wapi? Swali ambalo hujajibiwa ni lipi?"Comment ya mwisho kujadili kwa mara ya kwanza?
Wakati naendelea kujadili mpaka sasa!
Does that make sense to you?
Kwa nini unafikiri mtu akikuuliza "tumejadili wapi?" basi ni lazima hakumbuki kama mliwahi kujadili?"Tumejadili wapi? Post iko wapi? Swali ambalo hujajibiwa ni lipi?"
Uliniuliza hivyo.
Unaona tatizo lako nililokwambia? Sasa kama hata hukuwa ukikumbuka kama tuliwahi kujadili mfano wako wa mwanza na dodoma unadhani hata utajua tuliishia vp katika huo mjadala?
Na ndiyo maana kila siku umekuwa mtu wa kuuliza maswali yaleyale na kudai haujajibiwa wakati mtu mwenyewe huna hata kumbukumbu.
Mkuu soma uelewe au uombe ufafanuzi... UTIMILIFI = KUTIMIZA au UTIMIZOUmesema ujio wa Agano jipya ni utimilifu wa Agano la kale je lilikuwa na kasoro na kama lilikiwa na kasoro kwa nini kutumika wakati likiwa na kasoro huoni kabla ya kurekebishwa limewapoteza wengi?
Jibu zuri..let us say tunaishi kwenye era ambayo hatujui kuhusu hewa,likatokea kundi flani likaamini katika hewa,likasema hewa IPO kwasababu inatusaidia kupumua,mazao yanakua kwasababu ya hewa hivo ni muhimu sana kwa maisha yetu na wakaandika na kitabu kinachoelezea sifa nzuri za hewa.Baadae akaja mtu akakakataa akasema hewa HAIPO kwasababu kwenye kitabu wameandika hewa ni muhimu kwa maisha yetu ili hali ni hewa inayosababisha vimbunga,miti kuanguka na maafa makubwa na isitoshe hewa yenyewe haionekani.hiyo inaweza kuondoa ukweli kwamba hewa ipo?unaposema Mungu hayupo kwasababu tuu ya sifa zake zilizotajwa kwenye maandiko haukubaliani nazo,vipi ukikutana na mtu anayeamini Mungu yupo sio kwasababu ya maandiko ila kwasababu sayansi imeshindwa kutoa majibu kamili kuhusu source of life and the universe utamshawishi vipi mtu kama huyo kwamba Mungu hayupo?kuna thread humu inazungumzia mikanganyiko inayochanganya iliyopo kwenye biblia,sina tatizo na thread hizo na nafikiri kwa ukomo wa uelewa wetu tunaweza tukajadili,lakini kujadili Mungu yupo au hayupo thats beyond our knowledge.and a wise man yupo tayari kusema sijui kuliko ku jump on conclusion kwamb hayupo.
Mkuuu umeelewekaaa....let us say tunaishi kwenye era ambayo hatujui kuhusu hewa,likatokea kundi flani likaamini katika hewa,likasema hewa IPO kwasababu inatusaidia kupumua,mazao yanakua kwasababu ya hewa hivo ni muhimu sana kwa maisha yetu na wakaandika na kitabu kinachoelezea sifa nzuri za hewa.Baadae akaja mtu akakakataa akasema hewa HAIPO kwasababu kwenye kitabu wameandika hewa ni muhimu kwa maisha yetu ili hali ni hewa inayosababisha vimbunga,miti kuanguka na maafa makubwa na isitoshe hewa yenyewe haionekani.hiyo inaweza kuondoa ukweli kwamba hewa ipo?unaposema Mungu hayupo kwasababu tuu ya sifa zake zilizotajwa kwenye maandiko haukubaliani nazo,vipi ukikutana na mtu anayeamini Mungu yupo sio kwasababu ya maandiko ila kwasababu sayansi imeshindwa kutoa majibu kamili kuhusu source of life and the universe utamshawishi vipi mtu kama huyo kwamba Mungu hayupo?kuna thread humu inazungumzia mikanganyiko inayochanganya iliyopo kwenye biblia,sina tatizo na thread hizo na nafikiri kwa ukomo wa uelewa wetu tunaweza tukajadili,lakini kujadili Mungu yupo au hayupo thats beyond our knowledge.and a wise man yupo tayari kusema sijui kuliko ku jump on conclusion kwamb hayupo.
mkuu watu kama hao unakuta hoja zao ni zile zile hawana jipya,kama unaweza kuprove kitu fulani KIPO inamaanisha unaweza pia kuprove kitu hicho HAKIPO(kama hakipo).atakulazimisha wewe u prove,ukimwambie yeye a prove atakimbilia kujificha kwenye maandiko,hiyo hai prove kwamba Mungu hayupo,na haitakuja kuprove kamwe.ni bora kusema sijui kuliko kujivimbisha humu kila siku.Jibu zuri..
Ningependa wanaopinga uwepo wa mungu wapite hapa kidogo
nashukuru mkuuuMkuuu umeelewekaaa....
MUNGU hajabadilika, ni Yule Yule, jana, leo, na kesho. Kilichobadilika ni Sheria za MUNGU na siyo AMRI za MUNGU. Kuna tofauti kubwa kati ya Sheria na Amri.Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana
Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k
Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?
Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...