Tatizo lako unafikiri mie niko hapa kushindana na kwa ubishi,mie siwezi kushindana ubishi
Ubishi ninini? Mbona watu wengine wanaweza kusemaukinijibu tu umeshaingia katikaubishi na wasiotakaubishi hata kujibu hawajibu?
Kwa niniubishi uwe kitu kibaya kama umejikita katikakutafuta ukweli?
Umeshasoma habari zozote za mahojiano ya Socrates ukaona jinsi ubishi unavyotumiwa kufungua macho?
Umeshasoma kitabu cha Galileo Galilei "The Dialogue Concerning The Two Chief World Systems" ukaona ubishiulivyopangiliwa na kuelimisha watu kwamba jua halizunguki dunia kamawalivyofikiri, na inaonekana zaidi kwamba duniandiyoinazunguka jua?
Dialogue Concerning the Two Chief World Systems - Wikipedia
na mtu ambaye hata hajui anchokisimamia
Mtu yupo kwenye gari hayupo Dodoma, anakwenda Mwanza, kwa niniunasema hajui aliposimamia kwa sababu yupo kwenye gari Dodoma anakwenda Mwanza na amaesema hataki kukaa Dodoma? Kwa niniunaona hajui aliposimamia wakati kasemahatakikukaa Dodoma anapita njia tu kuelekea Mwanza? Hujanijibu swali hili
alichokiandika jana na leo ni tofauti. Muda wote hapa nina kazi ya kukuonesha jinsi unavyojichanganya kwa sababu yakutojua unachosimamia.
Nilichoandikatofauti ni kipi?
Kusema sitaki kujikita kujadili imani, nataka kujua ukweli, ambao unapatikana kwa kujadili imanikwa niaya kujua ukweli, hapo kujichanganya kuko wapi?
Kusema kwamba sitakikukaa Dodoma, nataka kupita njia tu kwenda Mwanza,ukinikuta njianikwenye gari napita Dodoma utasemaje najichanganya, nimekaa Dodoma, wakati nilisemasikai Dodoma, wakati Dodoma sijakaa, napita kwenye gari?
Unaelewa wewe ndiye unayetaka kulazimishakujichanganya ambako hakupo?
Unaelewa wewe unayemuamini Mungu mwenye contradiction ndiye unayejichanganya?
Mungu wako, upande mmoja ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, upande mwingine, kaumba ulimwengu wenye maovu mengi yasiyomithilika.
How do you reconcile this? Hujaondoa contradiction hii, umejichanganya. Halafu unaona mimi najichanganya pale ambapo hakuna kujichanganya.
Halafu suala la sijui dodoma na mwanza tulishajadili na comment yangu ndiyo ya mwisho katika huo mjadala ila nashangaa kuambiwa skujibu swali.
Tumejadili wapi? Post iko wapi? Swali ambalo hujajibiwa ni lipi?
Wewe hujajibu swali langu, je, mtu anayetaka kwenda Mwanza kwakupitia Dodoma, akisema hataki kukaa Dodoma, ukimkuta kwenye gari njiani Dodoma, anaelekea Mwanza, utasema kakaa Dodoma kinyume na matamshi yake ya awali?
Kwanza umetunga swali mwenyewe kwa mtazamo wako na kuchukulia kama mie ndiye niliyeuliza swali hilo kisha hapohapo unanitandika swali lenye kutokana na swali la kufikirika kisha unalazimisha nijibu!!!
You either can't see the analogy, or you are pretending to not see it.
Mwanza ni ujuzi, Dodoma ni imani.
Mimi sitaki kujikita katika imani, nataka kupita tu imani, nielekee ujuzi.
Nataka kupita Dodoma, nielekee Mwanza.
Ukinikuta Dodoma nafuata direction ya Mwanza kwenye GPS huku naendesha gari,utasema nimekaa Dodoma kinyumena matamshi yangu ya awali?
Kukaa kuna maana mbili,inaweza kuwa kuka kitako au kuishi .Sasa sijui hapo dodoma ulikaa kitako au uliweka makazi sijui hata nashindwa kuelewa.
Una hakika hata ukieleweshwa uwezo wa kuelewa unao?
Kushindwa kwakokuelewa pia ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, hakuna mtu ambaye angeshindwa kumuelewa yeye huyo Mungu wala mtum wingine yeyote.